Рет қаралды 6,765
Mbunge Wa Jimbo la Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara leo Mei 17, 2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato na2 matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo Katika Mchango wake Mhe. Mwita Waitara amegusia suala la ushoga ambapo amehoji kwa nini Waziri Dkt. Doroth Gwajima katika Hotuba yake wakati anawasilisha hajazungumzia suala hilo.
Mhe. Waitara amesema suala hilo sasa ni changamoto na yeye yupo tayari kumshughulikia mtu yoyote ambaye anafanya vitendo vya ulawiti.
“Hatutaki Ushoga Tanzania, Wazungu waelewe kama ni misaada wanaleta wakome waache kabisa, Tusichekeane kama ni misaada Kateni, Hii ni vita kama ilivyokuwa vita ya ukombozi wa bara la Afrika” - Mbunge Waitara
#youtubeshorts