NYERERE MAKALA || Hii hapa historia ya Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere

  Рет қаралды 72,640

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 34
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 3 ай бұрын
Tanganyika shall not die.If,it dies our history of the struggle for freedom will die with it as well as our pride as community.
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 22 сағат бұрын
Baba wataifa manwno yako yanaishi mungu akuweke mahala pema peponi aaaminaa
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 4 ай бұрын
Jamani serkar musini fiklie vibaya Kwa kuzi post istoria ya viongoz na penda sana kuzi ona ziki pewa samani na ziki kumbukwa mala kwamala na ipet ipenda sana makala iz 💪🇹🇿
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 22 сағат бұрын
Lazima tumkumbuke baba wa taifa letu
@richardlubano7888
@richardlubano7888 Ай бұрын
Wonderful. No other.
@bezalelindahani
@bezalelindahani 9 ай бұрын
Lazima makara ya mwalim Nyerere yaheshimiwe
@AggyAggy-yp4my
@AggyAggy-yp4my Жыл бұрын
Ahsante
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 4 ай бұрын
I love baba nyelele 💪
@eliudimwakasenga9754
@eliudimwakasenga9754 Жыл бұрын
Tunajivunia 🎉🎉🎉
@FilbertRobert-e4u
@FilbertRobert-e4u Ай бұрын
Mwalimu unakumbukwa sana
@yahfatmudswiddiq2271
@yahfatmudswiddiq2271 Ай бұрын
tunamshukuru kutuachia kiswahili
@GeorgeKasembe
@GeorgeKasembe 3 күн бұрын
RIP
@joshuakamu196
@joshuakamu196 7 ай бұрын
shujaa wetu walimu juluus Nyerere 🙏🙏🙏😭😭😭
@MamuduAziz-h1z
@MamuduAziz-h1z 4 ай бұрын
Ana ushujaa gani katulisha matango pori kawafirisi wazawa kawapa mali wahindi mzee alikuwa mjinga sana kawauwa wazalendo kina sokoine mnamsifia bure kaliangusha taifa ona leo watanzania wamelala na chama kimoja
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi 3 ай бұрын
Bila shaka utakuwa muislam ndio maana unachuki​@@MamuduAziz-h1z
@sandrajohn7649
@sandrajohn7649 Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@mussamisinzo4934
@mussamisinzo4934 7 ай бұрын
Duh
@rachelmwaikambo8396
@rachelmwaikambo8396 Жыл бұрын
❤🙌
@mishekimalili6817
@mishekimalili6817 Жыл бұрын
Nijivunia kuwa kiongozi bora
@LabaniAkyoo
@LabaniAkyoo 7 ай бұрын
Baba wa Taifa
@safarinisafari
@safarinisafari Ай бұрын
Taa alianzisha nani? Mnataja yeye kupata uongozi hao waasisi?
@chirangim2439
@chirangim2439 Жыл бұрын
Ni Mwanamajumui - Shujaa wa Afrika
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 3 ай бұрын
Katiba mbovu Bora uhuru usingepatikana
@safarinisafari
@safarinisafari Ай бұрын
Yeye ni mtanzania wa pili kupata degree nje ya nchi je huyo wa kwanza ni nani?
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri Ай бұрын
Nilipata bahati ya kumsikiliza Mwalimu wakati wa uhai wake.Nilishuhudia upendo wake kwa wananchi wote bila ubaguzi.Nakumbuka maandiko yake siasa yake:Azimio la Arusha 1967,Ujamaa,Ujamaa na Kujitegemea.Nilifundishwa shuleni na ndani ya CCM na kutahiniwa na kufaulu juu ya masomo haya.Sasa,2024,sina hakika kama wanafunzi wetu na wanachama wetu katika utoto wao wanafundishwa na kutahiniwa juu ya imani hii ya siasa yake.Tumebadilika,tunajenga majengo vyuoni ya imani za siasa za China_Conficius
@EzekielEzekielly
@EzekielEzekielly 4 ай бұрын
Histoliyayakambole
@safarinisafari
@safarinisafari Ай бұрын
Historia hii ina chekesha tu mwanzo mwisho ni jina moja tu hamuoni aibu? Kanakwamba nchi ilikuwa na mtu mmoja na harakati alizifanya yeye mwenyewe
@OMARYJUMANNEMWINYIHERI
@OMARYJUMANNEMWINYIHERI Ай бұрын
Eleweni hii ni makala ya Nyerere sio ya mtu mwingine
@safarinisafari
@safarinisafari Ай бұрын
Alipo jiuzulu nani alikua mtawala? Na je mtu huyo anahisabika kwenye awamu hizi sita? Au yeye ni wasaba?
@ramadhanikuhanga3324
@ramadhanikuhanga3324 Жыл бұрын
Dah sasa kipindi hicho aligombea na nani wakati alikua peke yake
@yumagabriel9384
@yumagabriel9384 4 ай бұрын
@MudiAlly-hw5wo
@MudiAlly-hw5wo Жыл бұрын
❤❤❤❤
@safarinisafari
@safarinisafari Ай бұрын
Taa alianzisha nani? Mnataja yeye kupata uongozi hao waasisi?
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda  aeleza mazito
12:25
Mwananchi Digital
Рет қаралды 138 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 55 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
NYERERE PART 4: MWALIMU NYERERE SAYS CLANS CAN’T DEFEAT EMPIRES
29:52
MADARAKA NYERERE: MAMA NYERERE ANAAMINI KWAMBA TUNAMWELEKEO MZURI KAMA TAIFA.
47:22
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
KUMBUKIZI YA MIAKA 24 YA MWL J K NYERERE NA SENSA
19:53
Nbs Tanzania
Рет қаралды 17 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
HOTUBA YA MWL.NYERERE MWAKA 1995 Prt1
35:35
Uhai Online Tv
Рет қаралды 130 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 55 МЛН