Hii Ni nchi ya walaji na wasemao uwongo ila ukiwa mkweli hutapendwa na kifo kitakuita hii ndio Tanzania
@jameswissa99813 ай бұрын
Wamekuonea bure tu, Wewe ni Mzalendo wa kweli
@RosemaryKasuka3 ай бұрын
Huwezi kugombana na Boss
@JumaDea3 ай бұрын
Komejaga nkoi
@RashidShinza3 ай бұрын
Anae mpinga mpina Nishoga au msagaji
@mtakamatv3 ай бұрын
Bunge la viongozi sio la wananchi,yoyote anaesimama upande wa wananchi,anashughulikiwa, CCM hawapendi ukweli,wanaendeleza u babe wakutetea maovu kwa masirahi Yao, wamemnunua Hadi msigwa ili wamtumie kwenye uchaguzi kuwachafua wapigania haki! CCM ni watu wa mbinu chafu lakini tuna akili zetu