Huyu Lugano si ndo alisema Azizi Ki habaki Yanga. Huyu ni snitch tu
@yonazimpombe1160Ай бұрын
Mshikirwa sassa TIMU ikabidhiwe NANI?
@user-ce3tx7mr8vАй бұрын
HUYU YUKO NYUMA YA MAGOMA NA MWAIPOPO
@YusuphKatagala-y9vАй бұрын
Yanga tutashinda kwasababu katiba hii yasasa tulitoa maoni sisi wanachama na tukakubali madiriko sisi wenyewe wanachama wa yanga kwa shida haipo .ktiba hii ya sasa magoma hana .na anaturudisha nyuma na lengo la magoma ni kuivuruga yanga yet.
@YusuphMdakiАй бұрын
Ya kwani kama katiba ilikuwa na matatizo Wana hama wasingeipitisha na hata but na tff na Rita wangeikataa magma ni mbumbumbu au njaa au anatumiwa
@HassibuMvungiАй бұрын
Kwani yanga wametulia tu wanafatilia hili swala msije mkatukana tu baadae ikawa lawama
@yonazimpombe1160Ай бұрын
KAMA KILA KITU NI BATILI INA MAANA 1 ushindi WA YANGA ni BATILI 2. viongozi ni BATILI. 3. wachezaji ni BATILI 4.wanachama ni BATILI KILA KITU ni BATILI hivyo MAANA yake YANGA haipo itabidi ianze upya.... . .
@suleimanmwenyemvua995Ай бұрын
Tatizo siyo kumpeleka huyo mtu mahakamani umwambie kiweledi kama kuna kosa KWANINI SIYO kutumia vikao vya chama.je hiyo staili iliyotumika katika kipindi timu inafà nya vizuri sana nyinyi mnaona ni sawa asingeweza kusubiri mkutano Mkuu hoja zisikilizwe???😂😂😂😂