Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 344
@Tuu20195 ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@bintialiali6705 ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumasha5 ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@godfreymunishi3703 ай бұрын
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@BerthaModest5 ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali60415 ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii83225 ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@QueenJoseph-c6w5 ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@henricamikambi6147Ай бұрын
Umalize form 4, ufanye biashara ya nguo, ufanye biashara ya dhahabu, uolewe Bado una miaka 14!
@angelrichard8995 ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@LutfiaRashid5 ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
@@LutfiaRashid Aamin
@HadijaJoseph-d1gАй бұрын
Mtangazaji nyuko.vizuri kwa kazi sio legelege anajituma
@ReginaMinja-G225 ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@mwanahalimamwachili96795 ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@zuwenaabdallah77485 ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@rerisamba5 ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok5 ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro5 ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@rahmasuleiman93345 ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@MwanatumuJumaa-rj4fg5 ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@SamraAlly5 ай бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@HadijaJoseph-d1gАй бұрын
Nyama mpaka inaungua huyo dada amekaa2 nasimu sijui ni mfanyakazi Yani kasimamatu
@SamiaSamia-qc6tz5 ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@fatmachikambo87805 ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@JacquilineNoah5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@FatmaMnondoАй бұрын
😂😂😂kama ulikuwepo
@miriyamasanja67665 ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@WahidaAlharthi5 ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@naimanimo49255 ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@magrethkapinga18115 ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya5 ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge5 ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc5 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther5 ай бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela39265 ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule58805 ай бұрын
Yani
@SamiaSamia-qc6tz5 ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@ShamilaAbdullah-w1f5 ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo30935 ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa84335 ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia2095 ай бұрын
@@ShamilaAbdullah-w1f nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@abdulschannel79375 ай бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@janetdundul38585 ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@khadijatanzania80405 ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi59085 ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania80405 ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@SkenaTanz5 ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@MahraMansoor59695 ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar29555 ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo45985 ай бұрын
😂😂😂
@zayumar29555 ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@MYME-u5d5 ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@MaryamSimai-b9fАй бұрын
Saleh mbea sana
@khadjamhozya5 ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@selinathindwa97545 ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@bahiyaseleman58385 ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@YoungLovedii5 ай бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@itanzaniaAS5 ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo30935 ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS5 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS4 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@Fatma-re2hw5 ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@DanielHuseni3 ай бұрын
Uyo dada jamani Yuko busy na simu hata kumsaidia hmn
@Leylah-pz5sc5 ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@AlfanHussein-y8h4 күн бұрын
Huyo wakiume mwenzetu kweli
@LutfiaRashid5 ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni5 ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym78965 ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@hamidajabu33245 ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy81665 ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor5 ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah41925 ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj5 ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@mankinemansulikine-22205 ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi9635 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@ashuramanya9282Ай бұрын
😂😂😂😂
@maligeltabatholomeo81285 ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi82305 ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla25015 ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Hakumaliza
@Mohammed-v3i1u5 ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Hakufika
@AalyahNassor5 ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile55615 ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo37025 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga25693 ай бұрын
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore49043 ай бұрын
Huwenda kaambiwa na boss
@faridapandu75795 ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@mwanaidiomari79415 ай бұрын
verry polite women
@nathalieswedy36535 ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs5 ай бұрын
😢😢
@racheljohn22165 ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@marrymaganga72105 ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah13335 ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga72105 ай бұрын
Nyoo😏😏@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo30935 ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@IslamPeto-fd6wr5 ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
Dah huyo dada anabowa mda wote na sim kama hataki kufanya kazi kwanini yupo jikoni mda wa kaz ni wa kaz sim tupa huko😮
@naah8845 ай бұрын
Yaan kaonyesha ushamba wa hali ya juu sasa chakureko hapo ni nn 😂
@RitbayRitbay5 ай бұрын
Hii ndio tabia ya wafanyakazi walivo sio wote Lkn asilimia kubwa tabia hii wanayo mpk anaunguza
@SuleimanKhdija5 ай бұрын
@@naah884😅atapost status 😊😅
@SikudhaniKulonda-jy1bq5 ай бұрын
Waiz wa waume tu mm nadeal na houseboy bn@@RitbayRitbay
@catherinenenula74505 ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya5 ай бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs5 ай бұрын
😅😅
@chany99505 ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@Hamisimwinyi-t2qАй бұрын
Et ulilia😂😂😂😂😂😂😂😂
@FatmaHamad-g6s5 ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu9695 ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel16955 ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_0025 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@namsamson34435 ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah77095 ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija5 ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq5 ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah77095 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor5 ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@happinessmtalika165 ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy81665 ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@shazmapinky90125 ай бұрын
Nampenda Sana huyu Dada😍😍😍
@ashaashaa19595 ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@asmaJackson-w2l5 ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber65485 ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@christinenere46965 ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch1695 ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion5 ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass89145 ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@FatumaMohamedi-t6t5 ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@fatmaabdallah77095 ай бұрын
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed69935 ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@veronicahlusekelo52055 ай бұрын
Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂
@Mzuri_0025 ай бұрын
Najua unachomaanisha😂😂
@GfgGgh-v5z5 ай бұрын
😂😂😂 umbea nao kazi
@blandinamyinga94895 ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@AshaMwamba-v2o5 ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@AzaAzamhmod5 ай бұрын
Wastaraa❤❤❤❤❤
@sarahmcharo15485 ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@rehemamahendeka-rm2ek5 ай бұрын
Yaani tusipende kuongea tusivo na kumbukumbu nazo,umeolewa ukiwa 13 yrs old na umesoma hadi form 4,hesabu ya haraka ina maana darasa la kwanza ulianza ukiwa 3yrs(C KWELI KABISA KWA BONGO HII),tusidanganye kihivo.
@FatumaMohamedi-t6t5 ай бұрын
Kasoma qt
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج5 ай бұрын
😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui
@NaomiBwilinde-r2j5 ай бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq5 ай бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu49335 ай бұрын
Na kweli 😅😅😅@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau7784 ай бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@ngambikomsu645 ай бұрын
1994 unamaliza 7 ,1996 unaanrza biashara na wakati huohuo ulifika form four , hapohapo uliolewa na miaka 13.duuu.kizunguzungu.
@bahiyaseleman58385 ай бұрын
Hajui kujieleeza kabisaa yaan mtihani sana
@batulialmass89145 ай бұрын
Zamani watu walikuwa hawjali secondary
@ashurajengela39265 ай бұрын
Yani balaa 😂😂😂
@ashurajengela39265 ай бұрын
@@batulialmass8914 kivipi sasa wakati amesema amemaliza form 4 ?
@edithaeugeni96955 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kuwa mpole hao ndo wasanii wetu
@mjsaidkeya5 ай бұрын
Siwezi kosa hii
@hadija_makange5 ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@MamyHamso5 ай бұрын
Nani kaona boxer ya salleh imetoboka😂😂😂😂😂😂😂
@pendombinga35845 ай бұрын
Nimechaka sn jmn nchi ngumu hii mchawi bando leo salehe kapatikana😂😂
@yasminemohamed43775 ай бұрын
Kama ameolewa na miaka 14 hiyo form four kamaliza na miaka mingap? Au me ndo sijaelewa
@KautharRamadhan-xv3gf5 ай бұрын
Ila kweli na mm nimejiuliza hvhv
@yasminemohamed43775 ай бұрын
Tumepigwa na kitu kizito hhhhhhh@@KautharRamadhan-xv3gf
@joslinchuwa12985 ай бұрын
Na mimi nilitaka kuuliza hilo mmmh wasanii waongo
@evelynsalila5 ай бұрын
@@joslinchuwa1298hata yeye ni mwanadamu jamani labda ulimi umeteleza
@SafiyaJ-yw2vt5 ай бұрын
Huyu kaishia la7 eti fom4 halafu kazaa ana miaka14🤣🤣🤣🤣🤣
@SaidMohamed-k9h5 ай бұрын
Hv kwanini interview zako lazima ziwe usiku
@Mzuri_0025 ай бұрын
Ndio ratiba yakipindi jumatatu-Ijumaa samoja kamili ucku kinaanza