No video

Njia Nne (4) Za Kuongeza Ushawishi Katika Kile Unachokifanya

  Рет қаралды 70,837

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 160
@furahairene1829
@furahairene1829 3 жыл бұрын
Asante Sana Joel,wishi cku moja ungekuja Kenya pia kututoa mavumbi,watu wengi hukimbilia maisha yao kwa mashindano,kuonyeshana ,kutaka tuu kujulika bila sababu na maono na utakuta mtu Leo tajiri mkubwa kesho anaporomoka hata umshangae,Aki elimu yako unanifanya niishi miaka ya miaka kumi mbeleni,napigania kesho yangu sijali lini ntakufa,najalintaishije kesho
@sabatomjungu9727
@sabatomjungu9727 5 жыл бұрын
umenipa muongozo wa kujitegemea ,Mungu azidi kukubariki ,Niko kwenye passion apo ndo nahitaji kuongeza ushawishi
@josephinebitesigirwe5730
@josephinebitesigirwe5730 Жыл бұрын
kwakweli unanigusa sana mtumishi nimeamua kukufuatilia jumbe zako zinamtoa mtu mahali barikiwa sana sana
@abelbenedicto5392
@abelbenedicto5392 5 жыл бұрын
Sijawahi kujutia kukufuatilia Brother
@georgemsangi1944
@georgemsangi1944 5 жыл бұрын
"double the rate of hearing.. not the rate of speaking"👏👏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
George Msangi kabisa kabisaa
@silvanussalvator3834
@silvanussalvator3834 5 жыл бұрын
Joel Nanauka Naomba namba yako nataka kitabu cha timiza malengo yako
@mrreymeshaki8925
@mrreymeshaki8925 4 жыл бұрын
Kaka naomba unipe namba yako nataka unipe ushauli
@mrreymeshaki8925
@mrreymeshaki8925 4 жыл бұрын
Naomba lakin
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
Nina tatizo kwenye kutengeneza brand aloo! Na katika brand ndipo siri ya mafanikio imejificha, bado sijafanikiwa kwasababu sina brand. Naamini nipo karibu kuifahamu Kwa maana tangu mwaka Jana nikung'ang'anie kama kupe, nilijiona dosari na nikaanza kujitafiti katika mambo nayopendelea ili nichague mojawapo na linifae. Hivyo, si muda mrefu nitashuhudia. Nakushukuru kwa huduma nzuri yenye thamani kubwa isiyo mfano. Mungu akubariki sana. ##SeeYouAtTheTopBrother##
@beatricemapembe8941
@beatricemapembe8941 5 жыл бұрын
Asante. Acha nianze kutumia hizi njia naamini Mungu atatenda. Barikiwa sana.
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 5 жыл бұрын
Kupitia wewe namiliki uwanja Kupita ww naanza kujenga mwez wa sita Kupita ww najiona hatua nzuri sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
shuback mashinga hongera sanaa👏👏👏👏
@reganmbwilo6582
@reganmbwilo6582 3 жыл бұрын
Asant sana bro mungu azidi kukufunulia milango nakupenda aisee
@ezabron4784
@ezabron4784 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother... Furaha yangu ni kuona unaendelea kuwa hai. Mungu akubariki.
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Mm Naamini Kabisa Mungu Amekusudia Makubwa Kukuleta Duniani Baba Angu
@josephmashauri1803
@josephmashauri1803 4 жыл бұрын
Mie nataka kujenga ushawishi katika kugombea uongozi katika mtaa wangu sijui nifanyeje
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel, mm nipo kwenye point ya pili kujenga jina ,nataka nijenge jina ili nifike mbali zaid .
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka mungu azidi kukuinua zaidi na zaird ili tufike mbari kielim na kiuchumi na mungu wetu nimwenye nguvu ukiamini unacho kifanya ktk urimwengu huu
@keshenimoshi9113
@keshenimoshi9113 5 жыл бұрын
Kaka mkubwa kwa kweli Leo umenena. Kila kipengele kwangu ni muhimu. Nimeanza kuzifanyia kazi leoleo. Barikiwa Sana.
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Asante sana kaka,naamini wiki imeanza vizuri,kwa somo zuri kabisa! Unafanya kazi kubwa sana,na tunazidi kubadilika siku hadi siku,nimeanza kufanya mazoezi kitu ambacho sikuwahi kuwaza,lakini umenibadilisha bro! Asante!
