DEREVA MWANAMKE WA BASI ALIYEPATA AJALI NA KUKATIKA MKONO ASIMULIA ALICHOKIONA "NILIZIMA LISILIPUKE"

  Рет қаралды 480,389

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Пікірлер: 916
@ngubwene
@ngubwene 2 жыл бұрын
Dada Halima ... Pole kwa yote nimefurahi kwa jinsi ulivyo na Imani na Mwenyezi Mungu. Na Mungu akuinue zaidi ktk viwango vya juu
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Aamin kwasote
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Amen
@upendolema9809
@upendolema9809 2 жыл бұрын
Jamaaaani 🙆.......Mungu akutie nguvu,maisha yaendelee
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Pole sana dada yetu, Mungu ni mwema atakupa uponyaji wa haraka.
@jimmyjigar1468
@jimmyjigar1468 2 жыл бұрын
Pole sana Dada kila jambo linamakusudi yake.namuomba Rais wetu mama Samia amteuwe awe mbuge akasimamie haki za madeleva huyu anajua mengi kuhusu madeleva.mama Samia 🔥
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 жыл бұрын
Pole sana Wajina wangu Utapoa kwa Uwezo wake Allah wewe ni mwanamje Jasiri Allah Akitie nguvu zaidi
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 жыл бұрын
Asante Sana boss wa halima kwa ushirikiano mzuri na dereva wetu kipenzi..!.🙏.. Asante kwa serikali yangu pia kakika hamlali ...👍🙏🙏
@salummpango5250
@salummpango5250 Жыл бұрын
Mungu ni mwema akuponye na urudi kwenye mapambano!
@edwardouma1630
@edwardouma1630 2 жыл бұрын
Am a Tanzanian form Nairobi Kenya wishing my sister Halima quickly recovery and may God be with him all ways 🙏
@silverymugendimunyera5717
@silverymugendimunyera5717 2 жыл бұрын
Huyu dada ana shukrani sana Mwenyezi Mungu amsaidie
@pudensiamhina6478
@pudensiamhina6478 2 жыл бұрын
Polisi Ruvuma mmeniliza kwa furaha sana, asanteni sana, Mungu awainue zaidi. Nimewapenda kutokana na maelezo ya huyu dada.
@delekalxon7221
@delekalxon7221 2 жыл бұрын
Am sure it wasn’t easy to disclose that you loose your arm I can only imagine how it feels when you look back yr past pictures.your a phenomenal woman we pray for you 🙏🙏🙏
@christianmkude1746
@christianmkude1746 2 жыл бұрын
Pole sana dada halima
@mwanashaathman1694
@mwanashaathman1694 2 жыл бұрын
Mashaallah,Dada halima May Allah give you the strength as you pass this test from Him.Remember Him always .Ya Shaffih greetings from Mombasa Binti Shee Mbwana
@maulidikhamisi9745
@maulidikhamisi9745 2 жыл бұрын
hi
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Pole Saana Mpambanaji Wetu, M/Mungu Akufanyie Wepesi Inshallah 🙏🙏🙏
@mkilimamoses2311
@mkilimamoses2311 2 жыл бұрын
"Mtu ukishazaliwa kitabu chako kimeshaandikwa".Ni kauli yenye ujasiri nakujiamini toka kwa dada Halima.pole sana na Mungu akutie nguvu kwani mlango mmoja unapofungwa ujue wa pili unafunguka.Maisha yataenda tu dada yangu.
@ahmedsoudathman5088
@ahmedsoudathman5088 2 жыл бұрын
ماشاء الله قدر وفعل Mungu atakupa njia ilo bora zaidi
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Asalam Alaykum ! Mdogo wangu Dua zetu ziwe dawa kwako na wengine Amin Amin , Nawatakia Shifa ya haraka Amin Amin
@pudensiamhina6478
@pudensiamhina6478 2 жыл бұрын
Kumbe wa Masasi mwenzangu, pole sana sana na hongera kwa ujasiri wako uliojaliwa na Mungu. Nakutakia uponyaji wa haraka kutoka kwa Mungu.
@mariangoi1913
@mariangoi1913 2 жыл бұрын
Pole sana madame,hakika wewe ni dereva makini mungu akuponye urudi kwenye kazi yako
@restitutorcharles4253
@restitutorcharles4253 2 жыл бұрын
Nimejikuta 😭😭😭 jmn!Mungu wa mbinguni akutunze na akubariki dada pamoja na familia yako
@sweetie8861
@sweetie8861 2 жыл бұрын
Inshallah utapoa my dear,nakupenda mnoooo
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Get well soon mamy kumbe wewe Yanga hongera sana tuko pamoja team ya wananchi
@ummimohamed2148
@ummimohamed2148 Жыл бұрын
Mashallah mashallah kwa kua na imani sana na Allah na nimefurahi kuona umeshika kamba ya Allah hakuna kukata tamaa nakuombea dua uzidi kua na afya njema upone na urudi km zaman na ufurahie maisha km. Mwanzo ameen pole sana sana
@fauziakarama8581
@fauziakarama8581 2 жыл бұрын
Subhannallah 🙆‍♀️, Allah akulinde kwa kila hali amiin,
@SamaBabySamaBaby
@SamaBabySamaBaby 2 жыл бұрын
Nakupenda mama angu😢😢 sijawah comment KZbin leo acha tu niandike ♥️♥️umenigusa sanaaa na umeniudhunisha nanimejifunza vingi momy 😘🥰🥰 wew ni shujaaa💪💪💪💪🔥 utaki kuruhusu uzuni nakupenda 😘😘mungu akuonyeshee njiaaa sahihi kila jambo lina sababu I love u ♥️♥️♥️
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Sio udhuni ni uzuni
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
@@mcback4384 Na Ww Pia Umeacha Herufi Moja Ni Huzuni Co Uzuni
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Asalam Alaykum ! Pole sana Dadangu na wengine wote ! Yote ni kushukuru Alahamdulilah
@maxmilian2511
@maxmilian2511 2 жыл бұрын
Mungu kaufunga mlango mmoja akufungulie milango mia moja yenye kheri na wewe.Pole sana dada halima! Ila SUPER FEO COMPANY you are the best kwa mnavyompa matumaini huyu dada! Mungu awalipe kwa hilo!!👍
@salhaayubu6027
@salhaayubu6027 2 жыл бұрын
Mashaallah dada umepambana siku zote napenda kaz zako unavojituma Allah akufanyie wepes inshaallah utakuwa sawa usjal
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu. Nimesikitishwa sana na ajali yako. Nikiangalia unavyoongea najifunza mambo mengi sana. Wewe ni jasiri, wewe ni Shujaa, wewe ni mshindi,. Umekatika mkono ukiwa unapambana. Usife moyo, kaza mwendo songa mbele dada yangu..
@amanisaid9863
@amanisaid9863 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu Mungu mkubwa utapona,,naakuombea sanaaa
@Mussajohn99
@Mussajohn99 2 жыл бұрын
Amen
@selemanimrope903
@selemanimrope903 2 жыл бұрын
Pole sana Dada Mola akufanyie wepesi kwa tatizo lililokupata ama kwa hakika wewe ni jasiri na umemuweka Mungu mbele kwa kila jambo ni mfano wa kuigwa
@barakayindi5170
@barakayindi5170 2 жыл бұрын
Super woman
@ayshamadege7981
@ayshamadege7981 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukupa imani Inshaallah utapona na utatimiza kila jambo lako... tunakuombea mpambanaji mwenzetu 🙏❤❤❤
@chahenza
@chahenza Жыл бұрын
Pole Sana dada Halima. Niliona interview yako Cloud FM. Wewe ni jasiri... Ole wako ndoto yako ya rubani imeangamia... Majaliwa kwa maisha
@uuuuiiii3917
@uuuuiiii3917 2 жыл бұрын
Allah atakufanyiwa wepesi insha'Allah nakazin utarudi keamauezi yamungu nahyo boss wako Allah atamlipia kwakweli insha'Allah pole sana dada🙏🇴🇲
@naelttz1974
@naelttz1974 2 жыл бұрын
I wish angepata teuzi chap. Ni mpambanaji sana huyu mama 💪💪
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 2 жыл бұрын
Nimependa sana the way alivyo huyu dada. Mungu akusaidie sana
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 жыл бұрын
nimeumia kama mim dah dada yangu mpenzi mungu akutie nguvu nakupenda
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 жыл бұрын
pole sana mpenzi
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 жыл бұрын
usijikatie tamaa mungu anakusudi kubwa dada kipenzi
@jumaabdallah6061
@jumaabdallah6061 2 жыл бұрын
Pole sana Allah atakufanyia wepec utapona tu
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
Mbali na hivyo ni pisi KALI sana!
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Polisi wa Matemanga shukran nyingi kwenu kwa tukio la Halima Dereva. BY Amina Ngindika Matemanga.👍👍❤❤
@sia8418
@sia8418 2 жыл бұрын
Despite na yote huu moyo wa kujali wengine ulionao🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@popiya2368
@popiya2368 2 жыл бұрын
Pole sana habibty Allah akufanyie wepesi
@jaymadeleka4670
@jaymadeleka4670 2 жыл бұрын
Changamoto yoyote inayokupata kwenye maisha, kama haiondoi uhai wako, basi itakufanya uwe imara zaidi. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone kabisa na akufungulie kheri zaidi upate mazuri makubwa zaidi kwako na familia yako. 🙏🏾
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 жыл бұрын
Very courageous super woman .Allah akuhifadhi akujaze subra
@mariamuomari6054
@mariamuomari6054 2 жыл бұрын
Nimejikuta nabubujikwa na machozi ,nikakaribu kuvaa viatu vyake aisee mungu ampe mwanga
@laylapagae6324
@laylapagae6324 2 жыл бұрын
Amiin
@merinaenos6710
@merinaenos6710 2 жыл бұрын
Ameen
@happinesspaschal4037
@happinesspaschal4037 2 жыл бұрын
Allah akupe siha njema inshallah pole kwa mtihani uliokukuta mwwnyezi Mungu akupe furaha siku zote wala asikupungukie
@mohammedalishamis9405
@mohammedalishamis9405 2 жыл бұрын
Pole Sana In shaa Allah Mola atakufanyia wepesii katika kipindi hiki cha mtihani
@kazijajuma7266
@kazijajuma7266 2 жыл бұрын
Alhamdulillah alaakuli Hali hii bi kazi ya Mungu kwani alishasema kua halimsibu mja Ila like alilolikadiria yeye namuomba Allah akuzidishie subra akufanyie wepesi na upoe haraka nakupenda kwa ajili ya Allah amiin inshaallah
@shanii01
@shanii01 2 жыл бұрын
Pole sana dada yetu Allah akufanyei sahali. Pongezi sana kwa kazi yako. Your really superwoman. Salam kutoka kwenya
@japhetjoachim9925
@japhetjoachim9925 2 жыл бұрын
Madam madam...get well soon i wish I could see you....one day....Mungu akujaalie afya njema....I real love you....am inspired.......tusikate tamaa
@rashidramadhan7708
@rashidramadhan7708 2 жыл бұрын
Pole sana dada yetu Mungu wetu huwa anajibu maombi yetu usichoke ama tusichoke kumuomba mana yeye ndiye
@saidali8338
@saidali8338 2 жыл бұрын
Pole sana mrembo MWENYEZI MUNGU akubariki sana na upone haraka,
@mofatv5565
@mofatv5565 2 жыл бұрын
Oh jamani pole dada Mungu akufanyie wepesi usijali kila jaribu lina mlango wa kutokea ipo njia yenye faraja kwako oh jamani😔😔❤❤
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 жыл бұрын
Duh pole sana dadaa,na kwa hakika sisi kama kamati ya watu wenye hamasa juu ya maisha ya wapambanaji,tunakuomba usihofu tuko pamoja nawe,na nimeskia apo kua uko na single natamani sana kama utanipa nafasi hiyo nitalea ww na watoto wote
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 2 жыл бұрын
Duuuh Pole Sana Auntie Mungu ameziona jitihada zako Yeye ndo anajua atakuweka wap
@estermshabaha6920
@estermshabaha6920 Жыл бұрын
Halima nakupenda dereva mwenzio hapa Mungu atunusuru na njia pole mpendwa wangu Mimi gloria
@mzazi1467
@mzazi1467 2 жыл бұрын
Ayo uko vizuri saana kucover story Safi saana asee....
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Pole Sana Dada angu pia hongera kwa ujasili na Mungu akupe matumaini zaidi Imani yako ni kubwa sana
@lilianalmas5911
@lilianalmas5911 2 жыл бұрын
Pole sana malikia wa nguvu mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone haraka inshallah 🙏🙏
@khamisyahya7703
@khamisyahya7703 2 жыл бұрын
Pole Sana Dada'angu Pole Sana Suka mwenzangu ila nimependa Sana kwa kuyapokea matokeo kwa kujiamini zaidi...... ALLAH atakufakufanyia wepesi katika hili, Insha Allah 🙏.
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
pole sana sister Halima ni juzi 2 ulikuwa cloudmedia niliangalia intaves yote yako lkn sema Alhamdulillah kwa kila jambo ALLAH yu pamoja nawe AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 2 жыл бұрын
Pole sana Big mama, champion lady ... You'll triumph as always. I like the optimistic mind she got. She's golden 💪🏾
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 жыл бұрын
We yet you’re
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 жыл бұрын
U
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 жыл бұрын
Uu
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 жыл бұрын
Yu
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 жыл бұрын
Yuy
@seemanishekiao
@seemanishekiao 2 жыл бұрын
Poleni sana. Allah akupeni Subra na ajalie mpone haraka. Ameen
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu mzuri Mungu ni mwema pamoja na yote lakini bado utabaki kuwa mpambanaji
@mchusna6468
@mchusna6468 2 жыл бұрын
Pole Sana shosti nimekumbuka siku ile ulipowatia moyo wanawake wafanye kazi dahalima pole my Sana tupo Pamoja😘
@abubakarimhina400
@abubakarimhina400 2 жыл бұрын
Pole sana dada, kiukweli nimeumia sana kwa ajali ulio pata licha ya yote M/mungu ni mwema nakuombea kheri mungu akupe uzima urudi kwenye kazi zako.....nikiangalia crip zako za tik tok siamini kilicho tokea....Pole sana C*
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Sasa ataweza kuendesha gari
@abubakarimhina400
@abubakarimhina400 2 жыл бұрын
@@maloomaalmnsj5111 Hata weza tena kuendesha gari, mana ule mkono bandia upo tuu kama fashion.
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
@@abubakarimhina400 aha nimekuelewa brother
@zenamanyota2618
@zenamanyota2618 2 жыл бұрын
Pole Sana dada halima tunakuomnea duwaaa mwenyezi mungu akifanyie wepesi mm
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 жыл бұрын
Masikini ana furaha wala huzuni hana Allah akupe furaha daima yaani inaonekana unamuabudu mungu mnoo
@teychriss3248
@teychriss3248 2 жыл бұрын
Anaumia Moyoni!!
