asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa
@JAMESLAPUT-ye6kk4 ай бұрын
Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed
@jeremiahngoka49804 ай бұрын
Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee
@artsonkimath29174 ай бұрын
Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa
@JoshuaKamusiara4 ай бұрын
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
@olekitamwasmokotio98554 ай бұрын
Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu
@PartySekemi4 ай бұрын
Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako
@PartySekemi4 ай бұрын
Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
@sylvestercameo62634 ай бұрын
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
@mossesmepukori18264 ай бұрын
Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?
@BarakaMollel-f3y4 ай бұрын
Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai
@PhilipoMwita-wc1ku4 ай бұрын
Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi
@KiriaKipara4 ай бұрын
Safi sana mkuu
@ShalomNissitv4 ай бұрын
Si dhani kama huo ni ukweli.
@georgekimasaofficial16294 ай бұрын
We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.
@johakhimu.mgembe.32974 ай бұрын
Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.
@ZakariaMnzava4 ай бұрын
Mzee kama vile ananjaa ya madaraka
@jumakilinja63414 ай бұрын
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
@ElishaOisso4 ай бұрын
Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito
@uraiatv84554 ай бұрын
Shida ya Sendeka ni kujipendekeza
@lusajomwaipopo50424 ай бұрын
Kiatu kimembana analaImisha
@karolikisaka89914 ай бұрын
Wamasai msidanganywe mnadhalilika. Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm
@johnmalembo64644 ай бұрын
Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake
@edsonnelson44644 ай бұрын
Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi
@jeremiahblazio47814 ай бұрын
Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako
@JamesSichimata-w1u4 ай бұрын
Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai
@clarencehilary55884 ай бұрын
Msimtaje samia unatudhi Sana
@GilbertMollel-j6n4 ай бұрын
Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?
@konemelau90683 ай бұрын
MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society
@InnocentCharles-hm3ff4 ай бұрын
Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!
@FredrickOlentimama-tj4ps3 ай бұрын
Tutetee baba yangu
@MRHURUMAHuruma4 ай бұрын
Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi
@GeofreyMwandanji-ot2lf4 ай бұрын
Akipita masai wote nima nyumbu
@MaikoSiria4 ай бұрын
bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze
@JamesKanyenda-y9y4 ай бұрын
Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo
@elishadodi87874 ай бұрын
Kalambishwa asali tayari huyo naye
@AbuodSeleman4 ай бұрын
mnafki huy mzee😂😂😂😂
@lucasparmet32014 ай бұрын
Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo
@ImaniLaizar4 ай бұрын
Sawa mwamba tetea wananchi wako
@obadiajuma4364 ай бұрын
Sirahisi
@saidiathuman-og6bc4 ай бұрын
Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa
@LaizerSangau4 ай бұрын
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
@PhilipoMwita-wc1ku4 ай бұрын
Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu
@AbuodSeleman4 ай бұрын
tumba tupu😂😂😂....
@patellaisangai60134 ай бұрын
Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko
@adamwoiso21804 ай бұрын
Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako
@LasaroSilasi4 ай бұрын
🙏🙏👏👏👏👏👏
@lenkitengtajeutajeu3 ай бұрын
Njeeretu ntae enkai
@kibbysaidi78134 ай бұрын
Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!
@nkwazigatsha4 ай бұрын
Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.
@andrewkissava91844 ай бұрын
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
@YassinRajabu4 ай бұрын
wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi
@elishapalaletlaizer37144 ай бұрын
Pimbii we hauna.Maana kabisa
@margarethsolomon98234 ай бұрын
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
@EzekielMetia3 ай бұрын
Uongo😂😂
@ShekutuKillel4 ай бұрын
Niambie kura amuna
@mxfsedtirzАй бұрын
Huo ni ujuha unaotia kichefuchefu.Uchawa wenye maradhi ya kufisha. Historia itaangamiza kizazi chako. Eti rais hajaidhinisha kuhamishwa Wamasai? Kama hajui ana sababu gani ya kuwepo? Wewe Ole sendeka upo wa kazi gani? Eti Wamasai watamchagua samia ili afanye nini? Kama hajui, basi nyote sio vyura viziwi tu,bali vipofu pia.