19 Kisa cha Hanga 2

  Рет қаралды 38,158

MzeeBarwani

MzeeBarwani

8 жыл бұрын

Hanga na Kambona walikua marafiki sana. Kambona kachukiza kwa Nyerere na Hanga kachukiza kwa Karume.
Nyerere kamkamata Hanga akamrudisha Zanzibar kwa Karume, akateswa na akauliwa.

Пікірлер: 22
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 3 жыл бұрын
mzee alikuwa kichwa sana huyu,me nampenda sana,genius man
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 2 ай бұрын
Nafuatilia darasa la mzee huyu, alitakiwa apewe tuzo
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 жыл бұрын
Mungu akurehemu ajaalie nuru katika kaburi akusamehe umetupa vitu mjarabu tulikua hatuvijui mungu msamehe bwana huyu
@hassansugha5935
@hassansugha5935 2 ай бұрын
Naziftitilia hz clps za mapinduzi ya Zanzibar Dah kumbe tulidanganywa sana
@qunjantv6105
@qunjantv6105 2 жыл бұрын
Hivi huyu mzee yupo haii au
@hajisuleiman..7851
@hajisuleiman..7851 Жыл бұрын
Story mzuri
@misscoast3174
@misscoast3174 3 жыл бұрын
Uyu karume alikua mjinga kweli kumbe
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Watu hawaandiki comment yoyote wanahofu lakini ndio ukweli wenyewe, kawaida ya mambo haya hakuna wengi wanaoyasema wala kuyatolea ushirikiano.
@abuuaishaahmadtwaha7711
@abuuaishaahmadtwaha7711 6 жыл бұрын
Maneno kutu sana haya,hayaitaji kuvurugwa kwa commets
@suleimanharoub4982
@suleimanharoub4982 8 ай бұрын
wengi walioua kwa dhulma nao huishia kudhulumiwa ukiua kwa upanga jiandae na wewe kuuawa kwa upanga pia
@abdullakhamis792
@abdullakhamis792 5 жыл бұрын
Hi niukweli tosha maana tunayaona pakaleo yanofanyika Zanzibar lakini Allah pekee anatosha . Anayaona anayajuwa naipo siku kila aliyedhulumiwa atapata faraja Mana dhulma niuovu uliochukiwa na Allah
@suleimanially3904
@suleimanially3904 4 жыл бұрын
Ukwel mtupu,anayebisha atume video na aelezee na yeye
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 жыл бұрын
good story
@ismailabdulrahman7216
@ismailabdulrahman7216 Жыл бұрын
Mzee kama anatoa darsa vile
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 жыл бұрын
Inasemekana amefariki
@bokulakaledivin4033
@bokulakaledivin4033 5 жыл бұрын
L’ Afrique Est Vraiment Mal Partie........ Paix Aux Âmes Aux Vrais Nationalistes Africains......
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
Allah kareem
@gulmohamedkadirdad994
@gulmohamedkadirdad994 2 жыл бұрын
A au
@niccobrown9727
@niccobrown9727 2 жыл бұрын
Na Je field Marshal John Okhello mbona haongelewi kabisa Ili hali mchango wake ulikuwa chachu kubwa sana?
@fadhilasalim7464
@fadhilasalim7464 2 жыл бұрын
allah atahukumu kwa wote walodhulumiwa ameen
@111dudi
@111dudi Жыл бұрын
Inaonesha kuna kosa alifanya ila halijulikani
@wazirbashir7626
@wazirbashir7626 2 ай бұрын
Soma sehemu ya kwanza makosa yake yamewekwa wazi, ila alikosea sana kupuuza ushauri wa Kambona
20 Jaha Ubwa
10:41
MzeeBarwani
Рет қаралды 24 М.
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,5 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 165 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
17. Amani Thani: Aliyoyafanya Ahmed Hassan Diria Pemba
21:40
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 4,4 М.
1  Mwaka wa Mwanzo Jela
11:42
MzeeBarwani
Рет қаралды 11 М.
11 Twala Yuko Jela
12:37
MzeeBarwani
Рет қаралды 25 М.
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
MzeeBarwani
Рет қаралды 33 М.
20. Amani Thani: Kutoka gerezani 1967
13:31
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 1,8 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 165 МЛН