I love kishimba hakika mungu akuweke uendelee kutupigania wanyonge, maana adi mahiti inadaiwa muhimbili bila ya pesa uwezi mzika ndugu yako.
@zainabumbondei86352 жыл бұрын
Heeeeh Mashallah Yaani yangekua yanafanyiwa kazi maneno ya muheshimiwa kishimba ugumu wa maisha Kidogo ungepungua
@beatricemdoe2850 Жыл бұрын
BARIKIWA SANAAA baba yetu MUNGU akuweke MUNGU ayabariki maneno yako
@andersonmutta38072 жыл бұрын
Ukitaka kujua tofauti ya akili na elimu msikilize prof. Kishimba intelligent person,,, kama kipindi Cha mwalimu Nyerere Hali ya uchumi ilikuwa chini sana baada ya kuwa huru, lakini historia inaonyesha enzi za mwalimu watu walisoma Bure from primary level to university......na wapo viongozi wakubwa wakitaifa wa Sasa walisomeshwa for free. Kwa Sasa Pato la taifa linaongezeka tulipotoka sipo tulipo Kwa Sasa japo kuwa watu wanaongezeka,, lakini serikali inajambo la kuwasaidia wananchi wake, hasa la huduma ya afya Bure Ili kunusuru wanaokufa Kwa kukosa pesa ya kupata huduma.
@bettykageza19642 жыл бұрын
Uko sawa ndugu
@ericksagara17192 жыл бұрын
Wachangiaji kama wewe, ndio mnapoashwa kuchangia hoja.
@achiliadinan430 Жыл бұрын
Utulivu wa mwili na akili nyingi big up sana mheshimiwa Kishimba
@rumonajarufu13463 ай бұрын
Mungu ambariki sna Mh Kishimba
@fredrickdaudy47982 жыл бұрын
kwann kila siku watu wakanda ya ziwa ndo uwa wanaongea ukwel
@mamboshepea88882 жыл бұрын
Fredrick Daudy...kwa sababu sio wanafiki
@wazirie40702 жыл бұрын
@@mamboshepea8888 umemjibu vizuri sana
@alexkimaro28862 жыл бұрын
Mzee kishimba uko vzr sn tena hata wazee na watoto hawatibiwi bure tena nimepeleka babu yangu hospitali nikambiwa nitoe hela hichi unachochangia kinahitaji kuangaliwa kwa jicho la tatu
@sanyajuutv26792 жыл бұрын
Yani serikali yetu ikimzikiliza kweli makini anasema ukweli uyu mubunge mungu akubariki sana
@handnewstv1562 жыл бұрын
Wewe ni genius kishimba
@GwekuMaheku-uo6qx Жыл бұрын
Namkubali sana mzee wetu kishimba. Anasema ukweli uliopo kwenye jamii,
@lucaschisamalo28522 жыл бұрын
Huyu mzee mungu amjalie aishi maisha malefu kunawabunge wengine wapo tu wanaangalia matumbo yao tu
@sharifaabdullah68252 жыл бұрын
Mungu akubariki mbunge kishimba😘😘 maneno kuntu
@wazirie40702 жыл бұрын
Wow! Huyu jamaa anaakili nyingi sana! Ivi uyo naibu waziri, hovyo sana. Akili ya mtumwa ndo anayo.Ajibu kama kuchimba madini na kuotesha miti, kipi kigumu
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Baba... Uko sawa hoja zako zinatafakurisha.... Tunahitaji viongozi wenye maono hats Kama hawakupata elimu ya juu...
@davidjohn8908 Жыл бұрын
Hakika hyu ni mwakilishi wa wananchi
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Daah baba 🙌 🙏 sina budi kusema nakupenda ni ukweli usio pingika umeongea pont sana
@Awatee2 жыл бұрын
Kwa kweli watu wengi wanapoteza maisha sababu kukosa matibabu na dawa masikini unaenda hospital unaambiwa milion 1 hadi zinafika canser moyo figo ini haya maradhi wengi wanakosa matibabu Yarabby stara 😭
@maribaisack20972 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa
@crackermusic9717 Жыл бұрын
Point sana mkaa ni ajira
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Uyo Mzee kishimba utazani chadema kipindi cha Lema msigwa Lisu maana ana akili kubwa sana anaongea ukweli mtupu
@paschalvenance18332 жыл бұрын
Huyu jamaa ni profesa kabsa
@benedictdeogratius4653 Жыл бұрын
Kishimba mbunge was Taifa dhahabu inayo pumua kutoka Kahama Kagongwa Tanzania, Mbunge wangu hongera kwa kutuwakirisha vema.
@sautiyangu1 Жыл бұрын
Allha akbar... mashaallha
@vaskosamweli35562 жыл бұрын
Uyo mbunge ajengewe sanamu lake maana ameongea mambo ya msingi na yanayo tuzunguka wote maskin
@paulofesto78122 жыл бұрын
Hahahah ishi milelel mbunge wetu! Wa kham kahama oyeeeeee kishimba oyeeeee
@iddyngaiwa2 жыл бұрын
Mzee kishimba huwa wanakudhalau sana ila unaongea pointi sana nakuunga mkono mzeee
@elishangomele99372 жыл бұрын
Akili kubwa sana huyu mzee
@shemelsyi60812 жыл бұрын
Lake zone
@husseinhassani23472 жыл бұрын
Mtu kama uyu sio wa kudharau hajasomq lkn anaongea vitu vya msingi kuliko hao wenye madigrii yao safi sana mzee wa imalaseko super market.
Mgonjwa yupo kitandani anaumwa au anadaiwa pesa ya madawa na hawezi kuruhusiwa mpk alipe pesa ile huku mbunge anataka apigiwe kula mtujari sisi wapiga kula wenu hapo mlipo mmebqdirisha muoneka wa nyumbani mpk afya zenu lakini bado mnatudharau sisi
@mbogasaid46212 жыл бұрын
Huyu mbunge namkubali sana wananchi wa kahama wamefanya cahaguo sahihi
@vpangani1036 Жыл бұрын
Ila kwa maneno yako mepesi na yakueleweka serikali ingeyachukua kwa kweli tungefika mbali sana
@vpangani1036 Жыл бұрын
Uko sahihi mh
@ericksagara17192 жыл бұрын
Wabunge wengi wa ccm ni mburula, isipokuwa Mh kishimba pekee. Ivi kweli mda wote CCM Mmeshindwa kujfunza lolote kutoka kwake?
@jumakibe50322 жыл бұрын
Kichwa.
@thomassalvatory8303 Жыл бұрын
mzeee anaongea vitu vinavyofanywa na wananchi wa chini ww unaongea mambo ya mitambo