Pole sana Tanzania, Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kumpoteza Shujaa wetu Hayati Elias John Kwandikwa. Kumbukumbu ninayobaki nayo ni kwamba mwaka 2015 nilikuwa USHETU, Nilimpigia Kura yangu... R.I.P. Mh...
@sharifusakasaka7295 Жыл бұрын
Tunawapa. Pole nyingi sana familia ya hayati Elias John kwandikwa waziri wa ulinzi jkt polesana
@sharifusakasaka7295 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amini SharePoint
@khamisali3891 Жыл бұрын
Ali.junio
@khamisali3891 Жыл бұрын
Aly.junio
@khamisali3891 Жыл бұрын
Kisukumma
@ColethaFelcianCharles9 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahar pema pepon
@thobiasshikome14803 жыл бұрын
Waaminifu kwa magu wanapotea mungu awalinde
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Hivi akichaguliwa anaapa kuwa muaminifu au kwa Rais au katiba naombeni ufafanuzi jamani
@japhetisack68913 жыл бұрын
Du ndivyo tunavyo pungua ,maandiko yanaenda yanatimia
@BAKARIMatengele-gl5ys10 ай бұрын
R.ip
@CharlesMs25Daghaly15 күн бұрын
Hao ndo wenye kaz hta mlio wa jiran wauthibiti kbs hta aunag bishoo lkn wao wanaweza kbs
@hekimaandindilile4000 Жыл бұрын
namuwaza magifuli tenaaaaa
@LinusShukuru-bc2de7 ай бұрын
Uende salama mahali pema peponi tuandalie makao raisi wety
@avithkimario21013 жыл бұрын
Amemalza safari yake hapa duniani. Tumwombee kwa Mungu.
@rubenkategere33483 жыл бұрын
Amina 🙏🏼🙏🏼
@mohammednyemaga47938 ай бұрын
Ndugu mtangazaji kanuni na taratibu zetu za keep Tanzania usikiapo mwimbo wa taifa sitasha kazi zote na kutoa heshima kwa maombi,SASA WEWE WIMBO WA TAIFA UNAIMBWA UNAENDELEA KUONGEA.UNAZIDIWA HADI NA SCOUT ,ALIE TOA HESHIMA KWA NA KUWAHAMURU WANAFUNZI WALIO KAA KUSIMAMA.
@jacklinetujengane44753 жыл бұрын
Apumzike kwa amani amina
@BoscoSambuli11 ай бұрын
Mungu anawesa yote
@zainurkiluasha21277 ай бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun
@joycesamweli12193 жыл бұрын
Mungu pigania taifa la Tanzania wewe ndio mlinzi number moja Pumzika salama Mh Kwandikwa kidonda Cha Moyo wangu kimetonesheka nimemkumbuka Sana Raisi Magufuli anaindoka na watu wengi Sana wenye Legacy Mungu tunakuomba tunza waliobaki
@kashindmohamedi77013 жыл бұрын
tumuombe sana muumba wetu atusamee makosa yetu
@erickngugi10863 жыл бұрын
Mungu aiweke roho yake inakofaa zaidi
@yasiniselemani24123 жыл бұрын
HIVI VIFO VITUPE MAZINGATIO TULIO HAI KAMA HUBADILISH TABIA YAKO (mbaya) .SUBIL UFE
@amonamiri44873 жыл бұрын
Sehemu nyeti ya serikali ni ulinzi hivyo wakiona kuwa hatari kubwa ni kuondoa legacy ya mzee baba kwanza kwenye ulinzi mengine uku ni easy sana
@columbus153 жыл бұрын
Kwa nini unawaza vibaya? Hakuna kabisa hicho uwazacho! Amelala salama kazi ya Mungu. Siasa haiingiliani na jeshi ndg. Huo mdude upo hivyo na utabaki hivyo,,,, generals ndio wenye effect jeshini sio politicians
@JK-uq1tv3 жыл бұрын
Waziri hana chochote anacho weza kuamua jeshini kila kitu kinapangwa na jeshi hata ndio maana mkuu wa majeshi anawasiliana mkuu wa Nchi muda wowote ndio maana hakuna waziri Alisha wahi kuwa kwenye wizara hii akatumbuliwa maana hamna siasa za kijinga.
