INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
@LovelyFishingRod-ij7mkАй бұрын
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
@HusnaMtitiko-yt4ruАй бұрын
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
@chikujuma18Ай бұрын
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
@seneu.2128Ай бұрын
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@rosemilingi7860Ай бұрын
Kabisaaaa
@shakilamasoud2983Ай бұрын
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
@milluabdull21 күн бұрын
Wajasiliamali oyeeeee umenipa moyo sana na mm nizidi kupambana ❤
@sir_ENOCKMACHAАй бұрын
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
@fidesbernard4835Ай бұрын
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
@husnasalim9614Ай бұрын
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
@WilliamIbrahim-dt5nbАй бұрын
Hongera sana
@Kabwela776Ай бұрын
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
@faudhiasalum7279Ай бұрын
Karanga zina lipa sana
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
@knowledgetv5594Ай бұрын
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
@candyismail1256Ай бұрын
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
@fatmamansour2764Ай бұрын
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
@gracekunambi7438Ай бұрын
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@focus140Ай бұрын
Kabisa
@GersahАй бұрын
Amiin
@user-sj5le4sf7iАй бұрын
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
@daudimichael7338Ай бұрын
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
@FghgRyyАй бұрын
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
@michaelmakaranga587721 күн бұрын
Naomba kupata mawasiliano ya huyu mama. Nataka niwekeze, tufanye partnership iwe biashara kubwa
@omanmct135Ай бұрын
Vizuri sana dada❤❤❤
@yusramichael585Ай бұрын
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
@AsiaSalim-e4dАй бұрын
Masha ALLAH hongera sana ❤
@user-nc9il2fj1iАй бұрын
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
@magrethelikanah5110Ай бұрын
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
@SurprisedBanyanTree-wu1cgАй бұрын
Hongera sana dada
@emmanueltillya2017Ай бұрын
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
@EvarineMdakiАй бұрын
Be blessed Bertha
@beatykrisam81Ай бұрын
Mungu nisaidie na mm
@zuwenasalim2794Ай бұрын
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
@RajabuLesaliАй бұрын
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
@pceodhcАй бұрын
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
@tidomilinga3750Ай бұрын
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
@tumainichanya3268Ай бұрын
Hongera Sana mpendwa wangu
@stonetown578Ай бұрын
Allah atazidi kukuongoza.
@annastaziaemmanuel8664Ай бұрын
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
@NellyFrancis-nn3qbАй бұрын
Hongera
@user-sh5qs7br9s20 күн бұрын
Nataman ingekuwa na voice note 😢niongee😅 uongoh uooo
@Mlokoz_twangalatwzАй бұрын
Hongera sana dada mzuri
@faudhiasalum7279Ай бұрын
Hongera sana mom😢
@ayshunamirАй бұрын
MashaAllah
@aboudasilver6541Ай бұрын
Mainshaallah
@devothaemanuelАй бұрын
Hongera Mama
@communicativegirls4433Ай бұрын
Hii ni historia inayoleta nguvu.
@GabrielMwakasaguleАй бұрын
Hongera sana mama
@GRACENyanda-cn3pgАй бұрын
Kwakweli Mungu ni mwema
@user-hw7kz8rv2cАй бұрын
Amen
@richardrichope3528Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-kb7zn8lm8mАй бұрын
Inapendeza mama mjasiriamali
@NIKIZAGloria-l2kАй бұрын
Mfano wa kuiga
@FelisterNampokaАй бұрын
Ongera dada
@maseleenaesleen8149Ай бұрын
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
@ZawadMussa-sd1odАй бұрын
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
@khadijamohamed3043Ай бұрын
AMIIN
@happykiwelu1451Ай бұрын
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
@godfreyally-ps3foАй бұрын
🎉🎉❤
@zainabumartin9520Ай бұрын
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
@tidomilinga3750Ай бұрын
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
@MyMercy84Ай бұрын
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
@sekelamwasipaja-ue3zl10 күн бұрын
Hayajakukuta
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Basi. Sawa
@EshaMichael-zw7ziАй бұрын
🙏
@khamismtoma4902Ай бұрын
💯
@vicentmapunda3146Ай бұрын
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
@user-ur8cq1ye3bАй бұрын
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
@MyMercy84Ай бұрын
Wanaishiaga kujuta sana
@immadangote6001Ай бұрын
Tumepigwa
@ziggertv3185Ай бұрын
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
@maseleenaesleen8149Ай бұрын
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
@user-yd9ds1zs1iАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
@AshuraMbwanaАй бұрын
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
@mariamdullazy8166Ай бұрын
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@user-yd9ds1zs1iАй бұрын
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
@privasara3971Ай бұрын
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@svt3Ай бұрын
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
@mwamvuamagongo8163Ай бұрын
Karanga hizihizi ??
@SaadaAlsheibaniАй бұрын
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
@dicksonkilupa2258Ай бұрын
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
@edishaa3108Ай бұрын
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
@user-sc9fe7nk6yАй бұрын
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@user-dy9fr2mi5nАй бұрын
Naunga mkono
@tidomilinga3750Ай бұрын
Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja
@meddixempire292Ай бұрын
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa