ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9

  Рет қаралды 78,678

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 344
@Tuu2019
@Tuu2019 5 ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@bintialiali670
@bintialiali670 5 ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@nurumasha
@nurumasha 5 ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 3 ай бұрын
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@BerthaModest
@BerthaModest 5 ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041
@farahali6041 5 ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322
@ummishakii8322 5 ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@QueenJoseph-c6w
@QueenJoseph-c6w 5 ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 Ай бұрын
Umalize form 4, ufanye biashara ya nguo, ufanye biashara ya dhahabu, uolewe Bado una miaka 14!
@angelrichard899
@angelrichard899 5 ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@LutfiaRashid
@LutfiaRashid 5 ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
​@@LutfiaRashid Aamin
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Mtangazaji nyuko.vizuri kwa kazi sio legelege anajituma
@ReginaMinja-G22
@ReginaMinja-G22 5 ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 5 ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 5 ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@rerisamba
@rerisamba 5 ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok 5 ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 5 ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 5 ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 5 ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@SamraAlly
@SamraAlly 5 ай бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Nyama mpaka inaungua huyo dada amekaa2 nasimu sijui ni mfanyakazi Yani kasimamatu
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 5 ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 5 ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@FatmaMnondo
@FatmaMnondo Ай бұрын
😂😂😂kama ulikuwepo
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 5 ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 5 ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@naimanimo4925
@naimanimo4925 5 ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 5 ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya
@khadjamhozya 5 ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge
@esterMahenge 5 ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 5 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther
@kidoesther 5 ай бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 5 ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880
@virginiahaule5880 5 ай бұрын
Yani
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 5 ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@ShamilaAbdullah-w1f
@ShamilaAbdullah-w1f 5 ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 5 ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433
@mannahsalwa8433 5 ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 5 ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209
@Siasia209 5 ай бұрын
​@@ShamilaAbdullah-w1f nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@abdulschannel7937
@abdulschannel7937 5 ай бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@janetdundul3858
@janetdundul3858 5 ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 5 ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 5 ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 5 ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@SkenaTanz
@SkenaTanz 5 ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 5 ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955
@zayumar2955 5 ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 5 ай бұрын
😂😂😂
@zayumar2955
@zayumar2955 5 ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@MYME-u5d
@MYME-u5d 5 ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f Ай бұрын
Saleh mbea sana
@khadjamhozya
@khadjamhozya 5 ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 5 ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 5 ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@YoungLovedii
@YoungLovedii 5 ай бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 5 ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@Fatma-re2hw
@Fatma-re2hw 5 ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@DanielHuseni
@DanielHuseni 3 ай бұрын
Uyo dada jamani Yuko busy na simu hata kumsaidia hmn
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 5 ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@AlfanHussein-y8h
@AlfanHussein-y8h 4 күн бұрын
Huyo wakiume mwenzetu kweli
@LutfiaRashid
@LutfiaRashid 5 ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni
@maureenmgeni 5 ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 5 ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@hamidajabu3324
@hamidajabu3324 5 ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 5 ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor
@AalyahNassor 5 ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah4192
@siahsiah4192 5 ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 5 ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 5 ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963
@salmakakozi963 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@ashuramanya9282
@ashuramanya9282 Ай бұрын
😂😂😂😂
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 5 ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 5 ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 5 ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Hakumaliza
@Mohammed-v3i1u
@Mohammed-v3i1u 5 ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Hakufika
@AalyahNassor
@AalyahNassor 5 ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561
@princesmaile5561 5 ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702
@aurorahmo3702 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 3 ай бұрын
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore4904
@hollymore4904 3 ай бұрын
Huwenda kaambiwa na boss
@faridapandu7579
@faridapandu7579 5 ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@mwanaidiomari7941
@mwanaidiomari7941 5 ай бұрын
verry polite women
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 5 ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 5 ай бұрын
😢😢
@racheljohn2216
@racheljohn2216 5 ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 5 ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 5 ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 5 ай бұрын
Nyoo😏😏​@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 5 ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 5 ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
@SamiraRamadhani-sc6db
@SamiraRamadhani-sc6db 5 ай бұрын
Kutongoza mtihani
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 5 ай бұрын
@@SamiraRamadhani-sc6db.. eeh waume wafanya kutafutiwa waja kuonana nyumbani
@SifaPangisa
@SifaPangisa 5 ай бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 5 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 5 ай бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 5 ай бұрын
Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143
@zayumar2955
@zayumar2955 5 ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@dayanahancygao
@dayanahancygao 2 ай бұрын
Hivi kwanini mnaendaga kwa wasanii usiku
@SabrinaKunambi
@SabrinaKunambi 5 ай бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 3 ай бұрын
Njaa huna wastara wapendaa kujiliza tu
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 5 ай бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@HamimuBadyanaJR
@HamimuBadyanaJR 5 ай бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@selemanikabeya8020
@selemanikabeya8020 5 ай бұрын
Sale baba naona bosa imeisha nunua nyengine inatuaibisha😅
@Dareaziz
@Dareaziz 5 ай бұрын
❤❤❤
@lightnesstippe9006
@lightnesstippe9006 5 ай бұрын
Nimepata mshtuko nilichokiona daka ya 7:58 🙈🙈🙈🙈
@AlfanHussein-y8h
@AlfanHussein-y8h 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@shufaa8921
@shufaa8921 5 ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb
@anawiliam-eb4kb 5 ай бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 5 ай бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@annamassawe-z9t
@annamassawe-z9t 5 ай бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@alibulushi-d9j
@alibulushi-d9j 5 ай бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson
@IreneGrayson 5 ай бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
@Grtudajunior-cw5zp 5 ай бұрын
​@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff
@nuruhassan-qu1ff 5 ай бұрын
😅😅
@safiasaleh669
@safiasaleh669 5 ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 5 ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 5 ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
@dayanandama8873
@dayanandama8873 5 ай бұрын
Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur
@chany9950
@chany9950 5 ай бұрын
🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣
@ttss7716
@ttss7716 5 ай бұрын
Mbona kawaida bora ni safi 😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie
@ogdosho93
@ogdosho93 5 ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832
@arafaomari1832 5 ай бұрын
Ya nani
@ScolaAthanas
@ScolaAthanas 19 күн бұрын
Salehe hapo anatmni kiive mapema
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 5 ай бұрын
Dah huyo dada anabowa mda wote na sim kama hataki kufanya kazi kwanini yupo jikoni mda wa kaz ni wa kaz sim tupa huko😮
@naah884
@naah884 5 ай бұрын
Yaan kaonyesha ushamba wa hali ya juu sasa chakureko hapo ni nn 😂
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 5 ай бұрын
Hii ndio tabia ya wafanyakazi walivo sio wote Lkn asilimia kubwa tabia hii wanayo mpk anaunguza
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 5 ай бұрын
​@@naah884😅atapost status 😊😅
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 5 ай бұрын
Waiz wa waume tu mm nadeal na houseboy bn​@@RitbayRitbay
@catherinenenula7450
@catherinenenula7450 5 ай бұрын
Salehe ata ajanawa ye anabugia tu😂😂😂kweli anapenda kula
@khadjamhozya
@khadjamhozya 5 ай бұрын
Ndio vyo arivyo sio Mara yake yakwanza mbona ndomaana wanamsemaga mtandaoni kuwa anapenda Kura kwa ma staa
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 5 ай бұрын
😅😅
@chany9950
@chany9950 5 ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@Hamisimwinyi-t2q
@Hamisimwinyi-t2q Ай бұрын
Et ulilia😂😂😂😂😂😂😂😂
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 5 ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 5 ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 5 ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002
@Mzuri_002 5 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@namsamson3443
@namsamson3443 5 ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 5 ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 5 ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor
@AalyahNassor 5 ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 5 ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 5 ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@shazmapinky9012
@shazmapinky9012 5 ай бұрын
Nampenda Sana huyu Dada😍😍😍
@ashaashaa1959
@ashaashaa1959 5 ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@asmaJackson-w2l
@asmaJackson-w2l 5 ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548
@ashazuber6548 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@christinenere4696
@christinenere4696 5 ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 5 ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass8914
@batulialmass8914 5 ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 5 ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 ай бұрын
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 5 ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 5 ай бұрын
Kwani nmeona pekeangu au mi nna kiherehere😂
@Mzuri_002
@Mzuri_002 5 ай бұрын
Najua unachomaanisha😂😂
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 5 ай бұрын
😂😂😂 umbea nao kazi
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@AshaMwamba-v2o
@AshaMwamba-v2o 5 ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 5 ай бұрын
Wastaraa❤❤❤❤❤
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 5 ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 5 ай бұрын
Yaani tusipende kuongea tusivo na kumbukumbu nazo,umeolewa ukiwa 13 yrs old na umesoma hadi form 4,hesabu ya haraka ina maana darasa la kwanza ulianza ukiwa 3yrs(C KWELI KABISA KWA BONGO HII),tusidanganye kihivo.
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 5 ай бұрын
Kasoma qt
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 5 ай бұрын
😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui
@NaomiBwilinde-r2j
@NaomiBwilinde-r2j 5 ай бұрын
Kaja Dar ..yuko shule ya msingi 94 ..96..97 kaingia kwenye biashara ya dhahabu ..mmmh nyie ..au m mahesabu yangu sijamuelewa..
@KhadijaDija-ir2hq
@KhadijaDija-ir2hq 5 ай бұрын
Yasio kuhusu yasikusumbue
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 5 ай бұрын
Na kweli 😅😅😅​@@KhadijaDija-ir2hq
@charlesgafau778
@charlesgafau778 4 ай бұрын
Kwani unaaona kuna editing hapo punguza ujuaji au umetumwa😂😂😂 fatuma wewe
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 5 ай бұрын
1994 unamaliza 7 ,1996 unaanrza biashara na wakati huohuo ulifika form four , hapohapo uliolewa na miaka 13.duuu.kizunguzungu.
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 5 ай бұрын
Hajui kujieleeza kabisaa yaan mtihani sana
@batulialmass8914
@batulialmass8914 5 ай бұрын
Zamani watu walikuwa hawjali secondary
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 5 ай бұрын
Yani balaa 😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 5 ай бұрын
​@@batulialmass8914 kivipi sasa wakati amesema amemaliza form 4 ?
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kuwa mpole hao ndo wasanii wetu
@mjsaidkeya
@mjsaidkeya 5 ай бұрын
Siwezi kosa hii
@hadija_makange
@hadija_makange 5 ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@MamyHamso
@MamyHamso 5 ай бұрын
Nani kaona boxer ya salleh imetoboka😂😂😂😂😂😂😂
@pendombinga3584
@pendombinga3584 5 ай бұрын
Nimechaka sn jmn nchi ngumu hii mchawi bando leo salehe kapatikana😂😂
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 5 ай бұрын
Kama ameolewa na miaka 14 hiyo form four kamaliza na miaka mingap? Au me ndo sijaelewa
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 5 ай бұрын
Ila kweli na mm nimejiuliza hvhv
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 5 ай бұрын
Tumepigwa na kitu kizito hhhhhhh​@@KautharRamadhan-xv3gf
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 5 ай бұрын
Na mimi nilitaka kuuliza hilo mmmh wasanii waongo
@evelynsalila
@evelynsalila 5 ай бұрын
​@@joslinchuwa1298hata yeye ni mwanadamu jamani labda ulimi umeteleza
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 5 ай бұрын
Huyu kaishia la7 eti fom4 halafu kazaa ana miaka14🤣🤣🤣🤣🤣
@SaidMohamed-k9h
@SaidMohamed-k9h 5 ай бұрын
Hv kwanini interview zako lazima ziwe usiku
@Mzuri_002
@Mzuri_002 5 ай бұрын
Ndio ratiba yakipindi jumatatu-Ijumaa samoja kamili ucku kinaanza
@Byokecandyrange
@Byokecandyrange 5 ай бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 93 МЛН
ROSÉ & Bruno Mars - APT. (Official Music Video)
02:54
ROSÉ
Рет қаралды 65 МЛН
NJIA RAHISI YA KUPIKA VIAZI KARAI
2:47
Rasheedah’s Meal
Рет қаралды 8 М.
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37