NILIACHA CHUO CHINA KUPAMBANIA NDOTO YANGU YA HOLLYWOOD

  Рет қаралды 26,522

Witness Vlog

Witness Vlog

10 ай бұрын

Пікірлер: 182
@DIEUDONNEAMISI-ex4dl
@DIEUDONNEAMISI-ex4dl 9 ай бұрын
jack jieshimu kigoma tuwajanja wewe unachezea mwisho wa reli wewe lakini wote wa tanzania ni utani tu na mimi niko USA
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣si ndioo. Habari za uko
@annamussa185
@annamussa185 9 ай бұрын
Wity sisi wasukuma wajanja bwana harafu wa kaka wa handsome wadada kaka mimi warembo hatari😍💐💐💐
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
🤣🤣 Mnajitahidi sana
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Marekani ina uchumi mkubwa lakini uchumi wa marekani hauna faida kwa watu wake,nguvu kubwa ya uchumi wa marekani umeishia kwenye kulijenga jeshi lao.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 10 ай бұрын
Siyo kweli FANYA tafiti za kutosha
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Wanajitangaza sana wamarekani kwa sababu media nyingi nizakwao
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 9 ай бұрын
Moja ya watu nawakubali sana jack ni moja ya vijana ambao wanapenda kuwaonyesha njia piya sana vijana wenzao
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
Hakika yani 🙌🏾🙌🏾
@nurupaje9041
@nurupaje9041 8 ай бұрын
Jack nampenda sana nilianza naje akiwa na 10k
@gaspermadumla5800
@gaspermadumla5800 10 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ambaye nimekuwa nikikufatilia Jack muda mrefu. Ubarikiwe
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Nimefurahi sana kujua
@AMOSJOHN-ln8xq
@AMOSJOHN-ln8xq Ай бұрын
Dada​@@Witnessvlog
@WaweruG
@WaweruG 10 ай бұрын
Kiswahili ya huyu Mwamba Jack wa USA huwa top notch.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Hatari🔥
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Marekani haina good social benefits kama inchi zingine za ulaya.kwa mfano canada,Norway,Denmark, Sweden, Finland, Germany, nertherland, Belgium, France, Austria, Ireland, UK, luxembourg, Switzerland, austalia,newzealand. Hizo ndo ichi za kutafutia maisha ndo inchi za kuishi,acheni kutafuta maisha ya kinamarekani,marekani ningumu sana ku survive.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
I agree hapo kwenye social services. Europe is good hapo
@habibarnabas
@habibarnabas 10 ай бұрын
Ni kweli kabsa nchi za ulaya ziko powah sana
@rich.kizza10
@rich.kizza10 10 ай бұрын
lakini Canada haipo Ulaya
@user-lg8zy1st1c
@user-lg8zy1st1c 10 ай бұрын
Bills ni wewe mwenyewe na sifa zako, unless otherwise bills nyingine zote ni zile zile kama za Tz, OYA MTZ UKIPATA CHANCE YA MAREKANI USIACHE watu tuna 5 yrs tu, ila tumepga hatua za ajabu
@chapamoko3067
@chapamoko3067 10 ай бұрын
Hapo german ni mtumbwi wa vibwengo bora urusi hao wagerma n wabaguz knoma
@Tiffany340
@Tiffany340 9 ай бұрын
Binafsi napenda sana kumfatilia jack,huwa nakuelewa na kujifunza kwa maelezo yako.🙏💖
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
He is amazing
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 7 ай бұрын
​@@WitnessvlogHabari yako dada yangu samahani vp kuhusu visa nataka kuja marekani naomba msaada kwa hilo please🙏🙏
@deusntobi1450
@deusntobi1450 10 ай бұрын
Jack home boy kabsa. Chali mjanja sana na kuna kitu ndani yake Mungu awe nae na hata akatimize yote yaliyomatarajio yake.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Amen! yuko vizuri sanaa
@carlmax2221
@carlmax2221 10 ай бұрын
Mimi ni raia wa Kenya 🇰🇪 natazama hapa Rome Italy 🇮🇹
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Nimefurahi sana kujua. Salaam Rome
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Watu ndo wanaopendaga kuipambia marekani,na marekani yenyewe inajitangaza sana kwamazuri lakini ina mabaya mengi
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Yes! power of branding. Wanajua kujibrand
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 10 ай бұрын
This is your best interview my sister🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Aw it is. Thank you so much
@upendolema9809
@upendolema9809 8 ай бұрын
Namfatilia sana Jack❤❤❤
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 10 ай бұрын
Watz n wachache L.A Lakin niliona pamoja na uchache wao lakin walileta hamsha hamsha Kidogo
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Kabisa they were so loud
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm 8 ай бұрын
Saivi umetusaliti mkali unabonga english tu hutúambii kwa kiswahili mkali
@Witnessvlog
@Witnessvlog 8 ай бұрын
😂🙌🏾
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Dada yangu witnesses achana na mawazo ya marekani ila kama unataka kwenda kutembea siyo mbaya lakini siyo pakuishi,icho kiwanja ulichopo dada yangu nikiwa bora sana kuliko marekani.
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Denmark is among of the best country to live my sister witness,be proud of Denmark that beautiful.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thanks and i am happy that i am here. Maswali nayouliza ni kwa faida ya wengine pia
@msengasikaonga3039
@msengasikaonga3039 10 ай бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Habari za kitwe? nashukuru sana
@MulumeBaragizi
@MulumeBaragizi 4 ай бұрын
Guanini Willis she also making my community
@majutoeliasi
@majutoeliasi 10 ай бұрын
Marekani ni nchi imbayo inajipenderea sana
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Inajipromote sana
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Mshahara wote mkubwa utakaoupata marekani utaishia kwenye bills,wana bills za ajabuajabu sana,kilakitu kwao ni pesa.
@lucksonomari4999
@lucksonomari4999 10 ай бұрын
Wewe mwenyewe uko Bongo haulipi bills, stima, maji, takataka, shule hulipi Karo na hospitali unatibiwa bure?
@devidjav3583
@devidjav3583 8 ай бұрын
Izi vitu kama nyumba ambazo wanajenga Africa iyo hela wanatoa wapi?
@Witnessvlog
@Witnessvlog 8 ай бұрын
@devidjav3583 Ukipokea pesa in USD ukiileta bongo inathamani zaidi kuliko huku. So ni rahis kuendeleza home
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Marekani inashindwa sana na inchi zingine za ulaya kimaisha
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm 8 ай бұрын
Noma sana aisee
@vicentjohn
@vicentjohn 8 ай бұрын
Nice enterview Jack
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Alafu kitu kingine haina usalama hata kidogo,kupigwa bunduki au kuchomwa kisu marekani ni mambo ya kawaida,ujambazi nimambo ya kawaida,ukabaji nimambo ya kawaida,utekaji nyara nimambo yakawaida,yani mabaya yote yapo marekani lakini hawayaoneshi kwenye TV.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Kwakweli that part is scary
@AllyMwaugali
@AllyMwaugali 10 ай бұрын
Kila sehemu kuna matatizo yake kama UK karibu kila siku watu wanauana Kwa kuchomana visu,Jana tu binti wa miaka 15 alikua anaenda shule kachomwa kisu kafariki
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
🥹🥹That is very sad kwakweli. Ni kuomba Mungu atuepushe na majanga
@amosmahona433
@amosmahona433 4 ай бұрын
OK
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 10 ай бұрын
waooh kaka jack
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
👏🏾👏🏾
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Habarini ndugu . Subscribe kwenye channel ya jack 👇🏿 youtube.com/@jackwausa?si=N3NYrNlsCCnQTWYm Pia Naombeni usubscribe kwenye channel yangu ya pili ya kingereza youtube.com/@witnessvlogenglish?si=ut-wRUSgEPFfvfSi Asante
@Ajome_Family
@Ajome_Family 10 ай бұрын
Interview imetulia
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Asante sanaa
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 10 ай бұрын
Niko USA 🇺🇸 ni pazuri na pesa ina patikana vizuri tu.
@LinahRwambali
@LinahRwambali 10 ай бұрын
Duh mnatuchanganya sasa embu wewe wa marekan tupe picha kamili mwaya,pesa ipo au haipo,na kama ipo ipo kwa non professional jobs au professional jobs?
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Nashea experience za watu na kila mtu ana experience yake.
@happymaimu4330
@happymaimu4330 9 ай бұрын
Mm natamani kuja huko KUSOMA postgraduate nifanyaje ndugu?
@devidjav3583
@devidjav3583 8 ай бұрын
​@@happymaimu4330apply Kwa shule direct
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 10 ай бұрын
Jacque umedili lisha
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 6 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah
@dictarchelsea
@dictarchelsea 10 ай бұрын
witness ko wasukuma ni washamba Sisi??🙄😂 tutawashangaza
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
🤣🤣🤣nisameheni jamani
@laurentedward1081
@laurentedward1081 10 ай бұрын
Nili fatilia china na marekani kwenye miji na vijiji daaaa China iko juuu Zaid
@kwisa4899
@kwisa4899 10 ай бұрын
china hakuna kazi kwa wageni
@amoskagika8884
@amoskagika8884 8 ай бұрын
@@kwisa4899kabisaaaa
@charlesjaphet5768
@charlesjaphet5768 10 ай бұрын
Nipo Tanzania nawapata vizuri
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thank you charles
@James-g7y
@James-g7y 10 ай бұрын
Wow. Congratulations dada
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thank you kaka
@Directorsunga
@Directorsunga 10 ай бұрын
Watu wangu wa nyumbani kabisa mlimhola ghete 😊
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Mhola sana
@khadijaismail8427
@khadijaismail8427 10 ай бұрын
Mhola sana ong'wese
@umelamedia
@umelamedia 10 ай бұрын
All in all Tanzania 🇹🇿 tuko poa
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thank you so much for watching
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Marekani ni jina tu,lakini ni inchi ya kipumbavu sana,siyo inchi ya kuishi
@ahmedjuma397
@ahmedjuma397 10 ай бұрын
marekani ni ngumu sana kama hutokua mpambanaji na kama hautoheshimu na kufata sheria zao ila kwa kipato mimi sitaki kwenda nchi nyengine mana najua sitopata kama ninavopata hapa watu wengi wavivu hukimbilia canada kwenda kulelewa na serikali 😅 by the way majembe tu ndo tunaweza kuishi USA nyie wengine bakini uko mulipiwe kodi na serikali
@williamkeita1519
@williamkeita1519 9 ай бұрын
Respect from 255
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
Thank you William
@MulumeBaragizi
@MulumeBaragizi 4 ай бұрын
You have a panda sound like Tanzania me navigate
@ahazimzebo9086
@ahazimzebo9086 10 ай бұрын
Interview ni nzuri
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Shukrani sana kwa kuangalia
@user-xo5cx2ru2t
@user-xo5cx2ru2t 10 ай бұрын
Good interview
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thank you
@Eng2460
@Eng2460 5 ай бұрын
Nice interview,Hongera witness🤝
@Witnessvlog
@Witnessvlog 5 ай бұрын
Asante sana Davis.
@denissilver3551
@denissilver3551 10 ай бұрын
Watanzaniaaa mpo wachacheeee
@Directorsunga
@Directorsunga 10 ай бұрын
Actually this is most valuable interview I have watched 🎉🎉❤❤
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Say that again🙌🏾👏🏾👏🏾. Sure it is. Thank you for the feeback
@user-ij9sc8cp8v
@user-ij9sc8cp8v 10 ай бұрын
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
❤️❤️
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 10 ай бұрын
Ngoja niweke bando kbs wooou🎉😢😅😅😅😂
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Haswaa🙌🏾👏🏾
@thomasadriano4191
@thomasadriano4191 10 ай бұрын
Nakupata vizuri kutoka kahama,kagongwa
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Salaam Kahama
@thomasadriano4191
@thomasadriano4191 10 ай бұрын
@@Witnessvlog zimewafikia saaana wasalimie huko ulikoooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
@thomasadriano4191 Shukrani sana
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Siyo tu calfornia yenye homeless,karibia marekani nzima ina homeless.
@dorahmcharo3083
@dorahmcharo3083 10 ай бұрын
Wanaoongoza kwa homeless nahisi ni Philadelphia, New York upande wa chini na New Jersey. Hii miji kuna maeneo ni machafu imejaa mateja unaweza hisi haupo America.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
@dorahmcharo3083 whoa! asante kwa kutwambia zaidi
@kwisa4899
@kwisa4899 10 ай бұрын
Homeless ni kawaida wanalipa rent kwa mwezi
@MichaelSimba-nk7mu
@MichaelSimba-nk7mu 8 ай бұрын
Ukiwa na Utashi
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 5 ай бұрын
Sababu ya homeless ya watu weusi ni history yao ya discrimination, Jack kasahau hiyo.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 5 ай бұрын
It might be a reason but not necessarily. Thank you for your comment
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 5 ай бұрын
Hey there kaka Jack... ok tuingie kwenye debate basi... you ever see parts of the county in a state like Mississippi that have alot of minorities... check out their services there.. go to that Walmart or another store. Compare to a Walmart in Hollywood or with a huge caucasian people. Very different. Prices, items etc. Clinics, day cares, even hospitals they are quite different in terms of their services they provide depending on locations. Now having said, I completely agree with you that it may not be a direct reason why people are homeless but it's definitely a contributing factor. It makes it harder but not impossible for a black or minority person living and competing on unequal territory. Think about it? nakupenda bure lakini !!!and (by the way you are talking to an educated lady with a Masters Degree in Social Work attained at Howard University....lol. one day would love tuongee face time on how allocation of resources in this country is a huge contributing factor to homelessness..
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 5 ай бұрын
Also this one is also a huge factor that you mentioned. Mental health. In terms of Alcoholism and drugs, this is a huge factor. They continue to target the minority population on where pombe is sold. Kila kona kuna maduka ya pombe in a poor area, very sad 😿
@Witnessvlog
@Witnessvlog 5 ай бұрын
@ruthmukami7573 Well said. Hata miaka ya nyuma wazungu walisambaratisha umoja wa waafrika kwa kuwauzia drugs ila wasifight against American racist system
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 10 ай бұрын
Uko na mwanangu jack mzee rodeo drive 😅
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
😊 He is good
@user-jy3sw2jj4f
@user-jy3sw2jj4f 10 ай бұрын
brother Ako anaye anaye fanya vulgo Russian account yake ya KZbin inaitwa je
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Sijaelewa
@mcjadu2513
@mcjadu2513 10 ай бұрын
Dar es salaam Tanzania 🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
I see you😊
@user-mt3id9lt2n
@user-mt3id9lt2n 10 ай бұрын
From tz no problem Jack wa U S A Niko zangu home chekanao village kiteto manyara nakufwatilieni Na my ccter witness
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thank your bro
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. 10 ай бұрын
Wa nyumbn kbc matui me nipo namibia
@user-mt3id9lt2n
@user-mt3id9lt2n 10 ай бұрын
@@zuli.comedy. Allah atulinde sote ndugu yangu
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 5 ай бұрын
Mambo from Daresalam vip uko manyara
@nassinassor872
@nassinassor872 10 ай бұрын
Na inchi nyingine nzuri kwa kuishi ni iceland
@ahmedjuma397
@ahmedjuma397 10 ай бұрын
ndugu nipo marekani sio miaka mingi nimeingia hapa ila watu wavivu na wasio wachapa kazi nimewapita kimaendeleo sana na wao wamenitangulia kwa miaka 5 sasa kama wewe ni mpambanaji marekani ni sehemu ya kutengeneza maisha kwa haraka sana ukijituma uhakika kwa kazi hizi za kawaida utaingiza hata dola laki 1 kwa mwaka iyo ni kazi ya kawaida endapo utakua na social ila uwe ni mpambanaji sio unafanya masaa 8 kisha unaenda kulala nyumbani na kujiposti instagram bill ni kawaida watu wanakopa magari wanakopa nyumba sasa kwanini usilipe na umekopa ok kodi za serikali za ni za kawaida ambazo zinakuja kurudi kwako baadae km hazijarudi basi zitakusaidia kwa njia tofauti
@stannydidasy
@stannydidasy 10 ай бұрын
🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
🔥🔥
@sospeteralex378
@sospeteralex378 10 ай бұрын
Nipo mwanza
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Thanks for watching
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 8 ай бұрын
Mbona km mnafanana saaana
@Witnessvlog
@Witnessvlog 8 ай бұрын
🤣🤣🙌🏾
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 10 ай бұрын
Ninakuona home boy
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
🙌🏾
@soweto05
@soweto05 10 ай бұрын
Niko kigoma nakufatilia sana ja wa usa.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Asante sana kwa kuangalia. Hakika yuko vizuri
@juma2979
@juma2979 10 ай бұрын
Nchi nzr kwa kuishi ni Dubai peke yke coz hii nchi huckii mtu kauwawa kwa kuchomwa kisu au kupigwa risasi yani UAE iki vzr sana.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Ila kweli sijawahi sikia matukio ya hivyo dubai. Wako vizuri kwakweli
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 10 ай бұрын
Na australia je?
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 9 ай бұрын
Waarabu Wana ubaguzi WA kazi Kwa wageni sanaaa kingine nao wanauwana Tu mfano majuzi Tu kijana kapewa adhabu ya kachinjwa sababu kamuua binamu yake yaani mauwaji NI dunia nzima Tu nchi zuri za kuishi NI ulaya na canada
@devidjav3583
@devidjav3583 8 ай бұрын
​@@anastaziamathias8861Kwa usalama hakuna nchi inafika kiwango Cha UAE, very safe ila kule unaishi tu kazi za mshahara mdogo haki maisha dubai
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 10 ай бұрын
RUDINI NYUMBANI KUMENOGA
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Twaja twaja
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌。
@user-ju8dn5jt3p
@user-ju8dn5jt3p 9 ай бұрын
Jack uko poa san
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
Yuko vizuri mnoo
@CarvinMichael
@CarvinMichael 9 ай бұрын
@@Witnessvlog Jack .nakuelewa sana unaotuonyesha mitaa.kama tumefika malekan
@Witnessvlog
@Witnessvlog 9 ай бұрын
@CarvinMichael Kabisa
@Arnolvel
@Arnolvel 10 ай бұрын
Mnaikandia USA lol!!! Kila mtu na priority yke
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
Ni kweli kila mtu ana mawazo yake
@neemahappyeverafter6181
@neemahappyeverafter6181 10 ай бұрын
@jackwausa watu wa kigoma tunaku zoom hapa .
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
🤣🤣Yani ni uchokozi huo
@happynessphilemon-qz8rf
@happynessphilemon-qz8rf 9 ай бұрын
Instagram ya Jack ni ipi?
@barakayusuph4617
@barakayusuph4617 7 ай бұрын
jacchalz
@msengasikaonga3039
@msengasikaonga3039 10 ай бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog
@Witnessvlog 10 ай бұрын
I see you brother
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 10 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 77 МЛН
FURSA YA KUJA DENMARK KWA KILIMO  NA HOTEL KWA MASHARTI RAHISI
4:20
STORY TIME | HOW & WHERE I MET MY DANISH HUSBAND
37:32
Witness Vlog
Рет қаралды 758
Unaenda Marekani Unarudi Tanzania???--My Real American Experience
9:34
USHAURI KUHUSU JOINT ACCOUNT NA MWENZA WAKO
3:45
Witness Vlog
Рет қаралды 84
FURSA YA KUJA KUFANYA INTERNSHIP DENMARK
15:25
Witness Vlog
Рет қаралды 1,1 М.
Всегда проверяйте зеркала
0:19
Up Your Brains
Рет қаралды 22 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,3 МЛН
LEVITATING MAGIC REVEALED 😱😳
0:18
Milaad K
Рет қаралды 32 МЛН
Gymrat CAT is a CHEATER?! 🙀 #kitten #cat #cute #aicat
0:45
Stunning Cat Stories
Рет қаралды 17 МЛН