Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI

  Рет қаралды 16,372

PROMOVER TV

PROMOVER TV

11 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 92
@jesusnametv4935
@jesusnametv4935 10 ай бұрын
huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana
@reachelchemtai2604
@reachelchemtai2604 10 ай бұрын
Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 2 ай бұрын
Ndio Bwana
@tabithajeremiah4589
@tabithajeremiah4589 11 ай бұрын
Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida
@horimberepeace7376
@horimberepeace7376 10 ай бұрын
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢
@Jackline-ki7zl
@Jackline-ki7zl 5 ай бұрын
Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)
@sallymumia8425
@sallymumia8425 11 ай бұрын
We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Thanks Jesus christ
@shamim6606
@shamim6606 11 ай бұрын
Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha
@dantez8775
@dantez8775 4 ай бұрын
Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless
@issachege5606
@issachege5606 7 ай бұрын
Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢
@wambuimanyara6978
@wambuimanyara6978 10 ай бұрын
Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2
@suzandavd5213
@suzandavd5213 11 ай бұрын
Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.
@josykogei7647
@josykogei7647 11 ай бұрын
Amen
@davidgitau1162
@davidgitau1162 11 ай бұрын
Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 11 ай бұрын
Amina
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Ameeen
@zakn2001
@zakn2001 11 ай бұрын
Mungu awabariki sana!
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Ameeen
@Jeffah_Iman_Kauchape
@Jeffah_Iman_Kauchape 11 ай бұрын
Nawe pia pokea baraka.
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 10 ай бұрын
Good job
@drmaryjohnmponda3484
@drmaryjohnmponda3484 11 ай бұрын
AMEN
@queenesther8505
@queenesther8505 11 ай бұрын
A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏
@HildaPaul-hm4jk
@HildaPaul-hm4jk 10 ай бұрын
Miili. Za OsC
@BILLSHAFT
@BILLSHAFT 9 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼
@favourndila8474
@favourndila8474 11 ай бұрын
Halleluya
@Queenrinna98
@Queenrinna98 10 ай бұрын
🙏
@maryeer6392
@maryeer6392 11 ай бұрын
Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Ameeen ni mkũũ sana Mũngũ wa mbinguni
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 11 ай бұрын
Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g 10 ай бұрын
Mungu Anatafuta condoo wake
@andrewmhagama9816
@andrewmhagama9816 10 ай бұрын
Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@queenesther8505
@queenesther8505 11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 11 ай бұрын
Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.
@josephinemsongole4315
@josephinemsongole4315 11 ай бұрын
​@@kakawamashariki89781:16
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo
@queenesther8505
@queenesther8505 11 ай бұрын
@@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 10 ай бұрын
Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana
@PromovertvTz
@PromovertvTz 10 ай бұрын
Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani
@MireilleEspoir
@MireilleEspoir 10 ай бұрын
Tunasubiri part two…😢😢
@annachachage4931
@annachachage4931 11 ай бұрын
Mathayo 12:6
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 11 ай бұрын
Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu Naona siku hizi sio kivileeeee !!! Haya bana ngoja inyeshe
@badruseif1318
@badruseif1318 10 ай бұрын
Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 10 ай бұрын
Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@@badruseif1318kabisaa.
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3
@andrewkissavah8272
@andrewkissavah8272 9 ай бұрын
Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa
@nduwayezutadsonchannel4084
@nduwayezutadsonchannel4084 11 ай бұрын
Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?
@dadaz4653
@dadaz4653 11 ай бұрын
Ndio
@samjosh12
@samjosh12 11 ай бұрын
Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 10 ай бұрын
Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 5 ай бұрын
MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU
@koperawasona9551
@koperawasona9551 2 ай бұрын
Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?
@jesusnametv4935
@jesusnametv4935 10 ай бұрын
wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?
@user-un2td1no5f
@user-un2td1no5f 10 ай бұрын
Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 5 ай бұрын
Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 11 ай бұрын
Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
@@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka
@8pistons194
@8pistons194 11 ай бұрын
​@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
@@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 10 ай бұрын
​@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu
@badruseif1318
@badruseif1318 10 ай бұрын
Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
Kabisaaa.
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 11 ай бұрын
Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 11 ай бұрын
Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi
@jesuspower2390
@jesuspower2390 11 ай бұрын
ulitaka awe mganga wa kienyeji?
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
@@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo
@pastorpetermageta6833
@pastorpetermageta6833 11 ай бұрын
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa
@CliffordKimani
@CliffordKimani 11 ай бұрын
Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 ай бұрын
NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA
@8pistons194
@8pistons194 11 ай бұрын
Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena
@aliemdogo
@aliemdogo 10 ай бұрын
mukija Ku Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 10 ай бұрын
​@@aliemdogothubutuu
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 5 ай бұрын
YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU​@@Catherine-mh8sw
@GeorgetteNzeyimana-fi6ln
@GeorgetteNzeyimana-fi6ln 10 ай бұрын
Amen
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 195 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA KWANZA WA KIKE WA TAG
30:21
NY TV
Рет қаралды 2,4 М.
USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 1)~Shehe Omary Mnyeshani
34:08
PROMOVER TV
Рет қаралды 65 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 404 М.
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 195 МЛН