MISAADA YA WAZUNGU CHANZO CHA USHOGA TANZANIA | MBUNGE AFICHUA NJIA WANAZOTUMIA

  Рет қаралды 6,765

MADORA TV

MADORA TV

Күн бұрын

Mbunge Wa Jimbo la Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara leo Mei 17, 2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato na2 matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo Katika Mchango wake Mhe. Mwita Waitara amegusia suala la ushoga ambapo amehoji kwa nini Waziri Dkt. Doroth Gwajima katika Hotuba yake wakati anawasilisha hajazungumzia suala hilo.
Mhe. Waitara amesema suala hilo sasa ni changamoto na yeye yupo tayari kumshughulikia mtu yoyote ambaye anafanya vitendo vya ulawiti.
“Hatutaki Ushoga Tanzania, Wazungu waelewe kama ni misaada wanaleta wakome waache kabisa, Tusichekeane kama ni misaada Kateni, Hii ni vita kama ilivyokuwa vita ya ukombozi wa bara la Afrika” - Mbunge Waitara
#youtubeshorts

Пікірлер: 26
@lukiogospelmusic3252
@lukiogospelmusic3252 4 ай бұрын
Barikiwa sana Mh Mwita. Ushoga ni ushetani wakupigwa na kila mtu mwenye hofu ya Mungu ndani yake. Na viongozi wetu msipepese macho kwenye hili mmepewa dhamana na Mungu tumieni nafasi zenu kuupinga na kuulaani ushoga kwenye taifa letu la Tanzania.
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 3 ай бұрын
Maashallah hongera sn mbunge msimamo uo uo tunakuelewa sana misaada ya wazungu tuikomeshe
@khamisikhamisi2501
@khamisikhamisi2501 2 ай бұрын
Safi sana waitara mungu akutie nguvu hatutaki ushoga
@JamilaMtundu
@JamilaMtundu 2 ай бұрын
Mungu akupe ujasirii kulisemea hili
@ahangfaith1180
@ahangfaith1180 4 ай бұрын
Asnt mbunge hongera kwakweli serekal yetu inatuuza wawo kwaajili ya maslah yao
@ZacariasRamadanMussa
@ZacariasRamadanMussa 3 ай бұрын
Waziri Gwajima ajiuzuru hatufai kabisa yeye ndio chanzo kikubwa cha ushoga Tz anataka hadi WA latiwe watoto zake ndio achukuwe hatua ujinga gani ktk Taifa letu,
@JamilaMtundu
@JamilaMtundu 2 ай бұрын
Hakika tusimame watu wA mungu tuombe nakuombolezaa
@MabulaNdilanha
@MabulaNdilanha 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa mheshimiwa
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 3 ай бұрын
safi sana Mwita tunataka watu kama wewe
@avitjosepht498
@avitjosepht498 3 ай бұрын
Hii hoja ni nyeti sana, gov intervetion urgently needed
@kellysmith4095
@kellysmith4095 4 ай бұрын
Ushonga si swala,ambayo inafa kuachiliwa,imefanya mathara.ya kijamii ilipotoka,amerikani,hivyo wazidi kuupinga
@surylinetv4677
@surylinetv4677 4 ай бұрын
Nachukia sana ushoga,, Tanzania tukatae ushoga hadharani
@mohamediabady
@mohamediabady 2 ай бұрын
Uyu ndio mbunge wa kweli ,
@LukazakayaMlaiza-zo1wi
@LukazakayaMlaiza-zo1wi 3 ай бұрын
Mimi sina muda na mashoga,mtu yeyote akimrepu mtoto wangu hajalishi mwalimu,dakitari,mbungu,nitamuwa
@SileIsmail
@SileIsmail 2 ай бұрын
Hata kama serikali haitaki kutunga sheria kali kwa kuwanyonga wanaolawiti watoto sisi tutachukua sheria mkononi ya kuwaua wote wanaofanya hivyo
@victorphilipo
@victorphilipo 4 ай бұрын
Achani kutudanganya huwezi kuwa omba omba usitimize matakwa. Yao reo mnatudanganya hao hao ndo munapiga makofi to umechoka mnakula hera tu
@SalihaMohamed-b2f
@SalihaMohamed-b2f 3 ай бұрын
❤❤🎉
@OmaryBarua
@OmaryBarua 3 ай бұрын
Tamaa ya viongozi wetu kutaka utajili wa haraka haraka ndiyo chanzo cha kupewa mikopo kwa masharti ya ushoga huku familia zao zikilindwa kwa pesa za wananchi katalieni hilo kwa vitendo ingawaje machawa wao watalinda kauli hizo kwa nguvu
@imhotepheru436
@imhotepheru436 2 ай бұрын
Pan Africany or Perish,, Samia ameuza Tanzania 🤔🤔🤔
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 ай бұрын
ALIPEWA FEDHA HUYO WAZIRI
@IbrahimuKapelula
@IbrahimuKapelula 3 ай бұрын
Wewe ndo mbunge pekee unasema point wengine ndo haohao,
@FellaMbogela
@FellaMbogela Ай бұрын
USHOGA UNAPASWA UKOMESHWA KISHERIA SIO KUONGEA2 SERIKALI ISILIFUMBIE MACHO
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 3 ай бұрын
Mwita uko ndo kujitambua
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 2 ай бұрын
Feliyer national lmbarasing leadership ot exelence president Samia sluu Hasan lmbarasing such move but waitara you have been cruch opposition complain saport Samia sluu Hasan leadership and say lf you don't saport Samia sluu Hasan leadership gat out from palament this is rizalt ashem on our nation vary lmbarasing difend green uniform now you have been harvest rizalt of difend green uniform in the palament house
@salimualmasi7944
@salimualmasi7944 4 ай бұрын
Hapo kila Mauwa yako.Serikali Haitaki Kukanusha Nakula nitakupigia kwa Muda
@billgussy6099
@billgussy6099 4 ай бұрын
Achen ujinga hao wabunge wanao lawiti wanatumwa na wazungu? Humo humo bungeni kuna mashoga na wenyewe wame fundishwa na wazungu? Mwaka jana kuna padri amelawiti mbona hamkupiga kelele alipo achiwa bila kushtakiwa? Jinga kabisa
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 107 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 115 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 58 МЛН
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57