NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA

  Рет қаралды 281,527

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 576
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Spika mungu akupe.imani...usipepese macho...mbeya wanakutegemea
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Mh. Nape tunazungumzia bando si ticket ya kusafiria. Ukweli ni kwamba tunaibiwa wananchi. Utaratibu gani wa kuumizana na utaratibu unaweza kubadilishwa. Tusaidieni ndugu zetu wanaojali wananchi na Mungu awe nanyi tunawaombea🤲🏿
@papaadialoo
@papaadialoo Жыл бұрын
Nape nilikuwa naamini mwana mapinduzi lakini kwa hili, ameulizwa swali gumu, amejibu majibu mepesi mi sjamuelewa kabisa,
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Жыл бұрын
SPIKA UPO VIZURI SANA,TATIZO BAADHINYA MAWAZIRI WAKISHAPATA FURSA WANAJISAHAULISHA SANA kuwabwasingeingia bungeni bila sisi WAPIGAKURA walalahoi
@swedywamba5535
@swedywamba5535 Жыл бұрын
Nape kuna fungu lake katika mitandao ya kijamii sijaona akitetea wananchi hata sku 1 kwenye malalamiko ya mitandao
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Жыл бұрын
Kabisa
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 Жыл бұрын
Mhe. spika Nakuona Mbali Sana ,Ukigombea Urais Ntainuka Kukuombea Ushinde Ni Mwanamke Mwenye Misimamo Ya Kiume ,Hongera Sana
@amour5535
@amour5535 Жыл бұрын
Mm pia na nitajitolea kumtangaza popote pale
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Yeeeeeeees ❤
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 2 ай бұрын
Nilijiunga bado la wiki 1 nikaingia mtandaoni mida ya usiku nilitumia kama masaa 2 bado likakata nikatumiwa msg kua mb zangu zimekwisha hata mie nahisi tunapigwa kwenye mitandao nahakuna wa kututetea waziri mwenyewe anaitetea mitandao kua haiibi kunanini tena yeye hana shida nawala haimuasili kilichobaki kwa watanzania wanyonge ni mwenyezi Mungu tu atutetee Amin
@sadatistai575
@sadatistai575 2 ай бұрын
mimi nilijiunga bando la mwezi,ndani ya siku 4, likawa limeisha.
@papaadialoo
@papaadialoo Жыл бұрын
Mbona Zambia bei Iko chini na makampuni ni hayo hayo, waziri tetea wananchi wako
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Жыл бұрын
Sema spika, nakuombea pepo kwa allah, hakika unatutetea sanaaa na serikali yako unaijua sanaa🙏🙏
@besaevod7306
@besaevod7306 Жыл бұрын
Hakika tumuombee Tulia
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Huyu my spika ana akili Sana
@gulledhassan380
@gulledhassan380 Жыл бұрын
Wiziiiiiiii wakubwaa...Na Nape kwanzia kwa Magu nakutiliaa mashaka sanaa
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Жыл бұрын
MWESHIMIWA SPIKA MITANO TENA NAKUBL 🔥🌏🚀🙏
@skateweaver
@skateweaver Жыл бұрын
Kabisaaaaaa
@juliusmhando4558
@juliusmhando4558 3 ай бұрын
Hi likikatwa linaendaga wapi?
@abelvita7298
@abelvita7298 Күн бұрын
Spika anaakili sana, congratulations my mom.
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын
Rip jpm mungu akupe raha ya milele yote haya uliyaona na ndio maana uliwablock watu kama hawa
@andrewmanaku
@andrewmanaku Жыл бұрын
Kweli kabisa ndio maana magu akumtaka huyu
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@andrewmanaku ni majizi makubwa
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
Kwel kabisa magufuli alikuwa hayataki haya majizi
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd Ай бұрын
Kwani magu si ndiye aliyewaweka hawa bungeni"
@bakarimhina4133
@bakarimhina4133 Жыл бұрын
Mheshimiwa Nape Asitetee Makampuni Pekee,Afahamu Makampuni Yanatuumiza Waziwazi. Haitoshi Mheshimiwa Nape Akumbuke Yeye ni MBUNGE WA KUCHAGULIWA Hivyo Asilale Kwenye Nafasi ya Waziri Pekee. (Kutekeleza Makato Bila Tangazo Halijabadilika Huo ni WIZI).
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
afu unamuitaje mh wakati hajiheshimu Kaka...tunaumizwa Sana na wizara yake
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Hajasomea mitandao labda.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Kuna pesa wanapata hawa viongozi siyo bure wanataka ifike mahali GB1 iwe elfu 10
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Jembe JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿💪🔥 lala salama
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Жыл бұрын
Inasikitisha sana sana kuona waziri mwenye dhamana anasimama kumtetea muwekezaji ambaye anaibia watu wa Taifa lake, nchi ngumu sana hii
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Жыл бұрын
Makampuni ya simu yaliyopo Tanzania YAMETUIBIA SANA WATEJA.Serikali itatetea kwa sababu inanufaika kwa TOZO kwa kila kona kutoka kwa WATANZANIA WALALAHOI.
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 2 ай бұрын
Bunge hili Mh.Spika uko vizuri sana.
@Dolomitemusic
@Dolomitemusic Жыл бұрын
Tunaibiwa sana waziri badala akili kuwa atalifanyia kazi yeye nae Bado anawakingia kifua watu wa mitandao wanatuobia sana tumechoka paka tunamkumbuka baba etu magufuli angekuwepo angewanyoosha mana mama yeye nikama anawaogopa da,😭😭😭😭😭😭
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
Huyu nape ndo maana alitumbuliwa Kwa mgufuri akili hana
@yacobosonda3843
@yacobosonda3843 Жыл бұрын
Spika unatupambania sana wananchi hongera
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Жыл бұрын
MAKAMPUNI YA SIMU inaelekea wanatoa cha juu sana kwa baadhi ya viongozi wa serikali , kwa nini huu mfupa wa hii wizara unakuwa mgumu kiasi hiki? SINA IMANI NA HII WIZARA.
@universaldesign4295
@universaldesign4295 Жыл бұрын
Always kk.
@gabrielmpanda9709
@gabrielmpanda9709 Жыл бұрын
Huo ni ukweli kwa 175%
@haruntongo6703
@haruntongo6703 Жыл бұрын
Kila.ariye.achwa.na.malehem..kwamba.hafai..hafai.kweli.
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Rip JPM
@PeterKisiongo
@PeterKisiongo 6 күн бұрын
Waaaah nice
@amontv8628
@amontv8628 Жыл бұрын
3000 dk 55 G1 kweli dah wanaona tuna pesa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Tatizo hata hiyo G1 inakwenda kama upepo...!
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Жыл бұрын
Nyie ni wezi shida watanzania wengi hawamjui adui yao
@rafaelikimati4276
@rafaelikimati4276 2 ай бұрын
Mhe Spika hongera sana sana kwa kazi nzuri sana
@edwinjohn6334
@edwinjohn6334 Жыл бұрын
Watu kama wakina nape hafai kuludi bungeni tena ni watu wa hovyo
@ghostballcone531
@ghostballcone531 Жыл бұрын
Dada Tulia wewe ni bora kuliko Ndugai angalau unawabana hao wa 10,%
@mozejcs9160
@mozejcs9160 Жыл бұрын
Huyu jamaa anafungu lake hko kwenye makapuni ya simu! Apaswi hata kdg kuwa kiongozi huyu mzee wa 10%! Hawa ni wapiga dili ndo maana mzeee aliwapiga chini
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 Жыл бұрын
Bando wananchi wananyonwa na mwenye nacho! Kodi mwananchi analipa kwa kila kitu hata mawasiliano analipia tozo ya bado ni kodi namba 2 kwa mwananchi inayotwa bada ya 1.kununua simu Kodi 2.Kupiga na kupokea au kuunga Internet ni kodi pia!
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 Жыл бұрын
Asante Mbuge wangu 💪💪💪
@everever2807
@everever2807 Жыл бұрын
Magufri kayafukunza huyu mwanamke kawarudisha
@radojembe7347
@radojembe7347 Жыл бұрын
Asante kiongoziii boraaa
@huseinhamidu7367
@huseinhamidu7367 Жыл бұрын
Hili bunge laccm tu linatuumiza Sana kwakweli
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 Жыл бұрын
Ndoto yangu ilikuwa kuiongoza nchi nlipenda sana kuishi kifalme niitawale na watu wangu na watoto wangu wapate nafasi za juu za uongoz niwanyooshe watu wanaopenda kutetewa maana mm sio mtetezi wa wanyonge mm napenda utajiri kuliko haki hata nchi ikikosa manufaa ilimradi mi namiliki mali mm hanihusu jmn si mtachagua nikigombea hebu gonga like kama unaniunga mkono
@hope30807
@hope30807 Жыл бұрын
Wanatuibia sana kwa kweli..mtu unaunga bando wanakata unaweka bando wanakata ukiwapigia cm wanakwambia tatizo la kimtandao ukiuliza mtanirudishia bando langu maana sijatumia kabisa wanakwambia hairudi ila tutakufanyia setting unga tena .😢😢wanatukosea sana Yan sanaa kwakweli hope one day nikuwe na pawa nisaidie wa Tz wenzangu
@geja8708
@geja8708 Жыл бұрын
Mimi zantel wamenichukulia 2000 hadi leo sijapata bando wapa pesa haijarud, ukiwapigia kila siku wao FANYA SUBRA INSHA ALLAH
@user-pg6db8jl2y
@user-pg6db8jl2y 2 ай бұрын
😂😂😂😂mm airtel walibeba buku yangu mpk sas wako kimy tu na simu yangu awapikei
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
Uko vizur Mh. Mmbunge huo bado ni wizi mkubwa. Jee watu wadogo tufanyeje. kwa hiyo tuwaogope hao watu wakubwa?
@wampukamackdonald557
@wampukamackdonald557 Жыл бұрын
Hivi nape ameajiliwa na makampuni ya simu au wananchi. Huyu yupo kutetea wananchi au makampuni ya simu. Naona Ni Kama baloz wa makampuni anaejibia makampuni, anatakiwa afatilie Ni nchi gan iliyoendelea yeyota ambayo unaweka muda wa maongez halafu bado Lina limi5 ya muda. Ulivyo kwa wenzetu hata nçh za Africa nying tuu, ukiweka kifurushi utapewa muda wa Dak. Kama Ni dakika Mia lakini hawakubani ziishe cku kadhaa, hauwez kumpangia mtu atumie masaa24 dak100 hapana umempa muda wa maongez hauna mamlaka ya yeye azitumieje. Nape hajielew kabisa Kama anajielew bas sio wazir wa nçh n wazir wa hayo makampuni.
@beatricekapandila5386
@beatricekapandila5386 Жыл бұрын
Rushwa ni adui wa haki
@tz4ever579
@tz4ever579 Жыл бұрын
Hata mimi namshangaa sana NAPE.Yaani yeye hayupo kabisa na Wananchi.Nadhani kuna anachokipata kwenye haya makampuni si bure.
@hosenimwelekwa5367
@hosenimwelekwa5367 Жыл бұрын
Hatuzungumzii teket nape tunaxungumzia bando
@jakisonedison5115
@jakisonedison5115 Жыл бұрын
L
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Жыл бұрын
Ndiomaana kipindi chaJpm wapuuziwote nje
@hoseaseif6602
@hoseaseif6602 2 ай бұрын
Mbadilisheni kitengo waziri Nape sense wizara nyingine mama yetu Samia onamajibu yambunge wahabarinamichezo haleti ufumbuzi kuusu bando
@doctorz1954
@doctorz1954 Жыл бұрын
Ni kweli kuwa ni tatizo la ufahamau au ni kibri ya kuendekeza dhulma kwa faida ya binafsi. Kweli kwenye bundle za simu kuna wizi. Ukinunua LUKU unapata units za kiasi ulicho lipia. Lakini ifikapa mwezi mwengine zile units zilizo bakia huwa zipo kwenye Mita yako na utazitumia. Sasa kwa nini ninunuwe bando la wiki na ifikapo wiki hata ukiongeza kununuwa bando huunganishiwi kile kiasi ambacho hukutumia? WIZI KWENYE BANDO UPO.
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Yani magu alikua anamaana sana
@moseskomba7705
@moseskomba7705 Жыл бұрын
Ohfh
@kephasieto8105
@kephasieto8105 Жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Mwizi.apigwe.mawe.adi.ave
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
Kwel hawa watu wa bado niwizi mkubwaa
@kenedynedy2615
@kenedynedy2615 Жыл бұрын
Waizii haooo pumbavuuu namtakufaaaa subili
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Hili swala ni tatizo sn ni kweli kabisa
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 2 ай бұрын
Hongera sana Mh. Francis.
@masanjamakunga65
@masanjamakunga65 Жыл бұрын
Inauma sana
@anethphilip
@anethphilip 2 ай бұрын
Yaah yaah semaaa👍
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Жыл бұрын
Nnauye mbona huna huruma na wanainchi wako!!
@petrofrank2805
@petrofrank2805 Жыл бұрын
Nape anajikanyaga kanyaga tuu,,,, et ni utaratibu,,, hebu watuambie tofauti ya utaratibu na sheria mbn ipo wazi sheria ni utaratibu sasa aseme utaratibu n nn hahahhahaa,,, TULIA ACKSON I NEVER EXPECTED THE WONDERS U DOING ON BEHALF OF US,,,,,,
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nikuweka Hela wanakata miambili Kila nikuweka,nchi hii Kila mahali ni shida!! Tunaibiwa sana!!! Kunashida kwa viongozi wetu!!!
@Mishellymlugu
@Mishellymlugu 2 ай бұрын
Well done
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Жыл бұрын
Spika unaaaaakiiiliiiii sanaaaaaa spikaa
@neemamwasomola8663
@neemamwasomola8663 Жыл бұрын
Nape acha zako enzi za ujinga zilipita
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 2 ай бұрын
Tumechoka sanaa wizi wa mitandao,ila majibu mtajibu kwa MUNGU,
@leonardgodliver9043
@leonardgodliver9043 Жыл бұрын
Huyu mbunge ana akili sana...Good presentation
@Dolomitemusic
@Dolomitemusic Жыл бұрын
Magufuli tunateseka baba yetu uku duniani jamaniii daaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@neemahezron486
@neemahezron486 Жыл бұрын
Tunateseka sana na mabando yanatumia ela nyingi mno nawanakata balaaa uelew limeishaje
@SudyMgeni
@SudyMgeni 2 ай бұрын
Wezi Sana mamangu waziri mzushi.
@sautiyangu1
@sautiyangu1 Жыл бұрын
Wooow Wooow mh. Speaker 🙏🙏🙏🙏😁😁😁
@MbwanaKisoro
@MbwanaKisoro 2 ай бұрын
Wale ndio walileta matatizo makubwa ktk nchi hii, kunamtu anaitwa Music's alimwambia Jpm hivi, ( nanuku ningekua raisi ningefuta hii mtu akiweka vocha anapewa nabando ) baada kamaya wiki ukatolewa huu utalatibu, matatizo mengi yaliaza apo ikiwemo kikokotoo
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Tunaibiwa sana mpaka leo tunaibiwa sana. Na huyo Nape ndiyo aliye wasiliana. Haja tufanyia haki Voda kuna mahali. Kwahiyo sisi tupoteze pesa kila wakati.ninyi wakina Wizara na wzkina Nape wanapewa chao.
@eltonmika2797
@eltonmika2797 Жыл бұрын
Nlikuwa nawaheshmu sana wasomi wa Tz, ila nlipokuja gundua kuwa nina akili kuliko wao, bado hatuna wasomi tuna watu wanaojua kusoma na kuandika, sijasoma lakini nipo bright kuliko waziri
@peterjohn8405
@peterjohn8405 Жыл бұрын
Kwanini NAPE anatetea sana Makampuni ya Simu? Amechaguliwa kama waziri , ayasimamie yasituumize wananchi. Yeye anasimama upande wao kuona kama wako sahihi. Hawa watu wanaingiza pesa nyingi sana .
@everever2807
@everever2807 Жыл бұрын
Tcclo hadi nimeitupa line mhuni huyo nape mwehu kabsaa
@emanuelchrisant8221
@emanuelchrisant8221 Жыл бұрын
Mnatuibia sana achana na bando hata ela zinazo baki kwenye muda wa maongezi.
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Tunaibiwa Sana unanunua 1000 wanakupa 800
@charlowmathew9762
@charlowmathew9762 Жыл бұрын
Huku +254 unanunua ya 50bob ambayo ni libuku ya huko kwetu Tz ni unapata mb 600 24hours
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Nape yupo sahihi, ni utaratibu wa kibihashara. Kama soda, kila sehemu kuna bei yake na mtumiaji bila kulazimishwa anaridhia. Sema kwenye kupunguza mb ndio tatizo
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 Жыл бұрын
@@victaboy7273 yupo sahihi kwa lipi majambazi wa kalamu tu Hawa mbn kipindi cha magufuli walikua hawafanyi usenge huu Huku Toto Huku bando pesa hkn kz hmn shida tu mtindo mmoja
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
@@mahamoudduchi3318 kaka nakuelewa, na pia hata mimi ni miongoni mwa wanao umia. Lakini kaka hebu twende sawa, mfano, kwenye kumbi za starehe au viwanja vya mpira, kuna VVIP, hii huduma siyo lazima. Isipokuwa mtu mwenyewe anaamua. Na pia hii mitandao inapunguza mabando kutokana na serikali kuongezea mizigo ya kodi na tozo. Sasa nini cha kufanya? Hamna cha kufanya kaka.labda maamuzi magumu kama nchi
@user-cg3px3fc2q
@user-cg3px3fc2q 4 ай бұрын
Shikilia hao hao mdikuma yumechoksa kuibiwa mungu akubariki
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Жыл бұрын
R.I.P JPM Yaani Kipindi Cha Magu 1000 GB 1 Dakika 100 Sms 100 Now 1000 Dakika 40 MB 350 Maninaa kabsaaa 😏😏😏😏
@beatricekassim6190
@beatricekassim6190 Жыл бұрын
yani ni hatari😭
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 Жыл бұрын
Kbs yaani kipindi cha magufuli walikua na adabu zao tu Hawa washenzi
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Mmmh napita kazi kwenu
@bahi_bay24
@bahi_bay24 Жыл бұрын
Hiyo wizara ni changamoto. Haisaidii kabisa wananchi... Ndani ya miaka miwili bando 1GB kutoka 1000 mpaka 3000 Sasa wao wanona kawaida. Da! Hatari kweli
@mariammosha2804
@mariammosha2804 Жыл бұрын
Ata miaka miwl haijaisha mpk ije kuisha 5 2talia nakusaga meno
@hoseaseif6602
@hoseaseif6602 2 ай бұрын
Saffi sanaaa spika wabunge kuhoji bando kwawananchi wanyonge wasiibiwe
@bestchanga3729
@bestchanga3729 Жыл бұрын
Huyu Waziri hayupo tayari kutete watanzania zaidi Sana yupo kimasrai katika kuwaibia wananchi, maana hakuna jambo lisilo badilika.
@ConnieJohn-ts9rp
@ConnieJohn-ts9rp 19 күн бұрын
Tunaibiwa sana jamani tena sana Nape umechemka hata hutetei wananchi wako? Mie nimechoka nawaza kuitupa simu bora nikae bila mawasiliano
@nyerere1259
@nyerere1259 Жыл бұрын
Nape hatoshi
@user-sz2ci8rd3l
@user-sz2ci8rd3l Ай бұрын
Mh Tulia akili kubwa sana nakupenda mpk naumwa wallahi
@joycerenard6179
@joycerenard6179 Ай бұрын
Good
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Nape c ndo wale wale wa mzoga group.
