USIOYAJUA KUHUSU EBRAHIM RAISI WA IRAN “MCHINJAJI WA TEHRAN” MISIMAMO MIKALI DHIDI YA 'USHOGA'

  Рет қаралды 86,759

Millard Ayo

Millard Ayo

24 күн бұрын

Пікірлер: 418
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 22 күн бұрын
Hawa ndio viongozi wanaofaa kupambana na marekani allah akulipe kheir mzee wetu
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 18 күн бұрын
AMEEN
@abdulsalum9698
@abdulsalum9698 18 күн бұрын
Wajinga nyie mkasome dini alipwe kher gan Shia huyo
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 17 күн бұрын
@@abdulsalum9698 huyu mtu kwanza sio kibaraka wa marekani pia amekataa ndoa za jinsia moja
@SaidiMiraji-lk3vm
@SaidiMiraji-lk3vm 23 күн бұрын
Mungu akuhifadhi kamanda dunia hii wote tunapita hakuna atakae bakia
@AndreaHango
@AndreaHango 22 күн бұрын
Shida sio wote tutapita shida ni kwamba baada ya kupita hayo matrilioni na mazilioni ya miaka tutakaa wapi?
@NanaBaby-qc9uf
@NanaBaby-qc9uf 23 күн бұрын
Innalilah wainnalilah raniuni.Aliyekufa ni mwanadamu MUNGU yupo atamwinua mwingine Amin
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 23 күн бұрын
Jembe Mzee,Rais, Iranian Allah akuhifadhi,
@kelvinpeter5666
@kelvinpeter5666 22 күн бұрын
Kwasasa ndipo anaend kukutana na adhabu kutoka kwa Yesu Kristo
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 22 күн бұрын
​@@kelvinpeter5666Fala wewe
@user-bw6cd7ml1i
@user-bw6cd7ml1i 22 күн бұрын
Yesu anadhabu gani sio Mungu mwenye mamlaka ya hii dunia Udini unakusumbua hii dunia hakuna ataye pona kila mtu anakosa mbele za mungu
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 22 күн бұрын
​@@kelvinpeter5666 we kafiri embu Kaa kimya
@mussakarata6650
@mussakarata6650 22 күн бұрын
​@@kelvinpeter5666wew aliyekuambia yesu anatoa adhabu ni nani?
@EmmanuelIbrahim-wo8gm
@EmmanuelIbrahim-wo8gm 23 күн бұрын
mwamba imara utakao kumbukwa milele
@personpeter2221
@personpeter2221 22 күн бұрын
Akumbukwe kwa maovu yake daima
@user-hd7vt8fk5t
@user-hd7vt8fk5t 22 күн бұрын
K wewe
@Worldunite
@Worldunite 21 күн бұрын
Maovu yako jee?​@@personpeter2221
@masweto
@masweto 20 күн бұрын
kinyago
@Worldunite
@Worldunite 20 күн бұрын
@@masweto kama wewe?
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 23 күн бұрын
INALILLAH WAINAILAIH RAJIUN 🇮🇷💔🤲😭😭😭😭
@samrysamry9812
@samrysamry9812 23 күн бұрын
Wallah nimeumia 💔💔💔💔💔 Allah akupe kauli thabiti kila nafsi itaonja umauti
@abdulsalum9698
@abdulsalum9698 18 күн бұрын
Kauli yake thabiti kafa akimlilia Ali bin khatwab amuokoe kafa mushirik kaafir.kwa mujibu wa quraan na sunna
@suleimanmuhammad-bu7pe
@suleimanmuhammad-bu7pe 23 күн бұрын
Allah mlaze mahali pema peponi
@mustardseedlivepunjeyahara5292
@mustardseedlivepunjeyahara5292 23 күн бұрын
Ashapata vibusa vyake tayari Ako sawa,jannah Firdaus
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 23 күн бұрын
Jembe... utaishi kwny kumbukumbu zetu nzur 😢😢❤
@user-qb4cv7hs1o
@user-qb4cv7hs1o 23 күн бұрын
Milele Allah ampe pepo Insha Allah
@martinisadru9899
@martinisadru9899 23 күн бұрын
​@@user-qb4cv7hs1ohiyo pepo kama ni yako, sawa.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 23 күн бұрын
Amiin 🤲🤲😥😥​@@user-qb4cv7hs1o
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 23 күн бұрын
@@user-qb4cv7hs1o Allahumma amin
@abdillahiharuna0029
@abdillahiharuna0029 23 күн бұрын
​@@martinisadru9899 hapo pote2 Kisa hawaungi mkono mashoga ndomn unamakasiliko
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 22 күн бұрын
Kafanya vizur kupinga ushoga tena angekata vichwa vya beiden.
@fatmakhalid6637
@fatmakhalid6637 23 күн бұрын
Innalilah wainnalilah rajiun
@BabaFah-lx6lx
@BabaFah-lx6lx 23 күн бұрын
Vp
@papaamularfins599
@papaamularfins599 23 күн бұрын
Kwake tulitoka na kwa hakika kwake Mola tutarejea.
@J4UPro
@J4UPro 23 күн бұрын
R. I. P Mr president
@hamidashakhbot2557
@hamidashakhbot2557 22 күн бұрын
Allah akupe pepo ya frdausi
@user-lq4cm4rq6z
@user-lq4cm4rq6z 22 күн бұрын
Allah akupumzishe mahali pema peponi Amiin
@kitaaofficial4119
@kitaaofficial4119 23 күн бұрын
RIP Master❤ Allah ampe wepec ktk safar yke😢😢
@nassibkhamis3650
@nassibkhamis3650 22 күн бұрын
Mungu ampe kauli thabit amlaze mahali pema peponi amin
@suleimanmuhammad-bu7pe
@suleimanmuhammad-bu7pe 23 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiuna
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 23 күн бұрын
Mashoga wamefurahi iliwaendelee na ndoa za jinsia moja.
@annasolomon9855
@annasolomon9855 22 күн бұрын
Kwani yeye alizuia Nini kwenye ushoga?? Ushoga unatokana na taratibu za nchi yenyewe na misimamo katika nchi ikiwa nchi imeruhusu😢 basi itawapa watu uhuru na ikiwa inamisimamo kama Magufuli na Ibrahim Rais ( Hayati) hapatatokea labda kwa kujificha Sana.. Magufuli& Ibrahim Raisi hawakuyumbishwa na wazungu kabisa na ninaamini hii miamba imeuliwa😢😢 Mungu anisamehe..
@michaelmisana650
@michaelmisana650 22 күн бұрын
Mbona yeye aliuwa name afe tu
@MzeeMkuu-qs9wp
@MzeeMkuu-qs9wp 21 күн бұрын
lanatitulayi Mungu anusulu
@yusramwinjuma4721
@yusramwinjuma4721 23 күн бұрын
Innalilah waina illah rajiun 😢😢😢
@saidmtenda1628
@saidmtenda1628 23 күн бұрын
Nawakubali sn Iran kwa kupigania maslahi ya nchi dhidi ya Manyang'au wa Magharibi
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 16 күн бұрын
Allah awalaze pema peponi
@sainabhassan6885
@sainabhassan6885 17 күн бұрын
Innalillah waina ileyhir raajiun
@muniraahmed624
@muniraahmed624 22 күн бұрын
Dah asee imeniuma mnoo Innalilah wainaillah rajiun😢😢😢
@cclaudeshilling957
@cclaudeshilling957 22 күн бұрын
Innalillah wainnalillah rajiuun..
@StephanoDaniel-es5tv
@StephanoDaniel-es5tv 23 күн бұрын
Nasitupo nyuma Yako shujaa wetu mwanamapinduzi wa kweli daima tutakukumbuka
@youssefsanje8743
@youssefsanje8743 23 күн бұрын
May Allah bless their souls
@superhemed7590
@superhemed7590 23 күн бұрын
Daaah bonge la makala mzee! Hongera kwa timu zima iliyoandaa❤
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 22 күн бұрын
MASTER! INNALLILLAH
@LuqmanKawela-qf8ny
@LuqmanKawela-qf8ny 23 күн бұрын
Millad ayo apo katika uchinjaji mtoe huyu rais,wachinjaji wanajulikana biden,na nyetanyahu au satannyahu, au milad ayo unjitoa ufahamu
@Siasia209
@Siasia209 21 күн бұрын
Anajitoa ufaham uyo kijana
@Worldunite
@Worldunite 19 күн бұрын
@@Siasia209 na sio kujitoa ufahamu tu, bali ataharibu sifa aliyojijengea
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 18 күн бұрын
Ndo hapo asa wachinjaji hawaataji
@user-bl7ji7dk6x
@user-bl7ji7dk6x 22 күн бұрын
INNALILLAH WAINNA ILAYH RAJIUN 😭😭😭😭😭😭😭
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 23 күн бұрын
Jembe limeondoka alla akubarik
@ErickMgaya-kv2wl
@ErickMgaya-kv2wl 23 күн бұрын
Rest in peace 😢🎉😢
@waleedbinali3211
@waleedbinali3211 22 күн бұрын
Inna lillahi wainna illahi raj'uun
@BabaFah-lx6lx
@BabaFah-lx6lx 23 күн бұрын
Innalilah waina ilah rajiun
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 22 күн бұрын
INNALILLAHI WA INNA ILAYHI RAJIUUN
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 22 күн бұрын
Rais imara kama mangufuli,mwenye msimamo wa kutetea nchi yake,lala salaama baba mungu akupokee ,tutakukuta huko
@MAILAGUN
@MAILAGUN 22 күн бұрын
Innalillah wainnailaih raajiun
@AminaaJoseph
@AminaaJoseph 21 күн бұрын
Innalilah wainailah rajuun
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 23 күн бұрын
Allah awape Kila kheri ktk safari yao
@HalimaSalym-jl2ui
@HalimaSalym-jl2ui 22 күн бұрын
Allah, haondoi ikiwa hajaweka. Wa Iran mtapat kiongozi aliyekua Bora zaidi ya Ibrahim Raisi
@isayashayo4777
@isayashayo4777 22 күн бұрын
Tanzania alikufa magu tukitegemea kupta jembe lakini tulipigwa na kitu kizito 😂😂
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 22 күн бұрын
​@@isayashayo4777 atari sana 😅😅😅
@kutailass6671
@kutailass6671 22 күн бұрын
Tanzania ccm mbele kwa mbele
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 22 күн бұрын
​@@kutailass6671Namzee akua ccm alikua na misimamo yake
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 23 күн бұрын
Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiuun
@Likes_comment_share
@Likes_comment_share 21 күн бұрын
Kwaio hakukua na Parachute 🎉
@user-yf4qu5ob3f
@user-yf4qu5ob3f 23 күн бұрын
Mungu akuweke mahala pema peponi inshaallah
@FridayMwassa
@FridayMwassa 22 күн бұрын
Atamuweka panapostahili sawsawa na Matendo yake
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy 22 күн бұрын
Ameen
@AllyAbdallh-mx2zv
@AllyAbdallh-mx2zv 22 күн бұрын
Innalilah wainna ilaih raajiuun
@thetruth8979
@thetruth8979 22 күн бұрын
innalilahii wainnaa ilayhi rajiuun
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 20 күн бұрын
Huu ni msiba wa Mashia. Sisi wengine Hautuhusu.
@haidomussa7847
@haidomussa7847 22 күн бұрын
Innalilah wainalilah rajiun
@kashiririrkaasongwisye9487
@kashiririrkaasongwisye9487 23 күн бұрын
Kumbe alikuwa muuwaji basi Mungu amelipa kwa stahili ya kifo chake
@yohana1242
@yohana1242 22 күн бұрын
Mashoga munafurahia
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 22 күн бұрын
Unawapenda mashoga
@Worldunite
@Worldunite 19 күн бұрын
Km atakavyokulipa na wewe kwa stahili yako
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 22 күн бұрын
Viongozi wema na watu wema awaishi miaka mingi mungu msamehe makosa yake na umtetee mazuri yake baba yetu mzee wetu ameen Rip Mr president Raisi Ibrahim we love you 🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷🇮🇷💪💪💪💪💪💪
@IbrahimKussaga
@IbrahimKussaga 21 күн бұрын
Huyo ni muuwaji naye MUNGU kammaliza.
@Worldunite
@Worldunite 19 күн бұрын
@@IbrahimKussaga km atakvyokumaliza wewe,si ndiyo??
@BushiraAbubakari
@BushiraAbubakari 23 күн бұрын
Innalilah waina ilaih lajiuun
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 17 күн бұрын
Kila roho itatoka tu kwakila kilichoumbwa na Allah ,kazi yakujua dhambi zamja nikazi ya Mungu pekeake ,tusihukumiane kupelekana Peponi au motoni ,tuombeane Maghfira hakuna ajijuaye 😢
@othumanomari1589
@othumanomari1589 22 күн бұрын
Innalillah wainna illaihi Raajiun 😭😭🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
@kibulajumakibulajuma3448 21 күн бұрын
ALLAAHUMMA GHFIRLAHU WA-RhAMHU WA-SKINHU FIL JANNAH (Seyyid Shaheed Ibrahim Rais El- Saddat, 1961- 2024)🇵🇸🤝🇮🇷.
@omanmct135
@omanmct135 21 күн бұрын
Kweli kabisa
@AJSPAREPARTS-dq4jp
@AJSPAREPARTS-dq4jp 23 күн бұрын
Rip The president
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 23 күн бұрын
Daa inauma sana 😢😢😢
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 23 күн бұрын
Aise inaumiza
@Jumaamsagaty
@Jumaamsagaty 22 күн бұрын
Huyu jamaa imeniuma Sana
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 23 күн бұрын
Wazee wetu walijua wanakwenda kufa. Mambo ya Mungu ndo anajua sio kweli. Wagonjwa wengi wanaweza kukwambia na kukuaga kua wanakwenda kufa sasahivi na kweli wanakufa.
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 23 күн бұрын
Innan lillahi waina ilehi rajiun 😢😢
@user-je1rq2wi9s
@user-je1rq2wi9s 21 күн бұрын
Siku ya kufa haina maarifa safari yetu ni moja
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 23 күн бұрын
Glory be to God for fighting for Israel
@criminalminds7723
@criminalminds7723 23 күн бұрын
Ni Kua hutambui kinachoendelea, Israel ni inchi ambayo haina dini
@azizaj776
@azizaj776 23 күн бұрын
Israel is the country of gays so what glory
@cholowao
@cholowao 23 күн бұрын
Hivi God amesema hadi muuwe watoto elfu ngapi ndio Mpango wake utakamilika 😥😥😭😭😭😭😭😭 watoto wanaangamia. Taifa la Palestine linaangamia. Tunaomba huo mpango wa Mungu utimie watoto, wanawake na vikongwe wanusurike... Tuombe Huo Mpango uishie huko usije huku Africa hatuna Hasam wala nani wa kututetea, tutauliwa mpaka tumalizwe. Ehh Mungu tunaomba tanzania isiwe nchi waliyoahidiwa wauaji ambao watakuja kutuchinja kama kuku
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 23 күн бұрын
@@cholowao stop reasoning like a fool use common sense .
@user-hp6gz6ln4k
@user-hp6gz6ln4k 22 күн бұрын
​@@cholowao:nyamaza Mungu ataendelea kufanya vyote apendavyo.. Point ni msichokozane
@mohammedgulamali8849
@mohammedgulamali8849 22 күн бұрын
Hii Duneia wako waislaam wengi lakini Raisi wa Iran ali kwa moja tu ambayo alikwa hapendi Marekani. Sababu marekani ni wauwaji ku uwa watu waseio na hateya. Hapo ndeio marekani alikwa hataki Iran. Marekani wanataka wanacho sema wawo ndeio ukubali. Na Iran walikwa hawataki hilo. Hawo ndeio waislaam kamili. Hawa pendi ku uwa watu waseio na hateya jinsi israel na nchi za magaribi wanavyo fanya.
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 23 күн бұрын
Bwana ametwaa
@SaleIddi
@SaleIddi 22 күн бұрын
Inna Lillah waina ilaih rajiun
@eliasmaika2620
@eliasmaika2620 23 күн бұрын
R.I.P Raisi
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 21 күн бұрын
Mchinjaji 😢 mnazingua sana
@shakila3982
@shakila3982 22 күн бұрын
Inna Lillahi wa Inna ilayhi Raji'un
@goldmansun5859
@goldmansun5859 21 күн бұрын
nilijua hatoboi huu mwaka
@AllyAbdallh-mx2zv
@AllyAbdallh-mx2zv 22 күн бұрын
Mungu ampe kauli thabit
@AMIDURAJABU
@AMIDURAJABU 23 күн бұрын
😭😭😭😭🤲
@user-tf3vf8rj8n
@user-tf3vf8rj8n 21 күн бұрын
Allah amfnyie wepec😭 hakik hatuwez kumsamh jembe km yy Hakik kwake tumetok na kwake tutarejea
@user-br1cd1tf6y
@user-br1cd1tf6y 22 күн бұрын
Tumueshimu mungu
@abdoumadiousseni4835
@abdoumadiousseni4835 22 күн бұрын
Nishule yamashiaa
@user-hv4px1dh4l
@user-hv4px1dh4l 23 күн бұрын
Bora amekufa huyo mbwa😮😮😮😮😮😮
@BabaFah-lx6lx
@BabaFah-lx6lx 23 күн бұрын
Kumbuka ukimuita mtu kwa tusi bs ww utatukanwa zaidi yake
@SaidiMiraji-lk3vm
@SaidiMiraji-lk3vm 23 күн бұрын
Wanna ww utaishi milele
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj 22 күн бұрын
Inallillah wainailaih rajiuniii 😢
@PatrickMwamba289
@PatrickMwamba289 22 күн бұрын
Harmonize is abusing Diamond Platnumz na uchawi...na viongozi pamoja na Basata KIMYA ?????⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@aproniamasatu5810
@aproniamasatu5810 23 күн бұрын
R.I.P hericopter
@user-kq8dg5sd2n
@user-kq8dg5sd2n 21 күн бұрын
Mwanadiplomasia Nguli Kabisa Huyu. Amefanikisha Iran kujiunga BRICS na STO, amerejesha mahusiano mazuri baina ya Iran na Saudia na vilevile Pakistan. Amesapoti pia Harakati za Ukombozi Palestine na Kwingineko
@sayeedmsct4255
@sayeedmsct4255 23 күн бұрын
😭😭😭😭
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 22 күн бұрын
Israel juu daima ukienda vibaya na taifa la mungu auwezi baki salama
@sandejacob623
@sandejacob623 22 күн бұрын
Pumbafu wewe, taifa gani la Mungu linaua watu hovyo na kuruhusu ushoga ?
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 21 күн бұрын
Taifa gan linategemea msaada wa mabwana zao marekan.
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 22 күн бұрын
Jembe! Dunia itakumiss 😢
@mwanaidally2924
@mwanaidally2924 23 күн бұрын
Ww milard ayo nishakutoa kwenye list ya watu Bora ni mbaguzi sana
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 23 күн бұрын
Mathayo 26:52-53 Hapo Yesu akamwambia, “Rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga, atakufa kwa upanga
@superhemed7590
@superhemed7590 23 күн бұрын
Pole sana km bado mpaka leo unajua waisrael ni wakristo wenzako
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 23 күн бұрын
Wapenda kufilana lazima wafurahie kifo chake
@azizaj776
@azizaj776 23 күн бұрын
Hivyo NATANYAU NAYE ANATUMIA UPANGA TENA KWA WATOTO NAYE ATAUWAWA KWA UPANGA SHOGA HUYO
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 23 күн бұрын
@@superhemed7590 ukweli ubaki hivyo amshikiae kisu na kuuwa naye atakufa Bwana wetu mwenye upendo na Rehema nyingi hapendi mtu auwe wenzie
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 23 күн бұрын
@@IbniAbbas-yz3kt mbna unandandia gari la mwanaharamu ninan kasema ushoga hapo!! Acha ujinga
@user-cd2mf2vf8r
@user-cd2mf2vf8r 21 күн бұрын
AYO TV SIO KICHWA CHAHABARI ULIVO KIANDIKA UMEKWAZA WENGI ILA MIMI NIMEONA NIKUELEZE HILI MMEZINGUA SANA
@raymrash
@raymrash 22 күн бұрын
Ukiishi kwa upanga utauawa kwa upanga!
@AMIDURAJABU
@AMIDURAJABU 23 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭🇮🇷🇮🇷🇮🇷⭐⭐⭐
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 23 күн бұрын
RIP😢😢
@omanmct135
@omanmct135 21 күн бұрын
💔💔💔
@dennischarles8524
@dennischarles8524 22 күн бұрын
Yupo mbele ya haki,atajibu
@user-mm9qr7em8k
@user-mm9qr7em8k 22 күн бұрын
Wallah amsamekhe .sote tumekuja nasote .tutarudi.. kwake .nimuda tuu.
@mustardseedlivepunjeyahara5292
@mustardseedlivepunjeyahara5292 23 күн бұрын
Kufa kwake ni faida kwa familia nyingi alikwaza
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 22 күн бұрын
Ikiwemo ya kwenu
@mussakarata6650
@mussakarata6650 22 күн бұрын
​@@saidimwanyiro5147cwez shangaa dunian kitu akifany mmagharib hiko ni chema na kinaridhiw na hata Kam ni kiovu na akipingaye anakuwa yeye mkosaji na hubadilishiwa majina mara gaidi mara muuaji na mengineyo.
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 22 күн бұрын
Hata ww utakufa utaishi milele au ww ni jabali hufii??
@user-io8hn1jb4d
@user-io8hn1jb4d 22 күн бұрын
Sasa hapo kakosea nini, hao alioamuru wanyongwe familia zao zilifurahi ata mtoto wao alikua shoga unafikiri familia zilishangilia pindi ananyongwa
@michaelmisana650
@michaelmisana650 22 күн бұрын
Tena kifo chake ni flaaa sanaa
@user-hv4px1dh4l
@user-hv4px1dh4l 23 күн бұрын
Wayahud wako dunia nzima /Mungu amejibu
@azizaj776
@azizaj776 23 күн бұрын
Alichojibu nini ???! KIFO NI LAZIMA , Israel nchi ya MASHOGA nini ibarikiwe ?????? Labda imarikiwe kwa ushoga na usahaji
@user-hp6gz6ln4k
@user-hp6gz6ln4k 22 күн бұрын
​@@azizaj776:chokoza Israel uone allah wako kaishindwa wewe ndio utaweza.. Daudi pia kapiga nakuchukuwa sehemu Mungu amempa, allah wako ndiye ataweza
@user-hp6gz6ln4k
@user-hp6gz6ln4k 22 күн бұрын
MUNGU Ni muweza always hapo mpaka miisho ya Dunia Israel hitobanduka Mkono Wa Mungu upo juu yake
@magogomagogo9544
@magogomagogo9544 22 күн бұрын
Wanauwa sana wacha nae afe kifo kibaya
@SaleIddi
@SaleIddi 22 күн бұрын
Uyu Raisi alikua akijiamini
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 21 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 23 күн бұрын
nimeona aibu kubwa kwa Raisi wa Nchi ya Iran eti helkopta iliyochukua uhai wake ilitengenezwa miaka 40 iliyopita yaani mwaka 1971??!!
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 23 күн бұрын
Sasa umeona aibu gani? Wewe ndiye uliyepewa kazi ya kununulia usafiri? Au hujui maana ya kuona aibu!
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 22 күн бұрын
@@sylvestercameo6263😂😂😂😂😂
@MrA24G
@MrA24G 22 күн бұрын
Halafu Leo eti wakabishane na wamarekani waanze kurekebisha vyombo vyao vya kusafiria viongozi helicopter yenyewe ni Aina ya bell 212 imetengenezwa marekani.Na marekani walitumia aina hyooo ya helicopter mwaka 1968.Miaka 45 imetumika Iran.Lini umemuona raisi wa marekani na ndege zilizochoka marine one Cadillac one na airforce one mtu aniambie zimewahi kuchoka za zamani.Wale wanajitengenezea ndege zao.Tukubali mzungu atabaki kuwa mzungu tuu.
@damkaliclassic7944
@damkaliclassic7944 21 күн бұрын
Ni kweli ni aibu kwa mtu asie na ufaham kama wew,ila ungekuw na ufaham ungetambua chanzo cha yote ni nini
@AMIDURAJABU
@AMIDURAJABU 23 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿😭😭😭🤲🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 22 күн бұрын
Magufuli wa IRAN!😥😥😥😥
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 23 күн бұрын
Kwa hiyo we ulitaka awache mashoga jinga kweli
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 23 күн бұрын
There is away out than killing way out is deliverance killing does not the anything
@mwikalijosephine5178
@mwikalijosephine5178 23 күн бұрын
Use ur holy understand stop using satanic thoughts to solve issues
@user-hp6gz6ln4k
@user-hp6gz6ln4k 22 күн бұрын
Ongea kama mtu, kwa nini auwe unaweza kukataza siyo kuuwa, ushoga ni mapepo na ni Wana wa mtu.. Pia ni jaribu kwa wazazi, hata wewe unaweza ukazaa mtoto wako mmoja akawa shoga iyo ni jaribu apana kuwa kama mjinga, cha kufanya ni kuwaombea na sio kuuwa,
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 21 күн бұрын
@@user-hp6gz6ln4k kuwaombea vip hao wataambukiza wengine waharibu nchi unawaletea watu umagharibi Huko huko
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 21 күн бұрын
@@mwikalijosephine5178 hao dawa Yao ni kuwakata vichwa ili wakotombaniane matakoni makaburini mwao bila hivo Kuna wajinga wajinga TU wanaiharibu Dunia huku tukishuhudia.
When Steve And His Dog Don'T Give Away To Each Other 😂️
00:21
BigSchool
Рет қаралды 15 МЛН
1 класс vs 11 класс  (игрушка)
00:30
БЕРТ
Рет қаралды 2,8 МЛН
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
GPS: HAMAS yaushambulia mji wa TEL AVIV wa Israel kwa ROKETI!
14:53
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 37 М.
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
E362 Navigating the Bible: The Historical Books
53:22
Saddleback Church
Рет қаралды 53 М.
When Steve And His Dog Don'T Give Away To Each Other 😂️
00:21
BigSchool
Рет қаралды 15 МЛН