Brilliant. Among the best minds in Tanzania. Hawa watu walikuwa wapi? Hii ni faida kubwa ya kutambuwa watu wetu.
@joventjohansenmushwaimi19886 жыл бұрын
Zach Maselle ndg yangu maneno hayo tumeyasikia sana ndg yangu labda kama unayasikia Leo
@ayubnsajigwa10376 жыл бұрын
+Jovent Johansen Mushwaimi ,Haya maneno yamesikika toka serikali ya awamu hii inaingia madarakani , lakini pesa hazionekani kila kitu tunakopa , hata wakulima wanakopwa pesa zao walizotunziwa
@ritamutoka77684 жыл бұрын
Sio kila kiongozi anayependa kuteuwa watu mahiri katika nyanja mbalimbali kwa woga wa kukataa kuonekana hana ufahamu au kwa kutaka kuburuza wasaidizi wake kwa sababu ya kutojiamini.
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
@@ayubnsajigwa1037 siku akili yako itakapokuwa pana utaelewa kuwa kuna kitu kimefanyika tofauti na awali.
@brunomichael78705 жыл бұрын
Prof kabudi am like your speech ,it's so good congratulation
@butungo16 жыл бұрын
Asante sana mh. Palamagamba
@johnmwambungu74346 жыл бұрын
perfect speech!
@gabrielmashauri82365 жыл бұрын
Prof ,you are a great thinker!Respect!!
@jensennashon61476 жыл бұрын
Hongera hon prof kabudi..ila PhD yako ulaya
@subramashs22366 жыл бұрын
Jensen Nashon hongera
@prochesilyakurwa8156 жыл бұрын
Hakithis country is full of intelligent and brilliant leaders who are straight forward for the beat of the state and its people .....i real appreciated ur effort jah
@jmahwea6 жыл бұрын
good speech
@godfreybigeyo91056 жыл бұрын
Uko vizuri
@edsonseveline19936 жыл бұрын
badala ya noaha tungekuwa tumeanza kuona walau baiskel ili tuwe na matumain
@godfreyshila39696 жыл бұрын
safi sana
@leonardmaganja95355 жыл бұрын
Tanzanian think tank
@musadosa41156 жыл бұрын
uko vzr sana
@reginaldsephania61236 жыл бұрын
Good
@andreadamiani46135 жыл бұрын
@@reginaldsephania6123 Brilliant person
@joventjohansenmushwaimi19886 жыл бұрын
Baraza LA Mawaziri teh teh teh teh teh teh teh
@georgemassebu20835 жыл бұрын
Kungepatikana wakuu wa nchi kama 40 tu hapa Africa wenye mfano wa Kabudi na yule PLO Lumumba wa Kenya.wazungu tungewakomesha,wangeiheshimu Africa
@luckykyando6956 жыл бұрын
Big up mzee kabudi
@kobelochamanga97575 жыл бұрын
Safi
@mwidzuhuluhapalataii69456 жыл бұрын
We will not agree on every issue. But let us respect those differences and respect one another. Let us recognize that we do not serve an ideology or a political party; we serve the people.
@garenaali59386 жыл бұрын
yuko makini sana huyu mzee
@tonyamos86696 жыл бұрын
Kama hakili yako ndogo huwezi muelewa kabsa
@emmanuelmwangwa36206 жыл бұрын
ally mausa akili si hakili
@hadharmiabdallah35304 жыл бұрын
Nakupongeza kwa ufafanuzi kila unapopata nafasi ya kutoa hutuba
@hadharmiabdallah35304 жыл бұрын
Kwa kila ambae aliepata kumfundisha lazima afaulu hata kama ni kichwa maji
@jmahwea6 жыл бұрын
good
@godlistenoljange4966 жыл бұрын
Nampenda sana huyu babaq
@athumanomary14386 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU aenderee kuwaongoz viyongoz wetu vyema
@Frankgamanuel6 жыл бұрын
Du! hii Tz hawa wasomi wetu mil3$. Watanzania wangapi wanajua kwa Tsh.?
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
Ndiyo manufaa ya kuitumia elimu yako vzuri kwajili ya manufaa ya wazawa.
@johnsonphilliminus41996 жыл бұрын
Duh! Huyu mzee naye, kwani moja ya matumiz ya fedha zipatikanazo si ulipaji wa madeni? Haya hautaki kusema real figure ila sitayari umeshasema mmepokea? So sio lazima wajue watakuja tu. Pili kutokutaja ni kiasi gani serikali imepokea au inatarajia kupokea ni kuruhusu kuliwa hizo fedha pia bila kujua ni nani kala na kala bei gani, yaani ni kuruhusu ufisadi usiokuwa na maswali. Hii ni inchi ishu so kunatakiwa kuwe na ushirikishwaji katika kila lifanyikalo kwa wananchi na hasa bunge linalotunga sheria na kupanga budget. Habar za fedha za inchi kufungia kama personal issue hapana kwakweli kama madeni yapo na hiyo sio sababu. Mzee anajaribu kutumia misisitizo kwenye utoaji taharifa yes he has a good way of presenting Ila anachokisema it's none sense. Guys u need to understand these two things.
@isaacsengunda30996 жыл бұрын
Nyie ccm ndio hamkuliona kwa ajili ya maslahi yenu,lakini watu wenye akili timamu na wenye ueledi,na wenye uchungu na nchi hii,mliwatoa nje ya bunge ili mpitishe na mkapitisha sasa leo mnajifanya mnazungumzia kwa hisia. Acheni unafiki huo sio,,sio sawa tukamatieni wale wote walioipigania ile sheria na mikataba yote ya kishenzi si mnao na mnawajua kwa majina na mali zao.
@kamandamasanilo48586 жыл бұрын
Wanavyoongea unaweza dhani ni watu...
@chrisantgeorge60186 жыл бұрын
KAMANDA MASANILO mbwakoko nakupa pole. nyinyi machagadema mtaishia kuumizwa tu kwa namna yoyote iwe usiku au mchana. mtakoma
@kingkiwango14356 жыл бұрын
Haha
@kobelochamanga97575 жыл бұрын
Kweli wewe mwalimu unaemfundisha kama ajakuelewa atakuwa ana madini joto
@othumanlorenzo2606 жыл бұрын
LA grand prof sio mchezo kabisa
@shyshayagen27335 жыл бұрын
Kipindi cha lissu alikuwepo????❓❓❓❓❓❓
@bakarikambi65075 жыл бұрын
Prof.Kabudi umenikumbusha mwandishi wa Mashetani prof.Ibrahim Hussein-a great thinker.
@khalidricco39075 жыл бұрын
huyu kabudi ni mr misifa hana lolote kuna maprof kibao nchini lakini hawana misifa kama yako kenge wewe.
@damasmaleo48455 жыл бұрын
Sheria mbovu mliptsha ninyi mkijisifu leo mwarekebisha kwa majdai nakujua mwanzo 🤣🤣poleni
@hemedlugenja64646 жыл бұрын
Sahihi Prof lakini wanyonyaji toka enzi tumepata Uhuru ni chama Tawala na wala si upinzani.
@pascaladloph47196 жыл бұрын
ruling ignorance is easier. hizo fedha ni mali za nani? ni za Wananchi wa Tanzania au nyie viongozi
@joventjohansenmushwaimi19886 жыл бұрын
Kwa hiyo hakuna haja ya kulipa madeni hayo !?! Teh teh teh teh teh eti wtz watuelewe kwa hoja nyepesi hiyo kweli profesa !?!?
@bakarimngazija66726 жыл бұрын
Kwanini mawaziri wote wasimamie mikataba? Huu ni upuuzi mmeshaiba na sasa mnajitia mnataka kudhibiti CCM mmeitelekeza nchi na wananchi wake .hakuna maji ,hakuna miundombinu ,elimu ,afya barabarana mambo mengi yanayohitajika katika maisha ya wanaadamu. Mkisimama mnajifanya wema na huku nnaiba mali ya watanzania kwa manufaa yenu.Mchelewa sana kuzuwiya na sasa ni kujifanya tuu.
@fadhilhussein90596 жыл бұрын
Bakari Mngazija jifuze siasa mzur sanaa na ujuwe huyo ni wazir wa katiba na sheria
@TheBlkk100mk6 жыл бұрын
Prof Kabudi hizi mbwembwe za kutwa kujisifia umemsomesha nani na nani kwa kudhania utawahadaa watu hilo sahau. CCM waliambiwa na mapema waache kufanya siri kwenye mikataba wakakaidi.
@shekhekassim64026 жыл бұрын
Uongo mtupu
@jmahwea6 жыл бұрын
good speech
@amirmotors97356 жыл бұрын
Uongo mtupu
@japhetmwamlenga70786 жыл бұрын
Amir Mpenike mjuwe ili iweje bac tupe ukweli wewe unayejua