@Kilianmsomi02
@Kilianmsomi02 2 ай бұрын
Asante sana kiongozi unaendelea kutujenga vema
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
Kusikiliza 👏👏👏ngoja niaze kujifuza kusikiliza watu
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
lampad shigon🤣🤣🤣Amna bn Mimi sina dharau
@roberthdismas6493
@roberthdismas6493 4 жыл бұрын
Huwa nakufatilia sana mwalimu wangu shule kwangu ilikuwa ngumu ila kwako najikuta kama ungenifundisha ww kipindi nipo shule ningepata ata one ila now kwako siitaji one yakaratsi natafuta one ya maisha kwako. No🙏
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
Asante kwa njia hizo kaka, nimegundua kwamba they are the real and best ingredient for self growth and success. Active listening is my best way to win others and attract their attention more in whatever I might have Am amazed thx👍👍
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hellen Ogego thanks Much pamoja sana
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
@@joelnanauka I greatly appreciate your work Joel, ever since I watch your first video from TANZANIA YOUTH ASSEMBLY, it change my life and following up made me develope more confidence and get new courage to face the world. God bless you MORE, your lessons are life changing👏👏
@eugenfredrick2328
@eugenfredrick2328 5 жыл бұрын
I feel happy because I am going to change my life (2019) to be better than other year!! thanks Sana my brother!!
@martinemihangwa2265
@martinemihangwa2265 5 жыл бұрын
Nataka niwe naushawishi katika katika eneo motivation speaker nisomekitabu gani ili niwe super ster katk eneo hilo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Martine Mihangwa safi sana,chagua eneo gani unataka kumotivate watu kisha hiyo “subject” ndio uisome zaidi
@mwanaishakibaro9908
@mwanaishakibaro9908 5 жыл бұрын
#seeyouatThetop thanks.. Bro joel
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana bro haya mambo ndio wanigeria wengi wanapiga bao sana kwenye Soko la jira Africa mpaka ulaya kwani wao kwenye makanisa yao huuza vitabu napia wana darasa lakufundisha mbinu za maisha. Kwetu Tanzania baadhi wao hufundisha kutoa fungu la kumi tu hapo ndio kwenye shida wape mbunu watu wakatafute ili walete... pamoja sana.. Naomba nijua je kunabaadhi ya vitabu umetafsili kwa Kishwahili?.
@Jouniorkids_
@Jouniorkids_ 5 жыл бұрын
naaamin na mimi niwekee kiwango cha juu cha kusikiliza na kuwajari watu
@mwambauliohai5043
@mwambauliohai5043 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Joel tuko pamoja
@goodluckfaresi3302
@goodluckfaresi3302 3 жыл бұрын
Asante Sana mungu akubariki ,nitayafanyia kaz mawazo yako
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Asante Joel naomba ushauriwako au muongozo wako ili kuikuza bland yangu
@zaharamussa2867
@zaharamussa2867 5 жыл бұрын
Ubarikiwe saaana kaka
@msengisimoni2087
@msengisimoni2087 5 жыл бұрын
naanza na namba 1 japo kuwa nilikua nimeanza kwasasa nimeongeza nguvu tena
@floraritha1454
@floraritha1454 5 жыл бұрын
Kaka mimi ni mshawishi mzuri sana kila bihashara ninayofanya nikikaa mwenyewe wateja wanakuja sana,lakini shida ni kukata tamaa mapema
@basamtz8674
@basamtz8674 5 жыл бұрын
Asante sana
@iranaisariamushi4087
@iranaisariamushi4087 4 жыл бұрын
Unaugusa sana moyo wangu BWANA Nanauka Mungu WA MBINGUNI akubariki
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 5 жыл бұрын
Umetisha kaka nakubali sana elim yako
@abelygelsony1008
@abelygelsony1008 5 жыл бұрын
Hongera sana kwa kaz nzur bro! mungu akusimamie
@teddysaudary7391
@teddysaudary7391 4 жыл бұрын
waaao pawerfully word be blessed
@williammyamba7655
@williammyamba7655 4 жыл бұрын
Gud
@obachristopher4389
@obachristopher4389 5 жыл бұрын
Brother habari ya wewe tunakushukuru sanaa
@jamestimothy1241
@jamestimothy1241 4 жыл бұрын
hekima na uweza ni wa bwana maana amekupa wewe kutuelimisha sisi mungu akubariki sana
@salmamasood2524
@salmamasood2524 Жыл бұрын
God bless you brother Joel me
@sadick-sebastian4052
@sadick-sebastian4052 5 жыл бұрын
Asantee sana Kaka Joel kwa ujumbe mzuriiiii wa kuwa na ushawishi starting from this year #2019
@Saitabau99
@Saitabau99 5 жыл бұрын
@joel nanauka mim nitaanza na listening hii point ni muhimu sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Jackson Saitabau safi sana
@Jouniorkids_
@Jouniorkids_ 5 жыл бұрын
nimekuelewa sana
@user-cw4en7wt8k
@user-cw4en7wt8k Жыл бұрын
Asante sana kaka joel
@chausikufarisy5
@chausikufarisy5 4 жыл бұрын
Asante nakuelewa sana mdogo wangu .
@shamisjamal8392
@shamisjamal8392 4 жыл бұрын
Nimepat kuon video yako moj tu ikanishajihish sana.. tangia hap nimekua nakufatilia san njia za mafanikio unazozieleza nilikua napit iviv kabla lakin tangia nasikiliz haya bas najihis naengeza elimu kubwa asante san mr joel #seeyoutothetop
@user-ps1hl4qc7d
@user-ps1hl4qc7d Жыл бұрын
Yuko vizuri Sana huyu Kaka appreciate bro
@alimambabazi3666
@alimambabazi3666 5 жыл бұрын
thank you for your advise may Almighty God bless you and continue to do more into your teaching Amen😀
@agnesssilvan3954
@agnesssilvan3954 3 жыл бұрын
Big up mentor, tunatakiwa kuipata sana hii elimu
@mengicacoconut8144
@mengicacoconut8144 5 жыл бұрын
Ahsante sana brother, I do in my professional
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
mengi kanazi kila la kheri,ni profession gani?
@mapinduzicomedy8598
@mapinduzicomedy8598 4 жыл бұрын
Usisahau SUBSCRIBER Chanel yetu ya KZbin MAPINDUZI COMEDY ili uwe wa kwanza kupata video zetu.Utafurahi,Utatabasamu na Utacheka kuongeza siku za kuishi bado tupo kambini kuhakikishia tunawaletea vitu vizuri na vilivyo bora na pia usisahau kunifollow INSTAGRAM MAPINDUZI COMEDY
@anthonygoyo4654
@anthonygoyo4654 5 жыл бұрын
hongera sana kka kwa elimu yako nzuriii !! God blesss you
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Shukrani sana
@thomasdamas4347
@thomasdamas4347 5 жыл бұрын
Thanks for opening my mind bro. kwaupande wangu napenda kuanza na brand hasa kw njia ya uaminifu
@violetmatovu6826
@violetmatovu6826 5 жыл бұрын
Kaka Joel unakuja lini
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
kusikiliza kwa makini ni Bora zaidi ya kuongea kwa porojo chache . . . i am blessed with youR comments, Joel.
@florachanga6983
@florachanga6983 5 жыл бұрын
Nimekupata vema my bro am so proudly
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
flora bruno pamoja sana Flora,karibu sanaaa
@juduthjuduth5038
@juduthjuduth5038 5 жыл бұрын
kaka upo vizuri Mungu azidi kukuudumia zaidi na zaidiii
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 5 ай бұрын
Asante sana kaka 🙏🏽🙏🏽 Kila siku najifunza na kuongeza kitu kwenye ubongo wangu.. Asante kaka🙏🏽😊
@mapinduzicomedy8598
@mapinduzicomedy8598 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana napenda sana masomo yako
@salwasalim5073
@salwasalim5073 4 жыл бұрын
Naomba usaidizi wenu tafadhali
@fatmamwiru7574
@fatmamwiru7574 5 жыл бұрын
Experience imenipelekea kua na passion,Asante sana bro
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Fatma Mwiru safi kabisa Fatma
@mmanuelyjames971
@mmanuelyjames971 5 жыл бұрын
@@joelnanauka naweza nikipata namba yako tukawasiliana
@marthajeremiah
@marthajeremiah 5 жыл бұрын
vizuri
@kubyunvakimwe1437
@kubyunvakimwe1437 4 жыл бұрын
Mafudisho yako imenisaaindiya sana
@adammsema6418
@adammsema6418 5 жыл бұрын
Mimi ni kutumikia Mungu nifanyeje mwalimu
@petermuganda7322
@petermuganda7322 3 жыл бұрын
binafsi kanisaidia sana. like hapa kama unamkubali mwl
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Bado naendelea kupata Elimu kwako Mungu akupe haja ya moyo wako
@drkimwaga9583
@drkimwaga9583 5 жыл бұрын
Chamwazo ni kuweza kuwajal watu wengine na pia kuweza kucklz zaid kuliko kuongya
@michaelshayo187
@michaelshayo187 4 жыл бұрын
Nimesikiliza saan masomobyako
@pudensianalinwatu5320
@pudensianalinwatu5320 5 жыл бұрын
Najifunza ving sana kutoka kwako
@salomelazaro222
@salomelazaro222 5 жыл бұрын
Kupitia ww Joel Mwez wa 6 najiona mbali
@yagmwakailagamalieli4737
@yagmwakailagamalieli4737 4 жыл бұрын
thanks for your fact
@monamzonge1398
@monamzonge1398 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Umeniongeza mno ktk kaz zang
@sadickrajabu1191
@sadickrajabu1191 4 жыл бұрын
Brand,listening and care
@aasiyaasia682
@aasiyaasia682 5 жыл бұрын
Shukraan Sana Mentor#see u at the top
@helmanmamai3709
@helmanmamai3709 5 жыл бұрын
pamoja xan kaka joel
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 Жыл бұрын
Ur Big boss ideas
@dorcase689
@dorcase689 5 жыл бұрын
asante maneno yako yanaishi nataka vitabu vyako ndugu
@maxwellwilliam534
@maxwellwilliam534 5 жыл бұрын
Nmekuelewa sanaaa brother make Mwenyewe hapa Naitwa Maxwell naweza kua kama huyo uliemtolea mfano
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Maxwell William unaweza hata kuwa zaidi,endelea kunoa uwezo wako kila siku
@lidyaleganya940
@lidyaleganya940 5 жыл бұрын
Asante mwalim
@movies_store01
@movies_store01 5 жыл бұрын
Sioo unaanzaa tuuh na somoo salimiaa wadauu
@linahmathew7451
@linahmathew7451 3 жыл бұрын
Thank you bro joel..
