11 Twala Yuko Jela

  Рет қаралды 27,479

MzeeBarwani

MzeeBarwani

Күн бұрын

Bwana Aman Thani Fairuz anakutana na Twala jela. Huko walifunga urafiki mkubwa. Aman anasema mengi kayapata kwa Twala kuhusu serikali ya MAVAMIZI. Abeid KArume akiwafanya mawaziri wake kama watoto wa skuli.
Aman amepata habari kwamba Othman Shariff na Idrsa Majura wamefika jela ya Bamkwe (Mandera). Pia Hanga kafikishwa huko kwa Mandera.

Пікірлер: 14
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌️👊👍.
@ludacrissrangiyabank3737
@ludacrissrangiyabank3737 6 жыл бұрын
Mitandao itafichua mengi
@kasibalisaid7036
@kasibalisaid7036 4 жыл бұрын
Hatari
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 6 жыл бұрын
Hataji mabaya anataja sifa zao nihaki yao kutajwa mbona mapinduzi yana sherehekewa kila mwaka ?? Mbona hamsemi yasiadhimishwe kwa sababu uanatonesha bidonda ??ndio kwanza mnasherehekea wacha ataje sifa zao tuzijue hizo anazo eleza huyu Mzee Ni sifa sio ubaya kama ni ubaya waambieni wasisherehekee mapinduzi Huyu Mzee anaelezea mapinduzi ambayo ndio damu yenu na mnaifurahia kila mwaka
@nassorali5511
@nassorali5511 3 жыл бұрын
Baba sema uwone kitakacho kukuta
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv Жыл бұрын
Tupe tusiyoyajua maana hata hayo tulikuwa hajui baba tufumbuwe macho na dhuluma ufisadi wizi kumbe iko zamani CCM wanaendeleza tu mkubukeni Allah iko siku mutakwenda kujibu muliyoyanya
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 5 жыл бұрын
Definitely for life wewe bwege sana. Kama huna mchango basi kaa kimyaaa. Mambo ya firauni au hitler Yazungumwa mpaka leo. .
@drfarouk7691
@drfarouk7691 5 жыл бұрын
Suleiman Said Allah atakulipa Amin
@destiny4life439
@destiny4life439 6 жыл бұрын
we mzee usitaje mabaya ya maiti ni kosa kubwa sana kua na heshima
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 5 жыл бұрын
Wameyaka wenye kuuwa na kuifanya ufisadi katika ardhi ya zanzibar
@hadassoilih523
@hadassoilih523 5 жыл бұрын
Yeye anayelezeya histoire yalompitia
@fu4308
@fu4308 4 жыл бұрын
Funga mkundu wako mshenzi wa CCM wewe...Ukweli unauma eeh
@nassorali5511
@nassorali5511 3 жыл бұрын
Yatengemea na huyo maiti
@abdallahmohd3777
@abdallahmohd3777 13 күн бұрын
Wewe mpumbavu sana wanatajwa vita ya badru je mavamizi ya zanzibar mkundu wewe au ndiwo mulofanya mavamizi nyinyi wamakonde
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
MzeeBarwani
Рет қаралды 23 М.
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Hilmi Hilal 259
Рет қаралды 6 М.
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Pitio la Kitabu: Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe
44:03
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 15 М.
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
MzeeBarwani
Рет қаралды 37 М.
15 Langoni na Kilonzi
12:54
MzeeBarwani
Рет қаралды 16 М.
KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA
2:33:49