Rais Magufuli akerwa na michango mashuleni, atoa maagizo mazito kwa mawaziri

  Рет қаралды 139,997

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Rais Magufuli amekutana na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo na Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako Ikulu jijini Dar es salaam na kupiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari huku akiwaagiza mawaziri hao kusimamia hilo.

Пікірлер: 203
@andreamlwafu6855
@andreamlwafu6855 6 жыл бұрын
Mungu akubariki mh.magufuri
@dinhomnyonga7298
@dinhomnyonga7298 6 жыл бұрын
Daaaaa magufuli Rais wangu nakukubali ww, 1unamsimamo ambao hauyumbishwi 2.unafatilia kila ulicho ahidi MUNGU AKUREHEMU
@shabaniathumani1789
@shabaniathumani1789 5 жыл бұрын
Hata wilaya ya korogwe iposhule inachangisha pesa za mitihani /shule ya msingi mpirani / kataya makuyuni
@michaellaurent158
@michaellaurent158 6 жыл бұрын
..thanks..
@abuumngoya
@abuumngoya 6 жыл бұрын
#Kazikazi team kazi like
@nathanielsteven2186
@nathanielsteven2186 6 жыл бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa Rais s wetu.
@mamarama6360
@mamarama6360 6 жыл бұрын
Ahsante sana baba
@vinns2088
@vinns2088 6 жыл бұрын
Kenya has a lot to learn
@elifarajabmollel6395
@elifarajabmollel6395 6 жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana Rais Wetu
@salimmalaatu3663
@salimmalaatu3663 6 жыл бұрын
Tuna shukuru sana Rais wetu mtetezi wa wanyonge Muumba akulinde Rais wetu mpendwa na akupe afya njema
@musarichard2934
@musarichard2934 6 жыл бұрын
siasa ndg zangu inatafuna nchi hii..hapo kura zinatafutwa mwaka 2020
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Safi sana, uko anakosoma mwanangu kila cku michango Wallah, Sukran Rais Maguful kwa hili, ila walimu nao wasimamiwe kuhusu utoaji wa Elimu juhudi zimepungua cjui kwa kwakuwa ndio Elimu bure.
@christopherkomba2229
@christopherkomba2229 6 жыл бұрын
Exactly our father
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 6 жыл бұрын
Nakukubali sana my President
@mhdiwanimweta5818
@mhdiwanimweta5818 6 жыл бұрын
Serekali imejieleza vizuri juu ya michango midogo midogo lakini haijafunguka juu ya huduma ya maji,umeme, mlinzi na chakula sasa watoto diwatateseka sana?
@erickyjoseph1253
@erickyjoseph1253 6 жыл бұрын
Magufuli ni rais wawa njonge kweli mungu ambariki sana magufuli oyeeeh chapa kazi kwajila ya maendeleo ya watanzania na kizazi kijacho
@shahiddy2825
@shahiddy2825 6 жыл бұрын
Dah! Ebwana JPM salute
@seddamwaipungu6566
@seddamwaipungu6566 6 жыл бұрын
safi sanaaaaaaaaaa aaaaa
@shaimamabrouk9937
@shaimamabrouk9937 6 жыл бұрын
asante baba dear God bless you president
@mohamedhamad3760
@mohamedhamad3760 6 жыл бұрын
Big up mzee magu.hiyo nadhani imeeleweka.
@annaraphael6613
@annaraphael6613 6 жыл бұрын
pamoja naelimu bule lakini bado kunashule nyingi sana watoto wanakaa chini . napia ufundishwaji bado nihafifu sana hasa shule za msingi. walimu bado hawako makini ktk hili nivema nalo liangaliwe litatuliwe pia
@flaviankiria435
@flaviankiria435 6 жыл бұрын
Hongera Anko magu kwakuliona hilo
@vinns2088
@vinns2088 6 жыл бұрын
Magufuli we love you even in Australia si huyu ni Nyerere.....
@rajabuimori7843
@rajabuimori7843 6 жыл бұрын
nzuri sana
@marimuhamis3471
@marimuhamis3471 6 жыл бұрын
Thafi thanaaaaaaaaaaa Babaaaaa 2020 mbele kwa mbeleee. oyeeeeee
@samwelkadeghe2522
@samwelkadeghe2522 6 жыл бұрын
Lakini je fedha zinazotolewa zinatosha mahitaji ya shule?
@muhidinmohamed9559
@muhidinmohamed9559 6 жыл бұрын
Ukweli kabisa nakupogeza sana rais wangu
@khakikah7365
@khakikah7365 6 жыл бұрын
asante sana mjomba magu
@dadysamsungalaxt8289
@dadysamsungalaxt8289 6 жыл бұрын
Kwa hili mkuu nimekusoma. Fanya hivyo katika wizara zote maana watanzania bado hawajakuelewa hasa hawa mawaziri wako. Hawawajibiki ipasavyo na ndiyo maana malalamiko kila kona. Sio elimu pekee . AHSANTE MKUU.
@imanuelsimon9739
@imanuelsimon9739 6 жыл бұрын
kweli huyu rais anafaa
@abubakarhassan6861
@abubakarhassan6861 6 жыл бұрын
asante sana mkombozi wa wanyonge kwa kuliona hilo huku mwanza pia nikero sana mdogo wangu kafaulu kujiunga na kidato cha kwanza wilaya ya ilemela shule ya secondary buswelu karudishwa nyumbani mpaka alipe 30000 pamoja na dawati
@abdallasalim6543
@abdallasalim6543 6 жыл бұрын
Big up Raisi magufuli kw hilo
@jacqlinejoshua6546
@jacqlinejoshua6546 6 жыл бұрын
jamani hatukai tunakushukuru sana baba yetu mgufuri mungu akupe maisha marefu ila raisi wangu ni hivi hadi chakula tusipeleke shuleni? au ni michango IPI samahani jamani Mimi sijaelewa
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
Private school zitashaini daima, gap kati ya alienacho na asiye nacho litaongezeka maradufu! Elimu bora inayotolewa kwenye mazingira bora vs Elimu bure inayotolewa kwenye mazingira duni
@uhurusixtyone6050
@uhurusixtyone6050 6 жыл бұрын
mbona ss wanaomaliza private wanalilia mikopo ya Serilali wakati walikuwa wanasoma kwa mamilioni ya shilingi.SERIKALI IMENUNUA VIFAA VYA MAABARA VYA THAMANI YA SHILINGI BIL 17 KWA LENGO LA KUBORESHA ELIMU ya SAYANSI KWAHIYO KIDOGO KIDOGO ITABORESHWA KADRI UWEZO UNAVYO ONGEZEKA
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
Kadri uwezo unavyoongezeka? unajua hivyo vifaa vya maabala vimepelekwa kwenye shule ngapi kati shule 3,614 za sekondari (za umma) nchini? ... Kabla ya kuzungumzia issue ya kulilia mikopo inakubidi kwanza uelewe dhana ya ''MKOPO''. Lakini pia utofautishe kati ya kitu cha kupewa na cha kukopeshwa... na kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hasa kwenye kipengele cha wajibu wa serikali kwenye kuelimisha wananchi wake.
@barytz5977
@barytz5977 6 жыл бұрын
Mng akuweke miaka Jpm
@robertmshana8730
@robertmshana8730 6 жыл бұрын
wilaya ya Mwanga Kilimanjaro tunachangishwa joining instruction 2000, afya 6000, Chakula 100,000
@julymilkytz7598
@julymilkytz7598 6 жыл бұрын
Robert Mshana ,nimefurahiii sana umesema yanayotarajiwa dah
@masseanadir2904
@masseanadir2904 6 жыл бұрын
Robert Mshana usipende dezo
@siamollel9725
@siamollel9725 6 жыл бұрын
Usilipe ashinde njaa,,,akirudi na ziro pigs makofi
@abubakarimwasumilwe7293
@abubakarimwasumilwe7293 6 жыл бұрын
Hilo Nenoooo...
@gladiescharles2567
@gladiescharles2567 6 жыл бұрын
kumbuka kauli ya elimu bure inatuumiza sisi watu wa hari ya chini mh. rais, walim wanatueleza wao wanakauli mbiu isemayo "fundisha kadri ulipavyo", so serikari ifanye uchunguzi wa kina na sio kutufariji.
@adelinagoodluck5048
@adelinagoodluck5048 6 жыл бұрын
kwetu mbezi ya kimara maeneo ya msakuzi au makabe kuna shule ya msingi makamba ina upungufu wa vyumba vya madarasa wanafunzi wanabanana sana je, serikali inatusaidiaje?
@innopokella609
@innopokella609 6 жыл бұрын
magufuri oyeeee
@samsonmathiac6408
@samsonmathiac6408 6 жыл бұрын
Tanzania ya viwandaaa
@anthonywillbrord5188
@anthonywillbrord5188 6 жыл бұрын
Tunamushukuru Sana mheshimiwa Rais wetu Lakin mpaka sasa Kuna baadhi ya shule zimezuia wanafunzi kuriport shule bila kuwa na kiti na meza unatusaidiaje????? Nazo ni shule zinazopatikana Wilaya ya Buhigwe Mkoa wa Kigoma moja wapo ni shule ya Secondary Yanza
@khadijamrefu8854
@khadijamrefu8854 6 жыл бұрын
Safi sanaaa wewe ndio Raisi baba maana hukukwetu swala lachakula mashuleni imekuwakeloo
@emmanuelmarko3497
@emmanuelmarko3497 6 жыл бұрын
Kazi ipo hata huko wanakodai kuna pesa wakurugenzi hawana lolote wako pi. Shida tupu
@tumainikaminyoge8174
@tumainikaminyoge8174 6 жыл бұрын
Jamani huku michango tele jamani
@ramadhanimussa882
@ramadhanimussa882 6 жыл бұрын
Chama cha Mapinduzi ndio Chama pekee Tanzania chenye Uzalendo wa kweli Chapa kazi JPM
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
Kwaheri Elimu ya Tanzania, bila ushiriki wa wananchi katika maendeleo ya elimu, serikali haina uwezo wa kuprovide kila kitu kwenye shule.
@dadileonard2392
@dadileonard2392 6 жыл бұрын
hujaelewA ww kijanA mchango n kwa hiari siyo Shuruti.
@edsonsign9441
@edsonsign9441 6 жыл бұрын
kama kip? acheni mihemuko hiyo.
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
Sikiliza btn the line alichozungumza Mhe. Rais na walichozungumza Mawaziri lakini nenda kasome waraka wa elimu namba 5 na 6 utagundua kuna tatizo hasa kwenye tafsiri sahihi kati ya Elimu bure na Elimu bila ada, na kiuhalisia na kwa uwezo wa Serikali yetu na vipaumbele vilivyopo kuelekea Tanzania ya Uchumi wa Kati, nguvu ya wananchi kuchangia maendeleo ya elimu haikwepeki iwe kwa hiyari au kwa shuruti.
@chescomnyangali8601
@chescomnyangali8601 6 жыл бұрын
Ni kweli elimu ya tz bila michango bado hatuwezi ku gain bila kushirikisha wadau na wewe unayesema kwa hiyari hujui kitu hakuna mtz anayetoa mchango kwa hiyari
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
unajua kuna shule za Msingi (za Umma) takribani 16,109 ambazo Serikali inazihudumia moja kwa moja kupitia elimu bure? unajua uwiano wa darasa kwa wanafunzi kwa shule za msingi ni 1:73, ikimaanisha wanafunzi 73 wa shule za msingi wanatumia darasa moja badala ya wanafunzi 45? unajua mkoa wa Geita ndio wenye uhaba mkubwa wa vyumba vya madarasa nchini ambapo kwa wastani wanafunzi 105 wanatumia chumba kimoja cha darasa?..... Ndio maana nasisitiza kuwa nguvu ya wananchi hasa kwenye ujenzi wa miundo mbinu ni wa muhimu sana.
@nathanmapunda241
@nathanmapunda241 6 жыл бұрын
nakuelewa Sana jafo, kwa mawazo yangu najua wew magufuli wa 2025
@youmaestro8434
@youmaestro8434 6 жыл бұрын
Maguuuu 0yeeeeed
@Devotamlelwa9239
@Devotamlelwa9239 6 жыл бұрын
kweli aiseee michango mingi kuliko ada tuliyokuwa tunatoa zamani
@philipomichael3533
@philipomichael3533 6 жыл бұрын
ANCLE MAGU. wewe jembe hatuhitaji uchaguzi 2020 hakika ilikuwa imekuwa kero ,,,,,,,
@japhetkasililwa4117
@japhetkasililwa4117 6 жыл бұрын
watoto mliozaliwa juzi hamuelewi, hata ukielezwaje, anyesema serikali haiwezi kugharamia elimu ni wa KUPIMA ubongo wake, tuliozaliwa miaka ya sabini na themanini, tumeyaona na kuyashiriki hayo maisha. Hakukuwa ada, madaftari unapewa shule, kalamu shule, hospitali bure, na elimu ilikuwa na ubora kuliko hii mnayolipia. Kwa sababu waalimu hawakuichukulia elimu kama biashara. Leo wasomi wetu waliohitimu vyuo vikuu leo ubora wao ni wa darasa la saba, unapoongea nae unaona kabisa unaongea na mtu mjinga, kitu pekee kilichojaa akili zao ni fedha,fedha,fedha.
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 6 жыл бұрын
Kweli baba hilo lizingatiwe sanaaaàa mashuleni
@frankwilson5320
@frankwilson5320 6 жыл бұрын
mc jabby events muanzie nashule yamburahati barafu walimu wamewaita wazazi wakawambia watowe kilamzazi efu kuminatano ya twisheni walimu wanauza vitabu mashuleni
@frankwilson5320
@frankwilson5320 6 жыл бұрын
magufuli ange kua raisi wa Africa ingependeza
@sharifa2274
@sharifa2274 6 жыл бұрын
mc jabby events sawa kabisa walimu wana njaa
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Mbona bado zinalipwa Ada?
@dadileonard2392
@dadileonard2392 6 жыл бұрын
ur right mchango wazazi wakiamua basi wajitoe kulinganA na Uhitaji kwa watoto wao!!!
@allymalega252
@allymalega252 6 жыл бұрын
nice
@ernestsinje2606
@ernestsinje2606 6 жыл бұрын
Ahule bado haziwezi kujiensesha zina hali mbaya ,ndo maana wanaomba michango,
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 6 жыл бұрын
Kuna watu walio zoea wizi kila kitu wao kupinga kama wewe hapo chini huna cha kusema kaa kimya
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 жыл бұрын
waambie Rais wetu maana watu wanavichwa vigumu kuelewa
@nehemiamsengi7648
@nehemiamsengi7648 6 жыл бұрын
Hakuna jipya hapo ni..Kiki ya msimu
@salomemkama8088
@salomemkama8088 3 жыл бұрын
Na tution jmn, wanawatoza wazazi tena kwa lazm
@allyfaraji7787
@allyfaraji7787 6 жыл бұрын
hata ukifanya jema kiasi gani, wapo watakaoona ukufanya Chochote. ila Mungu ndo anajua maripo yako. piga kazi rais
@kulwamathias1735
@kulwamathias1735 6 жыл бұрын
Ni kero kweli maana siku hizi waombwa lim je ni sawa hiyo maana ni shule za serikali
@Basagamp4
@Basagamp4 6 жыл бұрын
Haa haa Yaani Viongozi wetu Bhana Mbwembwe nyiiingi sana. Akishatoa tamko Mkuu bhas nao vilimi vinawakereketa kweeelikweeli... Wamekuwa watendaji wazuri ktk Kamera za Waandishi kofauti na Ofisini mwao. MUNGU ibariki Tz & Familia Yangu
@masseanadir2904
@masseanadir2904 6 жыл бұрын
Nani anarudishwa?
@salalaelikana3106
@salalaelikana3106 6 жыл бұрын
michango lazima wachangie coz mashuleni kuna hali mbya sana, wanafunzi ni wengi kuliko nyenzo za kutumia; mlete madawati sasa vijana wakalie
@uhurusixtyone6050
@uhurusixtyone6050 6 жыл бұрын
wewe hujitambuhi,mwenye nchi anasema michango no alafu wewe unasema michango lazima?,kama ni lazima ss wakaichangishe alafu uone kitakachowapata.
@namelessunknown1377
@namelessunknown1377 6 жыл бұрын
salala elikana kma unasomesha watoto ukiskia elimu bure atamshangaa hyu mzee kwa hyo watoto wetu wasile?shule zisilindwee woooooiii nothing hakuna elimu buree na watoto hawarudishwii tena tutachanga ili watoto wetu wasome vemaaaa
@salalaelikana3106
@salalaelikana3106 6 жыл бұрын
Uhuru sixty one we ndiye hujitambui; kwan akisema yy kuna tatz? nae ni binadamu kasie bana, acheni kusujudu watu ka ndiye amekupa pumzi,,,,! kwa hiyo hoja siiiungi mkono
@emmanuelimahela4924
@emmanuelimahela4924 6 жыл бұрын
duuu mhhh
@williammbarikiwekwakwahudu1300
@williammbarikiwekwakwahudu1300 6 жыл бұрын
salala elikana Tyokoooo, acha ukuda wa maoni ya kixhenzi
@jaydon3361
@jaydon3361 6 жыл бұрын
Mbona mdogo wangu ameshindwa kusoma sababu ya michangoa ya ajabu ajabu, mnatuletea siasa bwana, watoto wanakaa chini shule kisa hawajaenda na meza pamoja na kiti, yani mpaka kero hii nchi
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 6 жыл бұрын
Tatizo mawaziri wanapotaka kuanza kufukuwa makaburi. Mheshimiwa raisi kapiga marfuku yanini kuanza kuwawinda wale waliochangisha b4 marfuku? ?
@Abbykipenzi
@Abbykipenzi 6 жыл бұрын
No kuboresha mishahara ya walimu ILA ELIMU BURE.Ha ha ha haaaaa.Na kwakuwa sisi watz tunapenda BUUURE basi tunaporomosha misifa tu "KWAHERI ELIMU YA TANZANIA IPUMZIKE KWA AMANI"
@daudi1bashite48
@daudi1bashite48 6 жыл бұрын
Kuna hizi tuition za saa moja asubuhi mashuleni na kila mwanafunzi anatakiwa kwenda na sh 100 na asipotoa shuleni anachapwa nalo toleeni maelezo. Nitapiga mwalimu atakayerudia kuchapa mwanagu halafu twende mahakamani maana mnaniuthi siitaji shule leo.
@koradjulius6881
@koradjulius6881 6 жыл бұрын
duh tz
@mathayorobert6510
@mathayorobert6510 6 жыл бұрын
Nenda hata sasa hivi utakuta watoto wanaenda na michango tens ya lazma Bugwema Secondary wilaya ya msoma
@thommwakasege597
@thommwakasege597 6 жыл бұрын
Nimegunduwa kumbe watendaji wa chini ndo wanafanya tuone jamaa ni noma
@immamtaki6653
@immamtaki6653 6 жыл бұрын
njoo mbarali Mzee uone kero ya michango isiyo na mpsngilio
@sophiachilunzo3914
@sophiachilunzo3914 6 жыл бұрын
kinacho sumbua Wazazi wanatoa jengo lakini hakuna jengo linalo jengwa, wametoa jengo jenga ata jengo moja kila mwaka.
@josephtarimo1570
@josephtarimo1570 6 жыл бұрын
juzi tu nimelipa zaidi ya laki mbili nendeni wilaya ya rombo mkoa kilimanjaro shule ya kwalakam secondar school.na msingi kitirima.na.s/m msinga.watu wanaumia ile ile
@fridarupia143
@fridarupia143 6 жыл бұрын
pia kuna kulazimisha watoto kununua vifaa vya shuleni vinavyo uzwa na waalimu
@remenmassawe9184
@remenmassawe9184 6 жыл бұрын
tufike mahali tuwe tunajifunza sababu zinazopelekea haya yote kutokea.. Sio kuyafumbia macho mambo yanayopelekea michango. Anzeni na kuboresha kwanza,muone kama kutakuwa na michango. Hakuna mtu anaishi maisha ya hovyo kama walimu.
@uhurusixtyone6050
@uhurusixtyone6050 6 жыл бұрын
hivi kama kweli walimu wanaishi maisha ya hovyo kama unavyosema mbona kuna watu wengi wanataka kuajiriwa ktk nafasi za ualimu? walimu wanaishi maisha ya kawaida kama wafanyakazi wengine wa Serikali kuna walimu wengi wamejenga majumba,wanamiliki magari,wanamiliki vitega uchumi n.k. Pesa siku zote hazitoshi ila ni jinsi gani unapanga matumizi yako.
@abuuahmedmwecha2021
@abuuahmedmwecha2021 6 жыл бұрын
Kweli wanyonge tutafundisha
@husseindaddy4088
@husseindaddy4088 6 жыл бұрын
Jana tu, B mkubwa alikua shule..ni kikao cha wazazi juu ya michango na namna ya kulipa ...ni ada ya chakula,mlinzi,choo,na nk......Mh sijui itakuaje jaman Picha ndo limeanza.
@thetreasure2230
@thetreasure2230 6 жыл бұрын
Baadhi ya mawaziri, wanapoongea tu inaonyesha hawajamwelewa mkuu anataka nini. Ndio maana hawafanikiwi. Matokeo kila siku mkuu anarudia maelekezo yale yale. Hawa mawaziri watakua wanapinga kimoyo moyo.
@madsonkyahe3914
@madsonkyahe3914 6 жыл бұрын
mbona tuna ambiwa tutengeneze Viti vya vyuma kwa watoto wa form one tena kwa gharama ya sh.50,000/= inakuwaje? au ni sahihi
@eliyamtewele8708
@eliyamtewele8708 6 жыл бұрын
kweli maana ukiangalia mikoa mingine hakuna cha elimu bure
@festomambwe5131
@festomambwe5131 6 жыл бұрын
maweni secondary ya kata bado tumeambiwa iv bila kulipa 175,000 haingii bweni ni hii ni halali
@mrkasanzu9911
@mrkasanzu9911 6 жыл бұрын
siku hizi kumekuwa na michango mingi kweli Mala michango ya chakula kwa kila mwana funzi achangie mahindi.mchele.mahalage.sijuwi na Hela ya mpishi hiyo michango yote wizi lazima ufanyike tu magufuli we wabane hivo hivo mpaka mwisho
@sedetkamwendo9574
@sedetkamwendo9574 6 жыл бұрын
Wazir asemapo michango itolewe hiali,anamaana gani?,kwani mchango? Inatokea occasion gan kuleta issue ya mchango.?
@mariameena5630
@mariameena5630 6 жыл бұрын
duuu polen walimu wakuu na wakurugenzi maana mashulen hali bdo cyo nzur ndo inafanya elimu kuwa bure ila yenye changamoto nyingi
@iamrajaone
@iamrajaone 6 жыл бұрын
HAPA KAZI TU
@mathiasmalimi4555
@mathiasmalimi4555 6 жыл бұрын
Huku niliko mwanafunzi hawezi kulipoti kidato cha kwanza bila meza na kiti
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 6 жыл бұрын
kama hiyo shule ina uhaba wa Viti na meza unategemea hao wanafunzi watafundishwa wakiwa wamesimama? wewe mzazi utachagua lipi la kuchangia kiti na meza ili mwanao asome vizuri au utachagua mwanao kukaa chini ili usichangishwe?
@alphonceagusto9370
@alphonceagusto9370 6 жыл бұрын
usajili man u January
@deusmauka9626
@deusmauka9626 6 жыл бұрын
Tumekuelewa mkuu, kuna Shule moja ya Sekondari hapo Lugoba Mkoa wa pwani Chalinze,wanaiendeleza tabia hiyo..Hii shule imulikwe.
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 6 жыл бұрын
sasa Wewe Ndalichako hukuwa umeliona hilo?? au ?
@denarddavid9202
@denarddavid9202 6 жыл бұрын
Wilson Kaseha VYOMBO VYA HABARI VILITANGAZA NA WAZAZI LIVE WANALALAMIKA ILA HAO WANENE KIMYAAAAAAA, !! SASA BABA AMESEMA UTAONA WANAVYOKIMBIZANA!!
@andrewwihallah4965
@andrewwihallah4965 6 жыл бұрын
wanatuchangisha pesa za majengo huku mbeya
@kitosmayunga8722
@kitosmayunga8722 6 жыл бұрын
Geita wanachangisha 10000
@radhiasalum833
@radhiasalum833 6 жыл бұрын
sio songea hata morogoro mitaa ya mzumbe chuo kikuu vijiji vya huko ni mtihani
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 6 жыл бұрын
watu bwana, serikali imeamua kuwapa wananchi wake elimu bure lakini bado watu wanajidai eti elinu itakuwa mbaya , serikali imetoa utaratibu wa mtu mwenye moyo wa kuchangia afanyeje na tusibeze juhudi za serikali za kuwakomboa wananchi wake dhidi ya adui ujinga
@khakikah7365
@khakikah7365 6 жыл бұрын
maana wazazi ikifika January vichwa vinauma
@mengicacoconut8144
@mengicacoconut8144 6 жыл бұрын
Haswaa madawatii ndio kero
@qadirisonyo2830
@qadirisonyo2830 6 жыл бұрын
Kabla ya yote, Mkuu inabidi ukae na walimu wakuu wote Tanzania,hawa ndio chanzo cha michango yaajabuajajabu.
@ceciliajohn4358
@ceciliajohn4358 6 жыл бұрын
hukukwetu tunachangishwa sh. 18000 yaani baba 9000 namama 9000 eti majengo usipotoa unakamatwa. faini 50000
@radhiasalum833
@radhiasalum833 6 жыл бұрын
iyo baba majukum wape mwenyeviti na wajube wa nyumba kumi maana hao masifa wanaishi mijini vijijini tupo na wajumbe tu
@pastorvincent9851
@pastorvincent9851 6 жыл бұрын
Sasa hivi michango ni lazima hasa hizi zinazojiita za Kata zenye Bweni
@swalehekilongo6611
@swalehekilongo6611 6 жыл бұрын
shule ya msingi njiapandà himo mwanafunzi mmoja anatakiwa sado Moja maharàge mbili mahindi na tsh 13000
@japhetmwamlenga7078
@japhetmwamlenga7078 6 жыл бұрын
mbeya walimu wanashilikiana na kamatiza shule kutuchangisha michango hadi imekua kero
@japhetmwamlenga7078
@japhetmwamlenga7078 6 жыл бұрын
howcademy tunatofautiana vipato ndiomaana wengine tunapenda vya bure hongera mwenzangu ambae hupendivya bure
@thommwakasege597
@thommwakasege597 6 жыл бұрын
Na nyie mawa mpaka jamaa akimtindo ndo mkimtindo?magu akianani nipe mmi ata ukuu wa wilaya uone nitawakimtinda ata wanaokwenda kinyume na haki ktk mungu
@ibrahimmwakasembe8681
@ibrahimmwakasembe8681 6 жыл бұрын
Ni nzur sana, ila ningeomba muwasirikishe wadau wa elimu, ni namna gani tutawapa watoto hawa(wanafunzi) elimu bora na yenye tija??. Naamini tukilimudu ilo tutayaona maendeleo yakikua kwa kazi. Wazo langu kama mdau wa elim, shule zote za kata tujifanye ni technical schools(hata kama sio kwa ubora mkubwa) na tuwapate walimu wa masomo ya ufundi. Ivo iyo pesa ambayo inatumika kwenye elimu bure zingefanya iyo kazi, na ada zile za awali zirudi. Nadhani hicho kitakua na tija, na kitapelekea watoto wengi kupenda shule. Na maendeleo ya uchumi wa viwanda yangepata mizizi. Ila kwa sasa nadhani tunafanya mark-time tu, elim inaporomoka tu, daah nalionea huruma taifa langu na kizazi kijacho. Magu ione hii koment jaman,
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 28 МЛН
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,6 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR  - TULIA
5:46
Wyldpytch Rekords / 51 Lex Records
Рет қаралды 2 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
LE MALI DÉFIE LA FRANCE ET L'ALGÉRIE À L'ONU : UN DISCOURS DÉTONANT
28:26
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 6 МЛН