Mpambe wa Rais alivyowasilisha bahasha ya siri bungeni

  Рет қаралды 795,283

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

#Mpambe #JPM #SpikaJobNdugai #Bungeni #Dodoma
#RaisJohnMagufuli #Dodoma #KassimMajaliwa ‪@DailyNewsDigital‬
Msaidizi wa Rais John Magufuli akiwasilisha jina la Waziri Mkuu Mteule ndani ya Bunge leo jijini Dodoma.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...

Пікірлер: 147
@yonangolela7999
@yonangolela7999 3 жыл бұрын
Da leo ndy nimeona uyu mpambe katabasam Kama na ww umeliona ilo gonga like twende sawa
@hiititahhani3031
@hiititahhani3031 3 жыл бұрын
👇👇👇
@reginantora5
@reginantora5 3 жыл бұрын
Kwer kabisa
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 Жыл бұрын
🌹🌹
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 ай бұрын
Hayati Magu mungu amlaze mahala pema,hakukosea kabisa kuchangua Jembe hili Majaliwa Majaliwa,mungu aendelee kukupa nguvu sana na uendelee kutuongoza.Amina.
@JOFREYJOEL-bf1xy
@JOFREYJOEL-bf1xy Жыл бұрын
Utakumbukwa daima R I P John pombe maguful
@yussufkuwayawaya3061
@yussufkuwayawaya3061 3 жыл бұрын
Fantastic
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojali
@AbuuKiumwa
@AbuuKiumwa 5 күн бұрын
Kwa hhiyo ndo chawa wa bb mgufuli
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 жыл бұрын
😭😭😭 leo hatunaye tena
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@sadikimsumba5335
@sadikimsumba5335 3 жыл бұрын
Mungu mbariki Rais wetu kwa uteuzi sahihi
@erickclemens5511
@erickclemens5511 3 жыл бұрын
Mambo ni motooo
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 9 ай бұрын
Dunia ina mengi sana ishaalah
@time-voice
@time-voice 11 ай бұрын
🎉🎉
@AbuuKiumwa
@AbuuKiumwa 5 күн бұрын
Muh jasimu mbn alikuwa nyumaaa sanaa
@Elizabeth-g4m6u
@Elizabeth-g4m6u 8 ай бұрын
Hi
@alexmzumbwe1328
@alexmzumbwe1328 Жыл бұрын
Rais SAMIA jaribu kusikiliza kilio cha mtumishi wa mungu MBALIKIWA MWAKIPESILE MBEYA ISYEISYE MAANA ANAHAKI YA KUSIKILIZWA KAMA LAIA WA TZ
@ziadakhamisally6201
@ziadakhamisally6201 3 жыл бұрын
Pumzika salama baba magufuli
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 2 күн бұрын
Kazi yake ni ipi
@augustinewilliam8281
@augustinewilliam8281 3 жыл бұрын
I like that
@maulidkassim2458
@maulidkassim2458 3 жыл бұрын
Vip
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 21 күн бұрын
Anamwita mpambe
@MussaIddi-vm1tn
@MussaIddi-vm1tn 3 ай бұрын
Usajili wa yanga 2024
@MorsadHamisi-nz4rd
@MorsadHamisi-nz4rd 2 ай бұрын
Kwaukweri kabisa jeshi let lina nidhamu sana
@fahadfahmy
@fahadfahmy 3 жыл бұрын
Ipo siku Allah atazidhihirisha siri zote,yawmunadhim
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 Жыл бұрын
Kamanda kama kamanda
@YONASICHILIMASICHILIMA
@YONASICHILIMASICHILIMA 9 ай бұрын
Magufuri 😢
@OmbenMnemele-hv2bm
@OmbenMnemele-hv2bm 10 ай бұрын
R.I.P
@TheB920
@TheB920 8 ай бұрын
Countries are really different. Kama hii ingekuwa Kenya upinzani wangekataa wakisema Raisi ajilete mwenyewe 😂Otherwise majirani mna Parliament ambayo ni ya kuvutia sana!
@ibrahimkauki5964
@ibrahimkauki5964 8 ай бұрын
Vichekesho
@mohammedkhkombo4439
@mohammedkhkombo4439 3 жыл бұрын
Musimwite mpambe bwanaa angalau mjumbe
@kimwerionlinetv5574
@kimwerionlinetv5574 3 жыл бұрын
Majaliwa deserves to be a Tanzanian prime minister
@abubakarikimu7966
@abubakarikimu7966 10 ай бұрын
Uuûtygyff if no
@ngasadere7465
@ngasadere7465 3 жыл бұрын
Hafu leo hii WABUNGE ndio wamekuwa wasaliti kwa magufuri
@joshuamalulu1962
@joshuamalulu1962 2 жыл бұрын
Remember your create r
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
🔥🕊️
@youngdisegner1486
@youngdisegner1486 3 жыл бұрын
the boc
@edwiniabeli5872
@edwiniabeli5872 Жыл бұрын
Kofu
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 3 жыл бұрын
Huu ni mapenzi ya kweli kabisaa waziri
@goodluckmboya6264
@goodluckmboya6264 10 ай бұрын
Nitakumbuka sana kipindi hiki
@gquality3977
@gquality3977 3 жыл бұрын
Ivi Uyu wa kwanza kufurai ni Danga lake Au😀 ni Utani tu Majaliwa oyeee
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Pambe la rais
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 Жыл бұрын
Tuliona mengi mno....
@batiforakihwele7731
@batiforakihwele7731 Жыл бұрын
0
@langatouch4677
@langatouch4677 3 жыл бұрын
Leo bunge linawaheshimiaa mpaka wapampe wa Rais ???/bunge hili nikiriitaa LA viraza ntakuaa nimekoseaa??bungeni wangekuwepo wapinzani wssingekubali mpambe achomeke ujumbe kweli jpm mfalme sio Rais. nimekubali leo
@hadijasalum694
@hadijasalum694 3 жыл бұрын
Hongera yako kwa ulisema hiloo...Mungu atakulipa kwa unayoyasema ..hauna shukrani ww I think umefurahia kifo chake!9 furahi popote ulipo
@asiashabani4074
@asiashabani4074 3 жыл бұрын
What???
@nimrodsigulu6249
@nimrodsigulu6249 Жыл бұрын
Ndungai bwana..eti makofi hayatoshi..😃😃
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 жыл бұрын
Mpambe tena
@josephukiravya7412
@josephukiravya7412 3 жыл бұрын
haya ndio mimi niĺiyataka,walikuwa wanatukana majukwaani wamembia wakimaanisha awakuwa na dhamira njema ,(majizi)
@abakuriadigitalnews612
@abakuriadigitalnews612 7 ай бұрын
huku kungekuwa kwetu kenya ungeona watu wakilimana mangumi ama kutupiana viti ati kisha ni ukabila🤣🤣🤣🤣
@rachelpaul525
@rachelpaul525 3 жыл бұрын
Duuh
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 3 жыл бұрын
Heh... bunge limejaa wakike kibaooooo
@madarakaissa7004
@madarakaissa7004 3 жыл бұрын
Kuhani na mwalimu richad mwach
@yusufwewe8600
@yusufwewe8600 3 жыл бұрын
Vp
@hyasintndimbo2998
@hyasintndimbo2998 3 жыл бұрын
Makofi aYo hayatoshi🤣 Alie kuwa nyuma analeta utani et😎
@aloycesteven5998
@aloycesteven5998 3 жыл бұрын
Kwani hana jina mpambe ndo nini
@12322879
@12322879 3 жыл бұрын
Mpambe ni msaidizi kwa lugha nyingine
@remawetumi8916
@remawetumi8916 3 жыл бұрын
Mpambe ni mtu maalumu mwenye sifa maalum, ila jinanaweza kuwa hata loko kama umekidhi vigezo na masharti
@jofreymanfred6560
@jofreymanfred6560 2 жыл бұрын
Wangetafuta jinsi ya kumwita nasio mpambe dah.
@isayalaizer1367
@isayalaizer1367 3 жыл бұрын
Sawa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 3 жыл бұрын
Leo bunge 🇹🇿 linalia jaman wakati walikuwa na furaha eeh Mungu tulindie nchi yetu iendelee kuwa na aman😭😭😭😭
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Nahuyo ndo rais atakae fata 2026
@12322879
@12322879 3 жыл бұрын
Nchi gani
@mnerostationeries1113
@mnerostationeries1113 3 жыл бұрын
Binge la ovyo
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
kwasasa kuna cheo kinaitwa mpambe wa rais kama unaakili kweli tunaitaji katiba mpya mambo yawe sawa sio hivi sasa tz ya leo tukubali kufa tupate katiba wa tz
@pefachurchkunduchimtongani
@pefachurchkunduchimtongani 3 жыл бұрын
Mmm
@agnessjulius366
@agnessjulius366 3 жыл бұрын
Du! Hiyo tembea mh ya kisasa🤣🤣🤣🤣🤣
@chekaupateafya2477
@chekaupateafya2477 3 жыл бұрын
Nakupongeza kwa utiifu spika wa bunge
@wasikeaulari870
@wasikeaulari870 3 жыл бұрын
yuu.mad
@wasikeaulari870
@wasikeaulari870 3 жыл бұрын
WaS
@murithiramires9058
@murithiramires9058 3 ай бұрын
Zile drama zinakuwa Tz acha tu
@alexsambia3046
@alexsambia3046 3 жыл бұрын
Ongera snaa majaliwa unasitahili kwakwel
@neemanyomolelo9907
@neemanyomolelo9907 3 жыл бұрын
Majaliwa ngani tena
@kevinochieng6458
@kevinochieng6458 Жыл бұрын
Tanzania mna vituko kweli kweli 😂😂😂
@edwinndirangu778
@edwinndirangu778 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 3 жыл бұрын
Majaliwa deserves for it
@ALFREDJohn-z8p
@ALFREDJohn-z8p 8 ай бұрын
Magu aliteua jembe linafanya kazi yake hadi leo
@smollanpepsi147
@smollanpepsi147 3 жыл бұрын
Mmesahau kama mwaomboleza eee
@martinehenry2394
@martinehenry2394 3 жыл бұрын
Mpambe wa rais nae ni rais wazee
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 3 жыл бұрын
Kuwasilisha dokument nd kiswahili gani
@albanbros6705
@albanbros6705 3 жыл бұрын
To deliver or present.
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
@@albanbros6705 😂😂😂😂
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
hii ndio alchokitaka raid awe na watu wasio weza kumkosoa ndıo wanawake na ea chama chake
@neemashanyangi2010
@neemashanyangi2010 3 жыл бұрын
hahahahahahhah
@neemashanyangi2010
@neemashanyangi2010 3 жыл бұрын
Syo kila mtu anajua kiswahili
@sayisilu7264
@sayisilu7264 3 жыл бұрын
Hahahaha
@gilbertemmanuel6891
@gilbertemmanuel6891 3 жыл бұрын
Bunge la ndio ndio2
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
utapasuka bro...
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 3 жыл бұрын
Mtapiga Sana makofi Awamu hii
@issasuleiman6885
@issasuleiman6885 3 жыл бұрын
Nilikuw cjui kumbe had rais ana mpambe hahahaha
@saidmbilinyi5955
@saidmbilinyi5955 3 жыл бұрын
Eeeeee
@edwinalivisia5105
@edwinalivisia5105 3 жыл бұрын
We speak English in Kenya.
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 жыл бұрын
Eti anajifanya alikua hajui km atachaguliwa tena
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
n mfumo mkubwa saba hii n sistim
@alliymohamedalliy6524
@alliymohamedalliy6524 3 жыл бұрын
Kijiweni
@alliymohamedalliy6524
@alliymohamedalliy6524 3 жыл бұрын
Umbea mtupu...
@zainabumeshack4211
@zainabumeshack4211 3 жыл бұрын
@@alliymohamedalliy6524 wanatuona ss wajinga
@Gab217
@Gab217 3 жыл бұрын
Mambo mengne bhana yanafurahsha tu kuyaangalia😁 Af majaliwa alikaa backbench Bakabencha oyeeee
@beatricemgalla7175
@beatricemgalla7175 3 жыл бұрын
Alaf backbenja wanakaa kama wajinga ila wanaakili🤣🤣
@bm6715
@bm6715 3 жыл бұрын
Ccm,ccm,ccm
@elizabethjames2693
@elizabethjames2693 3 жыл бұрын
Ivi kumbe Ni mpambe sio mlinzi
@stellamassoro2015
@stellamassoro2015 3 жыл бұрын
Walinzi huwa ni wale wasiovaa sare
@neemacalvin633
@neemacalvin633 3 жыл бұрын
Majaliw umestahili hil pasna shak kabxa
@hamisimuhammad6225
@hamisimuhammad6225 2 жыл бұрын
Upuuzi mtupu
@shukurumbuba5123
@shukurumbuba5123 3 жыл бұрын
Huyu mpambe wa rais anaitwaa nan ?jina
@anethmaro8168
@anethmaro8168 2 жыл бұрын
benard mlunga
@MohamedMjenga-vq8vc
@MohamedMjenga-vq8vc 11 ай бұрын
Joseph mulunga
@thomasmwaipaja6094
@thomasmwaipaja6094 3 жыл бұрын
Ovyo kabisa
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Iv kasimu ni mtu wawapi kwanza bara au zenji?
@arizinamussa6006
@arizinamussa6006 3 жыл бұрын
Luangwa
@stellamassoro2015
@stellamassoro2015 3 жыл бұрын
@@arizinamussa6006 jibu lako halitoshi... By the way, sio " Luangwa" ni Ruangwa
@stellamassoro2015
@stellamassoro2015 3 жыл бұрын
Yeye ni wa Bara katika jimbo la Ruangwa Mtwara
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Ooh ok
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
😂😂😂wanamgombania
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
Nani .
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
@@msetikebwasi1469 kama hujaangalia bc
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
@@credo7837 kuona c kuelewa na kuuliza c ujinga ni kutaka kujua .
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
@@msetikebwasi1469 silazim ujue brother kausha
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
@@credo7837 siwezi kausha kwa sababu kuuliza c dhambi .
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Kassim anafaa kua rais wa badae kama maguful akikataa kuendelea
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 жыл бұрын
Aysha fala ww unataka niendelee kufanyajee
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 жыл бұрын
Tz cyo nchi ya kifalme akiendelea ni tamaa tu za madaraka
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
@@edenbaraka7533 kuongoza nchi yetu ya tz rais wetu wa wanyonge tunajivunia alhamdullah
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 жыл бұрын
Kbisa sema ndio hivo mungu amefanya yake
@sadamasele6595
@sadamasele6595 3 жыл бұрын
huo upuuzi kwio
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 жыл бұрын
Tatizo cyo mihuri Bali yaliyoandikwa huko yanatusaidia wananchi!
@danielsaitabau831
@danielsaitabau831 3 жыл бұрын
Bunge gani hili limejaa wanawake kiasi hicho
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
Ndoujuwe wanawke hawako nyuma kwass.kizazi kingine hiki.acheni wivu
@happinessjacob2512
@happinessjacob2512 3 жыл бұрын
Dharau za wanaume zishaanza duuh!
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 жыл бұрын
@@happinessjacob2512 sijui wanajikutaga kina nani
@hyasintndimbo2998
@hyasintndimbo2998 3 жыл бұрын
We mafi kweli, ulitaka awe Nani Sasa😠😠
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 3 жыл бұрын
Ata aliekuzaa mwanamke na ndie unaemwita MAMA
@noahmwaipopo9142
@noahmwaipopo9142 3 жыл бұрын
Mdicho mlichokua mnakitaka hicho upuuzi mtupu
@fdfzuuraamazimajft4a340
@fdfzuuraamazimajft4a340 3 жыл бұрын
Zuu,-, La,amazlma
@fdfzuuraamazimajft4a340
@fdfzuuraamazimajft4a340 3 жыл бұрын
S64
@fdfzuuraamazimajft4a340
@fdfzuuraamazimajft4a340 3 жыл бұрын
Agata Llkofufu
@ibrahimkauki5964
@ibrahimkauki5964 8 ай бұрын
Vichekesho
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,4 МЛН
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 44 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
🔴LIVE: NAIBU RAIS GACHAGUA ANAZUNGUMZA MUDA HUU BUNGENI
Daily News Digital
Рет қаралды 40
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
WABUNGE KENYA KUMNG'OA GACHAGUA LEO?
6:00
Daily News Digital
Рет қаралды 390
Hotuba ya Askofu Gwajima 'iliyomvunja mbavu' Rais Magufuli bungeni
9:30
Daily News Digital
Рет қаралды 503 М.
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН