Tazama bondia Mtanzania, Ibrahim Class alivyomlambisha mchanga Mzimbabwe Ndodana Ncube kwenye pambano la ngumi lililofanyika Mkwakwani #anganwadi
Пікірлер: 80
@naimabdul123111 ай бұрын
Ibrahim big up wewe ndio mwamba wa tanzania
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
eti tank limetoboka, upepo umekata ule mpaka anakumbatia sema Ibra alikuwa anamkataa big up the classic 🔥👏💪🇹🇿🇦🇪
@raphaelkanoni3453 Жыл бұрын
Duh huyu Ibra ni fire 🔥 aisee. Naona Kuna wakati anatumia defence ya Kibega Kama ya Mayweather 💪
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Sema mdogo wangu hiyo gad ni nzuri kwa mtu mvivu kupiga Ngumi mtu mwenye kupiga Ngumi nyingi ata kuuwa . Maana muda mrefu adai atàkushambulia sema safi ngoja zawadi Yako.
@immahjr.4622 Жыл бұрын
Huyu ndodana ni bondia kwel kwel Kaz nzur ibraah 🇹🇿🇹🇿❤️🦁
@ommywatanga8759 Жыл бұрын
Ila SEMA nini mpinzani nae anajuwa nimisteki2 zamchezo ameonyesha uwezo,Rispect kwa ibra kazikazi mwamba mchezo ulikuwa mzuri sana mabondia wote wamepambana japo tulikuwa tunamtafuta mshindi
@upendosteven6733 Жыл бұрын
Tatizo Tanzania mnachagua mabondia dhaifu ndio shida moja kingine hatuna utu Wala bondia wetu hawathamini kesho mgeni anakuja kwetu unampiga bado unamzomea sio vizuri huo sio mchezo watatukataa kuja kwetu tuwe na utu kiasi kingine tumuweke Mungu mbele Ila bondia wanaenda kwa waganga Sana
@emmanuelaloyce932 Жыл бұрын
Watanzania tupo vizuri sana kwa upande wa boxing ,nadhani serikali ifanye kuinvest upande huu 🙏🙏🙏
Kwani ibrah alipigana na mwakinyo? Kila mtu bora kwa uzito wake au unafikiri wanaokota tu haya ww na ww mkapigane kuwa na akili
@benjamachimo6424 Жыл бұрын
Nakubali
@mohamedingoto786 Жыл бұрын
Fundi nakubali mzik wa uyujomba ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊
@shukumsonge7931 Жыл бұрын
wakiduku ndo no 1
@yakobomchete820 Жыл бұрын
Jombaa na ww omba game utoke nje ya nchi
@mfalmemmoja4145 Жыл бұрын
Huyo MC hajui , hana ladha kabiisa yakuendesha shughuli za ngumi, Tanzania ina watu wengi wenye vipaji ila huyu amezorota sana. ABADILISHWE
@paulokiruwa9879 Жыл бұрын
Team mandonga
@user-cb5lr7ct8s5 ай бұрын
😮kabebwa
@samwelimadaha767 Жыл бұрын
Pambano Zurich, mambondia walijiandaa na wana mazoezi.. NB. Azam hapa hamjatundea haki, mnatuwekea hadi wana badilisha gloves zimefunguka wanafunga tena sek 15, mnakula MB zetu bila ulazima. Summary nzuri sio ndefu, ila ina matukio muhimu na inaeleweka.. Tujariane basi gharama za Internet na bundle ... Kwa sauti ya wananchi..
@mropeamadeus54 Жыл бұрын
Fundi mtulivu sana big up
@abdulsintoro5797 Жыл бұрын
Lkn m zibabwe nae yupo vizuri kutoboa rounds 8 na Ibrahim
@tumainichapaulinje2775 Жыл бұрын
Team ibra
@denispeter9663 Жыл бұрын
Kongole class ibra
@ShaqueeBlackrapper Жыл бұрын
Ibrahim class super talented
@alexkobe2195 Жыл бұрын
Kak unajitahidi sana
@cmb6342 Жыл бұрын
Huwezi kumfananisha mwakinyo nà bondia yeyote wew
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Mdogo wangu wakati wote aniangushi ntakufurahisha nizichangachanga nikutafutie zawadi .utakayokuwa ukinikimbuka ktk maisha Yako.Classic Maweeeee.
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Hongera Sana endelea kutembeza kpg
@ibraabuemu9231 Жыл бұрын
Hongera
@johnmagoma5171 Жыл бұрын
du ngumi unaweza cheza vzur ila ukapigwa moja tu ukaanza kuona nyota
@samsonhenry3871 Жыл бұрын
Ibra ana sanaa ya ngumi, hatumii nguvu sana, ila akili
@naomimbise-zp1xm9 ай бұрын
Nasikiliza mashabiki 😅
@sakhashboy1005 Жыл бұрын
Ila jamaa kapambana sana isipokua kama ngumi zake hazikua na nguvu sana
@randhamisi8691 Жыл бұрын
Ila mwamba alieshindwa ana jua sana ila ana matunzo tu
@husseinkonz5192 Жыл бұрын
Ibrah Yupo Vzr
@lindasonmisuko Жыл бұрын
Jamaa ni km meiweza ndo mana amemuweza
@rashidikapilima-qi4no9 ай бұрын
Akuna muhehe fara
@saidmailo8491 Жыл бұрын
Ibrahim poa sana mawe maweeèeee
@RashidKitumbo Жыл бұрын
hizi sasa ndio ngumu
@smartboyeze2190 Жыл бұрын
Kamanda!
@ayubuamsonjr9437 Жыл бұрын
Kila siku tanzqnia inashinda siku nyngine mpigwagwe bhna khaaa😅 tunachoka sasa kuwashangilia
@emmanuelakutulaga9756 Жыл бұрын
Mandonga ndio Huwa anapigwa.
@allymwazoa8750 Жыл бұрын
Kama watu wangejua kua class alitoka kwenye drip dakika chache kabla ya pambano baada yakudondoka chumbani hata wasingekua na matumaini makubwa na Amani kiasi hiki.Kweli pambano lina mambo mengi sana
@abdallahahmed2776 Жыл бұрын
Ibra yuko vizuri ila watangazaji akipigwa ibra hamuongei mpaka apige yy ndio waseme ngumi nzuri haitakiwi hivi
@upendosteven6733 Жыл бұрын
Nimekukubali ata Mimi ni mtnznia Ila Tanzania tunapenda sifa za kijinga Sana ndio pia wanachaguliwa mabondia dhaifu ndio wanaletewa
@thehunter5920 Жыл бұрын
Mmalawi kazidiwa pumzi tu mwishoni
@christophertz Жыл бұрын
Mzimbabwe
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Mmalawi hapo n mpiga picha au
@user-cb5lr7ct8s5 ай бұрын
Kwaza amesukuma alafu marefarr wetu hamna kit
@user-ot2io4cy6w Жыл бұрын
Huyu Ibra anapigana kama Mayweather daaadeq....
@abdallahsaidy4600 Жыл бұрын
Nmkubl san ibr
@nancykagera9197 Жыл бұрын
Huyu jamaa namjua sio mzimbabwe sema maisha tu kaona Bora atokee mbali uwenda anaweza akatoa maisha.
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Ni wawapi
@nancykagera9197 Жыл бұрын
@@shadrackkassale2968 just kidding ndugu yangu
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Aliyevaa cap 🧢 nyeupe na t shirt nyeupe Kwa mashabiki ni dula mbabe au ni macho yachu