Yaah sahihi kabisa wapewe lecture ya kutosha watambue wao ndiyo wenye jukumu la kuja kuwa watendaji siku za baadae. Hiyo nzuri Sana
@kambamazig020243 жыл бұрын
Safi sana hao ndio mainjia watarajiwa ambao watakuwa wanashika hatamu za kuendesha SGR baada ya miaka kumi hivi.
@georgematovu13173 жыл бұрын
Katika ziara zote hii ndio itakayoleta matunda mara dufu.... Safi SANA!👍🏿💪🏿👏🏿
@ababuumwanazanzibar49083 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Wakandarasi wa kesho hao
@josephnchunga12473 жыл бұрын
Hapo safi sana Wapeni mafunzo Taifa la kesho hilo jpm safiiiiiiii
@alimalcolm48643 жыл бұрын
Hawa ndio mnatakiwa kuwaleta Kwenye ziara TRC toka mwanzo siyo Wale wengine na matumbo makubwa wanaofikilia kupiga hela Kwenye mradi..Kudos JPM, TRC&Africa kids
@petermkuki97943 жыл бұрын
Uhakika Hapa Kazi tyuu
@ernestsinje86933 жыл бұрын
very good
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Wao safi sana Mainjinia wajao wakipewa maelezo mazuri hicho kitu hakitawatoka na watakuwa wazalendo watajituma kwenye masomo ili nao waweze kuja kutengeneza hayo waliyoyaona
@muddymkamba3523 жыл бұрын
That is the only way kutengeneza taifa lenye nguvu,kujengea vijana uzalendo na kutambua nini kinachoendelea katika nchi yao