Ni kama alitabiri yaani ndicho kinachotokea kwa viongozi wanaojidai wanaunga mkono na kuhama vyama
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Daaa Huyu mzee Mungu alimjalia maono ya kipekee sn.Hotuba takribani miaka 50 iliyopita leo yametimia.Mamalaya wa siasa wajaa,hotuba km huwezi kuiona TBC Never ever.
@marwamasele88095 жыл бұрын
Ni kweliiii umenena
@patrickmbogo78055 жыл бұрын
acheni kumlisha mwalimu Nyerere maneno yenu ya kishenzi.
@nkuhimmary60075 жыл бұрын
MASENARY 😁😁 malaya malaya daaa ama kweli ww haitoshi tu! kuitwa baba wa Taifa ilipwaswa uitwee Bb wa Mataifa😍 R. I. P our legacy..
@methuselahnzugwa31335 жыл бұрын
Huyu mzee hakika alikuwa ni nabii! Kwani ukifatilia ni mengi mno si hilo tu. Itatuchukua karne nzima kumpata Nyerere mwingine.
@mpendakiswahili30532 жыл бұрын
Ndugu, magufuli alijaribu kuiga mfano wake ila tusimpuuze....
@zittotv99725 жыл бұрын
I miss you Dady NYERERE
@PhilipoMwita-b2x8 күн бұрын
Ahhhh msigwaaaa
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
One of the hard dificurt point of late Julia's kambarage nyerere l trying to sense leasening y same of Africa polition late Julia's kambarage nyerere has this massage Main point The are peaple reaction like proschut can be bought diginity is like how proschut baginening whale knows that is the ashemed thing but proschut baginening that now we have polition like proschut but are not much are vary fiew but behavior like proschut can be be bought by any one with money behavior like proschut This speech was late Julia's kambarage nyerere address military were caming from Moshi Soon we will trunslate from Swahili to English
@nathanjaphet76255 жыл бұрын
Akina LOWASA wana tabia za kimalaya malaya ivi
@peterbillas91313 жыл бұрын
Wamenunuliwa
@simonchristopher27665 жыл бұрын
daah! huyu mzee,acha tu
@kashindisimon52655 жыл бұрын
Hivi TBC hawana hotuba kama hizi?
@duniayakijani78684 жыл бұрын
Alikuwa anahasira Sana hapo mwalim
@mpendakiswahili30532 жыл бұрын
Aiii Nyerere mbona hauku mshauri ndugu yako mzee Jomo Kenyatta ila nchi yetu ina poromoka....
@simpsonisoe89942 жыл бұрын
Afred mutua ,ako na siasa ya Malaya malaya
@mariammussa87543 жыл бұрын
hakika wana siasa wa namnahii hawafai kuongonza taifa kama Tanzania
@abdalomari59125 жыл бұрын
daaa uyubabu alikuwa noma alijuwa kwasasa wapo wananuliwa na kuwaidiwa veyo babu alikuwa nima mungu mbaliki
@avax57175 жыл бұрын
Alikuwa na hasira sana hapo baba yetu wa taifa.
@kidumumungia14755 жыл бұрын
Mpaka akang'ata meno kabisa
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
Wengi hawakuelewa ndioaana ili sound kuchekesha.
@masoudabbas12043 жыл бұрын
Yani ndiyo yanayojiri
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Halima Mdee na wenzake 19 kwa maana hiyo wanatabia za kimalaya Malaya kama alivyosema mwalimu???
@princessilayo74113 жыл бұрын
Anaekubaliana na Mimi huyu c mwalimu,sauti imeeigilizwa.
@user-jj7qv7kh2sАй бұрын
aliemuhigiza nani? kama sio yeye. na unataka kuniambia maneno haya hakuyatamka?
@makamekhamis90483 жыл бұрын
tumepoteza baba Wa taifa
@josephshidiga4844 жыл бұрын
Noma sana
@mussahassan77873 жыл бұрын
Mimi namwitaga jini huyu mzee maana alivyoonge vyote vinajitokeza now
@babucheenyahega27785 жыл бұрын
Kwaiyo waitala na rioba ni masnale
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Sio mwalimu huyu!!!
@dominicsaid47563 жыл бұрын
👍👍👍
@nathanjaphet76255 жыл бұрын
LOWASA ni Masenary
@fredrickmichael30334 жыл бұрын
😊
@martinemifuko715 жыл бұрын
Siyo Nyerere
@peterbillas91313 жыл бұрын
Nani babu yako
@bashiruibrahimu12783 жыл бұрын
Baba wa taifa tunakukumbuka sana
@mrkasebelekasebele21295 жыл бұрын
nyeleleeee alale pema peponi, nyelelee .......
@jacksondeo35414 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@lucasarajiga64382 жыл бұрын
R.I.P.,mwalimu wetu
@christophersaimon43985 жыл бұрын
wambie hao baba malayamalaya tu
@yohanamichael28582 жыл бұрын
currently it's happening
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
😳😳😳😳hahahahaa🤣🤣🤣
@rehemabrayson80104 жыл бұрын
Duh!
@ngasasocks11255 жыл бұрын
ndo maana kaitwa bb wa taifa
@joharirajabu54733 жыл бұрын
CHADEMA NA CUF wanasikiliza hizi kweli TBC na Radio zao wanatakiwa kabla ya habari nusu saa ya habari wawe wanaweka hiki hata wanamuziki kabla ya tamasha nawe wanaweka hizi sauti Kwitongo hii sauti ni muhimu kipindi hiki 22 julai 1967
@kudramkoma84385 жыл бұрын
Remembered by tzanian
@genimaige60235 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@babajohnii5065 жыл бұрын
Babu alikua namikogo huyu
@peterbayo46775 жыл бұрын
Alitoa unabii juzi yao na jana yao! Leo yametimia machoni petu na kesho unabii huu utadhihirika zaidi na kwa aibu mbele ya wenye macho yatakayotiwa nuru na akili isiyoghoshiwa ujinga na upumbavu. Tukiwa wazalendo wa kweli hata kuifia nchi yetu hatutanunuliwa kwa bei yoyote ile kamwe.
@monicaney37823 жыл бұрын
Nyerere huyu huyu?
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Ni kweli akitamka mwalimu haya?
@doricematindiko53505 жыл бұрын
Baba uliyaona hayo,umalaya wa kununuliwa ndo uliopoo
@jenifamtima93253 жыл бұрын
😅😅😅😅
@omarynjelu91915 жыл бұрын
huyu sio nyerere
@macknonkibona24013 жыл бұрын
ni mwenyewe kaka
@eliamugini84945 жыл бұрын
Lowasa
@kilamegroup29685 жыл бұрын
Mh
@abdalomari59125 жыл бұрын
watu wanapogezana soda
@martinibrahim69044 жыл бұрын
Hawabna aibu
@juliuskivuyo53845 жыл бұрын
Hiyo ni sauti ya kuigiza
@paschalambrosi87315 жыл бұрын
Ni nan
@juriasangelo21104 жыл бұрын
Acha ushambaa
@macknonkibona24013 жыл бұрын
hapana kaka ni mwenyewe kabisa hii speech mi niliisikia kipindi cha tape mwaka 2001
Wenzio tulisikiliza hotuba hiyo Redio Tanzania Dar es Salaam; kwenye vipindi mbalimbali ambavyo vililenga kuwakumbusha Watanzania kuhusu uzalendo kwa nchi yao! Halafu mlikuwa mnasema Magufuli alikuwa mkali kwa mafisadi na wala rushwa.. ni kwa kuwa hamkuwahi msikia Mwalimu.. wakati wake! Umezaliwa juzi!
@jamesngundateresia26005 жыл бұрын
Mtoa post unatafuta kiki na edit zako shezi time
@tumlakimwaitumule5 жыл бұрын
Ka edit wap?
@renatuslucas26175 жыл бұрын
Na wewe unatabia anazozitaja mwalimu
@wilsonmariki72245 жыл бұрын
Na wewe wale wale tuu marayaaaa
@getaromagaiwa79185 жыл бұрын
James Ngunda Teresia """"una tabia za kimalayamalaya!!!!!!
@Tukuyu665 жыл бұрын
Please!!!
@shyshayagen27335 жыл бұрын
This is not Nyerere
@Ndu-wa.uroony24 жыл бұрын
Ulazwe pema mwalimu.Hakika tangu ulipoachia madaraka hajatokea mwingine hata mwenye nusu ya robo ya uwezo wako.