PART 1: LOKOLE ATIA NENO-" DR. MWAKA KUKATAA KUVUNJWA NDOA-"KUNA KITU QUEEN TALAKA MAPEMA".

  Рет қаралды 65,051

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 125
@zainabtumba1186
@zainabtumba1186 Жыл бұрын
🇹🇿🇺🇲👏👏Yaaaniii Nimechekaaa mpaka mbavuna kutoa LIkE Yaani Kitaa Na dida wanavyonukuu techniques za Mwaka akitibuuuu dahh 🤣🤣🤣💥💥💥Hatariii kumbwaaaa
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
Ndoa, sio kifungo sheria yadini kule tu mke kumchukia mume akitaka talaka nihaki apewe.ililetwa public sababu mwanamke alileta habari public
@ladyr.hamsini2311
@ladyr.hamsini2311 Жыл бұрын
Daa dida na kaka idrisa mumenichekesha kuhusu hizo comedy ya dr.mwaka😂😂😂😂
@zubedamagambo8139
@zubedamagambo8139 Жыл бұрын
Kama mwanamke hakutaki tena toa tu talaka, hata ukimlazimisha, hawezi kurudi, na akirudi kwa kulazimishwa mume unajiweka hatarini kuishi na mtu asiekuhitaji Tena. Mwanamke akishakuchukia ndo amekuchukia harudi nyuma. Bora muachane tu .
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Hata yeye Dkt Mwaka hamtaki huyo mke. Yeye ana linda mali yake isi chukuliwe na mtalaka. Alafu Sheikh wa mkoa amejiingiza mtegoni bila ya shuruti. Shida ya mwaka ataka mke asipewe mali yoyote
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Zubeda uko sahihi
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
@@oyay2821 mali gani zaidi ya nyumba. Yule ana watoto hawezi akamwambia ampe nusu ya mali zaidi ya kuhitaji malezi ya watoto na makazi basi
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
@@oyay2821 nikweli kabisa
@mugishalaurian3311
@mugishalaurian3311 Жыл бұрын
@@ashuuuaisha9122 makaz ya Nini Tena,asepee
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Жыл бұрын
Alinyang'anya mke mtu acha na yeye anyang'anywe. "What goes around comes around" that is karma
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 Жыл бұрын
Kuna watu wanajificha kwenye dini kubana haki za wenzao, ndoa hiyo kuvunjwa ni halali
@florachogo243
@florachogo243 Жыл бұрын
Mjukuu wangu Dida umetishaaaa
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Жыл бұрын
Talaka ni neno tuu... Wewe Queen kama una mtu wako endelea na maisha yako. atoe talaka.. asitoe atajijua mwenyewe
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Sasa neno mwaka hajasema . Queen ndio anadai
@mamuumuu4999
@mamuumuu4999 Жыл бұрын
@@sarahgaula2220 lkn bado anahaki yakutoa talaka huwez force mtu akupende
@rozinaswenya43
@rozinaswenya43 Жыл бұрын
Nyie wambea mmenichekesha mieee😂😂😂😂❤
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
innalilah wa inna lilah rajuu-uun.kama msemavyo ni kweli kua dr mwaka alimnyang'anya meenzie mke huu ni mtihani .mana kamma atadinu tudanu.ukimtendea mwenzio nawe utatendewa.ukiuwa kwa upa nga nawe utauwawa kwa upanga.
@judditedunia5292
@judditedunia5292 Жыл бұрын
Ni kweli kbs
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Mbavuzangu miye 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hadijamsati8813
@hadijamsati8813 Жыл бұрын
Kwani alhaji alimwita qeen bakwata au alimtuma huyo mwaka asihudumie familia yakeee??? Achen uchawaaa
@yomenikabombwe4939
@yomenikabombwe4939 Жыл бұрын
Iyi wasafi media.siyo ya waisilamu bali ni waswahili mtupu mukiatcha cheria nakuambatana na usutwa uchangingi mukizarau utamaduni .atoke na kuatcha kilakitu niisha. RAISI amusaidiye nini alipenda na kuatcha mwenyewe tamaa anajuta...bayibye
@gracehm7274
@gracehm7274 Жыл бұрын
Yaani hawa watu😄😄😄🙌🏽
@khalidbakari8505
@khalidbakari8505 Жыл бұрын
Wote mmenunuliwa manyang'au nyie huyo dida mnayemuuliza kuhusu ndoa yakwake imedumu miez mingap Hana chochote anachokielewa kuhusu maisha ya ndoa yeye anajua kuolewa asubuh na kuachika jioni
@ramsaymtando1742
@ramsaymtando1742 Жыл бұрын
Sikulizeni kisheria ya ndoa hiyo bado ni ndowa kisheria sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema kwamba ili mwana ndoa kutambuliki kuwa ameachika au ndowa imekwisha ni hadi talaka itolewe mahakamani. yani namanisha kwamba Hilo swala la doctor mwaka na mkewe kama kweli walifunga ndowa ya kidini ya kislam na wana cheti cha ndoa basi hiyo ndoa niyalali kisheria bado nimke halali.sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema kwamba kukiwa na malalamiko kati ya ndoa au kama kati ya mmoja wao anataka talaka hata kama kislam heti kusema nakupa talaka moja au Tatu hiyo aitambuliki kisheria kama ndoa hiyo himevujwa.bali itaonekana kama wanandoa Hao wanania yakuomba talaka.kwaiyo namanisha kwamba .ndoa yoyote iliyo fungwa kidini maana ya .kikisto na kislam.wote wanaweza kuomba talaka.lakini kwakufata utaratibu kisheria.bali mtu aliye funga ndoa kikistu Kabla ajafunguwa shauri ya madai ya talaka mahakamani au maombi ya mahakama kumpa talaka kwanza nilazima wapitiye kwenye baraza la usuluwishi wakishindana kukosa kuwelewana basi baraza litatakiwa au litampa mlalamikaji Hati ya kwenda mahakamani. Kwaiyo .kisheria na kama ndao yaho ilifanwa kisheria.mke wa doctor mwaka bado ni mke alali.kisheria hata kama baraza za bakwata lingetowa vuja ndoa hiyo.bado isingejulikana kama ndoa hiyo imefunjika kisheria.chombo pekee chaku vunja ndoa na kutowa talaka ni mahakama tu.kwaiyo kazi ya baraza ya bakwata nikujaribu kusaidiya ndoa hiyo isivunjike.tu endapo hiki shindwa hinatakiwa kuwapa Hati yaku funguwa shauri mahakama tu.pia mtu yeyote ni mweslamu aliye hoa wanawake wa nne 4.arusiwi kuongeza mke wa tano. Kwaiyo hata kama ndoa ya manara Kawa ajafata utaratibu na walifunga ndoa kialali na wana cheti.hata kama atampa talaka ya maneno au ya maandishi.hiyo talaka aitabuliki kisheria bado nimke na mme.mpaka wafate utaratubi Ana mpaka takala yakuvuja ndoa itolewe mahakama.tu.asante ndo kisheria ninavyo tambulika.
@johnsosy3128
@johnsosy3128 Жыл бұрын
Ilakamavile mmepiga pesa za Dr.
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 da!! Ila nyinyi watu wa dar😅😅😅 mna maneno nmecheka 😂😂 kweli mh
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 Жыл бұрын
Dida umetishaa😂😂
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 Жыл бұрын
Nimecheka sanaa😂😂😂😂
@leymanleyman7426
@leymanleyman7426 Жыл бұрын
Nyie wagonjwa sana yani mnaleta mzaha msibani 😂😂😂😂😂😂😂
@repsphrs5051
@repsphrs5051 Жыл бұрын
Mmmmh hawa watu hawa
@ahmedrashid7638
@ahmedrashid7638 Жыл бұрын
Jamani vizuri mukae mutafute njia hii ndowa isivunjike, na mngu atafurahi
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 Жыл бұрын
Hiyo sio sababu Mwaka akafie mbele
@ummyira9653
@ummyira9653 Жыл бұрын
Sasa mnavosema qeen arudi kwa mme wake khaaa Kwan lazma mke akitaka talaka lazma itolewe huwez kukaa na mme ambae humtaki na Sheria zipo
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 Жыл бұрын
HANA LOLOTE HUYO NI KAMA MARAIS WANAO PENDULIWA HATA SADAAAM WAKATI ANAHUKUMIWA ALISEMA MIMI BADO NI RAHISI HALALI WA IRAQ. SASA HUYO MWAKA HANA LOLOTE MNAFIKI WALA HAJUI SHERIA ZA NDOA . TALAKA NI HAKI YAKE AKITAKA APEWE
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
😃🤣 Mapenzi shikamoo
@sauda4505
@sauda4505 Жыл бұрын
Uyu mwanamkee alienda kulalamika akaita na waandishi wa habari kuilalamikia bakwata nyie mlitakajee ni sawaa kupewa talaka ni haki yake na hakuna ndoa hapo
@matimfuko641
@matimfuko641 Жыл бұрын
Ila nyie mbona hamueleweki mnataka Nini juz mlikuwa upande wa kwini Leo wa mwaka
@janiaoma7093
@janiaoma7093 Жыл бұрын
Yiyi wa pumbavu mnae ogea wasafi mapezi hayalazimishi na yiyi hamjuwi sharia ya dini dini ukiwa humudumi mkeo Kwa muda wa miyezisita simkewako tena yiyi wapubavu
@joharikasuwi6973
@joharikasuwi6973 Жыл бұрын
Waswahili wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto. Ndo hayo yanayomkuta Dr mwaka
@FREENETNAME
@FREENETNAME Жыл бұрын
Mufti hutoa amri lakini hawezi kuitekeleza. Qaadhi ana uwezo wa kutekeleza. Mufti - mtaalam wa sheria wa Kiislamu ambaye amepewa mamlaka ya kutoa maamuzi juu ya mambo ya kidini. Qaadhi - hakimu wa Kiislamu anayetoa maamuzi kwa mujibu wa Shari’ah (sheria ya Kiislamu) Kama mke au mume hakutaki ndoa haiwezekani hata Allah ameamrisha talaka si haram. Dr., Mwaka hakupendeleya kuachwa na mkewe pengine angefurahika amtese kwa talaka kama vile waume wa kiislamu wanavyo wadhalilisha na kuwanyanyasa wanawake wa kiislamu kuhusu talaka na malezi ya watoto baada ndoa kuvunjika subhan’Allah mungu amlinde na adui huyu ammiyn
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 Жыл бұрын
Km mwanamke hataki ndoa hatak ht mfanyaje ndoa hakuna we mwaka 1 hapati tendo la ndoa na ht km analipata tendo km kachoka mbona bi mariam alikuwa anatimiziwa kila kitu ila kachoka mtume muhammad s.a.w akamwambiya alejeshe shamba aachwe ss nyie mnazuiyaje huyo kwin asiachwe nyie ht nani ndiyo taraka Allah anaichukiya ila ss hakuna kukalifishiyan ktk dini
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 Жыл бұрын
Wambea nyie 🤣🤣🤣🤣❤️
@Zenny89
@Zenny89 Жыл бұрын
Mimi mkritu lakini Hii ishu utafikiri na mie muislam🤣🤣
@tausihussein
@tausihussein Жыл бұрын
😁😁😁 Aya matangazi ya ovyo sana
@diebrock6494
@diebrock6494 Жыл бұрын
An ktk dini yetu talaka ikitok bas ardhi inatikisika ss tuombe Mungu ndoa isivunjike
@mariamnuru9939
@mariamnuru9939 Жыл бұрын
Ndoa za Tanzania daily kuachana
@yomenikabombwe4939
@yomenikabombwe4939 Жыл бұрын
Salm 2..kuatchana kwawema nikufata cheriya ya ndoa tu niisha
@pendochimammy5013
@pendochimammy5013 Жыл бұрын
Wambea hao wacha nitegeshee kutoka 254
@rogathemassong1788
@rogathemassong1788 Жыл бұрын
Zinga slopas MayomaYomata 😂😂😂😂😂😂
@judditedunia5292
@judditedunia5292 Жыл бұрын
Jambo
@lawabidingcitizen3427
@lawabidingcitizen3427 Жыл бұрын
Haya ndio madhara ya kuwa na sheria butu. Wanefuta sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari 2015. Sheria ilitaka waandishi wasome walau Diploma ya Media tu. Sasa hawa vimburu wanachofanya hapo studioni ni kusherekea uhuru wa mafisi, kutukana watu, kulopoka na kudhihaki watu na kubeza elimu. Yaani hapo ndio upumbavu ulipopata mipumbavu na jaziri lao linachekelea huko liliko bila shaka!
@bbanyikwa
@bbanyikwa Жыл бұрын
Acheni umbea Dr. Mwaka hajakataa Ndoa isivunjwe yeye anachotaka ni utaratibu wa kuvunjwa Ndoa hiyo ufuatwe.
@oswaldnjole904
@oswaldnjole904 Жыл бұрын
Dida wewe !! Eti kwanini hormone haibalance? Eti stigma!!!
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele Жыл бұрын
SI MWANAMKKE ASIRUDI TU, HUWEZI KUMLAZIMISHA KURUDI
@mirrykirungi5078
@mirrykirungi5078 Жыл бұрын
Mtu anapoomba talaka apewe mana king'angania jino bovu nisawasawa na kazi bure mapenzi ndani hakuna ya nini tena mwaka akubali tu
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Kwa hivyo Rushayna anauza Vitumbua?
@fatmaalkhuleidy1728
@fatmaalkhuleidy1728 Жыл бұрын
Sisi wanawake wakiislamu tunahaki kuchagua waume na tuna haki kudai talaka tusiporidhika kwenye ndoa wacheni unafik dida na wambea wenzako na mwanaume akikataa kuitoa talaka kuna ofisi ya dini ya masuala hayo ambapo kadhi atatoa kitu kinachoitwa fasakh kuivunja hio ndoa
@mamuumuu4999
@mamuumuu4999 Жыл бұрын
Huko bakwata hakuna msaada wowote,niko na situation hiyo hiyo.Nimeamua kuwa km Dida sidai tena kila mtu anaishi kivyake 🤣🤣🤣🤣🤣
@sadih5333
@sadih5333 Жыл бұрын
Wow Wow, Yanga wamepata msemaji mtarajiwa!
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 Жыл бұрын
hiki kipindi kinachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂
@joycemgonja8156
@joycemgonja8156 Жыл бұрын
😂😂😂 we mtoto washaibu wewe hebu niache kwanza
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 Жыл бұрын
Makubwa mtihani
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
Ni upuuziii mnaongea hayo maswali yanayohusu Imani na sio umbea au kutumia akili zenu
@glorymtinangi8002
@glorymtinangi8002 Жыл бұрын
Ety kakumbuka
@sadiamassage9589
@sadiamassage9589 Жыл бұрын
Na ww dida uliachwa ama umeacha
@BnB987
@BnB987 Жыл бұрын
STIGMA imeshuka 🤣🤣
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Ina wezekana akawa na wanawake tele lakini akawa huyu anayeomba talaka ndio roho yake mapenzi bwana ooooo
@neemashuma5595
@neemashuma5595 Жыл бұрын
Mmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhh
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 Жыл бұрын
😂😂😂😂oo kweli dunia hadaa walimwengu shujaa
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Жыл бұрын
Allah kheir
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
jammani kupendana kupo na kuachana kupo.Allah anasema tuoane kwa wema na tuwachane kwa wema jamani.nawale wanao fakisha watu iwe kwa maneno au kwa shiriki mungu ana waona😂😂😂😂
@Ndiyooo
@Ndiyooo Жыл бұрын
Jumaa jamani chukuwa Talaka neenda ukauze vitumbuwa😂😂😂😂
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Nakweli yalimshinda mjeda namtutu wake
@selhasaydullah8467
@selhasaydullah8467 Жыл бұрын
😏
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Жыл бұрын
MUNGU anawaona nyie😀😀😀😀😀
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Masheikh wanajigamuzia yeye abaki na kubwa bwaja
@hanifaa1487
@hanifaa1487 Жыл бұрын
😅🤣😂🤩
@priscakassim4356
@priscakassim4356 Жыл бұрын
🤣🤣
@sophiamumbe888
@sophiamumbe888 Жыл бұрын
Wacheni ujinga mwanamke mwenye ndiie anae dai talaka kwani lazima kama mtu ameichoka ndoa wakumbwiru
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Yaani umbeyaa nanenepa
@babybaby8384
@babybaby8384 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅Dida bhana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@mzuwandayusuph442
@mzuwandayusuph442 Жыл бұрын
Kumbe alipola uyomke
@rayrayndiema
@rayrayndiema Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@shakilaabdallah7890
@shakilaabdallah7890 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 Жыл бұрын
Kwanza nyie ni hamjasoma ss mtu ht km anamsuguwana sijuwi ugomvi ndo asitendehaki kwa kumuogopa mtu nyie vp nendeni ktk QURUAN JUZUU YA 29 KATI YA SURAT MUDATHIRY AU MUDHAMMIRY Allah kazungumza unapokuwa kiongozi wa dini bc achana na mambo ya anasa ya kidunia IKRA SOMA
@amidjaja5695
@amidjaja5695 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@mussabuhe8881
@mussabuhe8881 Жыл бұрын
Mnapo elekea mtasema Kuna shehe anamtaka sasa
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@alymaryam2331
@alymaryam2331 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aki nyie
@mulishidhamada861
@mulishidhamada861 Жыл бұрын
Nyie watu wambea
@craraaizack9072
@craraaizack9072 Жыл бұрын
Nawapenda nyie watu jaman mnanipa laha
@yyjlallkuuhnn2651
@yyjlallkuuhnn2651 Жыл бұрын
😂😂😂
@mulishidhamada861
@mulishidhamada861 Жыл бұрын
T
@modestsharia7127
@modestsharia7127 Жыл бұрын
Kung'ang'ania au kugombea mwanamke ni uboya
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Kweli
@lucyngoo6309
@lucyngoo6309 Жыл бұрын
Umeonaee
@mamuumuu4999
@mamuumuu4999 Жыл бұрын
Kweli kbs
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Wee mwaka ukiachwa hebu achika!! cha ung'ang'ania nini?
@kulthumkhan1935
@kulthumkhan1935 Жыл бұрын
Jamani talaka hata mwanamke anatoa Mbona mambo yako wazi maana sheria ya dini inasema mwanamke Akitoa talaka arudishe mahari alolipiwa na anatoa talaka mwanamke pia na Ana kaa eda miezi mitatu
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Жыл бұрын
Hakuna Talaka Inayotolewa na Mwanamke.... Ispokuwa Mwanamke Anapodai Talaka Bila Sababu Yeyote Ile Hapo Ndio Anatakiwa Arudishe Mahari,,, Na Anayepaswa kutoa Talaka Ni Mwanaume... Ila Ikiwa Kamshtaki Na Akiitwa Bakwata mwanaume Asipokuja Akiitwa Tena Aspoenda Mara 3.. ndio Kadhi Anatoa Talaka.... Ila Hakuna Talaka Anayetoa mwanamke...
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Usipitoshe watu wewe umesoma wapi mwanamke anatoa talaka. Acha kabisa kusema uzushi katika mambo yanayohusu dini. Ndoa ni ibada katika uislamu na inasheria yake kati ya ndoa na talaka. Hakuna hata mahali pamoja ambapo pameandikwa mwanamke anaweza kutoa talaka. Usipotoshe watu kasome kwanza. Au labda umechukua sheria yako ya dini nyengine ukadhani na waislamu nivyo. Kama ujasoma dini ya kiislamu acha kusemea utaingia motoni kwa mlango wa mbele
@moniepaul8972
@moniepaul8972 Жыл бұрын
Ndoa yakiislmu ni ndoa sasa?? Jioneeni wenyewe wanavyo kanyagana
@MpajiAli
@MpajiAli Ай бұрын
Na hio y kikiristo jeee hata uwe unapigwa mapanga uvumilie tu kisa hawez kuvunjika we mjinga nn fala wee
@sacg9783
@sacg9783 Жыл бұрын
Watangazaji MUNGU anawaona jamanii hapo mwisho nimechekaa mpaka basi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 Жыл бұрын
Acha ujinga lokole mpumbavu ww nyooo
@samniza1763
@samniza1763 Жыл бұрын
Fallopian tube!
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Жыл бұрын
Dida na timu yako nyie Mungu anawaona haki.... Homon yako imbalance🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 Жыл бұрын
JUMA LUKOLE NDOA ZA KIISLAM ZINAPOAMULIWA KWA KADHI AU MUFTI NI LAZIMA ZITANGAZWE ILI JIMBO LIJULIKANE KAMA LIPO HURU SASA. SI MAKOSA KUITA WAANDISHI WA HABARI JAMAA ZAKO ZERU ZERU NA HUYO MJUWAJI WAMECHEMKA KAKA😜😜
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Alitangaz za wangapi tuanzie hapo
@Tijarakabendera
@Tijarakabendera Жыл бұрын
Mwanamke ajivue bwanA amrudishie Mahari yake
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 Жыл бұрын
Muft mmemsikia kasema acheni unafiki ....
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Жыл бұрын
Muft kasemaaa kwan ww hujamsikia ???
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 Жыл бұрын
@@donlinechanell4760 kwenye midia gani binafsi siamini mpk nimuone muft kama mufft ansaema Kama wanavyoonekana ..hao wa chini yake ...binafsi nimeshangazwa sn muhimili mkubwa kama baqwata kukosa msimamo kila mtu anapojisikia kuongea anakuwa yeye ndio msemaji nini maana ya kuteuwa viongozi ....wanataka kuupeleka wapi uisilam ....na wakati hiyo hukumu ya kwanza ilpotolewa hao viongozi wengine maulamaa walikuwa wp tulitaka kujua au walikuwa nje ya nchi waache ubabaifu ...kumbe baadhi ya viongozi wa bakwata wameamini nakukubali walivyoitwa na dk mwaka kuwa ni wahuni ....kwakukosa kwao msimamo musiba mkubwa huu ....
@lilyluholela8924
@lilyluholela8924 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Haki umbea una raha yake
@salomemhina2811
@salomemhina2811 Жыл бұрын
Hana faragha binafsi huyo mganga wa kienyeji,alivyowatangaza mahaba hadharani atupishe hukoooo
@theonedjbonny3952
@theonedjbonny3952 Жыл бұрын
😂😂
@jumasalimo6360
@jumasalimo6360 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 10 МЛН
НИЧЕГО СЛОЖНОГО
0:21
KINO KAIF
Рет қаралды 3 МЛН
Rang Pi Liya Mama 😂 #shorts #tiktokvideo #funnyshorts #comedy #ytshorts
0:46
Sukhasan Ka Rahman Bhai
Рет қаралды 22 МЛН
Откуда эти паучки??? @zackdfilms - автор анимации.
0:29
Время знаний
Рет қаралды 3,6 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,2 МЛН