Hanga na Kambona walikua marafiki sana. Kambona kachukiza kwa Nyerere na Hanga kachukiza kwa Karume. Nyerere kamkamata Hanga akamrudisha Zanzibar kwa Karume, akateswa na akauliwa.
Пікірлер: 22
@jeanmubemba12043 жыл бұрын
mzee alikuwa kichwa sana huyu,me nampenda sana,genius man
@charlesbibombe23012 ай бұрын
Nafuatilia darasa la mzee huyu, alitakiwa apewe tuzo
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Mungu akurehemu ajaalie nuru katika kaburi akusamehe umetupa vitu mjarabu tulikua hatuvijui mungu msamehe bwana huyu
@hassansugha59352 ай бұрын
Naziftitilia hz clps za mapinduzi ya Zanzibar Dah kumbe tulidanganywa sana
@qunjantv61052 жыл бұрын
Hivi huyu mzee yupo haii au
@hajisuleiman..7851 Жыл бұрын
Story mzuri
@misscoast31743 жыл бұрын
Uyu karume alikua mjinga kweli kumbe
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Watu hawaandiki comment yoyote wanahofu lakini ndio ukweli wenyewe, kawaida ya mambo haya hakuna wengi wanaoyasema wala kuyatolea ushirikiano.
@abuuaishaahmadtwaha77116 жыл бұрын
Maneno kutu sana haya,hayaitaji kuvurugwa kwa commets
@suleimanharoub49828 ай бұрын
wengi walioua kwa dhulma nao huishia kudhulumiwa ukiua kwa upanga jiandae na wewe kuuawa kwa upanga pia
@abdullakhamis7925 жыл бұрын
Hi niukweli tosha maana tunayaona pakaleo yanofanyika Zanzibar lakini Allah pekee anatosha . Anayaona anayajuwa naipo siku kila aliyedhulumiwa atapata faraja Mana dhulma niuovu uliochukiwa na Allah
@suleimanially39044 жыл бұрын
Ukwel mtupu,anayebisha atume video na aelezee na yeye
@saidahmed96882 жыл бұрын
good story
@ismailabdulrahman7216 Жыл бұрын
Mzee kama anatoa darsa vile
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Inasemekana amefariki
@bokulakaledivin40335 жыл бұрын
L’ Afrique Est Vraiment Mal Partie........ Paix Aux Âmes Aux Vrais Nationalistes Africains......
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
Allah kareem
@gulmohamedkadirdad9942 жыл бұрын
A au
@niccobrown97272 жыл бұрын
Na Je field Marshal John Okhello mbona haongelewi kabisa Ili hali mchango wake ulikuwa chachu kubwa sana?
@fadhilasalim74642 жыл бұрын
allah atahukumu kwa wote walodhulumiwa ameen
@111dudi Жыл бұрын
Inaonesha kuna kosa alifanya ila halijulikani
@wazirbashir76262 ай бұрын
Soma sehemu ya kwanza makosa yake yamewekwa wazi, ila alikosea sana kupuuza ushauri wa Kambona