Cheche za Mzee Makamba Dodoma "Dk Bashiru tulimwambia" awaacha hoi Kikwete, Samia

  Рет қаралды 22,047

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Makamba atoa ya moyoni wanaoupiga mwingi ni wawili, 2025 mgombea urais ni mama Samia

Пікірлер: 46
@nassorally4002
@nassorally4002 2 ай бұрын
Mimi Nasser ally said nasema mama yetu usiwe na Shaka wewe ni rais wetu 2025 tupo nyuma yako tunashinda Kwa kishindo Kwa nguvu zetu zote
@ignasnyembo1256
@ignasnyembo1256 Жыл бұрын
Mungu wangu Tanzania. Tumekwisha.miaka 60 ya uhuru bado watz hawajaelewa kinachondelea Tz. watz wengi ni km sokwe ktk vichwa vyao.
@charlessafari4148
@charlessafari4148 Жыл бұрын
Amekufa membe makamba hajasema kafambaya mwingine sisi tumasema kafa lafiki dawa na nguluwe
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Жыл бұрын
Unamuona hata Raisi samia mashavu yamemuvimba anacheka tu wamempanga hayo maneno
@cdctz
@cdctz 11 ай бұрын
WAZIRI MKUU mbona simuoni
@maruhe1958
@maruhe1958 Жыл бұрын
Hivi kweli waliokufa ni wabaya mbona mzee amefika mbali, tunaomba atueleze alikuwa na maana gani, Mungu hataniwi jamani. NO, NO. NO
@drkalokola5861
@drkalokola5861 5 ай бұрын
Hekima Hana hekima huyo ni Chawa TU.
@paulnachenga6302
@paulnachenga6302 Жыл бұрын
Mungu wetu ni mnyenyekevi hawa wanae Mungu wao Mungu wa Dagon
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Жыл бұрын
Watanzania sio wajinga (JPM) Siku itafika.
@elishajeremiah8240
@elishajeremiah8240 Жыл бұрын
mama Samia... hajapendezua na speechless ya mzee makamba sema anamheshimu tu...
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Жыл бұрын
Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!
@carolinelinja5635
@carolinelinja5635 Жыл бұрын
Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.
@saimonwatanzaniatanzania1436
@saimonwatanzaniatanzania1436 Жыл бұрын
Muongo mkubwa
@adam-saffi211
@adam-saffi211 Жыл бұрын
Huyu mzee retire, no wonder bado tuko maskini, huyu eti alikuwa kiongozi. Typical bongo imbecile.
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 Жыл бұрын
Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani
@khamisminshehemafumbi1882
@khamisminshehemafumbi1882 Жыл бұрын
Wazuri hawafi ndio maana jk yup ndio maana kinana yupo mbaya aliyekufa ni nani ? Nyoosha maneno mzee tumekufahamu !
@billgussy6099
@billgussy6099 Жыл бұрын
Mzee katoboa tobo
@ommyzubery8358
@ommyzubery8358 Жыл бұрын
Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu
@effarymponzi145
@effarymponzi145 Жыл бұрын
mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima kwanza anapenda undugu kazini hapo kwenye wazur hawafi ameniumiza sana memkumbuka baba kwangu mim alikuwa mzur sana
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 Жыл бұрын
Mzee kuwa na hofa ya mungu acha unafiki. Pumzika na vijana wafanye kazi
@Butondo
@Butondo Жыл бұрын
Mzee umechemsha pia. Sio Bashiru tu. Watu wazuri hawafi maana yake ni nini?
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 Жыл бұрын
Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 Жыл бұрын
Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962
@maruhe1958
@maruhe1958 Жыл бұрын
Mtu kusema wazuri hawafi ni sawa na kusema wanaokufa ni wabaya, hii ni kweli ndg zangu, mimi ni mwana ccm lakini huyu mzee aah
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Mganga wa Kienyeji anaitwa Rajabu kachaguliwa wapi mzee??
@barnabachonja2238
@barnabachonja2238 Жыл бұрын
Vijembe vya makamba vinakiua chama chetu..!!!
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 Жыл бұрын
Huyu mzee amezeeka sana ndo sababu anasema Katiba ivunjwe
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Жыл бұрын
Mzee kapinda sana!🤣🤣🤣🙌🏾🔥🔥🔥🇹🇿
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Жыл бұрын
Mzee anatafuta asali mpaka atakuja kumba hata nyuki 😂😂😂😂
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
Mijizi mitupu nawatoto wao mnajidanganya sana!
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Wenye chama chao wakishusha mistari..
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Mzee makamba hafiki 2024
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Wenyechama chao hao
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Kweli apa ni shidaaaa
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Жыл бұрын
Wazuri hawafi anauzuri gani kumuzidi yesu
@agapelema
@agapelema Жыл бұрын
😭😭😭😭😭🇹🇿, n huzuni kwa kweli
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Жыл бұрын
Watu wazuri hawafi???? SMH.
@kiatu
@kiatu Жыл бұрын
Mzee anaudikteta.
@masungamashauri4070
@masungamashauri4070 Жыл бұрын
Mzee Makamba 😭😭
@maishayapora2745
@maishayapora2745 Жыл бұрын
Great speech
@alisonimpaji615
@alisonimpaji615 Жыл бұрын
Babu
@muddymuddy4129
@muddymuddy4129 Жыл бұрын
Mzee mnafiki huyu hatari
@philipphanuel9558
@philipphanuel9558 Жыл бұрын
Mmmmm. Wazee wanakiharibu chama
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Жыл бұрын
Huyu mzee anadhani anaongea na wapumbavu
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Kwani chama pinzani kiko wap kwanini msifanye juu chini hiki chama kikatoka madarakani jamani tumekichoka hiki chama
@japhetnzunda99
@japhetnzunda99 Жыл бұрын
Mzee Makamba
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 31 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 102 МЛН
MZEE YUSUF MAKAMBA KATIKA MKUTANO MKUU WA CCM KIZOTA
13:59
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 127 М.
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 292 М.
Hotuba ya January Makamba ya Kutangaza Nia Kuomba Nafasi ya Urais
1:51:18
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН