Watu wana business skills nzuri sana... sema wanawapigia mbuzi gitaaa.... so sad kwa natives investors
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Mkisimama kwenye majukwaa yakisiasa tanzania ya viwanda mama oyee ana upiga mwingi hapo unaambiwa viwanda viko kumi kmyaa mana hao wanajua endeleen kudanganya watanznia lakn
@festokemibala58322 ай бұрын
Siku zao zinakaribia. Gen Z ya tanazania itakuja kivingine
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Hv kumbe tunavyoambiwa tanzania ya viwanda tunadanganywa mh kila kitu ni uongo yan daa
@abdallahhuseinkabale75342 ай бұрын
Hii wizara ikua inamtaka mwanaume kamili mwenye kujua dunia ipo wapi..kama kina mh bashe au huyo jafo ...naimani anaweza kubadili kitu kuhusu viwanda...alikua kipindi cha magufuli mzee baba sera yake ilikua ni Tanzania ya viwanda
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
RIP BABA WA TAIFA 😢😢
@michaelmatonange6302 ай бұрын
😢 aiseee basi tu kwa kweli najisikia vibaya sana, ivi viongozi amuoni aya na basi jitahidini kua mnafanya forums kama izi ili msikie matatizo yetu wananchi
@GerardMdui2 ай бұрын
Mm nilijua mnajadili kuwa viwanda vimekuwa Vingi sana tanzania, vtaharibu mazingra, kumbe vmekufa
@justinekigomboa2 ай бұрын
😂😂😂😂
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
Viwanda vyote vya Mwalimu vimekufa. Kwa nini wawekezaji wasipewe hivyo viwanda wakavifufua??
@kaaakwakutuliaa51792 ай бұрын
ccm imechoka sana
@justinekigomboa2 ай бұрын
Haijitambui😂
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
A change is inevitable even if its for the worst😢😢😢
@kaaakwakutuliaa51792 ай бұрын
tatizo ni sera mbovu za ccm ccm sijui inaongozwa na nani au ina laaana maana viwanda vingi sana vya serikali vimekufa
@yusufmohamed88742 ай бұрын
Yaani mnang'ang'ania madaraka kumbe hamjui kuongoza
@innocentmushi30362 ай бұрын
Sema hii nchi bila Katiba mpya tutapiga jaramba sanaa
@KashumbaMshanzi2 ай бұрын
Tz atuwezi ms
@mawazomdemu51692 ай бұрын
Ukitaka ujue ss Tanzania hatuwezi kukua kwenye mazao ya kimkakati,hadi uende uone mchakato unavyofanyika na mabodi ya hayo mazao,mfano pamba ,nenda kamchungulie mkulima nn anachopata kwenye pamba
@KashumbaMshanzi2 ай бұрын
Tz nikitwi Cha weda wazim
@tisamokebulemasubugu62222 ай бұрын
Chakushangaza Serikali viwanda vinakufa na Bado Maamuzi ya baadhi ya viongozi yanakuwa ni Maamuzi ya kuuwa mitaji ya wafanya Biashara hasa wadogo Badala ya kuwawekea Mazingira mazuli ili wakuwe hata Wawekezaji Mnano waita waje kuwekeza walikuwa na mitaji kidogo Serikali zap ziliwawekea Mazingira mazuli Hadi wakakuwa je kama Nchi tunaelekea wapi hii Nchi haina wachumi?
@MikidadiKimilike2 ай бұрын
Kazi ya serikali ni kukusanya kodi mnaiambia kuhusu kujenga viwanda! Mnapoteza muda wenu bure .wanawategemea nyinyi ndo mjenge wao wakusanye kodi wajilipe mishahara na kiasi kidogo kinachobaki waweke kwenye maendeleo
@abdallahhuseinkabale75342 ай бұрын
Hapo kwa waziri jafo mambo yataenda...mama alichelewa sana kuhusu hii wizara ..nakuhakikishia kwa uwezo wake muumba mpe nafasi jafo kisha mshirikishe na bashe utaona jinsi mambo yatakavyokua supa
@godfreymwikola82322 ай бұрын
Mmmmh Bashe anaaguza mbolea nje wakat tz kiwanda kipo ndo Nini sasa
@Ushauri2352 ай бұрын
Duuuuuuh tanzania hiihii itabadilikaga kweli
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
MABADILIKO NI LAZIMA. LET'S KEEP FAITH IN THE ALMIGHTY GOD. YEYE NDIYE ATATUSAIDIA
@punchlinetz2 ай бұрын
Jambo TV mna content nzuri ila picha zenu mnamix ovyo sana mnarudia matukio sana. Mmerudia sana Waziri Jafo akifungua hicho kijitabu chake, kitu kingine waongeaji hamuwatambulishi mfano muongeaji wa kwanza kabla ya muhindi sijajua ni nani ila kaongea vitu vzuri sana. Muhindi kaongea hamuandiki ni nani anatoka kiwanda gani. Kuweni professional
@victorwilliam11112 ай бұрын
Aaaa wapi!!! Hayo maoni ,labda !!! Nimekaa pale. Sijawahi elewa basis ya kodi nyingi na formula anazitengeneza nini? Je wanaotemgemeza kod wanaijua biashara ?
@Leo-kg2lt2 ай бұрын
Chadema wakiwa wanaongea point ccm inakuja kupinga na kusema inataka madaraka sijui wao wanafanya nn madarakani na waoo yaan
@TwahaShehe2 ай бұрын
Ama kweli tutajionea meng msilalamike nyie ndio mnailea ccm kuwepo madarakan
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
Ni mambo ya aibu sana ,Ni Kwa nini pamba inayozalishwa TZ isitumike nyumbani ? Kufunguliwe viwanda Kila wilaya na pamba iwe nyingi tu.
@emmanuelkyandochali9902 ай бұрын
Shida ni kwamba anaeongoza wizara hakuna analojua kuhusu biashara hozo wizara wapeni wafanyabiashara
@oscarwasenga13332 ай бұрын
Bora nyie wafanya biashara wakubwa wanawaskiliza kuliko sisi waviduka na vigest huku chini wala hawatujali
@festokemibala58322 ай бұрын
Wameua viwanda vyetu vya nguo ni kilichokuwa kimebaki japo kwa mdororo ni Urafiki nacho waliyemkabidhi Mchina akafanya partitioning na kufungua fremu za maduka na kufaidi kodi wakati serikali ipo inaangalia na kuimba "wachina rafiki zetu!?? Wapi mchina wa zama hii akawa rafiki yako wewe uliyekufa, hujui dunia inaendaje? Tuamke tusisubiri Gen Z itujie kwa staili ya migomo ya Kariakoo!
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
Kiwanda cha urafiki ilibidi wapewe hao hao wachina wakifufue. Sasa wanajenga fremu tena. We are doomed
@GodfreyOsward2 ай бұрын
Hiyo % huwa ni ajali tu?.
@NicIbrahim2 ай бұрын
CCM must Go home we are tired
@personalitiesan98062 ай бұрын
CCM oyeeeee😂😂😂😂
@petersilas42342 ай бұрын
Hili la nguo ni aibu, tunaagiza hata dela ,boxer kutoka nje. Vijana hawana kazi wakati nguo zote wanazovaa hata nyie zinatoka nje. Kushona nguo sio rocket science. Pale Kibaha education center Mwalimu alitenga eneo kwa ajili ya polytechnic college kufundisha wasomi wetu ufundi Ili waweza kufungua viwanda vidogo vya kutengeneza vitu kama hivyo. Graduates wetu wajengeeni chuo kama kile Ili waweze kuingia kwenye uchumi wa viwanda na biashara. Tunashindwa hata kutengeneza tooth pick, aibu!!