OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA

  Рет қаралды 41,673

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 68
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m 4 ай бұрын
asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa
@JAMESLAPUT-ye6kk
@JAMESLAPUT-ye6kk 4 ай бұрын
Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 4 ай бұрын
Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee
@artsonkimath2917
@artsonkimath2917 4 ай бұрын
Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa
@JoshuaKamusiara
@JoshuaKamusiara 4 ай бұрын
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
@olekitamwasmokotio9855
@olekitamwasmokotio9855 4 ай бұрын
Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu
@PartySekemi
@PartySekemi 4 ай бұрын
Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako
@PartySekemi
@PartySekemi 4 ай бұрын
Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 4 ай бұрын
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
@mossesmepukori1826
@mossesmepukori1826 4 ай бұрын
Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?
@BarakaMollel-f3y
@BarakaMollel-f3y 4 ай бұрын
Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 4 ай бұрын
Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi
@KiriaKipara
@KiriaKipara 4 ай бұрын
Safi sana mkuu
@ShalomNissitv
@ShalomNissitv 4 ай бұрын
Si dhani kama huo ni ukweli.
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 4 ай бұрын
We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.
@johakhimu.mgembe.3297
@johakhimu.mgembe.3297 4 ай бұрын
Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.
@ZakariaMnzava
@ZakariaMnzava 4 ай бұрын
Mzee kama vile ananjaa ya madaraka
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 4 ай бұрын
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
@ElishaOisso
@ElishaOisso 4 ай бұрын
Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito
@uraiatv8455
@uraiatv8455 4 ай бұрын
Shida ya Sendeka ni kujipendekeza
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 4 ай бұрын
Kiatu kimembana analaImisha
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 4 ай бұрын
Wamasai msidanganywe mnadhalilika. Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 4 ай бұрын
Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 ай бұрын
Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 4 ай бұрын
Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako
@JamesSichimata-w1u
@JamesSichimata-w1u 4 ай бұрын
Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 4 ай бұрын
Msimtaje samia unatudhi Sana
@GilbertMollel-j6n
@GilbertMollel-j6n 4 ай бұрын
Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?
@konemelau9068
@konemelau9068 3 ай бұрын
MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 4 ай бұрын
Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!
@FredrickOlentimama-tj4ps
@FredrickOlentimama-tj4ps 3 ай бұрын
Tutetee baba yangu
@MRHURUMAHuruma
@MRHURUMAHuruma 4 ай бұрын
Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf 4 ай бұрын
Akipita masai wote nima nyumbu
@MaikoSiria
@MaikoSiria 4 ай бұрын
bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze
@JamesKanyenda-y9y
@JamesKanyenda-y9y 4 ай бұрын
Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo
@elishadodi8787
@elishadodi8787 4 ай бұрын
Kalambishwa asali tayari huyo naye
@AbuodSeleman
@AbuodSeleman 4 ай бұрын
mnafki huy mzee😂😂😂😂
@lucasparmet3201
@lucasparmet3201 4 ай бұрын
Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo
@ImaniLaizar
@ImaniLaizar 4 ай бұрын
Sawa mwamba tetea wananchi wako
@obadiajuma436
@obadiajuma436 4 ай бұрын
Sirahisi
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 4 ай бұрын
Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa
@LaizerSangau
@LaizerSangau 4 ай бұрын
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 4 ай бұрын
Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu
@AbuodSeleman
@AbuodSeleman 4 ай бұрын
tumba tupu😂😂😂....
@patellaisangai6013
@patellaisangai6013 4 ай бұрын
Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko
@adamwoiso2180
@adamwoiso2180 4 ай бұрын
Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako
@LasaroSilasi
@LasaroSilasi 4 ай бұрын
🙏🙏👏👏👏👏👏
@lenkitengtajeutajeu
@lenkitengtajeutajeu 3 ай бұрын
Njeeretu ntae enkai
@kibbysaidi7813
@kibbysaidi7813 4 ай бұрын
Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 4 ай бұрын
Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 4 ай бұрын
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
@YassinRajabu
@YassinRajabu 4 ай бұрын
wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi
@elishapalaletlaizer3714
@elishapalaletlaizer3714 4 ай бұрын
Pimbii we hauna.Maana kabisa
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 ай бұрын
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
@EzekielMetia
@EzekielMetia 3 ай бұрын
Uongo😂😂
@ShekutuKillel
@ShekutuKillel 4 ай бұрын
Niambie kura amuna
@mxfsedtirz
@mxfsedtirz Ай бұрын
Huo ni ujuha unaotia kichefuchefu.Uchawa wenye maradhi ya kufisha. Historia itaangamiza kizazi chako. Eti rais hajaidhinisha kuhamishwa Wamasai? Kama hajui ana sababu gani ya kuwepo? Wewe Ole sendeka upo wa kazi gani? Eti Wamasai watamchagua samia ili afanye nini? Kama hajui, basi nyote sio vyura viziwi tu,bali vipofu pia.
@JumaKamasa-kl6pz
@JumaKamasa-kl6pz Ай бұрын
Ongo utampa ww
@Maasai-TV
@Maasai-TV 4 ай бұрын
Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka
@ElishaOisso
@ElishaOisso 4 ай бұрын
Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito
@lucasparmet3201
@lucasparmet3201 4 ай бұрын
Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi Samia hapati kira simanjiro
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 4 ай бұрын
Huna lolote unaona wamasai ni wajinga
@williamwanga2126
@williamwanga2126 4 ай бұрын
Umenena
@melubokusoro5668
@melubokusoro5668 4 ай бұрын
Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 4 ай бұрын
Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo
@yamatlemomo542
@yamatlemomo542 4 ай бұрын
Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 4 ай бұрын
Wewe ni chawa kama machawa wengine Njaa tupu
@juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq
@juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq 3 ай бұрын
0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki
TAZAMA OLE SENDEKA ALIVYO TANGAZAZWA MBUNGE WA SIMANJIRO
4:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,7 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 115 МЛН
EMPUTOTO ALAIGWANANI JOSEPH KULUNJU OLEMAMA
31:35
ENKONG'U EMAA TV
Рет қаралды 16 М.