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@columbus15 Umelipatia kweli. Mawazo MFU bado yapo kwa baadhi ya watu. Basi Mkapa, Kijazi, Agostino Ramadhani, Maige waliuliwa na aliyetutoka mwaka huu! Ni upuuzi mtupu!
@peterchilongani45533 жыл бұрын
Fara wewe
@peterchilongani45533 жыл бұрын
Utasema mengu juu ya Hawa watu walio tangulia mbere za haki na wewe siku yako yaja Ila hujuwa wanavyo Lia Hawa ndivyo mama yako na ndugu zako watakuja Julia usisahau hilo
@JosephatSila-cj1np7 ай бұрын
Rip wasiri,
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Niacheni mie niimbe Amelala yooooooo😭😭😭📣📣
@rubenkategere33483 жыл бұрын
😭😭😭😭Alale pema peponi 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ahmadsaid58453 жыл бұрын
Ujinga tuh...
@MussaSteven-d3l11 ай бұрын
Video ya sele
@gmaillameckmnyika Жыл бұрын
Pumzika kwa Aman waziri
@BenjaminKilungeme Жыл бұрын
R. I. P
@joel-ws5un Жыл бұрын
Hakika tutakukumbka lala salama baba
@IhembaFugensus-zr3bw7 ай бұрын
U
@samihasan18833 жыл бұрын
Yani watu wabaya sana wanawamaliza sana viongozi wetu wazuri. Yani ii hawamu 6 nihatari sana tusipo angaria watanzania ndio inadidimia yani viongoz wanauliwa kilakukicha dah,,
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Akili zako zimeungana na mshipa wa. Mavi
@piusngoma26123 жыл бұрын
Or
@ip_header3 жыл бұрын
Tatizo la kukariri, jaribu kutafakari acha ushabiki vitu usivyokua na uhakika, ukiambiwa utoe ushahidi utatoa?
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@kishingokishingo1840 hahahaahaha
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Duh akili imeingana na mr kimba hatari watu hawa ..!
@anitonykiarii14676 ай бұрын
Anitonykiarii
@HalidiYuwayuwa-ru3kq11 ай бұрын
Chuvinyingi
@AthumanAbdallah-ep9xn Жыл бұрын
Yanya a
@ashamapozi96853 жыл бұрын
Rip
@EmmanueliKd-mh6qv11 ай бұрын
Huba
@MjingaComedy8 ай бұрын
Makiwa kwa familia ya waziri mkuu na wakaazi WA Tanzania
@khamisali3891 Жыл бұрын
Maguful
@MailesiMasumbuko-uj4kb Жыл бұрын
Mziki,mpyawanei
@SOLOMONCHEBOIT-od5zu Жыл бұрын
So painful
@JohanesRenatus-cl1sc Жыл бұрын
Anodyne
@FransinsicalNyamanda-ws5wy Жыл бұрын
Video
@MusaRashid-wx1sj8 ай бұрын
Musa
@pice-marcntigahera262110 ай бұрын
Rip.
@mohamedsufi570210 ай бұрын
❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nyirandikubwimanaMarrian-yx7iz Жыл бұрын
Did
@PetterSoteli11 ай бұрын
Nakbl sn VT kam iv
@MasoudNyoni-g8o11 ай бұрын
Ahsante sanaaa ulinzi Chanel Kwa taarifa.
@adamrama-c6t Жыл бұрын
Alah mpumzishe salama
@BrendaNamukose-kb8ud9 ай бұрын
Rest in peace my dear
@FrenkMzumbwe-it3lx Жыл бұрын
Audio singel ngwear
@kibasatv15243 жыл бұрын
Asante kwandikwa kwa kuongoza vyombo vya ulinziiii Mungu akupunzishe salama asante
@amnesaid43023 жыл бұрын
Amen
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Kama kweli Hawa watu waliuliwa kama ambavyo watu wanasema mitaani, basi huyo anayefanya hivyo hatapata amani milele
@barakajoseph-oj9ml Жыл бұрын
Poleni sana wanafamilia nawatanzania wote kwaujumla vita amevipiga hongera yake apumzike kwaamani . Eeeee Mungu umrehem alivokuwa shujaa hukuduniani nahuko mbinguni akawe shujaaa .By. Bravo
@Zubaiba7 ай бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun mungu ampe kauli dhabit
@JaphetMollel-cm6qi11 ай бұрын
Poeln
@AgnesSeveline-tl8ry7 ай бұрын
Bwana alitoa naBwana ametwaa,jina lake lihimidiwe,milele!
@farajihamisi537711 ай бұрын
😂😂😂
@JohnOkon-sx8jx8 ай бұрын
😀😀
@AgustineMlunga7 ай бұрын
Emungu..maari.pema
@LomayaniMollel-bq2gt Жыл бұрын
06
@EshibuKaheba Жыл бұрын
Mungu amlaze mahal pema peponi
@احمدالخروصي-ل8ك3 жыл бұрын
Rip
@amonamiri44873 жыл бұрын
Legacy ya magufuli inafutwa kwa lazma...
@mnubimnubi40813 жыл бұрын
Kumbe kila Mteule wa Magufuli huwa hafi akifa Kalazimishwa
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Akili za kuchangiwa ndivyo zilivyo
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Hao si malaika ni viumbe ss waislamu tunaambiwa ktk kitabu chetu 'Qul nafsi dhaaaikatul maut' kila nafsi itaonja kifo hakuna atakaye baki maadam ana nafsi atabakia yule mwenye dhati naye mwenyeenzimungu pekee
@hussinashabani25783 жыл бұрын
Kweli usemacho ila mungu yu nasi
@johnmwangi12193 жыл бұрын
Uzuri hata ukimzihaki marehemu tambuwa kuwa hata wewe siku moja utakufa tuu kumbe nivizuri tukawa na maneno yabusara nasiyo kuchekelea kifo cha mwanadamu yeyeote kumbukeni kifo hakichaguwi kabila wala chama
@MarySamson-dx8ri Жыл бұрын
Mungu amurehem
@LerwenceokuloMolle7 ай бұрын
Lala salama baba wetu tena akufanye malaika
@LenoxAmani-ur1vu Жыл бұрын
mung ailalez roho yake mahali pema pepon
@RashidMsambo Жыл бұрын
Mapensi najin
@NgobheMwampigu-rt7kv10 ай бұрын
Hii
@AbrahamBaariu-sz8fs10 ай бұрын
God bless you and your family and friends is my dr nana nnakupeda
@josephekomba7853 Жыл бұрын
Kiboga
@moshiscania69643 жыл бұрын
Video
@Zackalia-ch2mx7 ай бұрын
Zaka
@agnessmaro5636 Жыл бұрын
Jamani poleni kwa msiba huo
@joel-ws5un Жыл бұрын
Hakika tutakukumbka lala salama baba
@erickkagose46903 жыл бұрын
gomazaasiri
@hamisilaini6866 Жыл бұрын
Tuna waheshim sana jeshi letu
@AlphaMosses-vy4ed9 ай бұрын
Man never die move other place
@veronicapatrice4363 жыл бұрын
Pumzika kwa amani huu msiba umenikumbusha hayati raisi wetu JPM
@simonjohn14783 жыл бұрын
Pumzika xarama shujaa
@gmaillameckmnyika Жыл бұрын
Hakika inahuzunisha😢😢😢
@samihasan18833 жыл бұрын
Mungu hampokee mjawake
@georgelukumayi5276 Жыл бұрын
Poleni sana kwamsiba huwo poleni sana familia sisi zote tume poteza kiongozi shupafu poleni sana wata nza nia wenzetu inauma laki kazi yamungu haina makoza
@tatubadi90103 жыл бұрын
Pumzika kwa aman
@mashaallahmashaallah16583 жыл бұрын
R I P
@MoreenAdisa-kb1nz8 ай бұрын
Waiting Tanzania kube nanyi mko sawa
@mwalimumwinjuma20596 ай бұрын
Salute kwa Makamanda...
@MboneaGadielnimejifunzaa-th7iy8 ай бұрын
Dah
@avithkimario21013 жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana, Apumzike kwa Amani. Amina.
@davisonsasii42083 жыл бұрын
Mungu ailaze loho yampedwa wetu Amen
@isayakandonga6527 Жыл бұрын
Apumzike kwa amani
@FaustineCletus-sr5on Жыл бұрын
Ulale pema peponi 😭
@jumbemtyama779 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman sana
@dodwiedwin39442 жыл бұрын
Mzoga team imefyeka watu muhimu sasa wamebaki wamekalia viti wanafurahi na familia zao.