@esthermliga4875
@esthermliga4875 2 жыл бұрын
Dada hongera san kwa ujasiri huo, umeumia lakin bado unapambana kuokoa roho za watu!! Mungu azid kukutetea ktk matibabu
@user-pn6bj7uz2p
@user-pn6bj7uz2p 8 ай бұрын
Poresana dadaau siku ambayo umepata hajari turipishana mbugan seluu nikiwa nimepaki gari urinipigia honi mwenyezimungu akurinde❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
Yohana 16: 23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. 24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. *MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*
@aronpaul2331
@aronpaul2331 Жыл бұрын
Ameeen kwa jina la yesuuu 🙏🙏🙏
@denismabubu291
@denismabubu291 2 жыл бұрын
Pole sana dada mimi nimeumia sana mungu nimwema tunakuombea upone haraka
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
MMungu atakufanyia wepesi pole sana halima napenda ulivojotupa kwa allah atakufungulia rizki kwa wepesi inshaallah
@mwanahamisimwasema5607
@mwanahamisimwasema5607 Жыл бұрын
Pole San dear 😘 mungu mkubwa atazidi kukusimamia kwa Kila atuwa unayo pitia 🙏
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
Pole sana madam Halima mwenyezi MUNGU ni mkubwa na hajawahi kushindwa
@marryg4235
@marryg4235 2 жыл бұрын
Pole Dada ,mungu akuponye kwa haraka,
@anterianmohamed3213
@anterianmohamed3213 2 жыл бұрын
Pole sana mama ALLAH akutie wepesi upone INSHA ALLAH
@alexmatt9504
@alexmatt9504 2 жыл бұрын
Dada pole sana kwa huo mkasa,tumuombe Mwenyezi Mungu akusimamie ufanikiwe upone vizuri na uendelee na maisha.
@tusajigwemathias9185
@tusajigwemathias9185 2 жыл бұрын
Pole kipenzi pole dada angu Mungu alieruhusu haya ana sababu na wewe! Mungu ni mkubwa mkubwa sana
@aminaabdallahisa6827
@aminaabdallahisa6827 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kikubwa Allah azidi kumjaalia rehema zake
@fatmaabdi8813
@fatmaabdi8813 2 жыл бұрын
Pole sana Allah akujalie upone haraka❤️
@stelamwakatulile2455
@stelamwakatulile2455 2 жыл бұрын
Pole kipenzi changu mungu akufanyie wepesi na wote mlio pata majelaa
@andersonmichael2399
@andersonmichael2399 2 жыл бұрын
Pole sana dada. Mungu ayasimamie maisha yako.
@thadeynyenza4948
@thadeynyenza4948 2 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa kuliko changamoto unazopitia! Bado Mungu yuko na wewe! Imani yako itakutunza.
@harymo-by8gh
@harymo-by8gh 2 жыл бұрын
pole sana mama mpambanaji mungu akusaidie upone haraka 👏👏👏
@raziaidd2392
@raziaidd2392 2 жыл бұрын
Pole Sana dadangu kwa kweli nikushukuru mungu Alhamdulilah maana ndo alivopanga.Allah akupe shuffah ya haraka in shaa Allah
@allanuslwena8585
@allanuslwena8585 2 жыл бұрын
Mungu awe nawe daima,uweze kupona na kutimiza ndoto zako. Pole sana.
@rogerioathumani9084
@rogerioathumani9084 2 жыл бұрын
Mungu akujalie inshallah dada angu wewe nishujaa mkubwa sana unafaa kuwa malikia wanguvu
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 жыл бұрын
Namsifu kwa ujasiri wake wa kukatika mkono muda ule ule akapata akili ya kuzima gari ili isilipuke,big up sana mama nna imani mazuri mbele yanakuja zaid kwako,huo ni mtihani tu kutoka kwa ALLAH uliandikwa kabla hujazaliwa.
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 жыл бұрын
Kumbe alizima gari masikini hodari Allah akutangulie dada love Allah ampe kila lenye heri
@shamiraabdallah3158
@shamiraabdallah3158 2 жыл бұрын
Pole sana nimeumia sana
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
AMIIIN
@atcakalinga4684
@atcakalinga4684 2 жыл бұрын
Dada halima anaiman sana nimempenda bure
@nancyg8664
@nancyg8664 2 жыл бұрын
Yan dah
@halimatego9495
@halimatego9495 2 жыл бұрын
Pole sana wajina mungu akufanyie wepesi upone haraka ulemavu si kushindwa
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Pole sana dada. Mola mkubwa utapona ishallah🙏
@kagokapuruka4873
@kagokapuruka4873 2 жыл бұрын
Pole sana mwananche mungu akupe moyo mkuu nimajaributu yatapita utaendelea kufanya kaz zako
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
Pole sana dada mungu atakuponya tu kwa imani na majeruhi wote wapone haraka
@kuluthumujarafi1100
@kuluthumujarafi1100 2 жыл бұрын
Pole Sana mungu atakujaalia neema nyingine ♥️♥️
@bilo1106
@bilo1106 2 жыл бұрын
Nimefurahi sana dda kwa iman kubwa kumueka mbele Allah...nakupenda sana na pole sana..mkenya kutoka saudia..
@hamiduhamidu5974
@hamiduhamidu5974 2 жыл бұрын
Usihofu wala usihuzunike mungu yupo pamoja na wewe 😭😭 palipo na uzito insha'Allah Allah ata weka wepes mara nyingi zaidi🙏 wewe ni shujaa 💪
@omaryngitu2443
@omaryngitu2443 2 жыл бұрын
Pole sana,nilipata kukuona ukihojiwa clouds fm miezi michache iliyopita,kilikuwa kipindi kizuri sana,wewe ni mfano wa kuigwa
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Jamani pole sana dada hujafa hujaumbika maskin umebaki na mkono mmoja najiskia vibaya sana kuhusu hili tumshukuru mungu kwakila jambo
@fatmabahero3971
@fatmabahero3971 2 жыл бұрын
Pole ndg YANGU mungu ATAKUPA wepesi na kuombea upone haraka
@jacob9benny
@jacob9benny 2 жыл бұрын
ooohh...!!! jinsi moyo unavyofeel juu yako maneno hayatosh kueleza. mwenyezi muweza na mpanga wa yote aendelee kubaki naww dada etu kipenz. tnakupenda dada halima.
@mariamhamad4171
@mariamhamad4171 2 жыл бұрын
Polesana dadayangu Allah atakupa shifaa utapona ,ila badomaarifa nimengi unaweza kuwekewa mkonowa bandia nautaendelea nashuulizako za utaftajirizqi ,inaskitisha lakini yoteyamungu mshkurumungu kwakilajambo
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 2 жыл бұрын
Pole,daima mungu hakosei
@rechaelvenance6351
@rechaelvenance6351 2 жыл бұрын
Pole sana dada Ila mwenyezi Mungu ni mwema
@damianmakala2913
@damianmakala2913 2 жыл бұрын
Pole Sana dada , MUNGU ni mwema
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu. Wewe ni mwanamke jasiri na mfano wa kuigwa.
@judithmkate2882
@judithmkate2882 2 жыл бұрын
Polesan dahalima Mteja Wangu wadagaa we jasir sana nakupenda bure
@ziadakisanga1011
@ziadakisanga1011 2 жыл бұрын
Pole sana Allah akupe shifaa
@innocentmsechu8438
@innocentmsechu8438 2 жыл бұрын
Pole sana dada .. Mungu atakusidia tunamuomba sana naamini inawezekana hata automat ikiwezekana bosi wako atakuangalia urudi barabarani ..Amina
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Wishing her a very quickly recovering.🙏🙏
@salhajuma2250
@salhajuma2250 2 жыл бұрын
Allah azid kukupa subra dada yetu polee saana umejua kuniumiza 😭
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Жыл бұрын
Pole sana ccta Mungu akupe moyo wa uvumilivu
@applemellody4223
@applemellody4223 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu mungu atayasimamia maisha yako.
@kochaa6096
@kochaa6096 2 жыл бұрын
Pole sana 💜💜💜
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 61 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 403 М.
FULL INTERVIEW: MTOTO GUMZO ANTHONY KAONGEA TUSIYOYAJUA
16:09
Millard Ayo
Рет қаралды 8 МЛН
KISA CHA DEREVA LORY,ALIVYOKUTANA NA FREE MASON USIKU WA MANANE SAFARI ZA KONGO
38:52
SUPER WOMAN WETU NI MWANAMAMA HALIMA DEREVA WA BASI LA SELOUS EXPRESS
4:18
Tanzania buses Daily
Рет қаралды 59 М.