Kama kuna kosa kubwa ambalo mtumishi wetu anafanya ni hili la kujiingiza ktk siasa na wanasiasa, Mungu na amuepushe nao maana ndani ya siasa kuna dhambi kubwa, na sifa msifie Mungu tu,hawa wengine wafanyiwe maombi endelea na utumishi Mungu aliyokupa, ninahofia sana huyu mtumishi wetu kujiingiza katika mikono ya wanasiasa ambao hujui maisha yao , na kusihi wafanyiwe maombi tu nenda zako😮 Mungu anaona zaidi, tusaidie ss wenye shida kwa uponyaji
@adamumyala-js9fh29 күн бұрын
Makonda unahatari mungu akulinde.
@Hillary_Daudi_MremaАй бұрын
Kazi nzuri sana. Pongezi kwa Mheshimiwa Makonda. Arusha mtafeli sana kama msipomuomba Makonda achukue fomu ya kugombea Jimbo la Arusha. Mimi natamani uingie Bungeni kisha Mungu akubariki uingie katika Baraza la Mawaziri
@MusaaMarwa26 күн бұрын
Makonda tunaomba mungu akubariki sana makonda siku moja uwe rais wa nchi hii by mumabho wa tarime
@nyerere1259Ай бұрын
Wadudu wamenyoosha mikono respect to God
@ebenezermachange-zp4esАй бұрын
Ameen
@3leggedbird222Ай бұрын
Miamba si hiyo sasa love you sana kila mmoja anafit kwenye nafasi yake