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 Жыл бұрын
Hii nchi tumeizoea, wizi njemje wala hawaogopi na wala hawana Hofu ya Mungu.
@jasmineathanas9250
@jasmineathanas9250 Жыл бұрын
Mnatuchosha sana viongozi wetu
@ibrahimamos6949
@ibrahimamos6949 Жыл бұрын
Ni kweli kbsa tunaibiwa na istoshe kwa nn iwe bando la wiki halafu Linaisha siku moja????mh.nape huo sio mfano sahihi acha kutuwekea siasa kwenye ukweli
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Жыл бұрын
Wezi mno hasa bando kwa Sasa ukiweka 2000 wanakata juu kwa juu 500 du mitandao ya sim ni wezi sana
@kangaelias7782
@kangaelias7782 Жыл бұрын
Najivunia kuwa na kiongozi Kama huyu spika wetu wa jamhuri wa muungano wa Tanzania, sio Siri unafaa Sana Tena Sana Mama yangu, TULIA
@jafarisospeter8743
@jafarisospeter8743 Жыл бұрын
Tulia nimekukubali. Hongera kwa kulipigilia nyundo hilo
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Ayo makampuni ya simu kama hayawez yaondoke hapa tz Tushachoka kuibiwa ni mijizi tu nyie mashirika ya simu
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Жыл бұрын
Mxiuuuu wazir wa ovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania
@iddyjohn1032
@iddyjohn1032 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni hovyo kabisa,1000 unapata dakika 40 na MB 350 kweli?????
@Kanyawela
@Kanyawela 2 ай бұрын
Safi kabisa hii ni kweli kwa nini unipangie matumizi?
@emmanuelreuben1863
@emmanuelreuben1863 Ай бұрын
Si bora likae hizi siku 7 !!!!! Linakaa siku moja brother
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 8 ай бұрын
Sanaaa,tunatabu kubwa mno,kuhusu bandoo
@odenlwila8390
@odenlwila8390 Жыл бұрын
Uwizi upo sana hiyo mintory mkulima asie jua kusoma kijijini huko huyo huwa anaferi sana
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 ай бұрын
Spika yupo vizuri mh nape badilisheni MFUMO wananchi tunapata pesa ktk mazingira magumu sana tuoneeni huruma na sisi ni binadamu
@haidarali839
@haidarali839 Жыл бұрын
Mh spika vizuri Sana
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 Жыл бұрын
Spika🎉🎉. Hawa mawaziri nahisi hawatoshi kwenye kwenye maeneo wanapofanyakazi. Wengi wao wanalack listening skills ndio maana majibu yao yanakuwa km kukurupuka hivi wanajibu kujidefence wao ila sio kujibu kilichoulizwa
@martinlazaro9344
@martinlazaro9344 Жыл бұрын
Na siyo hivyo tu baadhi ya makapuni haya yamekuja na mbinu mpya za kuwaibia watu kupitia bima kuwa wao wanadai ukipata tatizo mfano kulazwa nk wanakupa fidia ukiwa umejiuunga tayari lakini ukishakuja kupata hiyo shida ama tatizo hilo hawakujali kwa lolote na huku ushalipa malipo yao ya mwezi mmoja mpka hata mitatu wakati mwingine
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome Ай бұрын
Tafautisha bando na mfano ulitoa wa kusafiri wapi na wapi? Tatizo mkishakuwa huko juu mnajiona mnajua kuliko wengine aise basi tu
@k2plusstudio858
@k2plusstudio858 2 ай бұрын
Sisi watu wetu masikini
@naswabulusambi9808
@naswabulusambi9808 Жыл бұрын
Hafai kazi hiyo mtukufu rais mtafutie kazi ingine
@ambelejames1862
@ambelejames1862 Жыл бұрын
Spika makini sana ktk Bunge hili Mbona waziri ni kama yupo upande wa makampuni hayo
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 73 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 55 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 590 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 73 МЛН