Hongera Sana Mwakinyo umeonesha kiwango kikubwa ukilinganisha na mtu uliyecheza nae. Salute!!!!!! Bravo bravo bravo
@danielmyahudi13398 ай бұрын
Mwakinyo ndio Bondia pekee Tz anayejua kujieleza na kuwaelezea vizuri watu wake wa karibu wanaomzunguka, ieleweke kuwa Mwakinyo Hana dharau, Mwakinyo ni burudani tosha hata kwa wapinzani wake🔥🔥🔥🔥🔥
@FadhiliMussa-rq9fc8 ай бұрын
Safii kaka mwakinyo umewanyamazisha midomo wasokupenda kupitia hili watarudi tuu salut kaka.
@Mufti-c7t8 ай бұрын
Mwakinyo Zanzibar fanya ndio uwanja wako wa nyumbani kwani wale wenzetu kulee wameshaonesho chuki kwako njoo zenji sisi tumekupokea kwa mikono miwili big up brother
@reubenmajambo12708 ай бұрын
Hatumchukii jamaa yetu
@rajabushedafa63978 ай бұрын
Mimi n mbara ila upo sawa sawa 🤝❤
@kingahmada38738 ай бұрын
Mwamba anajua Sana ngumi
@salumabdallah29908 ай бұрын
@@kingahmada3873hapana hajui sema anabebwa 😅 mtu anarusha ngumi moja moja kama adui wa kihindi😅😅😅
@BonnyMwajombe-iu7hb4 ай бұрын
Azam wameaibiki isee😂
@saidkipalo44278 ай бұрын
Kiukweli washamba wengi tabia zao ni kuwachukia wapambanaji big up Sana Mdogo Wangu Mwakinyo yupo vizuri Sana Sema Chuki zinamuandama Sana inasikitisha tulipaswa kumsapoti Sana Mwakinyo Sio Kum disappoint
@rehemasaid7968 ай бұрын
Kw nilivomuona Mwakinyo Twaha ajipange
@alfredrutaguza75068 ай бұрын
Jamaa namwelewa sana akiongea anajiamini na anamaanisha ,inatumika nguvu ya kumshusha kiwango Ila mungu humsaidia
@hosseasimon38878 ай бұрын
Kilichonikera ni Azam kuingia kwenye hizi siasa na kutunyima hili pambano live,mnatufanya tufikirie kuhama bora nirudi zangu DStv
@mzeebabumzee8 ай бұрын
bondia wangu bola tanzania mwakinyo
@kingahmada38738 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba kweli kweli
@Expressmoviesss8 ай бұрын
Naombeni like tu jamani leo nimekuwa wakwanza kutazama hii video😅
@MohamedAfdhal-xq3jh8 ай бұрын
Wale wapaka piko mioyo saizbinawauma hatari,,,safi sana damu yangu
@salummtonga45088 ай бұрын
Safi hiyo mwakinyo
@DaudiJohn-c6g8 ай бұрын
Champez sasa bado yule dada yao mpaka pico pale mologolo
@sadunabdallah73038 ай бұрын
Mwakinyo the best of Tanzanian ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SADICKITHOMAS8 ай бұрын
Oy salutiiiii hom boi awawez zuia kipaji alokupa Allah tz jilas kila chocho we ucjal
@adolfmashele49598 ай бұрын
Mwakinyo anavitu vya ziada sana
@HappyMacawBird-xv8yi8 ай бұрын
Chpez mwambaaaaa🎉
@MalikiKavindi8 ай бұрын
Salute hassan nakukubali
@salumnyanda99058 ай бұрын
Kaka big up sana
@emmanuelmayunga15188 ай бұрын
Huyu anajua ngumi hadi anakeraaaa,,Tz one
@samirmswahili8 ай бұрын
Hongera zake ila kajitahid ila apunguze maneno
@kingahmada38738 ай бұрын
Sio kajitahidi huyo anajua ngumi
@kisomekiguwa37068 ай бұрын
Mchezo wowote bila maneno haunogi lazima uwe na vibwaka
@gibsonjosephat63528 ай бұрын
Kwa mchezo wa Kiduku haya huyo Mgana Hamuwez. Mwakinyo anambinu sana na mzoefu wa mapbano. Usicheze na Boxing.
@@ashiraffmmbwego582 hapana... Nimependa namna amezungumza
@AlmasiSwalehe8 ай бұрын
Bro nakubal sana sultan
@issamuhammedi8 ай бұрын
Kwani mwakinyo hajajenga kweli
@DaudiJohn-c6g8 ай бұрын
Mwakinyo amejenga mjengo wamana sana ila anawapa tu maneno yakuongea wabaya wake ila amesha jenga nakaa nae kakibu sana
@robinbayser30798 ай бұрын
Mchongo sio KO. Umempiga nani?
@fabrisiowissa6928 ай бұрын
Nadhani mchongo si kumpiga nani,nadhani mchongo umepata nini?
@khalidimohamedi46268 ай бұрын
Nikikuangalia interview zako mwakinyo na mahojiano yko mengi una high q unaweza kuongea kwa upana na kwenye kujiamini ndivyo inavotakiwa unaongea kwa big sense na yenye kueleweka
@BosccoMmuni-j1z8 ай бұрын
Kaka unajua sema kiduku wa mchangan w wa kimataifa abishane na kidunda
Hakuna mpiganaji humu wa mchongo tu, kiduku the best
@kingahmada38738 ай бұрын
Huyo kiduku amepigana na nani😅
@kisomekiguwa37068 ай бұрын
Inaonekana ww una roho ya kwanini jamani ukimchukia mtu bila sababu basi ndio (Mungu) humfungulia zaidi ili ww upate machungu. 😅😅😅
@abiiclevertz8 ай бұрын
Mm wa4 nipeni like zangu❤
@canalusedspareparts65338 ай бұрын
💯💯💯
@cisselamerverille52868 ай бұрын
😅😅😅mchongo umempiga nani yesssss 💪💪💪💪💪💪
@kingibandajembe22478 ай бұрын
Uwakika kaka nimekubali sana
@AlimuhamedMwinyae8 ай бұрын
Unyma n mwingi
@saidpazi5318 ай бұрын
Mwakinyo ww ni Bondio MKUBWA hapa Tanzania mm nakushauri Jambo MOJA Embu punguza haya maneno makali yanaleta CHUKI KUBWA KWAKO MM NAFAHAMU KIDUKU AKIPIGANA NA WW HATARAUNDI 4 AFIKI
@HemediOmar8 ай бұрын
Cku itafika kk mdomo utanyooka tu
@angelangaiza22748 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@geraldlyimo28598 ай бұрын
Babu nguvu huwa zinaishaga jenga uachane na kulipa kodi anza na room 1 mkuu usiogope maneno ya watu
@hansjohn5428 ай бұрын
Maneno tu mwakinyo ananyumba yake nzur tu uk jiongeze amempitia mtu apo
@OmaryHamisi-s7n8 ай бұрын
Wachawaseme wwe sema kwavitendo dogo kinyo
@stuartsmg15287 ай бұрын
✊✊✊
@autoimmunesecurity21408 ай бұрын
Punguza nywele kidogo mwakinyo
@Oldskulgemini99918 ай бұрын
Hee😂
@Oldskulgemini99918 ай бұрын
Huku bara ni unafiki mwingi sana muda mwingine mbaka unawaonea huruma watu waliofanikiwa hapa bongo, wanapitia mambo mengi sana kwa watu walioshindwa kuwa na mafanikio kama yao
@lushy98278 ай бұрын
Mimi nimekuwa wa pili
@MarisaVitares8 ай бұрын
Kajenga huyo asiwadanganye
@comsmkemwa26718 ай бұрын
Hakuna ngumi hapo, kama unajua ngumi angalia mchezo wa Ibrahimu class na Mmalawi, kule ndio tumeona vitasa, hapo mlikutana songolo na buruza,😂😂
@hamadyjumawatokesare2itape1668 ай бұрын
Katombwe chuki zako ndo zimekujaa,,
@Hamimuissaissa-to9vs8 ай бұрын
acha chuki huyo mwakinyo hicho ni kipeji mungu kampa
@ashiraffmmbwego5828 ай бұрын
Umeanza lini kushabikia ngumi mpaka ujue uwezo wa bondia?unachuki binafsi inakutafuna itakuzika mbwa wewe.
@hassanmasoud78918 ай бұрын
Sa class kafanya nn wakati mpinzani katupiwa taulo miguu ya kuku kumamake
@CharlesMbise-c1u8 ай бұрын
Fala wew mwache mwakinyo
@shaabanramadhan67708 ай бұрын
🎉🎉
@Madin-f2k8 ай бұрын
Unaongea sana mbona sas unapenda kuchugua mabondia sana
@Kusag-i9z8 ай бұрын
Poa
@omaryahya3378 ай бұрын
shida yenu ni hio watoto wa kitanga ushamba mwingi munaongea mambo ya kishamba mujungi ni kuto kujitambua
@kingahmada38738 ай бұрын
Ongea nawew😅
@AlimuhamedMwinyae8 ай бұрын
Maneno kuntu kqbisa mchong sio k oo je umempinga nani