jack jieshimu kigoma tuwajanja wewe unachezea mwisho wa reli wewe lakini wote wa tanzania ni utani tu na mimi niko USA
@Witnessvlog9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣si ndioo. Habari za uko
@annamussa1859 ай бұрын
Wity sisi wasukuma wajanja bwana harafu wa kaka wa handsome wadada kaka mimi warembo hatari😍💐💐💐
@Witnessvlog9 ай бұрын
🤣🤣 Mnajitahidi sana
@nassinassor87210 ай бұрын
Marekani ina uchumi mkubwa lakini uchumi wa marekani hauna faida kwa watu wake,nguvu kubwa ya uchumi wa marekani umeishia kwenye kulijenga jeshi lao.
@edwardmkwelele10 ай бұрын
Siyo kweli FANYA tafiti za kutosha
@nassinassor87210 ай бұрын
Wanajitangaza sana wamarekani kwa sababu media nyingi nizakwao
@mohamedismail26629 ай бұрын
Moja ya watu nawakubali sana jack ni moja ya vijana ambao wanapenda kuwaonyesha njia piya sana vijana wenzao
@Witnessvlog9 ай бұрын
Hakika yani 🙌🏾🙌🏾
@nurupaje90418 ай бұрын
Jack nampenda sana nilianza naje akiwa na 10k
@gaspermadumla580010 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ambaye nimekuwa nikikufatilia Jack muda mrefu. Ubarikiwe
@Witnessvlog10 ай бұрын
Nimefurahi sana kujua
@AMOSJOHN-ln8xqАй бұрын
Dada@@Witnessvlog
@WaweruG10 ай бұрын
Kiswahili ya huyu Mwamba Jack wa USA huwa top notch.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Hatari🔥
@nassinassor87210 ай бұрын
Marekani haina good social benefits kama inchi zingine za ulaya.kwa mfano canada,Norway,Denmark, Sweden, Finland, Germany, nertherland, Belgium, France, Austria, Ireland, UK, luxembourg, Switzerland, austalia,newzealand. Hizo ndo ichi za kutafutia maisha ndo inchi za kuishi,acheni kutafuta maisha ya kinamarekani,marekani ningumu sana ku survive.
@Witnessvlog10 ай бұрын
I agree hapo kwenye social services. Europe is good hapo
@habibarnabas10 ай бұрын
Ni kweli kabsa nchi za ulaya ziko powah sana
@rich.kizza1010 ай бұрын
lakini Canada haipo Ulaya
@user-lg8zy1st1c10 ай бұрын
Bills ni wewe mwenyewe na sifa zako, unless otherwise bills nyingine zote ni zile zile kama za Tz, OYA MTZ UKIPATA CHANCE YA MAREKANI USIACHE watu tuna 5 yrs tu, ila tumepga hatua za ajabu
@chapamoko306710 ай бұрын
Hapo german ni mtumbwi wa vibwengo bora urusi hao wagerma n wabaguz knoma
@Tiffany3409 ай бұрын
Binafsi napenda sana kumfatilia jack,huwa nakuelewa na kujifunza kwa maelezo yako.🙏💖
@Witnessvlog9 ай бұрын
He is amazing
@seffsamwel56497 ай бұрын
@@WitnessvlogHabari yako dada yangu samahani vp kuhusu visa nataka kuja marekani naomba msaada kwa hilo please🙏🙏
@deusntobi145010 ай бұрын
Jack home boy kabsa. Chali mjanja sana na kuna kitu ndani yake Mungu awe nae na hata akatimize yote yaliyomatarajio yake.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Amen! yuko vizuri sanaa
@carlmax222110 ай бұрын
Mimi ni raia wa Kenya 🇰🇪 natazama hapa Rome Italy 🇮🇹
@Witnessvlog10 ай бұрын
Nimefurahi sana kujua. Salaam Rome
@nassinassor87210 ай бұрын
Watu ndo wanaopendaga kuipambia marekani,na marekani yenyewe inajitangaza sana kwamazuri lakini ina mabaya mengi
@Witnessvlog10 ай бұрын
Yes! power of branding. Wanajua kujibrand
@gasparlubaga586610 ай бұрын
This is your best interview my sister🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog10 ай бұрын
Aw it is. Thank you so much
@upendolema98098 ай бұрын
Namfatilia sana Jack❤❤❤
@msafirisaimoni956110 ай бұрын
Watz n wachache L.A Lakin niliona pamoja na uchache wao lakin walileta hamsha hamsha Kidogo
@Witnessvlog10 ай бұрын
Kabisa they were so loud
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm8 ай бұрын
Saivi umetusaliti mkali unabonga english tu hutúambii kwa kiswahili mkali
@Witnessvlog8 ай бұрын
😂🙌🏾
@nassinassor87210 ай бұрын
Dada yangu witnesses achana na mawazo ya marekani ila kama unataka kwenda kutembea siyo mbaya lakini siyo pakuishi,icho kiwanja ulichopo dada yangu nikiwa bora sana kuliko marekani.
@nassinassor87210 ай бұрын
Denmark is among of the best country to live my sister witness,be proud of Denmark that beautiful.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thanks and i am happy that i am here. Maswali nayouliza ni kwa faida ya wengine pia
@msengasikaonga303910 ай бұрын
Nakufatilia sana Niko Kitwe Zambia
@Witnessvlog10 ай бұрын
Habari za kitwe? nashukuru sana
@MulumeBaragizi4 ай бұрын
Guanini Willis she also making my community
@majutoeliasi10 ай бұрын
Marekani ni nchi imbayo inajipenderea sana
@Witnessvlog10 ай бұрын
Inajipromote sana
@nassinassor87210 ай бұрын
Mshahara wote mkubwa utakaoupata marekani utaishia kwenye bills,wana bills za ajabuajabu sana,kilakitu kwao ni pesa.
@lucksonomari499910 ай бұрын
Wewe mwenyewe uko Bongo haulipi bills, stima, maji, takataka, shule hulipi Karo na hospitali unatibiwa bure?
@devidjav35838 ай бұрын
Izi vitu kama nyumba ambazo wanajenga Africa iyo hela wanatoa wapi?
@Witnessvlog8 ай бұрын
@devidjav3583 Ukipokea pesa in USD ukiileta bongo inathamani zaidi kuliko huku. So ni rahis kuendeleza home
@nassinassor87210 ай бұрын
Marekani inashindwa sana na inchi zingine za ulaya kimaisha
@EzekielramadhaiMbala-hq2lm8 ай бұрын
Noma sana aisee
@vicentjohn8 ай бұрын
Nice enterview Jack
@nassinassor87210 ай бұрын
Alafu kitu kingine haina usalama hata kidogo,kupigwa bunduki au kuchomwa kisu marekani ni mambo ya kawaida,ujambazi nimambo ya kawaida,ukabaji nimambo ya kawaida,utekaji nyara nimambo yakawaida,yani mabaya yote yapo marekani lakini hawayaoneshi kwenye TV.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Kwakweli that part is scary
@AllyMwaugali10 ай бұрын
Kila sehemu kuna matatizo yake kama UK karibu kila siku watu wanauana Kwa kuchomana visu,Jana tu binti wa miaka 15 alikua anaenda shule kachomwa kisu kafariki
@Witnessvlog10 ай бұрын
🥹🥹That is very sad kwakweli. Ni kuomba Mungu atuepushe na majanga
@amosmahona4334 ай бұрын
OK
@lightnessabdallah234010 ай бұрын
waooh kaka jack
@Witnessvlog10 ай бұрын
👏🏾👏🏾
@Witnessvlog10 ай бұрын
Habarini ndugu . Subscribe kwenye channel ya jack 👇🏿 youtube.com/@jackwausa?si=N3NYrNlsCCnQTWYm Pia Naombeni usubscribe kwenye channel yangu ya pili ya kingereza youtube.com/@witnessvlogenglish?si=ut-wRUSgEPFfvfSi Asante
@Ajome_Family10 ай бұрын
Interview imetulia
@Witnessvlog10 ай бұрын
Asante sanaa
@oliviaseth465210 ай бұрын
Niko USA 🇺🇸 ni pazuri na pesa ina patikana vizuri tu.
@LinahRwambali10 ай бұрын
Duh mnatuchanganya sasa embu wewe wa marekan tupe picha kamili mwaya,pesa ipo au haipo,na kama ipo ipo kwa non professional jobs au professional jobs?
@Witnessvlog10 ай бұрын
Nashea experience za watu na kila mtu ana experience yake.
@happymaimu43309 ай бұрын
Mm natamani kuja huko KUSOMA postgraduate nifanyaje ndugu?
@devidjav35838 ай бұрын
@@happymaimu4330apply Kwa shule direct
@user-qq6mv6vh3e10 ай бұрын
Jacque umedili lisha
@amanimyolo14786 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah
@dictarchelsea10 ай бұрын
witness ko wasukuma ni washamba Sisi??🙄😂 tutawashangaza
@Witnessvlog10 ай бұрын
🤣🤣🤣nisameheni jamani
@laurentedward108110 ай бұрын
Nili fatilia china na marekani kwenye miji na vijiji daaaa China iko juuu Zaid
@kwisa489910 ай бұрын
china hakuna kazi kwa wageni
@amoskagika88848 ай бұрын
@@kwisa4899kabisaaaa
@charlesjaphet576810 ай бұрын
Nipo Tanzania nawapata vizuri
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thank you charles
@James-g7y10 ай бұрын
Wow. Congratulations dada
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thank you kaka
@Directorsunga10 ай бұрын
Watu wangu wa nyumbani kabisa mlimhola ghete 😊
@Witnessvlog10 ай бұрын
Mhola sana
@khadijaismail842710 ай бұрын
Mhola sana ong'wese
@umelamedia10 ай бұрын
All in all Tanzania 🇹🇿 tuko poa
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thank you so much for watching
@nassinassor87210 ай бұрын
Marekani ni jina tu,lakini ni inchi ya kipumbavu sana,siyo inchi ya kuishi
@ahmedjuma39710 ай бұрын
marekani ni ngumu sana kama hutokua mpambanaji na kama hautoheshimu na kufata sheria zao ila kwa kipato mimi sitaki kwenda nchi nyengine mana najua sitopata kama ninavopata hapa watu wengi wavivu hukimbilia canada kwenda kulelewa na serikali 😅 by the way majembe tu ndo tunaweza kuishi USA nyie wengine bakini uko mulipiwe kodi na serikali
@williamkeita15199 ай бұрын
Respect from 255
@Witnessvlog9 ай бұрын
Thank you William
@MulumeBaragizi4 ай бұрын
You have a panda sound like Tanzania me navigate
@ahazimzebo908610 ай бұрын
Interview ni nzuri
@Witnessvlog10 ай бұрын
Shukrani sana kwa kuangalia
@user-xo5cx2ru2t10 ай бұрын
Good interview
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thank you
@Eng24605 ай бұрын
Nice interview,Hongera witness🤝
@Witnessvlog5 ай бұрын
Asante sana Davis.
@denissilver355110 ай бұрын
Watanzaniaaa mpo wachacheeee
@Directorsunga10 ай бұрын
Actually this is most valuable interview I have watched 🎉🎉❤❤
@Witnessvlog10 ай бұрын
Say that again🙌🏾👏🏾👏🏾. Sure it is. Thank you for the feeback
@user-ij9sc8cp8v10 ай бұрын
❤
@Witnessvlog10 ай бұрын
❤️❤️
@nickylyanga213910 ай бұрын
Ngoja niweke bando kbs wooou🎉😢😅😅😅😂
@Witnessvlog10 ай бұрын
Haswaa🙌🏾👏🏾
@thomasadriano419110 ай бұрын
Nakupata vizuri kutoka kahama,kagongwa
@Witnessvlog10 ай бұрын
Salaam Kahama
@thomasadriano419110 ай бұрын
@@Witnessvlog zimewafikia saaana wasalimie huko ulikoooo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Witnessvlog10 ай бұрын
@thomasadriano4191 Shukrani sana
@nassinassor87210 ай бұрын
Siyo tu calfornia yenye homeless,karibia marekani nzima ina homeless.
@dorahmcharo308310 ай бұрын
Wanaoongoza kwa homeless nahisi ni Philadelphia, New York upande wa chini na New Jersey. Hii miji kuna maeneo ni machafu imejaa mateja unaweza hisi haupo America.
@Witnessvlog10 ай бұрын
@dorahmcharo3083 whoa! asante kwa kutwambia zaidi
@kwisa489910 ай бұрын
Homeless ni kawaida wanalipa rent kwa mwezi
@MichaelSimba-nk7mu8 ай бұрын
Ukiwa na Utashi
@ruthmukami75735 ай бұрын
Sababu ya homeless ya watu weusi ni history yao ya discrimination, Jack kasahau hiyo.
@Witnessvlog5 ай бұрын
It might be a reason but not necessarily. Thank you for your comment
@ruthmukami75735 ай бұрын
Hey there kaka Jack... ok tuingie kwenye debate basi... you ever see parts of the county in a state like Mississippi that have alot of minorities... check out their services there.. go to that Walmart or another store. Compare to a Walmart in Hollywood or with a huge caucasian people. Very different. Prices, items etc. Clinics, day cares, even hospitals they are quite different in terms of their services they provide depending on locations. Now having said, I completely agree with you that it may not be a direct reason why people are homeless but it's definitely a contributing factor. It makes it harder but not impossible for a black or minority person living and competing on unequal territory. Think about it? nakupenda bure lakini !!!and (by the way you are talking to an educated lady with a Masters Degree in Social Work attained at Howard University....lol. one day would love tuongee face time on how allocation of resources in this country is a huge contributing factor to homelessness..
@ruthmukami75735 ай бұрын
Also this one is also a huge factor that you mentioned. Mental health. In terms of Alcoholism and drugs, this is a huge factor. They continue to target the minority population on where pombe is sold. Kila kona kuna maduka ya pombe in a poor area, very sad 😿
@Witnessvlog5 ай бұрын
@ruthmukami7573 Well said. Hata miaka ya nyuma wazungu walisambaratisha umoja wa waafrika kwa kuwauzia drugs ila wasifight against American racist system
@Salumchiwili202310 ай бұрын
Uko na mwanangu jack mzee rodeo drive 😅
@Witnessvlog10 ай бұрын
😊 He is good
@user-jy3sw2jj4f10 ай бұрын
brother Ako anaye anaye fanya vulgo Russian account yake ya KZbin inaitwa je
@Witnessvlog10 ай бұрын
Sijaelewa
@mcjadu251310 ай бұрын
Dar es salaam Tanzania 🇹🇿
@Witnessvlog10 ай бұрын
I see you😊
@user-mt3id9lt2n10 ай бұрын
From tz no problem Jack wa U S A Niko zangu home chekanao village kiteto manyara nakufwatilieni Na my ccter witness
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thank your bro
@zuli.comedy.10 ай бұрын
Wa nyumbn kbc matui me nipo namibia
@user-mt3id9lt2n10 ай бұрын
@@zuli.comedy. Allah atulinde sote ndugu yangu
@user-kr2yk6gn4q5 ай бұрын
Mambo from Daresalam vip uko manyara
@nassinassor87210 ай бұрын
Na inchi nyingine nzuri kwa kuishi ni iceland
@ahmedjuma39710 ай бұрын
ndugu nipo marekani sio miaka mingi nimeingia hapa ila watu wavivu na wasio wachapa kazi nimewapita kimaendeleo sana na wao wamenitangulia kwa miaka 5 sasa kama wewe ni mpambanaji marekani ni sehemu ya kutengeneza maisha kwa haraka sana ukijituma uhakika kwa kazi hizi za kawaida utaingiza hata dola laki 1 kwa mwaka iyo ni kazi ya kawaida endapo utakua na social ila uwe ni mpambanaji sio unafanya masaa 8 kisha unaenda kulala nyumbani na kujiposti instagram bill ni kawaida watu wanakopa magari wanakopa nyumba sasa kwanini usilipe na umekopa ok kodi za serikali za ni za kawaida ambazo zinakuja kurudi kwako baadae km hazijarudi basi zitakusaidia kwa njia tofauti
@stannydidasy10 ай бұрын
🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
@Witnessvlog10 ай бұрын
🔥🔥
@sospeteralex37810 ай бұрын
Nipo mwanza
@Witnessvlog10 ай бұрын
Thanks for watching
@robertnkaragano2988 ай бұрын
Mbona km mnafanana saaana
@Witnessvlog8 ай бұрын
🤣🤣🙌🏾
@gasparlubaga586610 ай бұрын
Ninakuona home boy
@Witnessvlog10 ай бұрын
🙌🏾
@soweto0510 ай бұрын
Niko kigoma nakufatilia sana ja wa usa.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Asante sana kwa kuangalia. Hakika yuko vizuri
@juma297910 ай бұрын
Nchi nzr kwa kuishi ni Dubai peke yke coz hii nchi huckii mtu kauwawa kwa kuchomwa kisu au kupigwa risasi yani UAE iki vzr sana.
@Witnessvlog10 ай бұрын
Ila kweli sijawahi sikia matukio ya hivyo dubai. Wako vizuri kwakweli
@SamwelJoseph-yk3cw10 ай бұрын
Na australia je?
@anastaziamathias88619 ай бұрын
Waarabu Wana ubaguzi WA kazi Kwa wageni sanaaa kingine nao wanauwana Tu mfano majuzi Tu kijana kapewa adhabu ya kachinjwa sababu kamuua binamu yake yaani mauwaji NI dunia nzima Tu nchi zuri za kuishi NI ulaya na canada
@devidjav35838 ай бұрын
@@anastaziamathias8861Kwa usalama hakuna nchi inafika kiwango Cha UAE, very safe ila kule unaishi tu kazi za mshahara mdogo haki maisha dubai
@tanzaleo867010 ай бұрын
RUDINI NYUMBANI KUMENOGA
@Witnessvlog10 ай бұрын
Twaja twaja
@King_Of_Everything10 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌。
@user-ju8dn5jt3p9 ай бұрын
Jack uko poa san
@Witnessvlog9 ай бұрын
Yuko vizuri mnoo
@CarvinMichael9 ай бұрын
@@Witnessvlog Jack .nakuelewa sana unaotuonyesha mitaa.kama tumefika malekan