• MUNGU ALIMUHESHIMU FIR... #KHIDMATV #raisamia #walinziwaraisamia
Пікірлер: 60
@noorbazaar906318 күн бұрын
Alhamdulilah 🎉
@user-ly2tv5og1n7 күн бұрын
Sheikh utakuja kuwa miongoni mwa viongozi wakubwa katika Dini yetu. Kando ya elimu yako una hekima na busara kubwa sana. Allah SW Akujalie sana !
@mohamednyuni263117 күн бұрын
Jee mwisho wa Fir'aun ulikuwaje?
@KassimSalim-fi1me16 күн бұрын
Kwa mujibu wa demicrasia wako sawa wanaomtukana maana demicrasia ni uhuru usiokuwa na mipaka
@KassimSalim-fi1me16 күн бұрын
Kushawahi kuona Maka viongz wanatukanwa hovyo kushawahi kuona Oman wanamtukana kiongoz
@suleymanmrutu949816 күн бұрын
Nyinyiwote mliochangia nakukosoa acheni wivu na kwanini msiendenynyi au msitwe au sio waislam nini?
@KassimSalim-fi1me16 күн бұрын
Demicrasia yenyewe ni mfumo wa kikafiri wao ndio wamekosea mfumo wa uongoz wangefuata misingi ya uislam ya uongoz acha watukanwe
@hindamir200818 күн бұрын
Mashallah ❤
@saidbakar-qo6ri15 күн бұрын
SASA KAKOSEA SHEIKH HAJAKOSEA ILA NYINYI NI UBINAFSI UNAWASUMBUA
@BradothAdm10 күн бұрын
Yuko sahihi tatzo watu wasomi dini
@Abdul-oc1ul17 күн бұрын
Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp
@BradothAdm10 күн бұрын
Acha kutukana
@AshaNtakarutimana11 күн бұрын
kama hamna ya kuongea simkae kimya
@jamalkishangu15 күн бұрын
Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.
@BradothAdm10 күн бұрын
Sahihi nafasi ya kiongozi ni kubwa kuna hekma kubwa allaah kutuamrisha kuwatii
@MaimunaSaidi-tu2hs18 күн бұрын
Hivi mnafanya yote hamuogopi mwenyezi mungu hizi Aya manazitumi kwenye njaa zenu bora mngekaa kimya imsialibu jamii ya kisilam Kuna akhera nyie
@IdrisaAbdulwakil-tg3pk18 күн бұрын
Kabisa hawa ni njaa tuuu
@mikidadiramadhani355318 күн бұрын
Nimtazamo Wako Hufai Kulaumiwa
@handenitakuru669618 күн бұрын
Huyo shehe mwenyewe anaonekana kama shoga sasa kunanini hapo
@user-pi8xt7rx1h18 күн бұрын
Wewe muongo muogope Allah ww /Yani ALAH amesema viongozi wote watwiiwe muogope Allah kuna aakhera sema na njaa yako/mbumbavu wewe
@user-pi8xt7rx1h18 күн бұрын
Sasa Samia anasimamia hukmu ZA allah
@nassorseif790716 күн бұрын
Kongamano la wanawake nyinyi wansume mnafanya nini humo ndio tabia njema hizo kuangalia wake za watu Muogopeni Allah
@AhmedAhmed-gf1rd18 күн бұрын
Masheikh ubwabwa tuh
@kasimkassam956517 күн бұрын
kweli wewe shetsni kafiri mtu anamzungumziya mungu wewe unajionesha ukafiri wako kichwa mavi wewe
@AhmedAhmed-gf1rd17 күн бұрын
@@kasimkassam9565 ALLAH SW atupe ufahamu wa dini yake
@ShafiiIsmail-zk9lq17 күн бұрын
Ukitukanwa ww utakasilika
@salimsaleh935418 күн бұрын
Mbona anarembua macho uyo shekhe
@DARSAKUHUSUWANAWAKE18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salimsaleh935418 күн бұрын
Na midomo anaramba@@DARSAKUHUSUWANAWAKE
@SoudShuraim18 күн бұрын
Yanamuwasha
@MuhidiniNassor18 күн бұрын
Ittiqi LLAH
@user-jt3gl9fo5e18 күн бұрын
Tumekuelewa , msimamo wako
@rkcomercialenterprises320918 күн бұрын
Ukiona mtu haheshimiwi ujue kuna sababu..
@athumannyiddy188616 күн бұрын
Acha kujizalilisha huoni kua sehemu ulipo sio sahihi angalia unaoongea nao ni akina nani kwa wake za watu
@BushDoctor-dw8el18 күн бұрын
Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo. Ni nani huyo arrasul kwanza. Ikiwa ni muhammad basi muhammad keshakufa. Na huyo ulilamri ni kwa masala gani umtii maana aya yasema, mukibishana juu ya kitu au jambo basi muliridishe kwake Allah na mtume. Wewe unaelewa aya ama munataka kujionyesha tu kwa maslahi yenu ya kidunia. Mcheni mungu na msipotoshe aya zake makuhani nyie. وقالوا ربنا إنا اطعنا سادتنا وكبرأنا فأضلونا السبيلا
@bizimanaamani-zc1qm17 күн бұрын
العلم بلا أدب كشجرة بلا ثمر
@bizimanaamani-zc1qm17 күн бұрын
Tungejitahidi kuwa na nidhamu tungefika vizuri sana kama nikwamfumo huyu ambao vijana tumekalia tunangoja fulani akizungumza hichi humpinga sas kama wey nimkweli njoo ungetusherehesheya ili tujuwe wala sio kuja kutowa kashfa namaneno ya utofu wanidham
@MwigaAdam17 күн бұрын
Muhammad keshakufa ila mafunzo na mafundisho yake Bado yapo hai ko ktk kumtii nikule kufuwata tulioamrishwa na kuacha yalio katazwa ndugu
@BushDoctor-dw8el17 күн бұрын
@@MwigaAdam Mohamed aliopewa atufikishie ni Qur'an na ameifikisha. Na hicho ndicho kitabu pekee kilichotoka kwa Allah. Hakuna kingine
@BushDoctor-dw8el17 күн бұрын
@@bizimanaamani-zc1qm sipingi mtu bali ni wazo la kufahamu kitabu cha Mungu na kumsingizia mungu