Part7_Funzo nililopata kupitia migogoro ya ndoa yangu|USHUHUDA WA RASHID NANJOTA ALIYEKUWA MUISLAM

  Рет қаралды 6,647

PROMOVER TV

PROMOVER TV

9 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 91
@marypeter4584
@marypeter4584 9 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili ya ushuhuda wako mtumishi wa Mungu, umenijenga sana katika kila uliloshuhudia. Bwana Yesu akufadhili na kukujibu kila ombi lako hatimaye tuurithi ufalme wa mbinguni. Hallelujah
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 9 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu kwa neema yake kukurejesha kstika njia iliyo sawa. Pole sana kwa mitihani yote uliyopitia katika maisha. MUNGU awabariki sana baraka tele❤
@generosakinemo5490
@generosakinemo5490 9 ай бұрын
Mungu akubariki. Endelea kusikia sauti ya Mungu na kutii maagizo yake
@reachelchemtai2604
@reachelchemtai2604 9 ай бұрын
Amen kweli Mungu ni mwema kwa kila mtu hatutagiya mwema
@rerisamba
@rerisamba 9 ай бұрын
Huyu Mungu wacha kakutumia mpaka malaika akakuongelesha lakini wewe upo tu sheria za ndoa katika Bibilia ni ngumu sana pole sana mtumishi
@dokasa9176
@dokasa9176 9 ай бұрын
Ni vzr tuishi sawasawa na neno la Mungu, bila kufuata maneno ya watumishi wasio mcha Mungu, ubarikiwe sana Mtumishi kwa mafundisho mazuri ya kutusaidia tuerefuke.
@agnestunu5527
@agnestunu5527 9 ай бұрын
Kwanza pole sana kwa mitiani ya wokovu,shetan alitumika kuvuruga hatma yako ya wokovu lakin ashukuriwe Mungu kwa sababu mwenye haki wake ataanguka mara saba na kuinuka tena,songa mbele Mtumishi usiangalie ya nyuma,nami nashukuru sana toka nmeanza kukufatilia huu ushuuda kwan umenifungua hata kwenye ndoto zangu,na umenijenga sana kiimani ,ameen
@cossanwambura1614
@cossanwambura1614 9 ай бұрын
Alivuruga wenzie acha apate kidogo
@nangongolukundula9367
@nangongolukundula9367 9 ай бұрын
Asante kwa ushauri kiukweli mapito ni mazito mno kwakila alie mpokea KRISTO kua BWANA na MWKOZI wa maishayake
@innocentkaramuta8200
@innocentkaramuta8200 9 ай бұрын
Asante sana kwa ushuhunda nilikua nashindwa kuamua kama niolewe tena ama lakini nimepata jibu, glory to God
@elibarikilukasimakala5534
@elibarikilukasimakala5534 9 ай бұрын
Kwahiyo hutaolewa Tena et
@innocentkaramuta8200
@innocentkaramuta8200 9 ай бұрын
@@elibarikilukasimakala5534 sidio,I think it's better for me coz I have three children
@kennethogonda2947
@kennethogonda2947 9 ай бұрын
Rudia mume wako
@innocentkaramuta8200
@innocentkaramuta8200 9 ай бұрын
@@kennethogonda2947 asante Kwa ushauri lakini sababu ako na mke I have to let him be
@NimethNdelwa-zc9zj
@NimethNdelwa-zc9zj 9 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza vitu vingi saana ameni
@noelmbosa2736
@noelmbosa2736 9 ай бұрын
Amina baba barikiwa saaaana mtumishi wa Yawe
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 9 ай бұрын
Amen mtumishi wa BWANAMungu azidi kukutetea ila swala la sabato hujatueleza zaidi
@EdwinMbwilo-fj6bf
@EdwinMbwilo-fj6bf 9 ай бұрын
Kosa la sabato hawaamini au wanapinga ujazo wa Roho Mt na kunena kwa Lugha
@EdithaMyenzi
@EdithaMyenzi 9 ай бұрын
MUNGU ALIE HAI akubariki sana Kwa ushuda huu umenibariki sana mtumishi wa MUNGU
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Ataukilipiwa mahali inatambulika ni ndoa. Lakini nivyema ikatakaswe madhabahuni iwe ndoa takatifu.
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 9 ай бұрын
Nimebarikiwa Sana
@EdwinMbwilo-fj6bf
@EdwinMbwilo-fj6bf 9 ай бұрын
Ee huyo ndo Roho Mt ninayemjua na kumfahamu mimi. Sifa na utukufu vina yeye milele na milele. Ameni.
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe huu
@alainmuhigirwa5151
@alainmuhigirwa5151 9 ай бұрын
Amina. Jina la Bwana libarikiwe
@julianawairimu801
@julianawairimu801 9 ай бұрын
Asanteni sana watumishi wa Mungu.
@reylerreyler2236
@reylerreyler2236 8 ай бұрын
Ushuhuda mzur sana🙏 barikiw sana
@FatimahAlshehri-gt1gj
@FatimahAlshehri-gt1gj 9 ай бұрын
Amen mungu akubariki hta mmi nimejifunza kitu
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 10 ай бұрын
Shuhuda yenye mafunzo mengi ndani yake..zidi kuinuliwa viwango vya juu promover tv ndugu jaktan na wenyako hakika kupitia nyinyi tumejua haya Bwana akawaongoze
@PromovertvTz
@PromovertvTz 10 ай бұрын
Amen
@user-kv7hq5mb6m
@user-kv7hq5mb6m 9 ай бұрын
Ukisha kuwa mtumishi wa Mungu,unapigwa muhuri wa Roho Mtakatifu,utafatilia na Mungu kwakila Hali,mwenyewe niliachika,nikaenda mbali lakini Mungu kwakupitia Mzee mmoja wakanisa Fulani,aliachilia hekima yakunifatilia,yule Mzee alinifatilia sana,mwisho wasiku nikajikuta namsimulia mkasa wangu,akaniambia tuombee Ili nirudi kwamume wangu,hatimae nikarudi
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 9 ай бұрын
Mungu aendeleye kukusimamiya
@user-sr2ne3in3l
@user-sr2ne3in3l 9 ай бұрын
Nashukulu sana kwa topa yako, mbele za mungu na kanisa, na mkeo wa kwanza,eehe mungu musaidie kusimama na haki hii ya neno la Bwana yesu kristo.
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 9 ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa ushuhuda mzri
@queenesther8505
@queenesther8505 9 ай бұрын
Hakika ushuhuda huu umenijenga sana,Mwenyezi Mungu akuhifadhi mtumishi,heri ukae bila mke kuliko ukose mbinguni.Mwenyezi Mungu akulinde.😢❤
@user-wz6md5bl3s
@user-wz6md5bl3s 9 ай бұрын
Ameeeen ushuhuda wenye mafunzo mazuri sana
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Amen, ubarikiwe na Bwana mrudie mume wako
@nashonjoel20
@nashonjoel20 9 ай бұрын
MAJINI MAHABA (MARINE SPIRITS) YANAVUNJA NDOA SANA KIZAZI HIKI NA WATU WENGI HAWAJUI NAMNA YA KUJITOA.
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 9 ай бұрын
Kwa njia ya maombi yanatoka.
@elibarikilukasimakala5534
@elibarikilukasimakala5534 9 ай бұрын
Naomba elimu kdg kuhusu hili kk 👆🤔
@neemamatiko3745
@neemamatiko3745 9 ай бұрын
Mimi niko kwenye ndoa ambayo mume alitengana na mkewe kwa kuzaa nje ya ndoa,kisha anichukua mimi na baadae mimi nimeokoka baada ya miaka 20 tumebariki ndoa je ndoa hii ni halali mbele za Mungu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 ай бұрын
Siyo halali kama mkewe hajafariki mpendwa
@ShukuruHangi-re3gs
@ShukuruHangi-re3gs 9 ай бұрын
Amen 🙏 amen
@carolinemwugusi8945
@carolinemwugusi8945 9 ай бұрын
Huu ushuhuda umekuja wakati sahihi kwangu nilikuwa katika njia panda nashindwa nifanye nini niliondoka kwa ndoa yangu kutafuta riziki nchi za nje mume wangu akaoa nimekaa miaka sita nikimuomba Mungu anirejeshee ndoa yangu LAKINI yule mke amekwama anafukuzwa anaenda anarudi nimeshindwa niolewe kwingine LAKINI Roho mtakatifu ananiambia usijaribu rudi kwako sasa nimetiwa moyo na ushuhuda huu ninaposafiri kurudi nyumbani natumahi tutarudiana
@carolinemasaka1400
@carolinemasaka1400 9 ай бұрын
Amen wa iina Rudi kwenye ndoa yako Mpendwa wangu. Usiokose Mbingu. Kanisa li karibu kunyakuliwa.
@carolinemwugusi8945
@carolinemwugusi8945 9 ай бұрын
@@carolinemasaka1400 Amen narudi mzidi kuniombea mume wangu akubali na yule mke aondoke aniachie mume
@josykogei7647
@josykogei7647 9 ай бұрын
Pole dada aki ata Mimi nimestak kabisa Sina mwelekeo wapi nianze wapi nimalize
@neemamatiko3745
@neemamatiko3745 9 ай бұрын
Hii inaonyesha mch wetu rwakatale hayuko mbinguni
@wilsonkakili2481
@wilsonkakili2481 9 ай бұрын
Kosa ulilofanya ni ww ndiyo ulienda kutaka talaka si mke hilo ndiyo kosa lako
@devissyprian1526
@devissyprian1526 9 ай бұрын
imeandikwa anayemuoa yule aliyeachwa wanakuwa wanafanya uzinzi ko na huyo uliyenaye saivi muache utafte ambaye hajawahi olewa, ambaye Binti kabisa.
@maryandason1815
@maryandason1815 9 ай бұрын
N wanandoa wengi jehanam inawahusu.maana at ukiangalia ndoa za waimbaj wa gospel wakipta umaarufu kosa,wanadharau waume zao,cku c ming unackia kafunga ndoa ingne sehemu ingne than mtumish wa ilo eneo.😢😢😢 MUNGU anachukia kuachna kma mtu hawez kuingia ndoan Bora akae kulko kusumbua at watumish wa MUNGU. .😢Kila Mara nkikumbuka ndoa ya Martha baraka. Na Angel bernad na Martha mwaipaja Christina shusho.. nawaombea wakumbuke Kuna MUNGU n Kuna hukumu ya wanandoa😢 YESU tusaidieeee tukuofu wew😢.
@rerisamba
@rerisamba 9 ай бұрын
🤣🤣🤣hapo kwa mbingu ni mecheka sana navile ushawahi kufika kuzimu unaujua mziki wake nadhania ulianza kujiharia
@failaprince9250
@failaprince9250 9 ай бұрын
Pôle sanawa kwailolililokupitiya mtumishi
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 9 ай бұрын
Pole sana
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 ай бұрын
Ungeishi kama Paulo, ingekuwa heri kwako. Lakini Mungu ni mwingi wa rehema.
@emelivaly1720
@emelivaly1720 9 ай бұрын
The best country senegal❤
@josykogei7647
@josykogei7647 9 ай бұрын
Mimi naonyeswa tu ndoto ya vita angani
@tabby6064
@tabby6064 9 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda huu promover pamoja na Mchungaji Ray.Swali langu ni hili, unasema ndoa iliyofungwa kanisani ya kwanza haiwezi kuvunjwa,,je ndoa zile zisizofungwa kanisani nazo pia ni hvohvo?
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 9 ай бұрын
Kama mtu alikuwa na mke na akamwacha kwa sababu yoyote ile kisha baada ya miaka kadhaa akaokoka. Je, anapaswa kumwacha huyu mke aliyenaye na kurudi kwa yule wa kwanza ? Hili jambo inabidi liangaliwe kwa upana wake. Yeye anasema ndoa haiwezi kuvunjika wakati Yesu amesema hairuhusiwi kuvunjika isipokuwa kwa uzinzi. Maana yake uzinzi unavunja ndoa. Mtume Paulo anasema kama ndugu mume anaishi na mke asiyeamini na yule mke anataka kukaa naye basi asimwache, lakini kama yule mke hataki kukaa naye basi aondoke na yule ndugu mume hafungwi. Na mwanamke vivyo hivyo. Lakini pia kuna mambo mengi yanayozunguuka ndoa 1. Mume au mke anafanya jaribio la kumuua mwenzake ama kwa sumu au kwa kutuma watu, kisha linashindikana,.je hawa wanaweza kuendelea kuishi pamoja ? Hili suala pana na sio la kujibu haraka.
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 9 ай бұрын
Good question
@SospeterMakere-sc6ci
@SospeterMakere-sc6ci 9 ай бұрын
Alichomanisha hapo ni kwamba unaweza kumuacha mke au mme kama ni mzinzi na umethibitisha, hapo ni kama utashindwa kumsamehe, hapo kwako hutakuwa na hatia mbele ya Mungu, lakini sharti moja usioe tena au kuolewa tena! Ukiona hiyo ni ngumu kuvumilia basi msamehe mwenzako maisha yaendelee
@veronicawilson4263
@veronicawilson4263 9 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa ushuuda wako mzuri mm nahitaji msaada niliolewa lakini hatukufunga ndoa niliolewa tuu wazazi wangu wakaelewana na wazazi kwa mwanaume yule mahali ikatolewa baada miaka kadhaa tukaachana na yule mwanaume sasa nauliza je nikiolewa na Mume mwingine nitakuwa nimetenda dhambi? au hata ndoa ya kimila inajulika kwa Mungu mm nipo njia panda na yule Mume hajaoa bado ni miaka mingi ishapit msaada wenu watumishi wa MUNGU
@SospeterMakere-sc6ci
@SospeterMakere-sc6ci 9 ай бұрын
Ndoa ni, mahari, ruhusa ya wazazi wa binti na makubaliano ya kijana na binti, hiyo tiyari ni ndoa mpendwa!!! Haya ya kufunga ndoa kanisani, ni utaratibu tu mpendwa
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Ndoa yeyote,ambayo wazazi wameshirikishwa, mahari imetolewa, unatambulika kuwa ndoa halali. huyo ni mume wako.
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Hata ndoa za wapagani zinatambulika kuwa ndoa na inapaswa ziheshimiwe na watu wote. Suala la kupita madhabahuni ni kuifanya ndoa yako iwe takatifu.
@SamirBacar
@SamirBacar 9 ай бұрын
@@raymondnanjota5934 amina
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 9 ай бұрын
Hiyo ni ndoa tayari kitendo cha Wewe kukubali na wazazi wakakubali na kupokea mahali yako hiyo ni ndoa hata kama hamkwenda kanisani kiroho ni ndoa ndio maana hatuoni kwenye biblia mahali panapoonesha kuwa Rebecca na isaka walifunga ndoa kanisani ila walimuuliza Rebecca uko tayari kwenda na MTU huyu?'akajibu Niko tayari mahali ikatolewa wazazi wakambariki kisha akapelekwa kwa mumewe Isaac.
@NellyMadeni-yv6fd
@NellyMadeni-yv6fd 9 ай бұрын
Kwa ushuhuda huu, ndugu zangu kuna kuingia mbinguni? Mpaka wachungaji wanandoa 2 mbili mpaka 3. Ninani atasimama mbele ya asira ya Bwana atulize ghadhabu yake isiipate dunia??
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 9 ай бұрын
Muombe Mungu akupe macho ya rohoni utamhurumia mchungaji
@NellyMadeni-yv6fd
@NellyMadeni-yv6fd 9 ай бұрын
Funguka uliye na macho.Huruma kwa mchungaji yupi na kwa lipi
@user-jr3xs9sb9x
@user-jr3xs9sb9x 9 ай бұрын
Nimejifunza be blsd
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 9 ай бұрын
Sasa jamani nisaidieni ndoa Mungu anayoitambua ni iliyofungwa kanisani tu ama
@SospeterMakere-sc6ci
@SospeterMakere-sc6ci 9 ай бұрын
Ndoa ni, mahari, ruhusa ya wazazi wa binti na makubaliano ya kijana na binti, hiyo tiyari ni ndoa mpendwa!!! Haya ya kufunga ndoa kanisani, ni utaratibu tu mpendwa
@musaondieki2493
@musaondieki2493 9 ай бұрын
Jee alipo kufa make wako ulirudiana na huyu ea pili na kama ni laa uko na mpango mwingine wa khoa geana?
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Sijawaza kuoa tena nawaza kumtumikia Mungu
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 ай бұрын
Na je ndoa anayo itambua Mungu Ni ya madhabahuni au hata ukilipiwa mahari na mkaishi inahesabika mbinguni??
@SospeterMakere-sc6ci
@SospeterMakere-sc6ci 9 ай бұрын
Ndoa ni, mahari, ruhusa ya wazazi wa binti na makubaliano ya kijana na binti, hiyo tiyari ni ndoa mpendwa!!! Haya ya kufunga ndoa kanisani, ni utaratibu tu mpendwa
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 ай бұрын
@@SospeterMakere-sc6ci Aminaa
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 9 ай бұрын
Wakati mwingine unakwenda kuhubiri mahali, unakuta mtu ana wake wanne, ambao ameishi nao kwa zaidi ya miaka 10, anaamua kuokoka, je awaache wanawake watatu ? Kama ni hivyo, abaki na yupi ?
@neemakanani4346
@neemakanani4346 9 ай бұрын
Yule wa ujana wake yani ndo halali
@carolinemasaka1400
@carolinemasaka1400 9 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu. Arudi kwa Mke wa Kwanza Akamuombe Msamaha na kuendelea kuishi nae. Ndoa ya kwanza ndio Anayoitambua Mungu. Mpaka kifo kiwatenganishe. Amen
@neemakanani4346
@neemakanani4346 9 ай бұрын
JINA LA BWANA RIBARIKIWE ASANTE SANA MTUMISHI WA BWANA HAKIKA ARUDI
@Nabatabita6873
@Nabatabita6873 9 ай бұрын
Sasa ivi ulihishi bila mke auhaukusishitena nayule mwana muke?
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Nimeamua kukaa bila mke
@magdalenapeter6106
@magdalenapeter6106 9 ай бұрын
Mtumishi wa Yesu YESU akukumbuke ni ngumu mno labda kama umeingia agano naYESU kubak hivyo hivyo mpaka atakaporud unyakuo
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Naishi bila mke
@asiliTz23
@asiliTz23 9 ай бұрын
Mimi ninaswali je huyu mke aliyekuwa naye ameachana naye au bado? Maana naye alikuwa mke wa mtu
@AMKENIKWAYAGospelmusic
@AMKENIKWAYAGospelmusic 9 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe nashukuru kwaushuhuda huu Mungu akubariki. Ni naomba kufahamu ulipo fanya maombi ukataka kufa kwaajiri ya Sabato na jumapili ulipata jibu gani? Naomba sana kujua jibu hilo asante.
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Kuhusu sabato nitajibu promova tv
@raymondnanjota5934
@raymondnanjota5934 9 ай бұрын
Wale wanaotaka kujua kuhusu mke. Nimeshatengana nae kwa kuwa ni mke wa mtu.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 178 МЛН
Maisha na vifo vya mitume wa yesu
13:28
Shane Tv
Рет қаралды 7 М.
USHUHUDA WA KILICHO MFANYA OSINACH KUTOKUINGIA MBINGUNI
23:22
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 43 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 415 М.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН