NILIACHA CHUO CHINA KUPAMBANIA NDOTO YANGU YA HOLLYWOOD

  Рет қаралды 27,613

Witness Vlog

Witness Vlog

Күн бұрын

Пікірлер: 189
@matunzojr4862
@matunzojr4862 6 ай бұрын
The best combination ever, ntafunga WiFe home niwafatilie Jack & Witness am very inspired with you guys
@Witnessvlog
@Witnessvlog 6 ай бұрын
This was my best interview as well. Thank you
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Moja ya watu nawakubali sana jack ni moja ya vijana ambao wanapenda kuwaonyesha njia piya sana vijana wenzao
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Hakika yani 🙌🏾🙌🏾
@gaspermadumla
@gaspermadumla Жыл бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ambaye nimekuwa nikikufatilia Jack muda mrefu. Ubarikiwe
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Nimefurahi sana kujua
@AMOSJOHN-ln8xq
@AMOSJOHN-ln8xq 8 ай бұрын
Dada​@@Witnessvlog
@nurupaje9041
@nurupaje9041 Жыл бұрын
Jack nampenda sana nilianza naje akiwa na 10k
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Marekani haina good social benefits kama inchi zingine za ulaya.kwa mfano canada,Norway,Denmark, Sweden, Finland, Germany, nertherland, Belgium, France, Austria, Ireland, UK, luxembourg, Switzerland, austalia,newzealand. Hizo ndo ichi za kutafutia maisha ndo inchi za kuishi,acheni kutafuta maisha ya kinamarekani,marekani ningumu sana ku survive.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
I agree hapo kwenye social services. Europe is good hapo
@habibarnabas
@habibarnabas Жыл бұрын
Ni kweli kabsa nchi za ulaya ziko powah sana
@rich.kizza10
@rich.kizza10 Жыл бұрын
lakini Canada haipo Ulaya
@peterlupandisha
@peterlupandisha Жыл бұрын
Bills ni wewe mwenyewe na sifa zako, unless otherwise bills nyingine zote ni zile zile kama za Tz, OYA MTZ UKIPATA CHANCE YA MAREKANI USIACHE watu tuna 5 yrs tu, ila tumepga hatua za ajabu
@chapamoko3067
@chapamoko3067 Жыл бұрын
Hapo german ni mtumbwi wa vibwengo bora urusi hao wagerma n wabaguz knoma
@annamussa185
@annamussa185 Жыл бұрын
Wity sisi wasukuma wajanja bwana harafu wa kaka wa handsome wadada kaka mimi warembo hatari😍💐💐💐
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🤣🤣 Mnajitahidi sana
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Жыл бұрын
This is your best interview my sister🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Aw it is. Thank you so much
@vicentjohn
@vicentjohn Жыл бұрын
Nice enterview Jack
@FADHILIAHAMADI-n9j
@FADHILIAHAMADI-n9j 24 күн бұрын
👊👊👊
@Witnessvlog
@Witnessvlog 24 күн бұрын
🙌🏾❤️
@FADHILIAHAMADI-n9j
@FADHILIAHAMADI-n9j 24 күн бұрын
@Witnessvlog 🫡🫡
@upendolema9809
@upendolema9809 Жыл бұрын
Namfatilia sana Jack❤❤❤
@Tiffany2-Jr
@Tiffany2-Jr Жыл бұрын
Binafsi napenda sana kumfatilia jack,huwa nakuelewa na kujifunza kwa maelezo yako.🙏💖
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
He is amazing
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 Жыл бұрын
​@@WitnessvlogHabari yako dada yangu samahani vp kuhusu visa nataka kuja marekani naomba msaada kwa hilo please🙏🙏
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm Жыл бұрын
Noma sana aisee
@WaweruG
@WaweruG Жыл бұрын
Kiswahili ya huyu Mwamba Jack wa USA huwa top notch.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Hatari🔥
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Wanajitangaza sana wamarekani kwa sababu media nyingi nizakwao
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 Жыл бұрын
Mashaalah alhamdulilah
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Marekani ina uchumi mkubwa lakini uchumi wa marekani hauna faida kwa watu wake,nguvu kubwa ya uchumi wa marekani umeishia kwenye kulijenga jeshi lao.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Жыл бұрын
Siyo kweli FANYA tafiti za kutosha
@Eng2460
@Eng2460 Жыл бұрын
Nice interview,Hongera witness🤝
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Asante sana Davis.
@williamkeita1519
@williamkeita1519 Жыл бұрын
Respect from 255
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank you William
@nduwimanaLaziz
@nduwimanaLaziz Жыл бұрын
Good interview
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank you
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 Жыл бұрын
waooh kaka jack
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
👏🏾👏🏾
@carlmax2221
@carlmax2221 Жыл бұрын
Mimi ni raia wa Kenya 🇰🇪 natazama hapa Rome Italy 🇮🇹
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Nimefurahi sana kujua. Salaam Rome
@swaijames
@swaijames Жыл бұрын
Wow. Congratulations dada
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank you kaka
@Ajome_Family
@Ajome_Family Жыл бұрын
Interview imetulia
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Asante sanaa
@deusntobi1450
@deusntobi1450 Жыл бұрын
Jack home boy kabsa. Chali mjanja sana na kuna kitu ndani yake Mungu awe nae na hata akatimize yote yaliyomatarajio yake.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Amen! yuko vizuri sanaa
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Watu ndo wanaopendaga kuipambia marekani,na marekani yenyewe inajitangaza sana kwamazuri lakini ina mabaya mengi
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Yes! power of branding. Wanajua kujibrand
@amosmahona433
@amosmahona433 10 ай бұрын
OK
@ahazimzebo9086
@ahazimzebo9086 Жыл бұрын
Interview ni nzuri
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Shukrani sana kwa kuangalia
@MohamedAlly-h4u
@MohamedAlly-h4u Ай бұрын
Jack leo ni km yupo Bongo.....Kiswazi mwanzo mwenga!
@Witnessvlog
@Witnessvlog Ай бұрын
Umeona eeh! yuko vizuri mnoo
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Marekani inashindwa sana na inchi zingine za ulaya kimaisha
@DIEUDONNEAMISI-ex4dl
@DIEUDONNEAMISI-ex4dl Жыл бұрын
jack jieshimu kigoma tuwajanja wewe unachezea mwisho wa reli wewe lakini wote wa tanzania ni utani tu na mimi niko USA
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣si ndioo. Habari za uko
@MulumeBaragizi
@MulumeBaragizi 10 ай бұрын
Guanini Willis she also making my community
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm Жыл бұрын
Saivi umetusaliti mkali unabonga english tu hutúambii kwa kiswahili mkali
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
😂🙌🏾
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m Жыл бұрын
Jacque umedili lisha
@majutoeliasi
@majutoeliasi Жыл бұрын
Marekani ni nchi imbayo inajipenderea sana
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Inajipromote sana
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Dada yangu witnesses achana na mawazo ya marekani ila kama unataka kwenda kutembea siyo mbaya lakini siyo pakuishi,icho kiwanja ulichopo dada yangu nikiwa bora sana kuliko marekani.
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Denmark is among of the best country to live my sister witness,be proud of Denmark that beautiful.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thanks and i am happy that i am here. Maswali nayouliza ni kwa faida ya wengine pia
@Directorsunga
@Directorsunga Жыл бұрын
Actually this is most valuable interview I have watched 🎉🎉❤❤
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Say that again🙌🏾👏🏾👏🏾. Sure it is. Thank you for the feeback
@MulumeBaragizi
@MulumeBaragizi 10 ай бұрын
You have a panda sound like Tanzania me navigate
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Жыл бұрын
Watz n wachache L.A Lakin niliona pamoja na uchache wao lakin walileta hamsha hamsha Kidogo
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Kabisa they were so loud
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Habarini ndugu . Subscribe kwenye channel ya jack 👇🏿 youtube.com/@jackwausa?si=N3NYrNlsCCnQTWYm Pia Naombeni usubscribe kwenye channel yangu ya pili ya kingereza youtube.com/@witnessvlogenglish?si=ut-wRUSgEPFfvfSi Asante
@denissilver3551
@denissilver3551 Жыл бұрын
Watanzaniaaa mpo wachacheeee
@MichaelSimba-nk7mu
@MichaelSimba-nk7mu Жыл бұрын
Ukiwa na Utashi
@thomasadriano4191
@thomasadriano4191 Жыл бұрын
Nakupata vizuri kutoka kahama,kagongwa
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Salaam Kahama
@thomasadriano4191
@thomasadriano4191 Жыл бұрын
@@Witnessvlog zimewafikia saaana wasalimie huko ulikoooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
@thomasadriano4191 Shukrani sana
@umelamedia
@umelamedia Жыл бұрын
All in all Tanzania 🇹🇿 tuko poa
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank you so much for watching
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Mshahara wote mkubwa utakaoupata marekani utaishia kwenye bills,wana bills za ajabuajabu sana,kilakitu kwao ni pesa.
@lucksonomari4999
@lucksonomari4999 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe uko Bongo haulipi bills, stima, maji, takataka, shule hulipi Karo na hospitali unatibiwa bure?
@devidjav3583
@devidjav3583 Жыл бұрын
Izi vitu kama nyumba ambazo wanajenga Africa iyo hela wanatoa wapi?
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
@devidjav3583 Ukipokea pesa in USD ukiileta bongo inathamani zaidi kuliko huku. So ni rahis kuendeleza home
@msengasikaonga3039
@msengasikaonga3039 Жыл бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
I see you brother
@charlesjaphet5768
@charlesjaphet5768 Жыл бұрын
Nipo Tanzania nawapata vizuri
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank you charles
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Alafu kitu kingine haina usalama hata kidogo,kupigwa bunduki au kuchomwa kisu marekani ni mambo ya kawaida,ujambazi nimambo ya kawaida,ukabaji nimambo ya kawaida,utekaji nyara nimambo yakawaida,yani mabaya yote yapo marekani lakini hawayaoneshi kwenye TV.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Kwakweli that part is scary
@AllyMwaugali
@AllyMwaugali Жыл бұрын
Kila sehemu kuna matatizo yake kama UK karibu kila siku watu wanauana Kwa kuchomana visu,Jana tu binti wa miaka 15 alikua anaenda shule kachomwa kisu kafariki
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🥹🥹That is very sad kwakweli. Ni kuomba Mungu atuepushe na majanga
@MaingwaAbdalah
@MaingwaAbdalah Жыл бұрын
From tz no problem Jack wa U S A Niko zangu home chekanao village kiteto manyara nakufwatilieni Na my ccter witness
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thank your bro
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. Жыл бұрын
Wa nyumbn kbc matui me nipo namibia
@MaingwaAbdalah
@MaingwaAbdalah Жыл бұрын
@@zuli.comedy. Allah atulinde sote ndugu yangu
@NeemRamadhani-j8h
@NeemRamadhani-j8h 11 ай бұрын
Mambo from Daresalam vip uko manyara
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Жыл бұрын
Ngoja niweke bando kbs wooou🎉😢😅😅😅😂
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Haswaa🙌🏾👏🏾
@dictarchelsea
@dictarchelsea Жыл бұрын
witness ko wasukuma ni washamba Sisi??🙄😂 tutawashangaza
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🤣🤣🤣nisameheni jamani
@Directorsunga
@Directorsunga Жыл бұрын
Watu wangu wa nyumbani kabisa mlimhola ghete 😊
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Mhola sana
@khadijaismail2000
@khadijaismail2000 Жыл бұрын
Mhola sana ong'wese
@MrPaulNyamhanga
@MrPaulNyamhanga Жыл бұрын
brother Ako anaye anaye fanya vulgo Russian account yake ya KZbin inaitwa je
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Sijaelewa
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 Жыл бұрын
Uko na mwanangu jack mzee rodeo drive 😅
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
😊 He is good
@laurentedward1081
@laurentedward1081 Жыл бұрын
Nili fatilia china na marekani kwenye miji na vijiji daaaa China iko juuu Zaid
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
china hakuna kazi kwa wageni
@amoskagika8884
@amoskagika8884 Жыл бұрын
@@kwisa4899kabisaaaa
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 11 ай бұрын
Sababu ya homeless ya watu weusi ni history yao ya discrimination, Jack kasahau hiyo.
@Witnessvlog
@Witnessvlog 11 ай бұрын
It might be a reason but not necessarily. Thank you for your comment
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 11 ай бұрын
Hey there kaka Jack... ok tuingie kwenye debate basi... you ever see parts of the county in a state like Mississippi that have alot of minorities... check out their services there.. go to that Walmart or another store. Compare to a Walmart in Hollywood or with a huge caucasian people. Very different. Prices, items etc. Clinics, day cares, even hospitals they are quite different in terms of their services they provide depending on locations. Now having said, I completely agree with you that it may not be a direct reason why people are homeless but it's definitely a contributing factor. It makes it harder but not impossible for a black or minority person living and competing on unequal territory. Think about it? nakupenda bure lakini !!!and (by the way you are talking to an educated lady with a Masters Degree in Social Work attained at Howard University....lol. one day would love tuongee face time on how allocation of resources in this country is a huge contributing factor to homelessness..
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 11 ай бұрын
Also this one is also a huge factor that you mentioned. Mental health. In terms of Alcoholism and drugs, this is a huge factor. They continue to target the minority population on where pombe is sold. Kila kona kuna maduka ya pombe in a poor area, very sad 😿
@Witnessvlog
@Witnessvlog 11 ай бұрын
@ruthmukami7573 Well said. Hata miaka ya nyuma wazungu walisambaratisha umoja wa waafrika kwa kuwauzia drugs ila wasifight against American racist system
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Niko USA 🇺🇸 ni pazuri na pesa ina patikana vizuri tu.
@LinahRwambali
@LinahRwambali Жыл бұрын
Duh mnatuchanganya sasa embu wewe wa marekan tupe picha kamili mwaya,pesa ipo au haipo,na kama ipo ipo kwa non professional jobs au professional jobs?
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Nashea experience za watu na kila mtu ana experience yake.
@happymaimu4330
@happymaimu4330 Жыл бұрын
Mm natamani kuja huko KUSOMA postgraduate nifanyaje ndugu?
@devidjav3583
@devidjav3583 Жыл бұрын
​@@happymaimu4330apply Kwa shule direct
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 Жыл бұрын
Mbona km mnafanana saaana
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🤣🤣🙌🏾
@sospeteralex378
@sospeteralex378 Жыл бұрын
Nipo mwanza
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Thanks for watching
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Na inchi nyingine nzuri kwa kuishi ni iceland
@ahmedjuma397
@ahmedjuma397 Жыл бұрын
ndugu nipo marekani sio miaka mingi nimeingia hapa ila watu wavivu na wasio wachapa kazi nimewapita kimaendeleo sana na wao wamenitangulia kwa miaka 5 sasa kama wewe ni mpambanaji marekani ni sehemu ya kutengeneza maisha kwa haraka sana ukijituma uhakika kwa kazi hizi za kawaida utaingiza hata dola laki 1 kwa mwaka iyo ni kazi ya kawaida endapo utakua na social ila uwe ni mpambanaji sio unafanya masaa 8 kisha unaenda kulala nyumbani na kujiposti instagram bill ni kawaida watu wanakopa magari wanakopa nyumba sasa kwanini usilipe na umekopa ok kodi za serikali za ni za kawaida ambazo zinakuja kurudi kwako baadae km hazijarudi basi zitakusaidia kwa njia tofauti
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Siyo tu calfornia yenye homeless,karibia marekani nzima ina homeless.
@dorahmcharo3083
@dorahmcharo3083 Жыл бұрын
Wanaoongoza kwa homeless nahisi ni Philadelphia, New York upande wa chini na New Jersey. Hii miji kuna maeneo ni machafu imejaa mateja unaweza hisi haupo America.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
@dorahmcharo3083 whoa! asante kwa kutwambia zaidi
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
Homeless ni kawaida wanalipa rent kwa mwezi
@juma2979
@juma2979 Жыл бұрын
Nchi nzr kwa kuishi ni Dubai peke yke coz hii nchi huckii mtu kauwawa kwa kuchomwa kisu au kupigwa risasi yani UAE iki vzr sana.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Ila kweli sijawahi sikia matukio ya hivyo dubai. Wako vizuri kwakweli
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw Жыл бұрын
Na australia je?
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Жыл бұрын
Waarabu Wana ubaguzi WA kazi Kwa wageni sanaaa kingine nao wanauwana Tu mfano majuzi Tu kijana kapewa adhabu ya kachinjwa sababu kamuua binamu yake yaani mauwaji NI dunia nzima Tu nchi zuri za kuishi NI ulaya na canada
@devidjav3583
@devidjav3583 Жыл бұрын
​@@anastaziamathias8861Kwa usalama hakuna nchi inafika kiwango Cha UAE, very safe ila kule unaishi tu kazi za mshahara mdogo haki maisha dubai
@123maruhe
@123maruhe Жыл бұрын
Marekani ni jina tu,lakini ni inchi ya kipumbavu sana,siyo inchi ya kuishi
@ahmedjuma397
@ahmedjuma397 Жыл бұрын
marekani ni ngumu sana kama hutokua mpambanaji na kama hautoheshimu na kufata sheria zao ila kwa kipato mimi sitaki kwenda nchi nyengine mana najua sitopata kama ninavopata hapa watu wengi wavivu hukimbilia canada kwenda kulelewa na serikali 😅 by the way majembe tu ndo tunaweza kuishi USA nyie wengine bakini uko mulipiwe kodi na serikali
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Жыл бұрын
Ninakuona home boy
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🙌🏾
@OscarJoshua-r6x
@OscarJoshua-r6x Жыл бұрын
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
❤️❤️
@stannydidasy
@stannydidasy Жыл бұрын
🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🔥🔥
@shentembo2513
@shentembo2513 Жыл бұрын
Dar es salaam Tanzania 🇹🇿
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
I see you😊
@PerpetuaMhanje
@PerpetuaMhanje Жыл бұрын
Jack uko poa san
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Yuko vizuri mnoo
@CarvinMichael
@CarvinMichael Жыл бұрын
@@Witnessvlog Jack .nakuelewa sana unaotuonyesha mitaa.kama tumefika malekan
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
@CarvinMichael Kabisa
@soweto05
@soweto05 Жыл бұрын
Niko kigoma nakufatilia sana ja wa usa.
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Asante sana kwa kuangalia. Hakika yuko vizuri
@Arnolvel
@Arnolvel Жыл бұрын
Mnaikandia USA lol!!! Kila mtu na priority yke
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Ni kweli kila mtu ana mawazo yake
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
RUDINI NYUMBANI KUMENOGA
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Twaja twaja
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌。
@neemahappyeverafter6181
@neemahappyeverafter6181 Жыл бұрын
@jackwausa watu wa kigoma tunaku zoom hapa .
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
🤣🤣Yani ni uchokozi huo
@happynessphilemon-qz8rf
@happynessphilemon-qz8rf Жыл бұрын
Instagram ya Jack ni ipi?
@barakayusuph4617
@barakayusuph4617 Жыл бұрын
jacchalz
@msengasikaonga3039
@msengasikaonga3039 Жыл бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Habari za kitwe? nashukuru sana
NIKO UJERUMANI KWENYE MASHAMBA YA NG'OMBE
2:18:55
Witness Vlog
Рет қаралды 2,9 М.
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Enfomasyon enpotan pou imigran nan USA video1108894773
1:18:26
Merites Abelard
Рет қаралды 126
Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk
12:22
EBM SWAHILI
Рет қаралды 415 М.
MAISHA YA MAREKANI NI YA MADENI | WENGI WANAKUFA KWA STRESS YA PESA | ELIMU YA FEDHA
1:20:10
How did Turkey change Somalia's fate?
23:42
TVNET X
Рет қаралды 685 М.