Jan 29 2016 Kikao kilichoandaliwa na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda kusuluisha mgogoro wa ardhi Mabwepande kati ya Wananchi na mwenye shamba waziri mkuu mstaafu Frederick Sumaye
Пікірлер: 160
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Makonda hapa alikuwa kijana sana❤piga kazi sasa mkuu wa mkoa Arusha sasa 2024
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Huyu mama hana adabu!! Huyo ni waziri mkuu mstaafu, mpeni heshima yake hata kama ameamia upinzani !!
@philemonsnyanda94503 жыл бұрын
Tatizo ni upinzani siyo sili
@amanijosiah52056 жыл бұрын
Huyo mama mwehu tu mbona wapo wenye maeneo makubwa zaidi ya sumaye hasemi aache siasa zake
@Blessedhopefamily7 жыл бұрын
unajua kuna baadhi ya watu wanazungumza tu ilimradi waonekane mtandaoni. kila kitu kina utaratibu wake, mara nyingi nasema mwanadamu ni mwema wakati wa mema tu, ni kiumbe hatari sana kwani huweza babaikia jambo ambalo hata halimhusu na wala halijui, sasa ona haya waliohoji wengine, ndg yangu ali ali, yaani eti huyo sumaye mwizi amezoea kuiba. yaani unamtusi waziri wako mstaafu kisa Dc ambaye ana malengo huenda sawasawa na mstaafu. watanzania tuache kushabikia kila jambo, sasa mnaona hata DC mwenyewe amejibu kisaikolojia, acheni usiasa watz hata JPM amesema hapa kazi tu, acheni haya, mnaudhi.safi sana Makonda
@zakayomepuyinywe14008 жыл бұрын
conglaturations Millard Ayo kwa kutuhabarisha!keep it up!
@anthonykusita71027 жыл бұрын
heshima yako mh. makondo. piga kazi tunakubari kazi yako.
@f.a60434 жыл бұрын
Makonda safi hapo Mh.RC umeongea vizuri Mkuu Ubarikiwe sana
@nyanda4278 жыл бұрын
nimekuwa nikimfuatilia sana DC Makonda juu ya utendaji wake; nadhani hekima anayo huyu ni kiongozi safi anaweza kazi. Pia nadhani raia hawajamtendea haki Mzee Sumaye
@azahally92167 жыл бұрын
Nyanda Mlanzi upo sahihi
@japhetkyando88227 жыл бұрын
Nyanda Mlanzi ww. Ndolijinga kumsifu makonda
@Wabriged6 жыл бұрын
+azah ally ni4lo
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Viongozi wastaafu walizakilishwa Sana awamu ya 5 ilaaniwe
@user-hh9ey2tx5m5 ай бұрын
Pole naona huna cha kusema
@RamadhanKitamaАй бұрын
Ulaaniwe ww pamoja na kizazi chako.
@santusmiyonjo96767 жыл бұрын
kazi nzuri kwa maendeleo ya nchi yetu
@charleselijah-vq3hq5 ай бұрын
Mwenye kipaji cha uongozi siku zote Mungu anamjalia Poul Makonda wewe ni Kiongozi mwenye Busara kubwa sana Ndugu yangu. Ubarikiwe siku zote.
@ramadhanmahongole92935 ай бұрын
Tatizo anakashfa nyingi ambazo zinamfanya asikubaliwe na wananchi wengi
@johnnsabimana2452 жыл бұрын
Don’t mess with these old folks😂😂 they’ve got BARZ( tukiruhusu uvamizi wanaovamia watavaamiwa😂😂😂😂)
@geraldmmass76277 жыл бұрын
Herman mkalilo ujumbe wako umetumia maneno ya busara sana wakujifunza atajifunza
@kelvinngoda71146 жыл бұрын
Pole sana muheshimiwa wakuachie haki yako
@stevenmamba24648 жыл бұрын
Safi sana
@labandauson5157 жыл бұрын
Nimeipenda
@mercymichael7998 жыл бұрын
Sijaona point ya uyo mama zaidi ya kutumika kisiasa chafu
@erickmchaa47467 жыл бұрын
mercy michael www.SitA
@radhiyaoman25434 жыл бұрын
Huyo mama gana heshima kwasababu huwezi ongea vileza mbele ya mtuhumiwa
@PetroKapama3 ай бұрын
Hapana , tawala za nyumba mlifanya mambo na kutatua shida za wanachi Kwa matakwa yenu,kuweni wa haki mmefanya madudu mengi sana
@donpablo26518 жыл бұрын
safi sana makonda una hekima sana respect
@khadijamalifedha58628 жыл бұрын
asante kwa habari kaka millard
@kulwajames8557 жыл бұрын
jimama zima akil amna
@radhiambwana20264 жыл бұрын
Makonda anatosha kwakweli ! Tujifunze kuongoza Nchi kwakufuata sheria.
@vizdag18 жыл бұрын
Good work, Millard Ayo
@j.jjonas84555 жыл бұрын
mmh
@carendaniel61177 жыл бұрын
kwahiyo mtu hatakiwi kuchimba kisima chake?kisa yeye ni waziri? ni uwamuzi wake kutoa au kutokutoa kwani ni haki yake,kuhusu shule hospital atajengaje yeye na pesa zake?iyo ni kazi ya serikali.
@richardcleophace99328 жыл бұрын
Mr Paul Christian Maconda hongera kk kwa kazi nzur
@aliali1898 жыл бұрын
snaye awachie wananch eneo we miaka ningap hujajenga chuo mbona anababaika jaman mwez mkubwa huyo eneo likikaa miaka zaid ya mitano bla maendereo wapewe watu wajenge
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Kubakwa watu kwenye eneo sio tiketi ya kuvamia eneo ,kama kweli mlikuwa na Nia njema simngechukua mapanga mkafyeka ili kutoa vichaka😂😂😂roho mbaya tu,nyinyi hao hao vijijini kwenu mna MAENEO makubwa lkn Serikali ikitaka hata barabara tu mnagoma na kutaka fidia
@ramadhanimagomba15867 жыл бұрын
mmmh!
@mwakasegeshukuru37206 жыл бұрын
upo vzr sn makonda
@alven52025 жыл бұрын
Hawa ndo akina mama huruma,suala LA maji na aridhi limeingiliaje,afu mbona mashamba ya mkapa hamyasemi,mgodi wa kiwira umeibiwa na mzee hakuna chochote walichofanyiwa hao viongozi
@loatalothi87848 жыл бұрын
Hekima ni ishara nzuri ya uongozi,maneno ya uchochezi haukupelekei kuwa kiongozi mtetezi.
@nghoshamlyabope21057 жыл бұрын
Loata Lothi . iij
@aronminja96615 жыл бұрын
Uko sawa mstaafu waziri mkuu
@blessbenson73668 жыл бұрын
hapa kazi tu
@juliusalistidnguvumali51617 жыл бұрын
mmmm
@rahmashaban86937 жыл бұрын
hii ndo athari ya mwanamke kuwa kiongozi. hahahahaha et hapa kazi tuu. jamani kuchonganisha huko tena mama yetu sio vizuri.
@nasibushedlak54185 жыл бұрын
Ali kaba
@bonabonala55595 ай бұрын
mpeni haki yake sumay acheni ujinga nyiee sindio ccm??? mmewawezesha viongozi wa ccm??
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Mwendazake alikua hajui uongozi na kuwazalilisha wastaafu
@user-zc2ms4wl6r5 ай бұрын
Mama Yako alijua kuongoza kulikonmwenda zake
@kharidyblauda70467 жыл бұрын
heee chezea wa mama wew!!!?
@christinashirima22382 жыл бұрын
Huyo Mama sijui DC sijui
@idrisajuma9314 Жыл бұрын
Sumayai anakili sana anasema hvi wakina mama wanao bakwa jawabu nikuvamia eneo
@severinifulgensi26865 жыл бұрын
Mh mstafu usiwe na wasi mbona wengi tumepata maeneo kibao ,kila mtu anaangalia eneo kulingana na uwezo wake na sii kuvamia maeneo ya wengine,wengi tumeingia dar na tumekuta watu wanamaeneo makubwa na hatujavamia tumenunu kwa haohao wenye maeneo makubwa,hao wanaovamia shamba ndohaohao wanamafunzo mabaya hatawatotowao wanapiga ngetA mtaani
@maxwelllubambe38176 жыл бұрын
dc kaongea point. Kwanza huyo mama alieongea aache chuki wangeenda kumwambia hayo matatizo kabla kwa upendo wangepata suluhu Zuri Tu.
@bonigrey96235 жыл бұрын
Makonda hapo uko sahihi sana bila kuegemea upande wowote
@nyandamisana363010 ай бұрын
Najikumbusha Enzi za makonda
@oyay28218 жыл бұрын
huyu makonda atakuja kuwa raisi wa Tz
@hamiscosmas46677 жыл бұрын
hamna
@rahhiwilliam81478 жыл бұрын
mheshimiwa jambo zuri sana hilo
@isackmodestus59356 жыл бұрын
Rahhi William
@samwelnaal79528 жыл бұрын
unjust way can't be used to get the right
@hamiscosmas46677 жыл бұрын
washamba sana hao akina mama
@aizackdidas97927 жыл бұрын
makonda safi umenena
@t33pelos777 жыл бұрын
akuna zahanati akuna shule ya msingi we unataka kujenga chuo mbona unashangaza watu ata icho kisima inawezekana kilikua kinahatalisha maisha ya watt ndio maana wakatia mawe
@hamadali50625 жыл бұрын
Mimi nawapenda Sana hawa viongozi watanzania waliopita na walikuwapo katika ngazi. Hawana ubaguzi wa dini hawana ubaguzi wa rangi wala hawana ubaguzi wa kabila. Hii ndio siasa inabidi watanzania wairingie
@edinaluoga70195 жыл бұрын
Aheshimiwe kuwa chama pizan cyo tatizo huy niwazir mbona hatuna heshima hiv
@stanleyfocas82505 жыл бұрын
Uyu mama simwelewi
@augustinoambrose99697 жыл бұрын
nomaaaa
@victorkisilu63837 жыл бұрын
Wamama tafuteni mali yenu, acheni kuvamia mali ya watu.
@rahmashaban86937 жыл бұрын
makonda kila siku mimi nasema ukijaaliwa uzima baada ya magufuli ugombee urais.
@heremensiliapawe1556 жыл бұрын
tetetete
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Kwanini umiliki Ardhi yote hiyo ekari zote wananchi wateseke kisa wewe ULIKUWA WAZIRI MKUU MAKURUNGE HIVYO HIVYO ACHIA ARDHI WANYONGE WACHUKUE HIYO ARDHI WAJENGE FISADI MKUBWA WEWE
@victorishengoma45992 жыл бұрын
Clouds nao walijaribu kumsafisha sabaya..
@waziripazi34018 жыл бұрын
uyo mama anaongea vitu ambavyo akiambiwa atoe ushaidi atatoa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni shamba la mweshomiwa kwa ishaidi na nyaraka anazo pia
@mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын
Waziri Pazi mjinga hyo mama ana mihemuko na sifa za kijinga
@labandauson5157 жыл бұрын
Yuko xawa
@lamecksilayo56892 жыл бұрын
Mama tahira kwelll umenunua eneo sumaye akupe arithi?? Tz nchiyangu nakupenda Ila huyo mama ni mpuuz tuuuu
@jamalmmoja12775 жыл бұрын
Uitwe kwa sababu ipi kuwa na imani mzee wagaiye kidogo wenzio baba
@pamelacharles23527 жыл бұрын
mshenz huyu sumaye kumbe mnajijua mliokuwa na maeneo makubwa acheni kujimilikisha maeneo uendi nayo mbinguni unaacha duniani muongo umenunuaicho kiwanja si umejimilikisha mpo wengi mtakufa mtaacha duniani
@frederickmpale73097 жыл бұрын
Pamela Charles uuuuuuuhhhh
@parimenamasamu17777 жыл бұрын
n
@ibrahimally75068 жыл бұрын
this is an insult to former PM, wananchi hawana hoja ni wahuni na majangiri kama wahuni wengine, yaani mimi hata nisingejisumbua kuwasikiliza, ningeenda zangu mahakamani....upuuzi huu hauvumiliki'
@erickmchaa47467 жыл бұрын
Ibrahim Ally www,sita
@philemonsnyanda94503 жыл бұрын
Ukihamia upinzani tayari umekua adui
@bintirashidantybaby81467 жыл бұрын
kisima kinaweza jazwa mawe sababu ya hasra ya wananchi kama haki haitendeki Alaf unajenga chuo kikuu wakat primary hakuna hehehehe mtanyoka tu
@dastanherman.kingdicetv18406 жыл бұрын
Binti Rashid Antybaby vvv
@mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын
Binti Rashid Antybaby haki ipi km anamiliki kihalali?
@DerickDanieli-cg4uf4 ай бұрын
Sawa
@zuwenasalim387 жыл бұрын
ungekuwa unawapa maji wasingejaza mawe mzee
@sabrinaislam42004 жыл бұрын
Mnagombea ardhi KM mtaishi milele duniani
@kassimmuktarymurji42425 ай бұрын
Acheni haki ya mtuu itabaki ya mtuu,mali ya mheshimiwa ubaki kuwa yale
@chesconkwera20055 жыл бұрын
Ukiona umefika level ya juu ya madaraka then unakuja nyanyashwa na vinyangalika ujuwe wewe ni Tatizo
@gtmalanga69532 жыл бұрын
Huyu Diwani mpuuz sana,anazungumza vitu kishabiki tena kwa dharau eti hapa kazi tu,malengo yake amdharilishe Mh sumaye,yaan ni mpuuz sana,kumilik aridhi siyo dhambi,wanabakwa so suluhisho ni hilo?
@mlimilachannel30478 жыл бұрын
HAPA KAZI TU HAIWEZI KUWA APPLIED HAPO, UTAKUWA NI USHETANI,MWACHIENI ARDHI YAKE, MNAPIGA KELELE, WATU KAWAIDA YENU KUKODOLEA MACHO MALI ZA WATU, KISA HAMNA CHENU, TUMIENI KIDOGO MLICHONACHO MUNGU ATAWABARIKIA, ACHENI UVIVU WA KUFIKIRI
@mybrain89402 жыл бұрын
Kudadeki kwahiyo tufyeke mapori yote watu wasibakwe😂😂😂
@leilasaid3623 Жыл бұрын
Viogozi nyie mtakuja kuulizwa siku ya qiyama
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Viongozi wastaafu walizalilishwa San na awamu ya 5 wametumwa na mwendaze
@wagadugu72242 жыл бұрын
Unajua baazi ya vichwa vya magufuli vipo vzuri
@ommyregga5829 Жыл бұрын
Sumaye fisadiiiiii katuriaaaaaa
@josephlorri43127 күн бұрын
Thibitisha hoja yako.. acha hisia na mihemuko
@MohamedHassan-zc5bl7 жыл бұрын
kila mtu ana nafasi kwa wakati wake makonda upo juu
@dezruh6 жыл бұрын
Mhe Makonda umesema vyema , hongera sana kwa hekima!
@emmanueldeus15426 жыл бұрын
Napita tu
@abubakaryvan70937 жыл бұрын
yaan hyo mama anaongea pumb xnaa
@hamismindika75137 жыл бұрын
Hilo tatizo la kisiasa nac vingine
@harithwhite5897 жыл бұрын
hivi wakina mama wakibakwa jawabu ni kuvamia eneo?
@marreymaster93085 жыл бұрын
Hyo mama ypo sahihi kabsa hyo mr 0 kipindi akiwa waziri mkuu alkuwa fala
@abdallahelbali42005 жыл бұрын
Marrey Master kila mvamizi naye huvamiwa. Kama Sumaye anamiliki ardhi kihalali kuna shida gani? Alivyokua waziri mkuu alifanya kazi nzuri.
@severinifulgensi26865 жыл бұрын
Fanyeni kazi mnunue yakwenu acheni kupenda vyabure nyie baadhi wananchi wa magwepande waulizen wenzenu waliotangulia maeneo hayo walivamia?kama ni mwombeni apende mwenyi na sii kwalazima,hapo kijijin wote mnafanyiana kama mnavyomfanyia msafu?shetan gani kawadanganya kuwa serekali ya Mh JPm inashiriki ktk unyang'anyi?
@nsodyaphilimon91536 жыл бұрын
We waachie au utayapeleka wapi
@omegaamir9086 жыл бұрын
Duh tatizo ujinga unatuharibu wa Tanzania... Asa huyo mama kapewa uongozi na nani kiwanja cha mtu anataka apewe ajenge zahanati hahahahaaaaaaaa pumbavu sana anataka kuchota maji kwa mheshimiwa au sio hahahaaaaaa foolish sumaye weka chuo bhn na zahanati iwe ya wanachuo pekee wanadhani wewe serikal
@MariaCassian-ys7pt3 ай бұрын
Hebu kuwa naadabu wewe mama kwa muheshimiwa sumaye hatakama ameamia upinzani kumbuka hisani alipokuwa madarakani acheni uharamia
@victoryteodory27507 жыл бұрын
"
@nachaone59837 жыл бұрын
kisanga
@modestalois25352 жыл бұрын
Acheni umbea,kwa hiyo msaada ni lazima? Pumbavu kabisa ninyi nyumbu wa Kinondo
@sazafsuma75427 жыл бұрын
kwanza huyo mama anabakwa kwake sio kwenye shamba lako sumae
@Teksani8 жыл бұрын
Huyo mama pamoja na kuongea kwa uchungu, sijaona point alioyo isema yenye msimamo mzuri
@sallykanze8 жыл бұрын
Mama ameongea vizuri Sana kwa Sababu huyu mstaafu nae anaongea upuuzi kwa Sababu amekwisha staafu na hajafanya kitu chochote kwa wananchi
@wilhelmibaganisa16358 жыл бұрын
jefason kingy ww kanyaboya kweli,
@sallykanze8 жыл бұрын
+WILHELM IBAGANISA kanyaboya ni ww kwani waanza matusi na sidhani Kama nimekutaja kwa hii comment kisha njoo na hekma Sana
@libuimshamu24018 жыл бұрын
huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2
@libuimshamu24018 жыл бұрын
huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2
@machinjashabani15185 жыл бұрын
Dada acha unafikiri?
@jackisonijackisoni67155 жыл бұрын
Makonda nakukubali sana
@eddomgaya50592 жыл бұрын
Arudi Tena mh makonda
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Huyo aliwanyima hata Makurunge maji huyo siyo kiongozi mzuri ksbisa Sumsye
@josephlorri43127 күн бұрын
Ni jukumu la serikali inayochukua kodi kuleta huduma za jamii sio Sumaye
@jumamakuri32187 жыл бұрын
Sumaye kachunge ng'ombe acha kuwadhulumu wananchi ardhi yao we huna mamlaka ya kuwagawia ardhi wananchi usituletee story huna jipya.
@mwajumashabanihamis85756 жыл бұрын
Juma Makuri
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@ofalirichardi9786 Жыл бұрын
Ongeaga poit naww
@makalanimau46496 жыл бұрын
mama unachuki binafsi
@adelaidedaycareprenurseryk63247 жыл бұрын
umeongea vizuri Nakonda tena kwa nidhamu kubwa kwa Mzee Sumaye