Uliza kwanza daah music ni maisha saa chache kabla ya neema ya mungu 2024
@hildaeliya55828 жыл бұрын
Nakumbuka 1986, tukiwa tunakwenda kusaka Kenge mitaa ya kigogo, mda huo tunatoka mburahati, tukiwa tumefika mitaa ya Mburahati Santos au barafu wimbo huu ukapigwa RTD, ikabidi nirudi nyuma niwaache wenzangu'' Eddie upo juu' unarudisha kumbukumbu mbali Mwana
@eddienassor4808 жыл бұрын
Hahahaaa,ahsante ndugu:burudika
@tonyliwa38037 жыл бұрын
Dada Hilda hao Kenge walikuwa kwa ajili ya nini?
@obillaezra62054 жыл бұрын
Tony kwa kipindi kile Mburahati, ilikuwa ni fahari kwenda na Mbwa kusaka kenge” Mara nyingine Mnarudi Nyumbani huku mbwa wenu akiwa amejeruhiwa vibaya na kenge au hata kupoteza Maisha” Mbwa wetu mmoja alifariki kwenye mapambano na Kenge Wawili wakubwa, alipigwa mkia wa Mdomo na mguu, tulimbeba akiwa kafa na kurudi naye Nyumbani Kumzika kishujaa na tulimpa Heshima zote kama apeavyo mwanajeshi vitani” Mwenye Mbwa alishindwa kujizuia na kulia sana”
@tonyliwa38034 жыл бұрын
@@obillaezra6205 Inafurahisha sana, mimi niliwinda Ndege na Sungura
@christophermpanji15362 жыл бұрын
Wimbo umenikumbusha mwaka 1986 nikiwa s/m chitekete kule Newala baba yangu skyward mwalimu, RIP mwl mpanji
@anjeomdawali72983 жыл бұрын
Raha za kila aina umepata Rey wangu, gari za kila aina umepanda Rey wangu eeeeh iliyobaki Rey wg eeh tuyajenge maisha yetu
@noelaraymond65107 жыл бұрын
Ninawaza sana! yaani hizi nyimbo basi tu.
@nabothyeswa163010 жыл бұрын
Yes this is binangai na respect by tpok jazz
@mayasaomary79732 жыл бұрын
Bina.na.ngai na respect ni.noma.sana.hapa wameiga ila.yenyewe.ni.nzur.zaid
@barakadeusdedit8273 Жыл бұрын
@@mayasaomary7973 hasa sauti ya Ntesa Danielist
@stepsstudio1877 жыл бұрын
Wimbo huu unaitwa muziki wa kwetu.
@nkombakababa595910 жыл бұрын
SAFI sana kwa wa imbaji! NDUGU KALALA MBWEMBWE; KABABA NKOMBA GABY! KABEYA BADU; MOLAY TUNGWA; MOBALI:hiyo DUKU DUKU! na KASHEBA SUPREME na OSS!!!!!!!!!!.
@eddienassor4809 жыл бұрын
Nkomba Kababa Ile ndio enzi Gaby! mmetuachia vitu vizito
@nkombakababa59599 жыл бұрын
Eddie Nassor AKSANTI SANA! NA FURAHI SANA KWAKO KWA KU WEZA KU CHEZA MZIKI WETU HONGERA NA UENDELEYE KU TU LETEA MAPIA: GABY! NA SUEDE;
@raskenneth19815 жыл бұрын
Mara ya kwanza uliniomba tucheze,muziki ya nyumbani siwezi kukataa,mara ya pili umerudia tena si kucheza bali kunipiga jicho,uliza kwanza nimekuja kucheza nimekuja kufurahisha mwili wangu.Inanikumbusha miaka ya 1989 RTD Enzi hizo
@gervascharlesmwatebela14217 жыл бұрын
Upigaji wa gitaa la huo wimbo unawiana kidogo na wimbo wa Pesa Position wa TP OK Jazz pale unapoanza lakini yote kwa yote wanamuziki kuna baadhi ya mambo huwa wanaelekeana katika utunzi,uimbaji na upigaji kinachobadilika ni tone
@othumanlorenzo2603 жыл бұрын
Bina mange respect ya to ok jazz
@gervascharlesmwatebela14217 жыл бұрын
Haijalishi kama alikopi maneno na kuyatafsiri lakini katika muziki wa Bina nangai na Respect TP OK Jazz melody ziko tofauti na huu hapa ingawaje mara nyingine maudhui(content) huwa yanajirudia kutokana na baadhi ya visa au mikasa kushabihiana. Heko kwa watunzi na waimbaji wa OSS wana dukuduku ilikuwa hatari sana vijana wa kileo wanasema weka mbali na watoto.
@zinhlesangweni75952 жыл бұрын
Albam ya kwanza kwenye mtindo wa dukuduku. OSS chini ya ndala kasheba 1982
@JumamabelaАй бұрын
Kasheba dah nakumbuka pale karume kwenye mataa iliwekwa picha yake akiwa na gataa
@josiahmuthemba1153 жыл бұрын
Ndala Kasheba aliimba huu wimbo toka kwa franco wimboo "bina na ngai na respect " mtuzi akiwa ni Ntensa Ntsitani Dalliesnt
@bakarinchimbi24362 жыл бұрын
Kitambo sana mzee hiyo
@obillaezra76177 жыл бұрын
Huu wimbo Ndala kasheba alichukua tune ya Franco wa T.P.O.K JAZZ wa mwaka 1981
@mayasaomary79732 жыл бұрын
Hata maana.ya.wimbo ametafsiri.wimbo wa TPOK JAZZ Bina.na ngai na respect.
@sibongilemasina87794 жыл бұрын
Mr. Isaac Mhone - Daaa mziki huu unanikumbusha nikiwa shule ya msingi kigamboni - Dar es salaam
Eddie, Inasemekana huu wimbo mzee mzima Supreme Maestro Ndala Kasheba - RIP alichukua tune na baadhi ya mashairi ya wimbo uliotungwa na kuimbwa na Dalienst ya Ntesa Zitani - RIP akiwa na kundi la TP OK Jazz la mzee Luambo Lwanzo Makiadi "Franco". Jina la wimbo huo ni "Bina na Ngai na Respect - ikiwa na maana "cheza na mimi kwa nidhamu" kulikuwa na tabia ya bendi za hapa Tanzania kuiga baadhi ya nyimbo kutoka Zaire enzi zile na kutia mashairi ya kiswahili halafu ikaonekana ni wimbo wa Kitanzania - sielewi maana yake ilikuwa ni nini hasa!!
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hizi habari ni mpaya kwangu.Ila kuhusu kuiga,wa tanzania tunapenda sana!! sasa Kasheba atakuwa alikuwa akijaribu ku blend in!!!
@eddienassor48010 жыл бұрын
Kaka burudika na Telegram
@AnthonyKisondella10 жыл бұрын
Eddie Nassor Nashukuru Bro - nitarukia kule niutie nyama kidogo - thanks for posting
@ismailfundikira63579 жыл бұрын
Bwana Anthony bila shaka yeyote nimesikiliza zote mbili ni dhahiri kuwa Supreme Ndala kachukua melody ya Bina na Ngai na Respect na kwa mujibu wa Sulutani Skassy Kasambula amethibitisha nyimbo nyingi za mabendi yawa kongo waliokuwa Tanzania wamekuwa na mtindo huu wakuchukua melodies na kuzitwist kidogo kwa kuongeza au kupunguza vionjo ambapo zilipelekea kupendwa zaidi ya tungo zao halisi matokeo yake ukawa ndio mtindo