@davidmwampunga4939
@davidmwampunga4939 5 жыл бұрын
Nicely
@khalimbossa6266
@khalimbossa6266 5 жыл бұрын
ningependa kuanza na suala Zima katika usikilizaji,, ''Double the rate of listening or earing and not the rate of talking or speaking,'"
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
Kuongeza ability to listening pamoja na branding hizi ni muhimu sana kwangu 2019 #See MeAt theTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
zuhura Abdilah umetisha sana zuhura,mi nakutakia mafanikio zaidi
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
Joel Nanauka thank you bro blessing nyingi kwako
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 Жыл бұрын
Nahitaji mbinu ya kushawishi biashara yangu
@cheddykipingu8087
@cheddykipingu8087 5 жыл бұрын
we're together Mr Urther..😇
@magretymabuga2987
@magretymabuga2987 5 жыл бұрын
Asante. 31/12/2019 Nakuja na shuhuda
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
magrety mabuga nausubiria kwa hamu
@magretymabuga2987
@magretymabuga2987 5 жыл бұрын
🙏
@juliusmysory2745
@juliusmysory2745 5 жыл бұрын
kiukweli ninasiku nyingi nakusikiliza na nakuaminia sana tens sana
@merickmkugus8730
@merickmkugus8730 3 жыл бұрын
Kusikiliza
@johnharaba9064
@johnharaba9064 2 жыл бұрын
Nice
@mgwamamsanango8240
@mgwamamsanango8240 3 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yako
@neemafadhili7989
@neemafadhili7989 5 жыл бұрын
hello kiukweli kipaj ulicho nacho nizaid ya kipaj tangu nilipo anza kutzama video zang nmekua mtu mwenye furaha pia nme thubutu kuanza kutimiza ndoto yang
@salmamasood2524
@salmamasood2524 Жыл бұрын
Ktk mwaka huu najifikiria kufanya biashara napia nataka kujenga
@simonnrwiza1542
@simonnrwiza1542 3 жыл бұрын
akika unaupanua ubongo wangu unanifanya niamini kuamafanikio ni umakini wakufikiri
@eliamalaki9861
@eliamalaki9861 5 жыл бұрын
Good
@godfreykatunzi9680
@godfreykatunzi9680 5 жыл бұрын
Kusikiriza nakutomzarau mtuu
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 Жыл бұрын
Amen
@giftibrahimuamulike5963
@giftibrahimuamulike5963 5 жыл бұрын
Jambo ambalo ningependa kuhazanalo ni la kusikiliza watu
@thomasmsangi3430
@thomasmsangi3430 Жыл бұрын
Nakutafuta kaka joel
@editordominick6879
@editordominick6879 5 жыл бұрын
Thank you
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 110 МЛН
HATUA ZA KUJENGA USHAWISHI - JOEL NANAUKA
12:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
LIFE WISDOM : JINSI YA KUWA NA FURAHA
15:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Jinsi ya kupanga malengo kitaalamu  Paul Magola
5:36
Paul Magola
Рет қаралды 10 М.
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 4,5 М.
Gender Intelligence  Mwanamke Vs Mwanaume - Joel Nanauka
15:13
Joel Nanauka
Рет қаралды 31 М.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
JENGA MTANDAO (NETWORKING) - JOEL NANAUKA
8:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
Namna Gani Unaweza Kupanua Biashara Yako
8:55
Joel Nanauka
Рет қаралды 21 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 58 М.
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН