ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
@athanacnicholauc35552 жыл бұрын
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
@FreeGod3682 жыл бұрын
huyu alitakiwa kuwa rais
@jambo37512 жыл бұрын
Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
@kazikazini104211 ай бұрын
Endeleeni kumchoresha
@JumaRashidi-qu6nv2 жыл бұрын
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
@sophiaalexandersophia86102 жыл бұрын
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
@geraldmakalala60912 жыл бұрын
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
@azizahharoun12362 жыл бұрын
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
@abdulatiftu98362 жыл бұрын
Kabisa our next president
@johngerald46772 жыл бұрын
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
@maujanjatv24h412 жыл бұрын
Nyokooo
@ramadhanisanze36312 жыл бұрын
Rais alibaki tz ambaye anaweza
@abedomar51832 жыл бұрын
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
@stefanomwanzarubi62162 жыл бұрын
Hadinimemkumbuka magufuli
@bubelesatanzanialogistics39482 жыл бұрын
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
@fadhilimanjeka37292 жыл бұрын
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
@mahmoudabdallah45332 жыл бұрын
Duh
@antonychristian13692 жыл бұрын
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
@evarimdecoration42562 жыл бұрын
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
@vincentauxerbius75542 жыл бұрын
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
@mohamedkigwehe35612 жыл бұрын
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
@theresiamwandara79902 жыл бұрын
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Mungu Akulinde Baba🙏.
@ramadhanhemedi15542 жыл бұрын
Uko sahihi muheshimiwa hongera
@jamesjeremiah94162 жыл бұрын
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana
@laurenciakamata11 ай бұрын
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
@juliusdonard9332 жыл бұрын
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
@richardchijana96652 жыл бұрын
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
@Really-football2 жыл бұрын
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
@pirminmatumizi54642 жыл бұрын
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
@sk-wj9or2 жыл бұрын
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
@ruthsawida85072 жыл бұрын
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
@jitabojilala61622 жыл бұрын
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
@mudihb18202 жыл бұрын
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@wazirmlogi75322 жыл бұрын
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
@emmanuelaloyce9322 жыл бұрын
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
@yusuphkassimu2272 жыл бұрын
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
@margarethsolomon98232 жыл бұрын
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
@hamismabula99342 жыл бұрын
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
@venancengunda38792 жыл бұрын
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
@egonemmanuelkudaba4945 Жыл бұрын
Tunahitaji uzalendo
@rachellaiza77792 жыл бұрын
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
@salmaathuman91562 жыл бұрын
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
@jacksonngusi41222 жыл бұрын
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
@imaninjau91352 жыл бұрын
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
@queenlizzyplatnumz49422 жыл бұрын
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
@kambamazig020242 жыл бұрын
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
@michaelmaziku9912 жыл бұрын
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
@lovesallu52922 жыл бұрын
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
@ummyjoel43082 жыл бұрын
Hongera sana wazir mkuu
@bonywahab95652 жыл бұрын
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
@maryamaliy85092 жыл бұрын
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
@sk-wj9or2 жыл бұрын
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
@gapablessgadison68632 жыл бұрын
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
@jumambarale6992 жыл бұрын
Engineer anaharisha apoo....
@vumilialeonardi1092 жыл бұрын
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
@neemakerefu48762 жыл бұрын
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
@wakalimediatz2 жыл бұрын
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
@edisonpeter38942 жыл бұрын
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
@erickwilliam66102 жыл бұрын
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
@jamessimbaire3016 Жыл бұрын
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
@hosea79192 жыл бұрын
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
@chinjochwayaa72502 жыл бұрын
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
@margarethsolomon98232 жыл бұрын
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
@erickwilliam66102 жыл бұрын
Unaweza mkuu
@mrndundugurushi97822 жыл бұрын
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
@bahatiamnon75792 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
@jacksonngusi41222 жыл бұрын
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
@floraleonard90952 жыл бұрын
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
@sarahsimon80602 жыл бұрын
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
@shebbythespyro53932 жыл бұрын
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
@benjaminkiteleke84582 жыл бұрын
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
@diamondgeyser79872 жыл бұрын
Big up PM
@jerelkhondwani71652 жыл бұрын
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
@jumahassan2732 жыл бұрын
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
@crisndembwele40162 жыл бұрын
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
@emmanuelerasti24052 жыл бұрын
Bebaaaa
@theuniversetv28702 жыл бұрын
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
@medsonulendo42212 жыл бұрын
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
@suleamberforreal74012 жыл бұрын
The real replacement of JPM 😥
@ahmadiomari69132 жыл бұрын
Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
@ulafim27192 жыл бұрын
Love 💕 Ep Is Out Now kzbin.info/aero/PLbFrAz29154WDEtvrThiA_fqUz0jUtKVd
@saidgoryo9992 жыл бұрын
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
@sherryeverest25222 жыл бұрын
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
@madukaj.j.69992 жыл бұрын
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
@ezekielmatondane7142 жыл бұрын
Kazi ienderee
@Catherine-u6g2 жыл бұрын
Mungu akubark
@johnsolo6709 Жыл бұрын
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
@aminaomary55672 жыл бұрын
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
@menovicmushy10322 жыл бұрын
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
@tatoorashedi17872 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁 umenichekesha sana waziri wangu pole kwa kazi ngumu .ulikosea kurudisha wafanyakazi hewa
@respiciuskabigumila5246 Жыл бұрын
Hapo hakuna muhandisi.hicho kibanda kinawezekana kufika huko kwenye 11m. msingi una blinding, footing, beams alafu useme mifuko 4.ujenge kuta ufunge beam upige plaster ujenge floor bado mifuko 4.duh!!
@directoridd58932 жыл бұрын
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
@benjo_brighter2 жыл бұрын
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
@SaidihusseinAthumani-dy9kw11 ай бұрын
majaliwa kasim majaliwa kiongozi mzalendo jasiri na shupavu safisha wote wasio waaminifu wenye kufaidisha matumbo yao
@japhetkimario20392 жыл бұрын
Coming president
@jacksonmkuye77392 жыл бұрын
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
@richardnganya23112 жыл бұрын
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
@valenakomba76866 ай бұрын
YAANI HAO WANAMFANYA MAMA SAMIA KAMA HAJAENDA SHULE KABISAAAÁ.
@fadhilidini11812 жыл бұрын
mwamba wa uma tunakutegemea
@malachcomedy47882 жыл бұрын
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
@everever28072 жыл бұрын
majaliwa mh .huyu mama ndo chanzo hajali na hajui watu wanaiba sana rushwa ndo kazi halfu wanamsifia anaweza urais kumbe majanja yanamoumbaza yapige pesa
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
kweli kabisa watu wanampa sifa za uongo halafu huku yakiiba
@juliusjoseph48892 жыл бұрын
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
@erickwilliam66102 жыл бұрын
Pole baba
@donaldelias66892 жыл бұрын
Sio kwel laki 6 boma zima haitoshi.mbona hampgiii hesabu za fundi?
@mathewmathayo2122 жыл бұрын
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
@fredyemmanuel43032 жыл бұрын
Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia
@alonhappy99062 жыл бұрын
Honqera wazii mkuu wetu
@johngerald46772 жыл бұрын
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Aya Mambo mtayaona sehemu nyingi Sana kwasababu baada ya jpm kufariki watu wa kupiga dili ni wengi Sana tena nchi nzima.sisi uku mnatutesa na tozo.
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
na sasa wameachiliwa na bii Konokono
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 racist
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Kwani Ripoti ya CAG kipindi cha Magufuli inasemaje?
@stephensandiko60492 жыл бұрын
Mm sishangai maana viongozi wenyewe hamfatilii waache wapige tu
@fraviansweetbert2703 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kila kher
@maryjoseph69732 жыл бұрын
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
@idyjumanne97962 жыл бұрын
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
@mariamobedy98982 жыл бұрын
Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa
@norbertmuze88912 жыл бұрын
Lkn gharama mbona ni mulemule! Nyumba zinazotajwa kwa gharama chini ya mil 50 haziwezi kuwa na standard.