No video

Pt1_"Nilichoka kuishi nikajiua kwa sumu,nilichokiona kuzimu na mbinguni kinatisha"USHUHUDA WA MESHAK

  Рет қаралды 38,803

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 138
@langistany6811
@langistany6811 2 жыл бұрын
Alleluia, Alleluia, Alleluia, Jina Bwana YESU KRISTU Libarikwe, Kweli ume honja Raha ya Mbiguni, Bwana wetu YESU KRISTU Abarikiwe kwaku kupa kibali hicho, Pia Bwana aku Bariki kwa kua Mwaminifu Ktk kutoa Ushuuda. YESU KRISTU NDIE YOTE KTK YOTE. Lakini usi jihuwe tena.
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 2 жыл бұрын
Amen, mtumishi lang stany
@flm1530
@flm1530 2 жыл бұрын
Kumbe mtumishi lang stany ana channel KZbin sikujua ngoj nikasubscribe
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Amen and Amen Mutumishi langi stany
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
@@flm1530 hata mimi sina habari
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Make apo Kwanza ncheke😅
@catenzoka2003
@catenzoka2003 2 жыл бұрын
Promover t v kweli hamlali kuakikisha kazi ya Kristo Yesu inasonga mbele kuokoa mioyo ya wanadamu..be blessed the whole team kazi nzuri.
@anethswilla7563
@anethswilla7563 2 жыл бұрын
Hakika Kila shuhuda inanijenga Sana na ninatamani siku moja nikaone kwa macho yanayoshuhudiwa nakaza mwendo nifike
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Hata Mimi Mungu anaisaidie nimalize mwendo salama maana kwa nguvu zangu sitaweza
@micamathew2595
@micamathew2595 Жыл бұрын
Amen!! Ushuhuda huu ni kweli kabisa!!! Sijaona shida!! Nimehakikisha!! Yesu hakika ni Bwana Mungu!! Njia ni Yesu Kristo!! Yohana14:6!! Yohana8:12. Yohana15:7. Yesu ni Mungu Wafilipi2:5-11, Tito2:13, 1Yohana4:1-3, 1Yohana5:1. Yesu hakika ni Bwana Mungu wa wote wenye mwili Yeremia32:27, Yesu hakika ni Mungu hakika Isaya9:6. Amen!! Bwana Yesu asifiwe sana!! Jina la Bwana Libarikiwe!! Ameeeen!!!
@JifunzeNenoLaMungu
@JifunzeNenoLaMungu 2 жыл бұрын
Bwana YESU KRISTO Atukuzwe Sana... kwa Maono Mazuri Sana yenye Mafunzo Mazuri Sana...
@victaeliud948
@victaeliud948 2 жыл бұрын
Jaman nawatamani sana wanaoenda mbinguni nakurudi ... Asante kwakutupa Siri hizi za mhimu kwa tulio hai...*nimecheka aliposema nikaanza kufahamu kwamba natakiwa kurudi duniani* hata kabla hujaambiwa...mbinguni bwana unakuwa genius automatic. YESU TUSAIDIE TUFIKE HUKO
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 жыл бұрын
Kuzimu ni kubaya, na sio original, mbinguni ni, original na nikwamilele, kwa jina la yesu shindwa na legea, asante
@hirokay9374
@hirokay9374 2 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe Wana was Mungu nimebarikiwa sana na Ushuda huu asanteni kwa Kuni elimisha namimi nimepokea Ujumbe huu Amina
@joshuarafael9462
@joshuarafael9462 Жыл бұрын
Yesu Kristo ni kila kitu, ni Bwana, ni Mungu, ni nuru, ni Mwanzo, ni uzima, ni njia, ni kweli, ni Mwisho, ni neno, ni mbingu Mpya, ni nchi mpya, ni Mwanadamu, ni mtume na nabii, ni malaika, ni Jerusalem mpya na mengine mengi, yaani yeye ni yote katika yote, Utukufu una yeye milele na milele Amina
@user-dz3rl1ki6u
@user-dz3rl1ki6u 11 ай бұрын
Asante Sana mno
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Mungu wangu, unirehemu nisi kose kuona uzima wa milele.
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Asante Yesu kwa promover tv na kwa ushuhuda huu. Kweli tunajifunza vitu vingi na kuzidi kukaza mwemndo ili tuweze kufika mbinguni. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
@monicamafenyi8358
@monicamafenyi8358 2 жыл бұрын
Ahsanteni kwa ushuhuda huu
@rhodamaganga884
@rhodamaganga884 2 жыл бұрын
Nawapenda promover Dr Jactan na timu yote mbarikiwe napata vitu vingi vya kujifunza
@lucywilson5875
@lucywilson5875 2 жыл бұрын
Yesu usiache. Naendelea kukufahamu zaidi na zaidi
@Esther-Bri
@Esther-Bri 2 жыл бұрын
SHUKRANI MUUMBA KWA kuleta hii channel ya promovertv inayotuhelimisha nakutufunza mengi kupitia watu mbali mbali ili nasi tuweze kufikia Ufalme wa MUNGU, Barikiwa Sana
@voctoriangombe6136
@voctoriangombe6136 2 жыл бұрын
Promover TV Mungu awabariki sana nimebadilisha mifumo ya maisha yangu ili hata mauti ikinikuta niingie mbinguni
@gerardnibikora839
@gerardnibikora839 2 жыл бұрын
Wow! Very powerful 👏
@marifaadolphine3571
@marifaadolphine3571 2 жыл бұрын
Mungu atuwezeshe nasi tumuone Bwana yesu, ubarikiwe kwa atua iyo.
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 жыл бұрын
Amen ushuhuda mzuri eeeh Yesu nisaidie nifike mbinguni bila wewe siwezi
@johnmkama8074
@johnmkama8074 2 жыл бұрын
Umetia fora Jactan kwa ushuhuda huu in kama Amiel
@janembuthia3750
@janembuthia3750 Жыл бұрын
God bless you for your testimony
@flourishing_wilderness6072
@flourishing_wilderness6072 8 ай бұрын
Mbarikiwe kwa ushuhuda huu, nimejifunza kila kiumbe cha Mungu kina thamani mbele zake basi mwanadamu anapoharibu mazingira anatakiwa atubu pia kama anavyotubu dhambi zingine
@carolinederi5690
@carolinederi5690 2 жыл бұрын
Lango lile Yesu bwana wote waingie kwake😇 kaka yetu alipata neema kuona jinsi Yesu alivyo lango kweli jinsi watakatifu wanaingia kwake kupitia tumbo lake
@mayalapaul5658
@mayalapaul5658 2 жыл бұрын
Mungu anawajua wali wake
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 Жыл бұрын
Safi mura na Mshukuru Mungu Kwa ajili Yako nimefurahi Sana kwahuu ushuhudaa
@melesianageorge2012
@melesianageorge2012 2 жыл бұрын
Asante Yesu Mungu azidi kuitunza na kuinua promover tv tunajifunza mengi
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@isaacgwams8080
@isaacgwams8080 Жыл бұрын
Huu ni ukweli kabisa na unatuweka huru, asante Bwana Yesu Kristo
@roidaalphonceyou2227
@roidaalphonceyou2227 2 жыл бұрын
Asanteeee kwa ujumbeeee huuu eee MUNGU wangu naomba unisaidieeee
@IbrahimMatofali
@IbrahimMatofali Жыл бұрын
Mungu mwema sana anawachukuwa watumishi mbali mbali mbinguni ili atammoja asipotee ili wote tuifikie toba yesu nisaidie nije kuishi pamoja nawe kwenye jiji takatifu
@helenbahati8038
@helenbahati8038 Жыл бұрын
Yesu akusaidie uendelee kutembea katika jiia yake, barikiwa sana kwa ushuhuda
@christinezuma5588
@christinezuma5588 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu umenifunza mengi hapa
@IbrahimMatofali
@IbrahimMatofali Жыл бұрын
Hii chaneli mungu aibariki sana inatuletea uwamsho katika bwana
@flm1530
@flm1530 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Let your light of glory to shine on me till I enter rapture.
@victaeliud948
@victaeliud948 2 жыл бұрын
Kaka jacktan msafiri na timu yote ya PROMOVER TV MUNGU awakumbuke katika ufalme wake...mnafanya kazi njema sana....nawapenda sana..
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Amen and Amen Asanteni sana kwa ushuhuda wa kujenga
@carolinemwugusi8945
@carolinemwugusi8945 2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri wa kuelimisha nimejifunza mengi barikiweni nyote kwa huduma
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
" zipo channel na radio kibao zenye majina lakini zinaongelea udaku na umbea na anasa za watu. Lakini promover na udogo wenu mnajitahidi kutangaza injili ya kristo. Hakika nawaombea mtanuke na kufikia watu wengi ili waijue neema ya kristo
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
amen amen
@sabrinalazaro950
@sabrinalazaro950 Жыл бұрын
Mungu awabariki pomover.
@yungharry2204
@yungharry2204 2 жыл бұрын
Promover tv mbarikiwee
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@EvangelistMathayo2604
@EvangelistMathayo2604 2 жыл бұрын
Hee Mungu wangu na Baba yangu naona unisaidie unipe mwisho muzuri ili nikifa nione mbinguni
@mrym8668
@mrym8668 2 жыл бұрын
Amina
@happyness-bs3tr
@happyness-bs3tr Жыл бұрын
Amin.
@charlesmbena9121
@charlesmbena9121 2 жыл бұрын
Always a blessing from you jacktan
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 Жыл бұрын
Ameeeeeen BWANA YESU asifiwe
@daisymuthoni675
@daisymuthoni675 2 жыл бұрын
Jamani Mbinguni panatamanika eeh Mungu nisaidie na unirehemu niingie pale.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Жыл бұрын
Dah mtani wangu hongera Sana sanasanasa bwanayesu alijua kukutoa tongotongo😅hz nema bwana YESU namm nitembelee jmn nipate angalau kuona namm nije nismulie km huyu mtani WANGU,, au
@unitedpentecostchurchiname9061
@unitedpentecostchurchiname9061 2 жыл бұрын
Mimi JEREMIAH HUKU USA: Asante sana kwamaelezo ya huko mbinguni, ninalo swali moja, je mkristo akirudi nyuma katika dhambi ila akiendelea kumtolea Mungu matoleo kadha kwa kuendeleza kazi za kanisa kazi nyingi tu, sasa huko mbele akaja kumrudilia Mungu akatubu. Je yale mema yote aliyoyatenda akiwa katika dhambi zitaandikwa mbingu kwa jina lake? Ao huduma zote alizozitenda akiwa ameanguka haziesabiwe? Ataanzia wakati anatubu tena Jeremiah
@rubefabi8366
@rubefabi8366 2 жыл бұрын
Jibu unalo moyoni mwako japo unauliza swali la kukaribisha udanganyifu. Umesema mkristo kurudi nyuma maana yake jina lake kufutwa kwenye kitabu cha uzima maana yake hakuna rekodi yoyote ya matendo yake. Sasa atakumbukwa kwa lipi?
@andrewpaschal749
@andrewpaschal749 Жыл бұрын
Mema yanahesabiwa unapoanza upya Yaani ukitubu hapo ndipo haki yako inapohesabiwa tena
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Mungu ataanza kumwangalia tena kama atatubu na kurejea vinginevyo asahau,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hawezi kuhesabiwa Chochote ni sawa na kuitupa chooni tu sadaka yako
@claudiabyalugaba2381
@claudiabyalugaba2381 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Yesu ni pokee jinsi nilivyo, samea dhambi zangu.
@bukeyenezaaudiphax8601
@bukeyenezaaudiphax8601 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@blasipaul68
@blasipaul68 2 жыл бұрын
Amen
@user-yz2lb5vq1c
@user-yz2lb5vq1c 5 ай бұрын
Eee MUNGU nisaidie niweze kusimama imara nisome biblia kila wakati na kulielewa na pia nidumu katika maombi kila wakati eee MUNGU nisaidie
@ungwamseke4819
@ungwamseke4819 2 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
@clemetinarwekiti4067
@clemetinarwekiti4067 Жыл бұрын
Ameeen
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 2 жыл бұрын
Powerful testimony
@zawadimalecela3448
@zawadimalecela3448 Жыл бұрын
Bwana nakushukuru kwa kuniwezesha kusikia ushuhuda huu,hakika nimebarikiwa kwa ushuhuda huu.
@julianawanjala6495
@julianawanjala6495 2 жыл бұрын
Shukran promover tv kwa ushuhuda huu mzuri ....Barikiwa Sanaa mtumishi wa Mungu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 2 жыл бұрын
Amen
@phelistuschelimo940
@phelistuschelimo940 Жыл бұрын
Ningependa kukuliza swali Moja pastor,mbona Huwa inasrmekana kwamba ukifa pia urudi Duniani ulimi wako Huwa mzito kutamka maneno haiwezekani na wwe unatoa maneno kwa kinywa chako??
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
In your wrath, over my life, God remember mercy on mankind.
@margaretakoth6150
@margaretakoth6150 Жыл бұрын
Where is part two?
@boanergejuniorwisepro9485
@boanergejuniorwisepro9485 Жыл бұрын
Ameni
@deuslmathias1631
@deuslmathias1631 Жыл бұрын
Shuhuda zingine zipimwe kwa neno la Mungu.
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Siyo zingine Bali zote,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kwa kweli unywe sumu kisha uende Mbinguni hii imekuwa mpya kwangu na Wokovu
@fadhili2293
@fadhili2293 Жыл бұрын
@@trophywilson7211 hatuwezi kujua yote isipokuwa kwa sehem
@yungharry2204
@yungharry2204 Жыл бұрын
@@trophywilson7211 sikiliza vizuri je hakutubu
@ashleymechack151
@ashleymechack151 2 жыл бұрын
Huu ushuhuda unakasoro. Kuna mambo mengi hapa hayaendi sambamba na neno la Mungu.
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Kama yapi yasiyoenda na maandiko?
@daudijacob7377
@daudijacob7377 Жыл бұрын
Kuwa mtiii usimpe Shetan nafas wewe amini
@fadhili2293
@fadhili2293 Жыл бұрын
Sio rahisi wote tumkubali au tumuelewe, ila naamini kila mmoja anaweza funuliwa kwaehem yake kwa kadri ya kipimo cha neema yake
@Summertm
@Summertm 3 ай бұрын
- Wenye Channel! Msifundishe watu jinsi ya kujiuwa, na namna ya kufanya uchawi, au content yoyote ambayo iko kinyume na Bibilia.
@elizabethsembe1677
@elizabethsembe1677 2 жыл бұрын
Muendelezo jamani
@mosehbigboi4626
@mosehbigboi4626 Жыл бұрын
Wow c uni link part 2
@PromovertvTz
@PromovertvTz Жыл бұрын
USHUHUDA WA MBINGU NA KUZIMU NA MESHAK WA TARIME: kzbin.info/aero/PLXTmPgeqbJ0kEYkSGezZcbvmRCVDnYvUQ
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
why would you even do this
@paschalmulisa6038
@paschalmulisa6038 Жыл бұрын
BWANA YESU asifiwe,Mtani hayo unayotushuhudia ni maruweruwe ya vidoge ulivomeza ambavo havikuwa na nguvu ya kuweza kukutoa roho ndo maana ulizinduka na upo Bado duniani.Umuhoji MUNGU kirahisi hivo?ndg yangu hapo ulipo kusingetakima maelezo mengi ila sisi tungekuwa tunaona utukufu mkuu wa MUNGU,mwanzo33:18-20,JOH:1:18
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Wewe ndiye mwenye maruweruwe unajibu kabla ya kupambanua
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@janemujuni764 aise hapo na Mimi sijaamini bado Aendeje mbinguni na huku alijiua??Haipo mbingu ya waliojiua
@josephmukhwanawilliam9487
@josephmukhwanawilliam9487 Жыл бұрын
?????????????????????? si kwa ubaya!
@marthaeliya6478
@marthaeliya6478 2 жыл бұрын
Sasa kwa waislam jaman ambao hawamuamin yesu inakuaje na wanatenda mema
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Ni kuwaombea ili wapate neema ya kumjua huyu Yesu na kumwamini
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
Ni mtihani ndugu yangu,ni sili ya Mungu,dawa ni kuwaombea
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Mbingu ni moja tu na anaingia tu aliyemkiri BW YESU kuwa ni BWANA na MWOKOZI na kuamini kuwa ALIKUFA NA KUFUFUKA,huku akiyaishi MAPENZI YA MUNGU
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Ni kuwaombea kama tunavyoombeaa wengine waokoke, Maana YESU ndiye Njia,Kweli na Uzima,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
@@janemujuni764 wanayo Mbingu yao Tuwaache hivyo mimi ndo huwa nasema hivyo
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
Ktk hayo maono kuna mkanganyiko,
@veronicambilinyi3854
@veronicambilinyi3854 Жыл бұрын
Nimeanza kuwaelewa wasabato
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kwa nini??fafanua
@kenanimwakanemela483
@kenanimwakanemela483 2 ай бұрын
This is deception
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
why
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
But
@mamabaraka2023
@mamabaraka2023 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kajiua and then akapokelewa mbinguni mbona simuelewi?
@Sara.11148
@Sara.11148 2 жыл бұрын
Hata mie nashangaa ujiue kisha upokelewe mbinguni sielewi
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 2 жыл бұрын
Ni kwa neema tu Mungu alitaka ampe ushuhuda
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Mungu alikuwa na kusudi kuachilia roho ya kujiua ndani yake ili aweze kufikisha huu ujumbe, Kumbuka Njia za Mungu hazichunguziki
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 Жыл бұрын
Alaf acha hio biashara ya nywele utaishia jehanamu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndo hatari hapo Hizi shuhuda mie karibia niache kusikiliza tutapotezwa na wakristo wa siku za mwisho Yesu alisema
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
Not playing spots
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
What are you even thinking
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
I'm not saying I don't follow God
@bonifasemmanuel4700
@bonifasemmanuel4700 2 жыл бұрын
Msaada Tafadhali,kila shuhuda ninazo sikia nasikia eti,wanaoshuhudia wanaongea kiswahili inamana ndo lugha inayotumika au,kingereza au kichina hakuna,au kirundi,
@hellen9056
@hellen9056 Жыл бұрын
Sasa mpendwa wewe ni mswahili utawezaje kuja kichina jamani ? Akienda mchina ataoneleshwa kichina akienda mrundi ataoneleshwa kirundi
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Hata Mchina akienda atasimulia kwa hicho
@fadhili2293
@fadhili2293 Жыл бұрын
Bora ata ungejiuliza kwanini hasemeshwi kikurya
@salomezakaria
@salomezakaria Жыл бұрын
Mmmmmmnmmm
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani 11 ай бұрын
Kwa nini wewe Jakitani Msafiri hutaki kunikaribisha Mjumbe wa agano Duniani?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 11 ай бұрын
Karibu sana
@patricebaregensaba9372
@patricebaregensaba9372 Жыл бұрын
This is so wrong
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hii ni hatari ngoja tusikilize
@emmanuelnewrch6614
@emmanuelnewrch6614 2 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA 🙏 KWA KAZI NJEMA YA KUTUJUZA MENGI YA KUTUJENGA
@pericykiko6198
@pericykiko6198 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@mrym8668
@mrym8668 2 жыл бұрын
Amen
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Ameen Ameen Ameeen,huo ndiyo ushuhuda halisi kabisa, Lazima watu wa Mungu tuuone UTUKUFU wa Mungu,Siyo kila siku kumwinua shetani kwa kutoa shuhuda za kuzimu tu, Ubarikiwe sana kwa ujumbe,wasioelewa NENO watabeza usijali ujumbe umefika, Uumbaji wote Lazima umsifu MUNGU,
@janemujuni764
@janemujuni764 Жыл бұрын
Mnaosema dhahabu na madini yote ni mali ya shetani mmepotea na mnamwinua na kumtukuza shetani huku ni kumhuzunisha ROHO MTAKATIFU bila kujua,
@sylvestermhojaaron9659
@sylvestermhojaaron9659 2 жыл бұрын
Amina
@priscaaron4813
@priscaaron4813 2 жыл бұрын
Amina ushuhuda nzuri mtumishi unatujenga Mungu tusaidie
@marystellambogo2820
@marystellambogo2820 2 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri, Yesu nisaidie nifike mbinguni
@hazykilondera4444
@hazykilondera4444 Жыл бұрын
unawezaje kuingia mbinguni wkt umejiua? mmhh hapa kuna shida kidogo
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 33 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 98 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 27 МЛН
USHUHUDA WA KILICHO MFANYA OSINACH KUTOKUINGIA MBINGUNI
23:22
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 43 М.
WAKALA WA KUZIMU ASIYE MTU | Bishop Dr Josephat Gwajima | 26.11.2021
1:23:31
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.
KUTEGUA YALIYOPANGWA NA SHETANI (DODOMA)
1:05:11
Reality of Christ Church
Рет қаралды 100 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 33 МЛН