No video

Sheikh Kutoka Burundi Awashushia Nyundo Masheikh Wanaotangaza Pete Za Majini Kuwapotosha Waislam

  Рет қаралды 43,083

QIBLATEIN ONLINE

QIBLATEIN ONLINE

Күн бұрын

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZbin @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Пікірлер: 185
@Assiya39
@Assiya39 Ай бұрын
Barakallahu fiyqih Sheikh shakuru umeongea maneno mazito yenye mazingatio 😊
@Zanha582
@Zanha582 Ай бұрын
Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu yoote
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 Ай бұрын
Allahuma amiin thumma amiin
@kisaujibabou9436
@kisaujibabou9436 Ай бұрын
Burudani nchi nambar moja kwa umaskini nambar moja kwa upendo mansha Allah tunarizika nakila Hali ushirikina upo ila hatuuamini hongera sana sheh wetu Abdul shakur imamu mku mskiti 17 nambar 11 buyenzi anatuhelimishaga kweli kweli Allah atujaaliye tuwe wene kuyafwata nakuyatekeleza
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 Ай бұрын
Sheikh umeongea maneno mazuri sana , ma sha allah
@RehemaJuma-es4jk
@RehemaJuma-es4jk Ай бұрын
Jazakah Allah kher sheikh Allah akuhifadh na atusameh makosa yetu yasiri n yadhahir hakika maneno mazito
@hassanmchengwa2950
@hassanmchengwa2950 Ай бұрын
Allahu Akbar, Allah atunusuru inshallah
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 26 күн бұрын
Allah akuifwazi sheikh wetu suberi❤❤
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 Ай бұрын
maashaallah shekh kemea wazushi hao wanaozuka kila kukicha
@user-um8lt3vx3u
@user-um8lt3vx3u Ай бұрын
Masha'Allah Allah akuhifadh na akujalie mwisho mwema inshaaAllah
@azamomar9920
@azamomar9920 Ай бұрын
Allah akuhifadhi shekh akujalie umri mrefu wenye manufaa. Hakika umefikisha
@imamumohamedmalina6995
@imamumohamedmalina6995 Ай бұрын
Allah akulipe kwa elimu hii
@user-tt4yv9zl7i
@user-tt4yv9zl7i Ай бұрын
Allah akulipe heri sheikh wetu. Kua madha mazuri sana❤❤kaka yangu.Allah atupe muisho muema
@hamisisaid-zz2ye
@hamisisaid-zz2ye Ай бұрын
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 Ай бұрын
Manshaallah tabarakallah sheikh Uposahihi allah akujaliye umri mrefu
@lilmojr7
@lilmojr7 Ай бұрын
Allah sheikh akulipe kheri nyingi sana umesema ukweli mashekhe njaa na washirikina wanapotosha sana watu Allah atuongoze
@sakinahassani1455
@sakinahassani1455 Ай бұрын
MashaAllah MashaAllah shekh
@aishamumy8402
@aishamumy8402 Ай бұрын
MashaAllah sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri wenye kher uweze kutujuza🙏🙏🙏
@user-xb3nf9dq8k
@user-xb3nf9dq8k Ай бұрын
Binafsi nimekuelewa sana Allah atufanyie wepesi sote kwa jumla
@Abdoulnibigira
@Abdoulnibigira Ай бұрын
Jazzakaallah kher
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu na ufunuo zaidi sheikh
@NoraKedir
@NoraKedir Ай бұрын
Barakallah fiki
@user-qv8uo3bc6o
@user-qv8uo3bc6o Ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ALLAH HUAKBAR 💯
@user-ds1cy3dc7z
@user-ds1cy3dc7z Ай бұрын
Naam 😊Allah akuifadh Shkh Shkrn sana Kwa Dawa 👏🏼
@destineluna5768
@destineluna5768 Ай бұрын
Mashaallah shekhe
@user-ih4zi8ss9y
@user-ih4zi8ss9y Ай бұрын
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah hkeir 🤲
@NdikumanaAmisdi
@NdikumanaAmisdi Ай бұрын
Allaah akujaze kheri Sheikh wetu.
@HassanGessan
@HassanGessan Ай бұрын
maashallah sheikh ALLAH atuhifadhi
@AthuuSainga
@AthuuSainga Ай бұрын
Baaraqallahu fiiqa
@OGONGOMBAMEDI
@OGONGOMBAMEDI 26 күн бұрын
Maashaallah❤❤
@Jigflou
@Jigflou Ай бұрын
Masha Allah, Allah azidi kukupa ujasiri waku kemeya Ayo mambo sheikh 🎉🎉❤
@AmadeChafimBacar
@AmadeChafimBacar Ай бұрын
Allah te abençoar shekh
@NassorNassor-p1i
@NassorNassor-p1i Ай бұрын
Sahihi sheikh
@MohamedSharif-mp5jh
@MohamedSharif-mp5jh 20 күн бұрын
@Sheikh shakuru🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️🔥🔥🔥
@rizikiali328
@rizikiali328 Ай бұрын
Huyo shékh mshirikina laana za zimshukie ametudhalilisha waislamu
@Ibrahim-om2lu
@Ibrahim-om2lu Ай бұрын
Haifai mtu kumlaani muislamu mwenzake
@Aziza12999
@Aziza12999 Ай бұрын
Allah atukinge na shirki na washirikina atufishe kwenye Tauhidi
@latifanyari8912
@latifanyari8912 Ай бұрын
Allah akuhifadhi inshaallah na akujazie kwenye mizani yako siku ya hesabu
@nelson-cd7fr
@nelson-cd7fr Ай бұрын
Jazakumllahu kheiran
@maulideabdala3832
@maulideabdala3832 Ай бұрын
Masha Allah Safi sana allah atunusuru wote. Kwa mambo ayo
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
Mambo ya pete za majini ni ushirikina Allah atunusuru
@ShabaniKibwana-z7d
@ShabaniKibwana-z7d 10 күн бұрын
Subhanallah ❤❤
@ZulfaAmri-u6i
@ZulfaAmri-u6i 24 күн бұрын
Allah akulipe kwa darasa lako
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw Ай бұрын
Swadacta sheh nimekuelewa
@hemedyusuf8835
@hemedyusuf8835 Ай бұрын
Mtihani wallah Allah atunusuru
@user-ws8uk2ip3l
@user-ws8uk2ip3l Ай бұрын
Viizuri sana sheikh
@GamingLimbe
@GamingLimbe Ай бұрын
Mashaallah❤
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo Ай бұрын
allah sw akupekher
@AsdASD-xc3sw
@AsdASD-xc3sw Ай бұрын
Kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@husseinkudra-gp6gp
@husseinkudra-gp6gp Ай бұрын
Allah akuhifadhi❤
@SultanSaid-js9yj
@SultanSaid-js9yj Ай бұрын
Shukrani
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 Ай бұрын
Maashallah❤😂😂😂 Tabaraqallah imeenda iyoo😂
@NahimanaMariamu
@NahimanaMariamu Ай бұрын
Mansha Allah 🇧🇮
@ZainabHassan-hz4no
@ZainabHassan-hz4no Ай бұрын
Alhamdullah wafundishe hap wanao tupotosha
@user-ej2hj4zr9y
@user-ej2hj4zr9y Ай бұрын
Jazzakaallahu kheri 😂❤
@ZainabuIrakoze
@ZainabuIrakoze Ай бұрын
Allah Akulipe Kwa mawaidha mazuri
@MunezeroIsmail
@MunezeroIsmail Ай бұрын
Allah atulinde na mitihani hiyo
@AmadHassanRashid
@AmadHassanRashid Ай бұрын
Allah hatie kherry kwenye helimu na kuwaongoza mashekhe kama haw lnshaalla
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw Ай бұрын
Mimi na shangaa sana mnajua mtu anajinasibisha naushekh hamumuiti na kumnasihi akiendelea kukaidi mnamuwajibisha kwanini mashekhe wetu mnashindwa kumuonya kwani anababaisha mara mhadhir , muomba dua, mganga na kujifakhalisha kwa vijimali kufanya mambo ya lia. tumejifunza kutoka kwa Allah kupitia kwa Mtume wetu Muhammad na wema walio tangulia kumtegemea Allah lakini akuja mtu mpuuzi hana dalili ilio thibit ya kusemea uislam kama ana hati miliki ya kubadilisha uislamu namnamuangalia tu anaeneza ushirikina kwa kuwapaka mafuta wasio elewa tauhid pete haina jambo lingine zaidi ya pambo tu hamna bahati wala ulinzi vyote hivyo vinatoka kwa Allah Subhanallah Wataala tuamke tumtegemee Allah tuache matapeli wanao jinasibisha na dini yakimchongo mchongo. Allah atuongoze ktk dini yake Shekhe nakumshukulu kwa kuliongelea hilo ila naomba muliongezee kulisema zaidi na zaidi kwani wanaleta uenyeji ktk dini na UISLAM ni SUNNA na SUNNA ndio UISLAM
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c Ай бұрын
Upo sahihi sekhe, ila Kuna wengii watakupinga na kuyadharau maneno yako, hii kwasababu watu wengi hua tunajali nani kasema. Na sio nini kinasemwa, hii ndo shida ya Waislaam wa zama hizi tunajali watu sio maneno yanayotoka kinywan kwa mtuu
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 Ай бұрын
Shida imeingia katika uisilam, mashehe wasababisha kwaku sema wau wanagawa utajiri, baraka kuja ufanyewe dua
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c Ай бұрын
@@the-homeboyztv2689 🤣 Kama ni hivyo umaskin ingekua hakuna ,lkn ni upotoshaji ulotujaa viumbee, mtu hataki aende motion mwenyewe laazim awe na wafuasi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 Ай бұрын
Watanzania huwa wanaangalia MTU siyo NENO.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Ай бұрын
Mbona mahubiri. Ya kikristo??? C ubatizwe? Usiwe na miunnngu mingine iila mimi Kutoka 20:1... ..
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
​ NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@harerimanaaisha7613
@harerimanaaisha7613 Ай бұрын
Mansha'Allah Mansha'Allah
@JUBRANBULAYHl-yb4ke
@JUBRANBULAYHl-yb4ke Ай бұрын
Mungu azirehemu roho ambazo haziwezi kubadilishwa au kuzaliwa mara ya pili Ee Mungu, wasamehe wale ambao tuliishi nao miaka ya kupendeza zaidi na ambao tulihisi tamaa kwao. Ee Mungu, tukusanye pamoja nao katika bustani za neema, Ee Mungu, uwasamehe walio wa thamani zaidi waliotoweka machoni pangu sikia sauti yao. Mungu airehemu kila nafsi inayopendwa na moyo wangu chini ya ardhi Nakula kiapo? idhini ya Mola wangu Mlezi, Ametakasika, na ulitukuze jina Lako, Uso wa Mtukufu, Mungu wangu, namaanisha, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai , Ewe Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu, Mwenye kurehemu, katika kutimiza na kuamini kwa kiapo na maagano kwa hakika, agano ni la kuwajibika Mwenyezi Mungu mkiiamini, na mkataba wake mnapofanya mkataba nayo, na mmejifaradhishia nafsi zenu kuwa ni haki kwa yule mliyefunga naye mkataba na mkamuamini, wala msivunje viapo baada ya kuvithibitisha. Basi mkavunja viapo vyenu, na mkavivunjia uwongo, na mkavivunja Wallahi, Hakuvunja ahadi, na kiapo, ni wajibu kutoka kwa Mwenyezi Mungu .Enyi mlioamini, kwa nini mnasema msiyo yatenda? Ishara za mnafiki ni tatu: Na anapoahidi huvunja amana yake, na anapoaminiwa humfanyia khiyana walifanya ahadi na Mwenyezi Mungu, kwani miongoni mwao wapo walio kufa, na waliopoteza maisha yao. Hao ndio wanaongoja, na hawakufanya mabadiliko yoyote, ili Mwenyezi Mungu awalipe.
@omarynguhwe3961
@omarynguhwe3961 Ай бұрын
Sheikh umenigusa sana alhamdu li LLAH Rabil Ghalamiiyn
@asa121amenahtanakshfrombur5
@asa121amenahtanakshfrombur5 Ай бұрын
Alhamdulilah rab
@user-dv4md3vi5u
@user-dv4md3vi5u Ай бұрын
Shukran
@ShamiraMbululo
@ShamiraMbululo Ай бұрын
Allah akulipe
@RévérienDusabe-w8z
@RévérienDusabe-w8z Ай бұрын
Allah akulipe kila laheri
@ButoyiRukiya
@ButoyiRukiya Ай бұрын
Allahu Akbar mawaidha mazuri saana.
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic Ай бұрын
Bismillah ❤
@MariamMwamba-lm4oe
@MariamMwamba-lm4oe Ай бұрын
Shekhe mola akuafu Kwa kutoa daawa nzuri
@Gaddafi-knight
@Gaddafi-knight Ай бұрын
Allahu Akbar
@brianaugust9737
@brianaugust9737 Ай бұрын
Sheikh, nimekuelewa sana, umenifungua vizur kuhusu pete na uislam, kumbe masheikh wengine wanaupotesha uislam na watu wanakaa kimya, mimi ni mkristo ila nimefurahia sana darasa lako leo
@KheyriHassani
@KheyriHassani Ай бұрын
Sera moja tuu mashekhe wote akuna mabadiriko
@hashiru_bayona
@hashiru_bayona Ай бұрын
Jazaaka llahu khaira sheikh, Allah akuhifadhi
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 Ай бұрын
Hawa wanafiki wameficha kufuru katika miyoo yao ndio mana wanamtangaza sheitwan baada ya kumtangaza allah subhana wataalah
@ShemsaKeza-mo8wf
@ShemsaKeza-mo8wf Ай бұрын
Allah akulipe kwakufunguwa watu masho
@salehbahovu9303
@salehbahovu9303 Ай бұрын
Sheikh yupo sahihi saana, Allah akuihifadhi in shaa Allah… ila naona sheikh na yeye ana pete zake 2 mikono yote miwili 😊
@user-pg2xj9jd9l
@user-pg2xj9jd9l Ай бұрын
Dk Sule. Nimushilkina maana Ana Amini sana pete
@amimwinni4829
@amimwinni4829 Ай бұрын
ALLAH AKBAR
@rizikiali328
@rizikiali328 Ай бұрын
Sheikh unasema kweli na hawa masheke wanao jiita waumni wanafiq hawa waupotoa uislam mpaka wasio waislamu wana tukejeli Allah awaongoze hawa wanaojiita mashekh
@user-yy2rk4wi3p
@user-yy2rk4wi3p Ай бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Wambie kbs
@loner_wolf
@loner_wolf Ай бұрын
Dr Sule anatutia aibu sana waislam ...... mungu ktk quran anasema tumuombe yeye na tumtegemee yeye , na yeye ndio anatulinda . Lkn Bro Sule anataka tutegemee pete . Quran haijasema tutegemee pete . Fuckin Sule . Mungu amuongoze aongoke .😢😢
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 Ай бұрын
Usihukumu kabla ujaukumiwa unaweza kuonyesha mahari ambapo sule amesema tutegemee Pete sio allah
@loner_wolf
@loner_wolf Ай бұрын
@@malikmasoud3190 mfuatilie.
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d Ай бұрын
We na we in Amana ujui au unajizima data, ​@@malikmasoud3190
@wiseman7133
@wiseman7133 Ай бұрын
Naam
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Ай бұрын
Diwani Mbogo Sulyman mnaaasikia hayaaaaa Acheni ushirikina someni dini
@ngendakumanaselemani6722
@ngendakumanaselemani6722 28 күн бұрын
❤❤❤❤
@keidykudrat2533
@keidykudrat2533 Ай бұрын
Kweli
@omaar5693
@omaar5693 Ай бұрын
jibuni kama mwaweza
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 Ай бұрын
Hio ndio shida kubwa limekumba uisilam kwasasa watu waamin mashehe kuliko Allah, mashehe wagawa utajiri, baraka, huu ni ugojwa wakumbwa uisilam ( tafuteni dawa
@Djdiho257
@Djdiho257 Ай бұрын
Umeongea fact
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 Ай бұрын
Soma hiyo ان الله ابى ان يجري الأمور الا باسبابها
@Faharizuckerberg
@Faharizuckerberg Ай бұрын
نعم، صحيح أن الله لا يهتم بالمصالح الشخصية
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 Ай бұрын
نعم، وما قصدك في ذلك
@RamadhaniMsukuma
@RamadhaniMsukuma Ай бұрын
Nitaipataje namba ya sheikh huyu
@FazilKarim-nm8vd
@FazilKarim-nm8vd Ай бұрын
Ninayo anaitwa Abdul shakur
@DjumaIssa-w8v
@DjumaIssa-w8v Ай бұрын
Kuna watu hawa elewi kabisaa sikilizeni vizuri Haifaï kumushirikisha Allah nachochote Harizie hilo
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Ай бұрын
Dr sule yupo sawa majini na uislamu ni ndugu kwaiyo ndugu razima mshirikiane
@tanvalley7544
@tanvalley7544 29 күн бұрын
Ndoman Sipend ten kumsikia Dr. Sule
@ShukranSaidi
@ShukranSaidi Ай бұрын
Asant Abdl Shakur Wetu Wape vidongi vyao wa TZ😂😂😂😂
@aishamukandanga6892
@aishamukandanga6892 Ай бұрын
Naaam
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d Ай бұрын
Ni kweli, majisifu anawakashifu mashekh wasio na kipato yani daa sio yule wazamini ambae akiingia mskitini itoki saa iz akiingia mskitini watu waondoka aibu sana
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 Ай бұрын
Khaswah
@sulekhan7119
@sulekhan7119 Ай бұрын
Hapa duniani kama kuna watu niwanafki sana
@aboubakarirakoze7611
@aboubakarirakoze7611 25 күн бұрын
Asalam aleykum Warahmatullahi Naombeni namba ya sheh
@user-xl3cd6iq2u
@user-xl3cd6iq2u Ай бұрын
Maisha yaharaka matokeo nihayo
@user-eb5vt2yu9g
@user-eb5vt2yu9g 15 күн бұрын
Asalamwalaikm sheh sasa mbanawewe unaivaa Pete naunasema kama ni shirki?vp mimi nifafanuliye apo sijaelewa vizuri
@AliMsellem
@AliMsellem Ай бұрын
Pete km Pete sio haramu wala shiriki ila pete Sasa watu wadanganywa tuu pete haina uwezo wowote
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 8 МЛН
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 59 М.
VIPI UTAFUGA MAJINI
8:09
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 10 М.
KISA CHA MDUDU  MAVI//SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:06:17
arkas online tv
Рет қаралды 31 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН