Tanganyika shall not die.If,it dies our history of the struggle for freedom will die with it as well as our pride as community.
@aminahassani-jh5rp22 сағат бұрын
Baba wataifa manwno yako yanaishi mungu akuweke mahala pema peponi aaaminaa
@NaomiCharles-bb8md4 ай бұрын
Jamani serkar musini fiklie vibaya Kwa kuzi post istoria ya viongoz na penda sana kuzi ona ziki pewa samani na ziki kumbukwa mala kwamala na ipet ipenda sana makala iz 💪🇹🇿
@aminahassani-jh5rp22 сағат бұрын
Lazima tumkumbuke baba wa taifa letu
@richardlubano7888Ай бұрын
Wonderful. No other.
@bezalelindahani9 ай бұрын
Lazima makara ya mwalim Nyerere yaheshimiwe
@AggyAggy-yp4my Жыл бұрын
Ahsante
@NaomiCharles-bb8md4 ай бұрын
I love baba nyelele 💪
@eliudimwakasenga9754 Жыл бұрын
Tunajivunia 🎉🎉🎉
@FilbertRobert-e4uАй бұрын
Mwalimu unakumbukwa sana
@yahfatmudswiddiq2271Ай бұрын
tunamshukuru kutuachia kiswahili
@GeorgeKasembe3 күн бұрын
RIP
@joshuakamu1967 ай бұрын
shujaa wetu walimu juluus Nyerere 🙏🙏🙏😭😭😭
@MamuduAziz-h1z4 ай бұрын
Ana ushujaa gani katulisha matango pori kawafirisi wazawa kawapa mali wahindi mzee alikuwa mjinga sana kawauwa wazalendo kina sokoine mnamsifia bure kaliangusha taifa ona leo watanzania wamelala na chama kimoja
@ProsperUlungi3 ай бұрын
Bila shaka utakuwa muislam ndio maana unachuki@@MamuduAziz-h1z
@sandrajohn7649Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@mussamisinzo49347 ай бұрын
Duh
@rachelmwaikambo8396 Жыл бұрын
❤🙌
@mishekimalili6817 Жыл бұрын
Nijivunia kuwa kiongozi bora
@LabaniAkyoo7 ай бұрын
Baba wa Taifa
@safarinisafariАй бұрын
Taa alianzisha nani? Mnataja yeye kupata uongozi hao waasisi?
@chirangim2439 Жыл бұрын
Ni Mwanamajumui - Shujaa wa Afrika
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp3 ай бұрын
Katiba mbovu Bora uhuru usingepatikana
@safarinisafariАй бұрын
Yeye ni mtanzania wa pili kupata degree nje ya nchi je huyo wa kwanza ni nani?
@ChristmasMaheriАй бұрын
Nilipata bahati ya kumsikiliza Mwalimu wakati wa uhai wake.Nilishuhudia upendo wake kwa wananchi wote bila ubaguzi.Nakumbuka maandiko yake siasa yake:Azimio la Arusha 1967,Ujamaa,Ujamaa na Kujitegemea.Nilifundishwa shuleni na ndani ya CCM na kutahiniwa na kufaulu juu ya masomo haya.Sasa,2024,sina hakika kama wanafunzi wetu na wanachama wetu katika utoto wao wanafundishwa na kutahiniwa juu ya imani hii ya siasa yake.Tumebadilika,tunajenga majengo vyuoni ya imani za siasa za China_Conficius
@EzekielEzekielly4 ай бұрын
Histoliyayakambole
@safarinisafariАй бұрын
Historia hii ina chekesha tu mwanzo mwisho ni jina moja tu hamuoni aibu? Kanakwamba nchi ilikuwa na mtu mmoja na harakati alizifanya yeye mwenyewe
@OMARYJUMANNEMWINYIHERIАй бұрын
Eleweni hii ni makala ya Nyerere sio ya mtu mwingine
@safarinisafariАй бұрын
Alipo jiuzulu nani alikua mtawala? Na je mtu huyo anahisabika kwenye awamu hizi sita? Au yeye ni wasaba?
@ramadhanikuhanga3324 Жыл бұрын
Dah sasa kipindi hicho aligombea na nani wakati alikua peke yake
@yumagabriel93844 ай бұрын
@MudiAlly-hw5wo Жыл бұрын
❤❤❤❤
@safarinisafariАй бұрын
Taa alianzisha nani? Mnataja yeye kupata uongozi hao waasisi?