MWAKINYO: HILI PAMBANO LIMENIPA KODI YA NYUMBA/YULE DADA YAO MPAKA PIKO WA MOROGORO NAMTAKA

  Рет қаралды 47,656

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

#mwakinyo #zanzibar #vitasa

Пікірлер: 78
@eugenngatunga6793
@eugenngatunga6793 8 ай бұрын
Hongera Sana Mwakinyo umeonesha kiwango kikubwa ukilinganisha na mtu uliyecheza nae. Salute!!!!!! Bravo bravo bravo
@danielmyahudi1339
@danielmyahudi1339 8 ай бұрын
Mwakinyo ndio Bondia pekee Tz anayejua kujieleza na kuwaelezea vizuri watu wake wa karibu wanaomzunguka, ieleweke kuwa Mwakinyo Hana dharau, Mwakinyo ni burudani tosha hata kwa wapinzani wake🔥🔥🔥🔥🔥
@FadhiliMussa-rq9fc
@FadhiliMussa-rq9fc 8 ай бұрын
Safii kaka mwakinyo umewanyamazisha midomo wasokupenda kupitia hili watarudi tuu salut kaka.
@Mufti-c7t
@Mufti-c7t 8 ай бұрын
Mwakinyo Zanzibar fanya ndio uwanja wako wa nyumbani kwani wale wenzetu kulee wameshaonesho chuki kwako njoo zenji sisi tumekupokea kwa mikono miwili big up brother
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 8 ай бұрын
Hatumchukii jamaa yetu
@rajabushedafa6397
@rajabushedafa6397 8 ай бұрын
Mimi n mbara ila upo sawa sawa 🤝❤
@kingahmada3873
@kingahmada3873 8 ай бұрын
Mwamba anajua Sana ngumi
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 8 ай бұрын
​@@kingahmada3873hapana hajui sema anabebwa 😅 mtu anarusha ngumi moja moja kama adui wa kihindi😅😅😅
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 4 ай бұрын
Azam wameaibiki isee😂
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 8 ай бұрын
Kiukweli washamba wengi tabia zao ni kuwachukia wapambanaji big up Sana Mdogo Wangu Mwakinyo yupo vizuri Sana Sema Chuki zinamuandama Sana inasikitisha tulipaswa kumsapoti Sana Mwakinyo Sio Kum disappoint
@rehemasaid796
@rehemasaid796 8 ай бұрын
Kw nilivomuona Mwakinyo Twaha ajipange
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 8 ай бұрын
Jamaa namwelewa sana akiongea anajiamini na anamaanisha ,inatumika nguvu ya kumshusha kiwango Ila mungu humsaidia
@hosseasimon3887
@hosseasimon3887 8 ай бұрын
Kilichonikera ni Azam kuingia kwenye hizi siasa na kutunyima hili pambano live,mnatufanya tufikirie kuhama bora nirudi zangu DStv
@mzeebabumzee
@mzeebabumzee 8 ай бұрын
bondia wangu bola tanzania mwakinyo
@kingahmada3873
@kingahmada3873 8 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba kweli kweli
@Expressmoviesss
@Expressmoviesss 8 ай бұрын
Naombeni like tu jamani leo nimekuwa wakwanza kutazama hii video😅
@MohamedAfdhal-xq3jh
@MohamedAfdhal-xq3jh 8 ай бұрын
Wale wapaka piko mioyo saizbinawauma hatari,,,safi sana damu yangu
@salummtonga4508
@salummtonga4508 8 ай бұрын
Safi hiyo mwakinyo
@DaudiJohn-c6g
@DaudiJohn-c6g 8 ай бұрын
Champez sasa bado yule dada yao mpaka pico pale mologolo
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 8 ай бұрын
Mwakinyo the best of Tanzanian ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 8 ай бұрын
Oy salutiiiii hom boi awawez zuia kipaji alokupa Allah tz jilas kila chocho we ucjal
@adolfmashele4959
@adolfmashele4959 8 ай бұрын
Mwakinyo anavitu vya ziada sana
@HappyMacawBird-xv8yi
@HappyMacawBird-xv8yi 8 ай бұрын
Chpez mwambaaaaa🎉
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 8 ай бұрын
Salute hassan nakukubali
@salumnyanda9905
@salumnyanda9905 8 ай бұрын
Kaka big up sana
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 8 ай бұрын
Huyu anajua ngumi hadi anakeraaaa,,Tz one
@samirmswahili
@samirmswahili 8 ай бұрын
Hongera zake ila kajitahid ila apunguze maneno
@kingahmada3873
@kingahmada3873 8 ай бұрын
Sio kajitahidi huyo anajua ngumi
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 8 ай бұрын
Mchezo wowote bila maneno haunogi lazima uwe na vibwaka
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 8 ай бұрын
Kwa mchezo wa Kiduku haya huyo Mgana Hamuwez. Mwakinyo anambinu sana na mzoefu wa mapbano. Usicheze na Boxing.
@silvesterboytz
@silvesterboytz 8 ай бұрын
Mwakinyo uko safi
@SelemaKidundo-ii2pz
@SelemaKidundo-ii2pz 8 ай бұрын
Mwakinyo ngumikamamvuwa yaarimino mapafu yambwana kidugu kwahizingumi laundi tatu hafikishi nawajitokeze waonengumi
@nelsonmapunda6797
@nelsonmapunda6797 8 ай бұрын
Jamaa ni mswahili haswa.... 🔥🔥🔥💥💥💥🙌🙌🙌
@ashiraffmmbwego582
@ashiraffmmbwego582 8 ай бұрын
Hora wewe mzungu
@nelsonmapunda6797
@nelsonmapunda6797 8 ай бұрын
@@ashiraffmmbwego582 hapana... Nimependa namna amezungumza
@AlmasiSwalehe
@AlmasiSwalehe 8 ай бұрын
Bro nakubal sana sultan
@issamuhammedi
@issamuhammedi 8 ай бұрын
Kwani mwakinyo hajajenga kweli
@DaudiJohn-c6g
@DaudiJohn-c6g 8 ай бұрын
Mwakinyo amejenga mjengo wamana sana ila anawapa tu maneno yakuongea wabaya wake ila amesha jenga nakaa nae kakibu sana
@robinbayser3079
@robinbayser3079 8 ай бұрын
Mchongo sio KO. Umempiga nani?
@fabrisiowissa692
@fabrisiowissa692 8 ай бұрын
Nadhani mchongo si kumpiga nani,nadhani mchongo umepata nini?
@khalidimohamedi4626
@khalidimohamedi4626 8 ай бұрын
Nikikuangalia interview zako mwakinyo na mahojiano yko mengi una high q unaweza kuongea kwa upana na kwenye kujiamini ndivyo inavotakiwa unaongea kwa big sense na yenye kueleweka
@BosccoMmuni-j1z
@BosccoMmuni-j1z 8 ай бұрын
Kaka unajua sema kiduku wa mchangan w wa kimataifa abishane na kidunda
@mangimkuunarumu954
@mangimkuunarumu954 8 ай бұрын
Mwakinyo ktk ubora huyu ndo mwakinyo nnaemjua mm
@MWEGOHA
@MWEGOHA 8 ай бұрын
heee, mtafunga ndoa tena, mchora maua umesikia dharau hiyooo 🤭🤭😅😅
@simonbanzi6182
@simonbanzi6182 8 ай бұрын
Hakuna mpiganaji humu wa mchongo tu, kiduku the best
@kingahmada3873
@kingahmada3873 8 ай бұрын
Huyo kiduku amepigana na nani😅
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 8 ай бұрын
Inaonekana ww una roho ya kwanini jamani ukimchukia mtu bila sababu basi ndio (Mungu) humfungulia zaidi ili ww upate machungu. 😅😅😅
@abiiclevertz
@abiiclevertz 8 ай бұрын
Mm wa4 nipeni like zangu❤
@canalusedspareparts6533
@canalusedspareparts6533 8 ай бұрын
💯💯💯
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 8 ай бұрын
😅😅😅mchongo umempiga nani yesssss 💪💪💪💪💪💪
@kingibandajembe2247
@kingibandajembe2247 8 ай бұрын
Uwakika kaka nimekubali sana
@AlimuhamedMwinyae
@AlimuhamedMwinyae 8 ай бұрын
Unyma n mwingi
@saidpazi531
@saidpazi531 8 ай бұрын
Mwakinyo ww ni Bondio MKUBWA hapa Tanzania mm nakushauri Jambo MOJA Embu punguza haya maneno makali yanaleta CHUKI KUBWA KWAKO MM NAFAHAMU KIDUKU AKIPIGANA NA WW HATARAUNDI 4 AFIKI
@HemediOmar
@HemediOmar 8 ай бұрын
Cku itafika kk mdomo utanyooka tu
@angelangaiza2274
@angelangaiza2274 8 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 8 ай бұрын
Babu nguvu huwa zinaishaga jenga uachane na kulipa kodi anza na room 1 mkuu usiogope maneno ya watu
@hansjohn542
@hansjohn542 8 ай бұрын
Maneno tu mwakinyo ananyumba yake nzur tu uk jiongeze amempitia mtu apo
@OmaryHamisi-s7n
@OmaryHamisi-s7n 8 ай бұрын
Wachawaseme wwe sema kwavitendo dogo kinyo
@stuartsmg1528
@stuartsmg1528 7 ай бұрын
✊✊✊
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 8 ай бұрын
Punguza nywele kidogo mwakinyo
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 8 ай бұрын
Hee😂
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 8 ай бұрын
Huku bara ni unafiki mwingi sana muda mwingine mbaka unawaonea huruma watu waliofanikiwa hapa bongo, wanapitia mambo mengi sana kwa watu walioshindwa kuwa na mafanikio kama yao
@lushy9827
@lushy9827 8 ай бұрын
Mimi nimekuwa wa pili
@MarisaVitares
@MarisaVitares 8 ай бұрын
Kajenga huyo asiwadanganye
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 8 ай бұрын
Hakuna ngumi hapo, kama unajua ngumi angalia mchezo wa Ibrahimu class na Mmalawi, kule ndio tumeona vitasa, hapo mlikutana songolo na buruza,😂😂
@hamadyjumawatokesare2itape166
@hamadyjumawatokesare2itape166 8 ай бұрын
Katombwe chuki zako ndo zimekujaa,,
@Hamimuissaissa-to9vs
@Hamimuissaissa-to9vs 8 ай бұрын
acha chuki huyo mwakinyo hicho ni kipeji mungu kampa
@ashiraffmmbwego582
@ashiraffmmbwego582 8 ай бұрын
Umeanza lini kushabikia ngumi mpaka ujue uwezo wa bondia?unachuki binafsi inakutafuna itakuzika mbwa wewe.
@hassanmasoud7891
@hassanmasoud7891 8 ай бұрын
Sa class kafanya nn wakati mpinzani katupiwa taulo miguu ya kuku kumamake
@CharlesMbise-c1u
@CharlesMbise-c1u 8 ай бұрын
Fala wew mwache mwakinyo
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 8 ай бұрын
🎉🎉
@Madin-f2k
@Madin-f2k 8 ай бұрын
Unaongea sana mbona sas unapenda kuchugua mabondia sana
@Kusag-i9z
@Kusag-i9z 8 ай бұрын
Poa
@omaryahya337
@omaryahya337 8 ай бұрын
shida yenu ni hio watoto wa kitanga ushamba mwingi munaongea mambo ya kishamba mujungi ni kuto kujitambua
@kingahmada3873
@kingahmada3873 8 ай бұрын
Ongea nawew😅
@AlimuhamedMwinyae
@AlimuhamedMwinyae 8 ай бұрын
Maneno kuntu kqbisa mchong sio k oo je umempinga nani
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 10 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 11 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 222 М.
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
Kilimo Almasi: Ufugaji Wa Mbwa
29:47
NTV Kenya
Рет қаралды 37 М.
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 10 МЛН