Pt1_USHUHUDA WA BINTI ALIYETEKWA KUZIMU NA WACHAWI AKIWA MTOTO WA MIEZI 7 SABABU YA JINA LA UKOO

  Рет қаралды 22,510

PROMOVER TV

PROMOVER TV

8 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 85
@maryandason1815
@maryandason1815 6 ай бұрын
Blessed kka jacktan❤.cjachelewa
@juniorkalinge5861
@juniorkalinge5861 8 ай бұрын
Amen&Amen, may promover TV be highly blessed IJN, FOR BRINGING us touching testimony at all times. Hi Channel imefanya IMANI YANGU IKAKUWA MARADUFU KWA MAMBO YA YESU KRISTO.
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 7 ай бұрын
Promover mbarikiwe mnoooo kazi njema. Dada Yesu akulinde mpaka mwisho. Shika Yesu dada usimuache
@user-fy9zl1oq7x
@user-fy9zl1oq7x 8 ай бұрын
Amina nakukubari sana jactani huna utani na Mambo ya Mungu, ubarikiwe sana❤
@wanjirumuhoro7553
@wanjirumuhoro7553 8 ай бұрын
Asante dada kwa kufikisha unjube,ubalikiwe katika jina KUU LA YESU KRISTO.Roho wa Mungu wa Abraham atufungue macho....
@charlesyotham7977
@charlesyotham7977 8 ай бұрын
Jamani Yesu kristo anatupenda sana tuwe watu wa maombi sana Asante Mungu kwa ushuhuda mzuri.
@charlesyotham7977
@charlesyotham7977 8 ай бұрын
Kaka janctani Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.
@carolinemiano2416
@carolinemiano2416 8 ай бұрын
Nafuatilia nikiwa Saudi Arabia mimi ni mkenya ,langu ni kumshukuru Yesu Kristo kwa ufunuzi wa hizi siri za giza. Shetani mwovu ashidwe na giza zake katika Jina la Yesu Kristo.
@maryandason1815
@maryandason1815 6 ай бұрын
Amen blessed caroline❤..karibu tanzania
@user-fy9zl1oq7x
@user-fy9zl1oq7x 8 ай бұрын
Uwiiiiiiiiiiii!!! 🙆Mungu atusaidie sana wanawake tunapenda mapambo
@user-sx6xb2hg3l
@user-sx6xb2hg3l 8 ай бұрын
Akika mungu atusaidie sana atufungu mojo ya kiroho akika .ubarikiwa sana dada
@HoseaMwapindule-rw5nr
@HoseaMwapindule-rw5nr 8 ай бұрын
BWANA YESU abariki kazi ya mikono ya promover Tv.
@hildandeda3348
@hildandeda3348 8 ай бұрын
May the Lord have mercy on us following from Kenya 🇰🇪
@lilymwashumbe4890
@lilymwashumbe4890 8 ай бұрын
Mungu akubariki dada yangu kwa kutufunulia siri zote
@henrysizya239
@henrysizya239 8 ай бұрын
Alichosema kuhusu kunyonyesha au kuwa na mtoto hii ni kweli kwa upande wangu. Watoto wangu wawili wa mwisho kabla ya kuzaliwa mke wangu alikuwa anasema nimeota na nyonyesha mimi nikawa namwambia kuwa itakuwa ni majini au watoto wa kichawi. Ila baada ya muda ulikuwa inatokea anapata ujauzito. Mambo mengi ambayo yanatokea katika ulimwengu wa kawaida huwa yaanza kujulikana kwanza katika ulimwengu wa Roho. Nimekuja kulitambua hili baada ya kuwa na mtoto wa mwisho kuwa alichokuwa anaota haikuwa ni ndoto bali ilikuwa ni jambo halisi katika ulimwengu wa roho. Ila inakuwa bado haijazihilika katika hali ya maisha ya kibinadamu.
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 8 ай бұрын
Yesu atusaidie tufunuliwe yalio sirini
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 8 ай бұрын
Asante sana dadangu kwa hizi siri zagiza barikiwa
@user-28Gerardineakimana
@user-28Gerardineakimana 8 ай бұрын
Uwachane na mawigi watu wa Mungu hata kama zambi zi wigi na cheni plz
@Pasfiqueabel
@Pasfiqueabel 8 ай бұрын
ila jitahidi uwe unatuwekea beat ya emotion tunabalikiwa san
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 7 ай бұрын
Haya anavyoongea yanafundisha mno na ni kweli. Mizimu inatesa wengi sana hata wachungaji na watumishi lakin wanashindwa kusema ukweli kwa nafasi zao. Wanaota wanalala na wanawake au wanaume ndotoni. Kusema inakuwa ngumu unakuta ni watumishi watu wanawanyenyekea kwahiyo wananyamaza. Lakin ni Bora kutafuta suluhisho kwa YESU maana hiyo inamkondesha mtu mbingu unyakuo ukitokea anytime.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 8 ай бұрын
Bwana wetu Yesu kristo atukuzwe sanaa.
@PaulinaMajengo
@PaulinaMajengo 8 ай бұрын
Tuzidishe maombi na utakaso
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 8 ай бұрын
Mimi tokea nisome kuhusu kusuka nywele ni dhambi niliwacha hata herini pia
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 8 ай бұрын
Kupitia Promover Tv
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 8 ай бұрын
Aston adam anakuja lini Kenya
@kizadorcas3321
@kizadorcas3321 8 ай бұрын
Mungu atusaidiye maana Dunia inamambo mengi tusiyo yajuwa
@user-cv9io6uk2d
@user-cv9io6uk2d 6 ай бұрын
Amen
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 ай бұрын
Uuwi niliwavalisha wanangu rosali mmoja mdogo alikuwa haitaki ila nilikuwa namlqzimisha mwisho akaitupa sasa huyu mkubwa ndo alikuwa anachubuka ngozi shingoni had nikamuachisha kuivaa looh Mwenyezi Mungu nisamehe sikujua nitendalo
@sallymumia8425
@sallymumia8425 7 ай бұрын
Amina, Amina Kwa hii channel
@neemamatiko3745
@neemamatiko3745 8 ай бұрын
Nijua wasioamini ulimwengu wa roho wanasikia mashokoro
@mbelemmunga-ps4df
@mbelemmunga-ps4df 7 ай бұрын
Pole sana
@valenakomba9218
@valenakomba9218 8 ай бұрын
Ameen asante Yesu.
@neemamarko176
@neemamarko176 8 ай бұрын
Mbarikiwe
@joymkenya2359
@joymkenya2359 8 ай бұрын
The best story ya kufunza wenye masikio 😅 welcome to kenya ,,, Mimi City yangu ni nakuru,,, I wish mngekuwa mnnakuja huduma this side ,,, niwa host for free,,,, wa TZ tunawapenda, pia Mimi nawauliza nikija TZ kutembea nitapata wapi wakunikaribisha, gharama kwangu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 8 ай бұрын
Karibu sana nasi tuko tayari kukupokea
@user-ud9os9qs1p
@user-ud9os9qs1p 8 ай бұрын
Karibu sana Tz usiwe na wasi utatembea vizuri bila shida.
@Munguyupo_
@Munguyupo_ 7 ай бұрын
Karibu sana Tanzania,tunawapenda pia wakenya!!
@joymkenya2359
@joymkenya2359 7 ай бұрын
Thanks all,,, nimefurahia your soft replies, God bless you 🙏
@maryandason1815
@maryandason1815 6 ай бұрын
Karibuu kila cku tzd inasehemu nzur nying watu wake n wakarimuu njoo
@MariamGodfrey-oe1bn
@MariamGodfrey-oe1bn 8 ай бұрын
Jesus is lord thanks jactan
@user-uu8bd4vi9s
@user-uu8bd4vi9s 8 ай бұрын
Yesu atusaidie sana
@user-fq6ox8ck4p
@user-fq6ox8ck4p 7 ай бұрын
Mhhh kuna haja ya kuombea watoto wetu ubarikiwe mtoa ushuhuda
@HesboneMalangalila-ek6te
@HesboneMalangalila-ek6te 8 ай бұрын
Asante ila ushuhuda wa albogast na mchungaji aliyemwingiza kuzimu tunahitaji pt3 Na tunatamani kumsaport atoe video
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 8 ай бұрын
Amen YESU Kwa kuendelea kufunua na kufichua yaliyo sirini
@geitandelwa299
@geitandelwa299 8 ай бұрын
Umeonaeeee
@ainekishagodwin1877
@ainekishagodwin1877 8 ай бұрын
Baba zetu walitenda dhambi na Sasa hawako tena na tumeyabeba maovu yao
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 8 ай бұрын
Jameni Niko mombasa ila watu WA nairobi nawaonea wivu jameni natakani Ningekua Kenya ningejitahidi kufika aki😢😢
@maryandason1815
@maryandason1815 6 ай бұрын
Karibuuuu tzd
@kashindibakari7726
@kashindibakari7726 8 ай бұрын
Bwana tesu asifiwe milele na milele
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 8 ай бұрын
Unatupeda BWANA YESU diomana unatufunulia mengi yaliyo jifisha
@charlesmutunga6952
@charlesmutunga6952 8 ай бұрын
Naomba kuelezwa tofauti ya mizimu na mapepo
@user-ud9os9qs1p
@user-ud9os9qs1p 8 ай бұрын
Mizimu ni roho zinazotokana na maagano ya kifamilia, mapepo ni mashetani yaliyoasi yaliyo tayari kumharibu yeyote anayelikiri jina la Yesu.
@charlesmutunga6952
@charlesmutunga6952 8 ай бұрын
Nashukuru kwa hili jibu. Baraka kwako.@@user-ud9os9qs1p
@user-fq6ox8ck4p
@user-fq6ox8ck4p 7 ай бұрын
Mzimu na mapepo yanataka kufanana kwasababu zote ni roho ila mizimu imepewa kusimamia familia (koo) sasa mapepo yapo Chin ya majin yenyewe ni ni cheo cha chin ndio maana mapepo yanaweza kuombewa mtu yakatoka lkn mizimu Watu wamekaa nayo hta makanisani lkn hakuna anajua kwasababu maagano yake ni mazito yanahusisha damu
@user-fq6ox8ck4p
@user-fq6ox8ck4p 7 ай бұрын
Naamin hii Tafsir utaelewa
@charlesmutunga6952
@charlesmutunga6952 7 ай бұрын
Hivi sasa nimeelewa. Baraka.@@user-fq6ox8ck4p
@DoricEverist
@DoricEverist 8 ай бұрын
Duuu huyu mwingine tena amekuja nakusema habar za mizimu ushuhuda unathibitika kwa watu wa2 au wa3 Sasa itabidi nichukue hatua mwenye ulewa zaidi jinsi ya kufanya kujitenga na mizimu sababu hata mimi nna jina la ukoo
@user-ud9os9qs1p
@user-ud9os9qs1p 8 ай бұрын
Tafuta mtumishi anayeongelea habari za deliverence.
@salamadickson8108
@salamadickson8108 7 ай бұрын
Ezekiel 16 :11 mtu anaweza nielezea au ni Mungu yupi huyo
@maryandason1815
@maryandason1815 6 ай бұрын
Mwambie Roho mt..ndye mwalimu mzur atakufundshaa zaid
@rerisamba
@rerisamba 8 ай бұрын
5hours na mumefika 1.5 haya hata mimi wacheni ni changamke
@stellapaul2442
@stellapaul2442 8 ай бұрын
Yaan kuhusu mapambo shetan kawateka sana wanawake huwambii kitu
@livinhillary9804
@livinhillary9804 8 ай бұрын
Jesus is Lord
@rerisamba
@rerisamba 8 ай бұрын
Hio ndio story ya mbinguni nasikia ukifika utakumbuka uliishi huko zamani sana
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 8 ай бұрын
Ebu tuelezeni Ezekiel 16:8
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 8 ай бұрын
Shuhuda nyingi Kuna mchanganyiko na Kauongo kadogo,ushauli Kwa Promov TiV kabla ya kurusha muwe mnajilidhisha Ktk kuwahoji kwanza,vinginevyo mtapoteza umahili wenu Ktk wasikilizaji
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 8 ай бұрын
Hosea 2:13
@micahnjoroge3685
@micahnjoroge3685 6 ай бұрын
Uongo na ujinga
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 8 ай бұрын
Yesu anatupenda hakuna kitu anacho ficha
@florencenshimi9353
@florencenshimi9353 8 ай бұрын
Mi niulize suali ! Kwahio dhahabu tusivae nivya shetani pia ?
@stellapaul2442
@stellapaul2442 8 ай бұрын
Hiyo si miungu migeen
@bedykedy3428
@bedykedy3428 8 ай бұрын
We hyo dhahabu ukivaa inakusaidia nn?
@paulomtweve3819
@paulomtweve3819 8 ай бұрын
Kama wewe n sayuni kwa Bwana haupaswi kuvaaa hayo madude maana ukiyavaa huitwa sayuni mwenye madaha na maringo Sasa ukifikia hapo sio sayuni Tena Bali umeharibikiwa. Soma isaya 4:16-25 ndugu utajifunza
@paulomtweve3819
@paulomtweve3819 8 ай бұрын
Pia Kama wewe n sayuni haswa kwa kristo basi haupaswi kuambatana na mapambo kwasababu anayevaa mapambo huyo huitwa kahaba je wewe n kahaba hapo humaanisha hivyo kwakuvalia mapambo huonekana Kama kahaba. Ufunuo 17:1-5. Soma hapa utaona mwanamke kahaba na mama WA makahaba ndio alikuwa anavaa Sasa je Kama wewe unavaa kwa ajili gani je na wewe n mama wa huyo kahaba ifikie hatua tuokoke kwelikweli.
@paulomtweve3819
@paulomtweve3819 8 ай бұрын
Ni isaya 3:16-25
@rerisamba
@rerisamba 8 ай бұрын
🤣🤣🤣ati makatani gani hayo yasio isha nayasio paliliwa
@rusimackems9820
@rusimackems9820 8 ай бұрын
😂
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 8 ай бұрын
Amen
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 8 ай бұрын
Aston adam anakuja lini Kenya
@tarimowakweli
@tarimowakweli 8 ай бұрын
Amen
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН