MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10

  Рет қаралды 26,115

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 95
@pendokissatu937
@pendokissatu937 Ай бұрын
INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
@LovelyFishingRod-ij7mk
@LovelyFishingRod-ij7mk Ай бұрын
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
@HusnaMtitiko-yt4ru
@HusnaMtitiko-yt4ru Ай бұрын
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
@chikujuma18
@chikujuma18 Ай бұрын
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
@seneu.2128
@seneu.2128 Ай бұрын
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Ай бұрын
Kabisaaaa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Ай бұрын
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
@milluabdull
@milluabdull 21 күн бұрын
Wajasiliamali oyeeeee umenipa moyo sana na mm nizidi kupambana ❤
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 Ай бұрын
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
@husnasalim9614
@husnasalim9614 Ай бұрын
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
@WilliamIbrahim-dt5nb
@WilliamIbrahim-dt5nb Ай бұрын
Hongera sana
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
Karanga zina lipa sana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
@knowledgetv5594
@knowledgetv5594 Ай бұрын
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
@candyismail1256
@candyismail1256 Ай бұрын
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 Ай бұрын
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 Ай бұрын
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@focus140
@focus140 Ай бұрын
Kabisa
@Gersah
@Gersah Ай бұрын
Amiin
@user-sj5le4sf7i
@user-sj5le4sf7i Ай бұрын
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Ай бұрын
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
@FghgRyy
@FghgRyy Ай бұрын
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
@michaelmakaranga5877
@michaelmakaranga5877 21 күн бұрын
Naomba kupata mawasiliano ya huyu mama. Nataka niwekeze, tufanye partnership iwe biashara kubwa
@omanmct135
@omanmct135 Ай бұрын
Vizuri sana dada❤❤❤
@yusramichael585
@yusramichael585 Ай бұрын
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
@AsiaSalim-e4d
@AsiaSalim-e4d Ай бұрын
Masha ALLAH hongera sana ❤
@user-nc9il2fj1i
@user-nc9il2fj1i Ай бұрын
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
@magrethelikanah5110
@magrethelikanah5110 Ай бұрын
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
@SurprisedBanyanTree-wu1cg
@SurprisedBanyanTree-wu1cg Ай бұрын
Hongera sana dada
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 Ай бұрын
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
@EvarineMdaki
@EvarineMdaki Ай бұрын
Be blessed Bertha
@beatykrisam81
@beatykrisam81 Ай бұрын
Mungu nisaidie na mm
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Ай бұрын
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
@RajabuLesali
@RajabuLesali Ай бұрын
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
@pceodhc
@pceodhc Ай бұрын
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
@tidomilinga3750
@tidomilinga3750 Ай бұрын
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 Ай бұрын
Hongera Sana mpendwa wangu
@stonetown578
@stonetown578 Ай бұрын
Allah atazidi kukuongoza.
@annastaziaemmanuel8664
@annastaziaemmanuel8664 Ай бұрын
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
@NellyFrancis-nn3qb
@NellyFrancis-nn3qb Ай бұрын
Hongera
@user-sh5qs7br9s
@user-sh5qs7br9s 20 күн бұрын
Nataman ingekuwa na voice note 😢niongee😅 uongoh uooo
@Mlokoz_twangalatwz
@Mlokoz_twangalatwz Ай бұрын
Hongera sana dada mzuri
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
Hongera sana mom😢
@ayshunamir
@ayshunamir Ай бұрын
MashaAllah
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Mainshaallah
@devothaemanuel
@devothaemanuel Ай бұрын
Hongera Mama
@communicativegirls4433
@communicativegirls4433 Ай бұрын
Hii ni historia inayoleta nguvu.
@GabrielMwakasagule
@GabrielMwakasagule Ай бұрын
Hongera sana mama
@GRACENyanda-cn3pg
@GRACENyanda-cn3pg Ай бұрын
Kwakweli Mungu ni mwema
@user-hw7kz8rv2c
@user-hw7kz8rv2c Ай бұрын
Amen
@richardrichope3528
@richardrichope3528 Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-kb7zn8lm8m
@user-kb7zn8lm8m Ай бұрын
Inapendeza mama mjasiriamali
@NIKIZAGloria-l2k
@NIKIZAGloria-l2k Ай бұрын
Mfano wa kuiga
@FelisterNampoka
@FelisterNampoka Ай бұрын
Ongera dada
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 Ай бұрын
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
@ZawadMussa-sd1od
@ZawadMussa-sd1od Ай бұрын
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 Ай бұрын
AMIIN
@happykiwelu1451
@happykiwelu1451 Ай бұрын
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo Ай бұрын
🎉🎉❤
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Ай бұрын
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
@tidomilinga3750
@tidomilinga3750 Ай бұрын
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
@MyMercy84
@MyMercy84 Ай бұрын
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
@sekelamwasipaja-ue3zl
@sekelamwasipaja-ue3zl 10 күн бұрын
Hayajakukuta
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Basi. Sawa
@EshaMichael-zw7zi
@EshaMichael-zw7zi Ай бұрын
🙏
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Ай бұрын
💯
@vicentmapunda3146
@vicentmapunda3146 Ай бұрын
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b Ай бұрын
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
@MyMercy84
@MyMercy84 Ай бұрын
Wanaishiaga kujuta sana
@immadangote6001
@immadangote6001 Ай бұрын
Tumepigwa
@ziggertv3185
@ziggertv3185 Ай бұрын
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 Ай бұрын
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
@user-yd9ds1zs1i
@user-yd9ds1zs1i Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
@AshuraMbwana
@AshuraMbwana Ай бұрын
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 Ай бұрын
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@user-yd9ds1zs1i
@user-yd9ds1zs1i Ай бұрын
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
@privasara3971
@privasara3971 Ай бұрын
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@svt3
@svt3 Ай бұрын
​@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
@mwamvuamagongo8163
@mwamvuamagongo8163 Ай бұрын
Karanga hizihizi ??
@SaadaAlsheibani
@SaadaAlsheibani Ай бұрын
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Ай бұрын
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
@edishaa3108
@edishaa3108 Ай бұрын
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
@user-sc9fe7nk6y
@user-sc9fe7nk6y Ай бұрын
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@user-dy9fr2mi5n
@user-dy9fr2mi5n Ай бұрын
Naunga mkono
@tidomilinga3750
@tidomilinga3750 Ай бұрын
Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja
@meddixempire292
@meddixempire292 Ай бұрын
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
@estherdavid4133
@estherdavid4133 Ай бұрын
Hongera sana dada
KAZI NI KAZI | Msomi wa chuo kikuu aliyeamua kuuza matunda
24:29
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 34 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 11 МЛН
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,9 М.
UZUSHI WA WATOTO KUCHINJWA UMEINGIA KIJIWENONGWA
8:53
Geah Habibu
Рет қаралды 8 М.
MZUNGU KANIZALISHA KISHA KAKIMBIA KISA DAWA ZA KULEVYA NAJUTA SANA
35:17
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН