NYERERE: KUNA WANASIASA WANANUNULIKA, HESHIMA YAO INA BEI

  Рет қаралды 94,024

JamiiForums

JamiiForums

5 жыл бұрын

Пікірлер: 82
@imanuelmahenge5461
@imanuelmahenge5461 5 жыл бұрын
Ni kama alitabiri yaani ndicho kinachotokea kwa viongozi wanaojidai wanaunga mkono na kuhama vyama
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Daaa Huyu mzee Mungu alimjalia maono ya kipekee sn.Hotuba takribani miaka 50 iliyopita leo yametimia.Mamalaya wa siasa wajaa,hotuba km huwezi kuiona TBC Never ever.
@marwamasele8809
@marwamasele8809 5 жыл бұрын
Ni kweliiii umenena
@patrickmbogo7805
@patrickmbogo7805 5 жыл бұрын
acheni kumlisha mwalimu Nyerere maneno yenu ya kishenzi.
@nkuhimmary6007
@nkuhimmary6007 5 жыл бұрын
MASENARY 😁😁 malaya malaya daaa ama kweli ww haitoshi tu! kuitwa baba wa Taifa ilipwaswa uitwee Bb wa Mataifa😍 R. I. P our legacy..
@methuselahnzugwa3133
@methuselahnzugwa3133 5 жыл бұрын
Huyu mzee hakika alikuwa ni nabii! Kwani ukifatilia ni mengi mno si hilo tu. Itatuchukua karne nzima kumpata Nyerere mwingine.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Ndugu, magufuli alijaribu kuiga mfano wake ila tusimpuuze....
@zittotv9972
@zittotv9972 5 жыл бұрын
I miss you Dady NYERERE
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 8 күн бұрын
Ahhhh msigwaaaa
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
One of the hard dificurt point of late Julia's kambarage nyerere l trying to sense leasening y same of Africa polition late Julia's kambarage nyerere has this massage Main point The are peaple reaction like proschut can be bought diginity is like how proschut baginening whale knows that is the ashemed thing but proschut baginening that now we have polition like proschut but are not much are vary fiew but behavior like proschut can be be bought by any one with money behavior like proschut This speech was late Julia's kambarage nyerere address military were caming from Moshi Soon we will trunslate from Swahili to English
@nathanjaphet7625
@nathanjaphet7625 5 жыл бұрын
Akina LOWASA wana tabia za kimalaya malaya ivi
@peterbillas9131
@peterbillas9131 3 жыл бұрын
Wamenunuliwa
@simonchristopher2766
@simonchristopher2766 5 жыл бұрын
daah! huyu mzee,acha tu
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 5 жыл бұрын
Hivi TBC hawana hotuba kama hizi?
@duniayakijani7868
@duniayakijani7868 4 жыл бұрын
Alikuwa anahasira Sana hapo mwalim
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Aiii Nyerere mbona hauku mshauri ndugu yako mzee Jomo Kenyatta ila nchi yetu ina poromoka....
@simpsonisoe8994
@simpsonisoe8994 2 жыл бұрын
Afred mutua ,ako na siasa ya Malaya malaya
@mariammussa8754
@mariammussa8754 3 жыл бұрын
hakika wana siasa wa namnahii hawafai kuongonza taifa kama Tanzania
@abdalomari5912
@abdalomari5912 5 жыл бұрын
daaa uyubabu alikuwa noma alijuwa kwasasa wapo wananuliwa na kuwaidiwa veyo babu alikuwa nima mungu mbaliki
@avax5717
@avax5717 5 жыл бұрын
Alikuwa na hasira sana hapo baba yetu wa taifa.
@kidumumungia1475
@kidumumungia1475 5 жыл бұрын
Mpaka akang'ata meno kabisa
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
Wengi hawakuelewa ndioaana ili sound kuchekesha.
@masoudabbas1204
@masoudabbas1204 3 жыл бұрын
Yani ndiyo yanayojiri
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Halima Mdee na wenzake 19 kwa maana hiyo wanatabia za kimalaya Malaya kama alivyosema mwalimu???
@princessilayo7411
@princessilayo7411 3 жыл бұрын
Anaekubaliana na Mimi huyu c mwalimu,sauti imeeigilizwa.
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s Ай бұрын
aliemuhigiza nani? kama sio yeye. na unataka kuniambia maneno haya hakuyatamka?
@makamekhamis9048
@makamekhamis9048 3 жыл бұрын
tumepoteza baba Wa taifa
@josephshidiga484
@josephshidiga484 4 жыл бұрын
Noma sana
@mussahassan7787
@mussahassan7787 3 жыл бұрын
Mimi namwitaga jini huyu mzee maana alivyoonge vyote vinajitokeza now
@babucheenyahega2778
@babucheenyahega2778 5 жыл бұрын
Kwaiyo waitala na rioba ni masnale
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Sio mwalimu huyu!!!
@dominicsaid4756
@dominicsaid4756 3 жыл бұрын
👍👍👍
@nathanjaphet7625
@nathanjaphet7625 5 жыл бұрын
LOWASA ni Masenary
@fredrickmichael3033
@fredrickmichael3033 4 жыл бұрын
😊
@martinemifuko71
@martinemifuko71 5 жыл бұрын
Siyo Nyerere
@peterbillas9131
@peterbillas9131 3 жыл бұрын
Nani babu yako
@bashiruibrahimu1278
@bashiruibrahimu1278 3 жыл бұрын
Baba wa taifa tunakukumbuka sana
@mrkasebelekasebele2129
@mrkasebelekasebele2129 5 жыл бұрын
nyeleleeee alale pema peponi, nyelelee .......
@jacksondeo3541
@jacksondeo3541 4 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@lucasarajiga6438
@lucasarajiga6438 2 жыл бұрын
R.I.P.,mwalimu wetu
@christophersaimon4398
@christophersaimon4398 5 жыл бұрын
wambie hao baba malayamalaya tu
@yohanamichael2858
@yohanamichael2858 2 жыл бұрын
currently it's happening
@wolfgangkichai8577
@wolfgangkichai8577 5 жыл бұрын
😳😳😳😳hahahahaa🤣🤣🤣
@rehemabrayson8010
@rehemabrayson8010 4 жыл бұрын
Duh!
@ngasasocks1125
@ngasasocks1125 5 жыл бұрын
ndo maana kaitwa bb wa taifa
@joharirajabu5473
@joharirajabu5473 3 жыл бұрын
CHADEMA NA CUF wanasikiliza hizi kweli TBC na Radio zao wanatakiwa kabla ya habari nusu saa ya habari wawe wanaweka hiki hata wanamuziki kabla ya tamasha nawe wanaweka hizi sauti Kwitongo hii sauti ni muhimu kipindi hiki 22 julai 1967
@kudramkoma8438
@kudramkoma8438 5 жыл бұрын
Remembered by tzanian
@genimaige6023
@genimaige6023 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@babajohnii506
@babajohnii506 5 жыл бұрын
Babu alikua namikogo huyu
@peterbayo4677
@peterbayo4677 5 жыл бұрын
Alitoa unabii juzi yao na jana yao! Leo yametimia machoni petu na kesho unabii huu utadhihirika zaidi na kwa aibu mbele ya wenye macho yatakayotiwa nuru na akili isiyoghoshiwa ujinga na upumbavu. Tukiwa wazalendo wa kweli hata kuifia nchi yetu hatutanunuliwa kwa bei yoyote ile kamwe.
@monicaney3782
@monicaney3782 3 жыл бұрын
Nyerere huyu huyu?
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Ni kweli akitamka mwalimu haya?
@doricematindiko5350
@doricematindiko5350 5 жыл бұрын
Baba uliyaona hayo,umalaya wa kununuliwa ndo uliopoo
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
😅😅😅😅
@omarynjelu9191
@omarynjelu9191 5 жыл бұрын
huyu sio nyerere
@macknonkibona2401
@macknonkibona2401 3 жыл бұрын
ni mwenyewe kaka
@eliamugini8494
@eliamugini8494 5 жыл бұрын
Lowasa
@kilamegroup2968
@kilamegroup2968 5 жыл бұрын
Mh
@abdalomari5912
@abdalomari5912 5 жыл бұрын
watu wanapogezana soda
@martinibrahim6904
@martinibrahim6904 4 жыл бұрын
Hawabna aibu
@juliuskivuyo5384
@juliuskivuyo5384 5 жыл бұрын
Hiyo ni sauti ya kuigiza
@paschalambrosi8731
@paschalambrosi8731 5 жыл бұрын
Ni nan
@juriasangelo2110
@juriasangelo2110 4 жыл бұрын
Acha ushambaa
@macknonkibona2401
@macknonkibona2401 3 жыл бұрын
hapana kaka ni mwenyewe kabisa hii speech mi niliisikia kipindi cha tape mwaka 2001
@wagagagigikokohumulutililu8974
@wagagagigikokohumulutililu8974 5 жыл бұрын
MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI, MASENARI.
@elibarickandrew2870
@elibarickandrew2870 5 жыл бұрын
Huyu ni Steve, u 'll trick others
@mochings8012
@mochings8012 5 жыл бұрын
Elibarick Andrew fuck off
@prosperjuma905
@prosperjuma905 5 жыл бұрын
Dah, upo serous kwel?
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 4 жыл бұрын
Steve hawezi igiza hii
@josephgomalo41
@josephgomalo41 6 ай бұрын
Wenzio tulisikiliza hotuba hiyo Redio Tanzania Dar es Salaam; kwenye vipindi mbalimbali ambavyo vililenga kuwakumbusha Watanzania kuhusu uzalendo kwa nchi yao! Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alikuwa mkali kwa mafisadi na wala rushwa.. ni kwa kuwa hamkuwahi msikia Mwalimu.. wakati wake! Umezaliwa juzi!
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 5 жыл бұрын
Mtoa post unatafuta kiki na edit zako shezi time
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 5 жыл бұрын
Ka edit wap?
@renatuslucas2617
@renatuslucas2617 5 жыл бұрын
Na wewe unatabia anazozitaja mwalimu
@wilsonmariki7224
@wilsonmariki7224 5 жыл бұрын
Na wewe wale wale tuu marayaaaa
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
James Ngunda Teresia """"una tabia za kimalayamalaya!!!!!!
@Tukuyu66
@Tukuyu66 5 жыл бұрын
Please!!!
@shyshayagen2733
@shyshayagen2733 5 жыл бұрын
This is not Nyerere
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 жыл бұрын
Ulazwe pema mwalimu.Hakika tangu ulipoachia madaraka hajatokea mwingine hata mwenye nusu ya robo ya uwezo wako.
@christophersaimon4398
@christophersaimon4398 5 жыл бұрын
wambie hao baba malayamalaya tu
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 8 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 57 МЛН
Julius Nyerere speaks on Idi Amin and Uganda  (1979)
5:48
AfroMarxist
Рет қаралды 499 М.
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
TZ TRENDING
Рет қаралды 243 М.
UTACHEKA VITUKO VYA RC MAKONGORO, AWAVUNJA MBAVU WADAU NANENANE
8:11
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
"MAENDELEO YAWE NA UHUSIANO NA MAISHA YA WATU" MWAL NYERERE
10:02
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН