SAKATA LA SUKARI, WAZALISHAJI WAVUNJA UKIMYA KUTOTENDEWA HAKI

  Рет қаралды 2,113

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

8 күн бұрын

Umoja wa Wazalishaji wa sukari nchini (TSPA) umekanusha madai ya kuficha sukari ili kuongeza bei kwa faida yao binafsi.
Wamesema hawana nia ya kuwa waagizaji kwa sababu lengo lao ni kuzalisha zaidi, huku wakilalamika kwamba wametuhumiwa na kuhukumiwa bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.
Wamesema wao hawana nia ya kuwa waagizaji wa sukari, kwa sababu lengo la biashara yao ni kuzalisha zaidi.
Akizungumza kwa niaba ya wazalishaji wa sukari jana Jumatatu, Julai 1, 2024, mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Wazalishaji wa Sukari nchini, Ammi Mpungwe, amesema tangu utabiri wa hali ya hewa ulipotangazwa na kuonesha kwamba kutakuwa na mvua za El Nino, wazalishaji waliwasiliana na mamlaka za Serikali kuzitaarifu kwamba Desemba mwaka jana kungekuwa na tatizo.

Пікірлер: 10
@isaachayes9783
@isaachayes9783 7 күн бұрын
Curtaiĺ ipo na ninyi mnafanya 'silent curtail' msitudanganye, ujanja huu mshaufanya mara nyingi ndio maana hakuna stability kwenye bei ya sukari.
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 7 күн бұрын
Ukipitia comment unaona watanzania ni mazombi , hii ingekuwa inahusu mambo ya Mpira ungeona comment kama elf 20
@geofreymranda9743
@geofreymranda9743 7 күн бұрын
Tafsuri ya haraka, huu ni ujumbe kwa bashe kuwa hawamtaki na hawataki kushilikina nae katika sekta ya kilimo kwa wakulima wa miiwa na wazaliahaji wa sukali🤔
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 7 күн бұрын
Acheni kutuona mazuzu! Badala ya kuja na majibu ya hatima ya tatizo hili kwa wananchi mmeendeleza uchawa! GEN Z wapo wanaangalia.
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 7 күн бұрын
Tanzania ya vibaka hii
@senixdanethox
@senixdanethox 7 күн бұрын
Kuna shida hadi kwenye kamati za bunge kuna kauli mzee kaongea mpina anajambo lake
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 7 күн бұрын
Serikali ya vibaka hii
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 7 күн бұрын
Kiko wapi wabunge mliokuwa mnamtetea Hussein Bashe mlaaniwe ninyi wakina msukuma na gengeni lenu la kupinga wabunge wazalindo mlaaniwe
@isaachayes9783
@isaachayes9783 7 күн бұрын
We ndio ulaaniwe maana ni mbumbumbu, unaamini maneno yao hawa bila kujiridhisha wayasemayo ni kweli au la, je kuna curtail au la,
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 7 күн бұрын
Tatizo kwa nini kila mwaka linajirudia? Mimi binafsi naona waache uhuru wa kuagiza ili kuleta unafuu kwa mlaji suala kubwa walipe kodi au waongeze viwanda vya sukari. Hujuma za kila mwaka na kupanda bei tulisha zoe sbb zipo zipo kila mara.
Bagamoyo Sugar || Kiwanda cha sukari cha Said Salim Bakhresa
18:31
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 8 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37