Nimekumbuka enzi za uhai wa mamangu ss wakati wadogo alipitia mambo mengi nimelia sna😢😢😢
@lilianeerica33183 ай бұрын
Pole😢😢❤❤❤❤
@Hamisi-nn1qw3 ай бұрын
Fundi sana Mjomba mpoto
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Wanaume wanahuruma sana😂 etihuyo mama kapigwa kikofi wameenda kumpa els jmn
@issashekh47263 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
@modesterchristophermodchri42333 ай бұрын
Yani wa mama tuna itwa mbwa mavi takataka kila aina yama tusi
@salummussa11393 ай бұрын
Poleni
@justineonkeo33263 ай бұрын
Mjomba🎉
@amanafi12883 ай бұрын
Good idea Gwiji Mrisho... Umefunikaa Kongolee kwako... Duuuu... Mlio na Mamlaka tumieni vipaji mlivonavyo kutuletea mapinduzi ya Kweli ktk Nishati.
@mbatatakiazi16783 ай бұрын
Mh. Mpango ameshindwa kumuangalia mama muigizaji.
@gladyssembojas53083 ай бұрын
Duh! Mrisho 🎉🎉
@jamilakimaro99932 ай бұрын
Malaya ni neno jepesi sana kwa waume zetu innalillah wainnaillaihi rajiun
@jamilakimaro99932 ай бұрын
Mjomba🎉🎉
@user-oj1dv7ci1v3 ай бұрын
Wanawekentunapitia magumu megisana 😢😢
@saidichitopela3 ай бұрын
Mjomba upewe mauwa yako🎉🎉🎉.ila mbona GS ikojuu sana.uku kwetu ukiwa na mtungi wako tunanunua kg.14 Kwa 25000
@MichaelMyumbo3 ай бұрын
Aisee hii imeniumiza imenigusa usimumuumize wa kumtesa mwanamke yeyote
@sisifaty91833 ай бұрын
Umenikumbusha mengi
@idrissaabubakari8593 ай бұрын
Camera 🔥
@aaminaasljbgbvf7453 ай бұрын
Umenikumbusha mbali sana siwezi kusahau mimi
@user-no8ow4my3l3 ай бұрын
Mjomba umeweza
@user-mi7cd8ch1b3 ай бұрын
Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito
@davidndaha96073 ай бұрын
Mrisho mbona siku ya wanaume hauigizi wala haina nguvu hizo!!
@MkomboziSailowa3 ай бұрын
hii hatar sana japo nam nilihusika lakn naisikiliza hapa naona hisia nikal sana 😢😢
Sasa wafanyeje vijijini wakati ndio maisha Yetu haya hata gasi hawaijui ikoje wazazi wetu😢😢
@chriskay006kenya53 ай бұрын
We mkali
@mhifadhi7973 ай бұрын
Ipo siku wanaume tutachapwa viboko na wanawake ngoja muda ufike
@marymanoni55363 ай бұрын
Ulitaka unyanyasaji uwendelee
@victaboy72733 ай бұрын
Hata naliona hilo
@zainabuali99153 ай бұрын
Mhhh umefik mbali
@zainabuali99153 ай бұрын
Mhhhh umefik mbali
@user-ge4rd9hu6u13 күн бұрын
Mpoto uracari uwambere 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na Burundi tunakupenda sana
@elimishanyamoga67973 ай бұрын
Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo
@mercymichael4763 ай бұрын
Umeangalia lakini hukuelewa.Ni kwamba ameleta kuni,hujui ni umbali gani amepata hizo kuni,ni mjamzito bado unamlaumu bila kuona alivyojitahidi.
@zainabuali99153 ай бұрын
Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa