I love you mama samia popote ulipo love you more Allah akupe ulinzi wa kutosha uishi maisha marefu,afya nzuri akuepushe na husda za waja ni Mungu amekuchagua kutuongoza wanawake tunaweza nakupenda yani natamani tukutane ana kwa ana mama yangu kipenzi. wanawake tunajivunia kupitia kwako mama samia asiyekupenda ana lake jambo na Allah hatakudhuru kwa lolote piga kazi mama kwa ajili ya Watanzania wenye majungu pelekeni huko ukiona vyaelea vimeundwa poongezi kwa wazazi wa Mama yetu samia nakupenda sanaaaaaaa asietaka ahame nchi alaaaaah!
@aishamoddu18042 жыл бұрын
Safi Sana Mama👏 Mungu akupe maisha marefu na afya njema 😘😘
@hassanmpwepwe38262 жыл бұрын
Mambo ya jpm hayo R.i.p jemedar jpm 2takukumbuka daima kwa uzalendo waki katka inchi na maono yako kwa taifa hili mungu aku leheem upo ulipo
Mama Samia ovyo huna atahuruma wamama wenzako ata shilingi miliioni moja washindwa kuwatunza ingekua Mze Hayati apo wangepewa ata laki 5
@user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын
Hana moyo wakutoa kama magu
@lovvy8542 жыл бұрын
@@user-wr6lc3jz6g kweli kutowa yataka moyo ila angefaa kujikaza upande huo
@alimoosa23882 жыл бұрын
Mhhh magu akizitoa wapi?
@witidavid83282 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@hashamadewa64512 жыл бұрын
Samia hafanyi. Mambo kwa sifa kama magufuli. Na kudhulumu kadhumu mbona hamsemi
@jamesvmusic26772 жыл бұрын
Kazi iendelee👏👏👏👏💪🏿
@suleimanmohamed43672 жыл бұрын
Watamkubali tu mwanzo mgumu
@ahmadiomari69132 жыл бұрын
Mamaaaaaaaaaaaa. Naanza kukuelewa sasa Huwa simuungi mtu mkono had afanye kitu.sasa nakuunga mkono mamaaaaaaaaaaaa Love yoooooo
@faridhassan68342 жыл бұрын
Yuko sawa tumpe mda tu
@hishamally48462 жыл бұрын
I miss you mama samia piga kazi upo vizuri mungu akutanguliye
@erickzephania10302 жыл бұрын
Yani mi nahangaika kutafuta hela ya Panadol afu nikute mama watoto anarudi na jina aliolipanga yye😂😂
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Atarudi alipotoka
@husseinhaji84592 жыл бұрын
Utamchinjaaa
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Ninavyokujua Utaua
@lidiagodfrey57862 жыл бұрын
Hahaaaa umeona et samia amekosa jina la kumwita
@shemelaruhinda61132 жыл бұрын
Love mama Rais wetu kipenzi cha watu
@emmanuelmkama30002 жыл бұрын
Hizo Hospitali zilijengwa kila wilaya nchini bila TOZO wala MIKOPO . Kazi ilipigwa ikaonekana.
@hassanally5112 жыл бұрын
Serikal ina Siri kubwa kijana ww unajuwaje Kama awamu ya 5 hakuja kopwa
@bajagihaji89232 жыл бұрын
Kulea mtoto ndiyo kazi
@emmanuelmkama30002 жыл бұрын
@@hassanally511 ilikopwa fedha nyingi sana kwa miradi ya kimkakati tu. Lakini vi hospitali, vituo vya afya ndugu yangu navyo tukope?
@othmanali76372 жыл бұрын
Sawa je wakati zinajengwa mama samia alishiriki au hakushiriki maana zilijengwa sawa awamu ya tano na mama hapo alikua ni makamu wa raisi kwaiyo point yako ni ipi apo tueleze
@ahz69072 жыл бұрын
Hujielewi
@beatriceyustomwakabanje57892 жыл бұрын
Sijuh lini ntapata mtu wa kunifuta machoz kwa wema ,upendo uchapa Kaz, maendeleo makubwa Kama magu , rest in peace dady 😭😭😭
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Laana Bado zinakutafuna
@fatmamohd24442 жыл бұрын
@@mohammedrajabumwamba1322 🤭🤣🤣🤣🤣
@masalakulwa76012 жыл бұрын
Mwambie baba ako akufute hayo machoz..shenzi
@preciousjohn94052 жыл бұрын
Kubar matokeo
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Mama mama mama oyooooo nakupenda saaaana Rais wetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hassan 🙏
ongera_ raisi wetu_mungu akutienguvu_pare unapovunjika_moyo_mama yetu kipenzi
@taucmbonia99242 жыл бұрын
Mie raisi yangu nilishampigia kura tangu 2015 na ndio namtambua mpaka sasa hawa wengine naona kama wananichanyanga tu rest in peace my Dady 😭😭😭 we miss you so much and we love very much 😔😔😔
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Utapata taabu saaana
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Mama mama mama uyo mama mama mama uyo mama mama mama uyo mama mama
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Much love Mama Tanzania 🇹🇿💞🌹Msikivu, mwema, mzalendo, kifaa cha kazi... Mwenyezi Mungu akutangulie 🙏🏽🤲
Hamia Chato.. ukakae pale kaburini pamepigwa rangi nzuri unaweza hata kulalapo.
@haitumikitena49782 жыл бұрын
Kamfufue
@khaulaismail94032 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tausimpoma3472 жыл бұрын
Hakuna jema, mwaacheni raisi atekeleze kwa uwezo anaowezeshwa na M'mungu. Magu alitimiza kwa wakati wake,,,msimchukie mtu hata anapoonesha mchango wake hata japo mdogo..M'mungu zidi kumpa ulinzi raisi wetu.Samia.Suluhu.Hassan.
ila kwa mbali kuna watu wanalalamikaa kwambaa "mama nina shida" but naona mamaa kakaaa kimyaa!?? any way R. I. P. Magufuli
@seebs11562 жыл бұрын
Alishasema hatati mabango ya kulalamika anataka ya kushukuru 🤣🤣🤣🤣🤣
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Tabia mbaya, Rais wetu Haiti watu wake wanyonge.. na watu nao wasipende kujiliza shida.. watakuwa wanyonge kweli.
@seebs11562 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 kila mtu ana shida ndugu unyonge na shida ni vitu 2 tofauti mpaka mtu anakuambia nina shida hauwez jua inakuwaje mpaka anakuambia wewe
@maxmkemia95042 жыл бұрын
Wewe ungefanyaje unaweza kumsikiliza kila mtu? Hapo mama wala hana mike hahutubii hawez kuskia sauti zote hapo
@aminaabdulla85682 жыл бұрын
Mnataka hamtaki ndo kashakua hivyo kila mtu apambane na hali yake utakula kwa urefu wa kamba yako wallah
Mimi bwana nakukubali sana samia Niko tayari kukupigania kwa nguvu zote Raisi wangu.
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Tuko wengi!
@abraman82602 жыл бұрын
Nasiri na samia ni katika majina mazur na kazi iendelee 2025 kapita tayar tukutanane 2030 kumbe la dunia .,...mh mrisho gambo tayar kasema mama samia ni mipango ya mungu na mungu daima hakosei kazi yake .mimi naamimini hata babu yako wa ukoo angekua hai lazima kazi iendelee ...
@mdimimdimi42822 жыл бұрын
Sikukubali Samia daimaaaaa
@husseinhaji84592 жыл бұрын
😁😁😁We jamaaa kiboko
@kawawamamaya85432 жыл бұрын
Walau umeongea zako ukweli
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Hiari yako, ila utake usitake ndio rais wako!
@khadijalambo21382 жыл бұрын
Ungeita magu naye awepo saa hizi ungekuwa na laki 5😂😂😂mama yetu mgumu
@honekisebwa2262 жыл бұрын
@sheshi beshi we mpuuzi kila comments unazingua
@user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын
Kabisa
@priscusjoseph76642 жыл бұрын
@@honekisebwa226 😆😆😂😂😂😂😆😆anayumba Sana uyo makande
@musason16802 жыл бұрын
Hizo picha sasa 😁🙌
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Safi mama piga kazi
@issakawaya83152 жыл бұрын
Mashaallah mama yetu
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Unampa mikosi kumpa jina Samia atakua anajipendekeza kwa wazungu
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Wacha chuki ww ndio maana mko nyuma kimaendeleo
@rehemamkalawa38012 жыл бұрын
Na mikosi kweli kweli
@rehemamkalawa38012 жыл бұрын
Na mikosi kweli kweli
@dicksonkilupa68812 жыл бұрын
Majina mengi huambatana na roho. Sasa tungejua kwanza tafsiri ya hilo jina, kw mf ukimpa mtoto jina kama, MAKOSA, MADENI, CHUKI, SEMENI, PATUPU, SHIDA, SIKUJUA, SIWEMA, NK TEGEMEA MAJIBU WAKATI WOWOTE.
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@faridhassan68342 жыл бұрын
Ukiendelea hivi mama utampata kila mtu,hongera sana,nina imani na wewe huwezi niangusha
@elizabethmkude94522 жыл бұрын
Mama.oyeee
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Sina neno.!! Acha nisome comment za wadau
@fridasevelini92682 жыл бұрын
Kazi iendelee
@firdausrajabu68222 жыл бұрын
Kaz inaendelea
@salimally84962 жыл бұрын
Maaasha Allah mama nakupenda sana. Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
@salimally84962 жыл бұрын
Yaani mama umenifurahisha. Halafu mtoto ameitwa mama Samia yaani hadi rahaa. Una huruma sana na Utuu. Maaaasha Allah. Namuomba Allah akupe umri mrefu na afya njema
@jamesmahatane27232 жыл бұрын
Safi sana
@abdulrazackkanyetamisa69262 жыл бұрын
Safi sana Mama yetu raisi wetu kazi iendelee
@humayraakhamisi99522 жыл бұрын
Ujinga mtupu
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
KaSi iendelee! Kwa mwendo huu, Ilani ya CCM tutainadi kabla 2025!
@allykeita7042 жыл бұрын
Huyu mama namuunga mkono hahahaha Asante Mama yetu
Wanaomtambua marehemu Kama bado ni Rais wao basi wamuombe Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi awaunganishe naye iliwakaishi naye katika makazi yake huko aliko, Ee Mwenyezi Mungu wakubalie maombi yao maana wanajifanya hawatambui kazi yako na hawajuhi kuwa hukumu zako niza Adili.
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽 Watu wanajitafutia laana, na itatoka mlangoni mwao, Mungu hadhihakiwi...
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
najivunia na kutembea kifua mbele na Tanzania yetu, Kazi iendeleee chuki tupa kule , Tanzania kwanza, karibu tena Arusha, na kazi iendereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nakulingania uwe makini na Maneno yako, usije kuingia kwenye kufuru. Huyo unayesema ndio unamtambua tayari ameshatangulia kwa muumba wake na ahadi ya Mwenyezimungu ni kuwa kila kitu kitatoweka. Walikuwepo mitume wa Mungu Leo hii hawapo itakuwa Magufuli?
@agiasaidi52942 жыл бұрын
MASHAALLAH
@johanesbina13022 жыл бұрын
Simpendiiii huyuu Ngojeni tuu
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Mama ni mama. Nampenda sana mama yetu kwa huruma alonayo. Mungu amuhifadhi.
@johannesishengoma12322 жыл бұрын
Kawatembelea wazazi na kugusa watoto tu, hata ya uji tu!!!! Au ndo kuinua uchumi😁
@maggiepeter41742 жыл бұрын
@@johannesishengoma1232 hahahah khaa
@lidiagodfrey57862 жыл бұрын
Sema mama yako syo wetu sna mama kama huyo
@lidiagodfrey57862 жыл бұрын
Sema mama yako syo wetu
@musason16802 жыл бұрын
Aki mm hamna
@khadijahali48372 жыл бұрын
Hamna nn?
@musason16802 жыл бұрын
@@khadijahali4837 kumwita mwanang jina la mtu hawa viongozi wanabadrika mda wowote
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@musason1680 kubadilika nn sasa, nimahaba tuu my
@musason16802 жыл бұрын
@@khadijahali4837 some times anaweza azingue mpaka ukasema y nilimwita mwanang jina la huyu mtu
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@musason1680 ukiwa na mahaba nae huwezi ona kama anazingua
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Huyu ndiye Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan....Songa mbele Usiogope chochote kwako Mungu ameruhusu Uongozi wa Taifa letu la Tanzania uongoze Wewe kipenzi chetu.
@heyumi23402 жыл бұрын
hatutaki wanafiki akitoka anatoka akiwa sehem fulan raisi 🤣🤣🤣🤣🤣mungu wee ndio kila kitu kwa maisha yetu tulinde kwa uwezo wako YaaaaAllah
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Kabisa mama anaijitahidi ila kuna mijitu inachuki binafsi
@ellymaz21872 жыл бұрын
@@mohamnedsalum2150 Yaani kuzindua hospital aliyojenga mwingine nako ni kujitahidi??
@neemahamis63992 жыл бұрын
@@ellymaz2187 hapo chacha
@ustawiwetu2 жыл бұрын
Wengi tunamkumbuka Magufuli
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Endeleeni kuomboleza, ila kazi inaendelea !
@leocadiaonesmo84222 жыл бұрын
Tanesco mwanza wanakera Kila sku wanakata umeme hasa juma pili tusaidie
@fadhilmohamoud2 жыл бұрын
Waachie ata kidogo bac daaah
@ambokilemgimbe63522 жыл бұрын
Jpm alikuwa jembe sana
@husseinmiraji54972 жыл бұрын
Wewe malia magufuli nawakati alishakufa
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Mali ya nani?!!! 🤣🤣🤣 0 brain kweli!
@aminaabdulla85682 жыл бұрын
Sisi binadam wanafiki sana magu mlimponda amefariki ndo mnamdifu wacheni chuki zenu hawewe unaemponda ukipewa urais utapondwa pia
Mpenda misifa huyo angetoa hela yake ya mfukoni au ?
@esteredward69802 жыл бұрын
Tatuen kelo
@zaidihussein43112 жыл бұрын
Piga kazi rais wetu mungu ndo alipanga wakati ukifika ww ndo uwe rais wetu piga 5 Kisha mungu akupe 5 mingine mama yetu ❤️❤️
@najuf80212 жыл бұрын
Kamaliza mizunguko yanje sasa Kaz inaendelea
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Hivi aliendaga nchi zipi ktk huo mzunguko?
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Sshv mzungk wa ndan
@issahdady6082 жыл бұрын
Magu ashakufa,mm na ww tutakufa Ukikalia tu kila saa magu magu na unabeza yafanywayo na hao hao ambao walikuwa na magu,pia hukubali kama mzee hayupo you wasting your brain to be critical thinker. Every living organisms ni maiti watarajiwa.
@kondegangmusic58662 жыл бұрын
Diamond platnumz kazimia kwenye show 😢😢😢kzbin.info/www/bejne/qKeVkJqGbtiHqpo
@rehemamkalawa38012 жыл бұрын
Yaani rais mzima,unamgusa mtoto mchanga na kono la kushoto! Chaaah!😎 Ningekuwa mie Mama mtu nisingeruhusu hiyo kitu! Mtoto mchanga anastaha zake,tena ilitakiwa amsalimie kwa mbali,katoka nje huko kagusa vitu vingi,upepo alotoka nao nje,na yawezekana jana yake kanyanduliwa! Halafu unakuja kumgusa TU mwanangu dah! Ati kisa rais! Viongozi mjitambue wenyewe, kabla ya kufanya jambo!
@petronillajosephat26552 жыл бұрын
KWAHIYO WW MWANAO UNAMGUSA KWA MKONO MMOJA WA KULIA TU KUSHOTO HAKUHUSIKI.