pole sana baba, hujui maisha ya watz, pamoja na ukilema wako, ukijia hutosema haya, Inauma Sana sana
@xxxl-jf2ji2 ай бұрын
Kweli kbs
@josephclementkisendi67262 ай бұрын
😁😁 tunafeli sana mungu atusimamie wa tz wahaliyachini,
@WorshippersofGodarmy-ot1mk2 ай бұрын
Wewe sheria mara nyingi zilitungwa na wanywaji wa pombe wasiojali maisha ya watu wa chini, futa kauri yako, kabra hujafutwa kazi
@alliepeppino88832 ай бұрын
Staking kumtukana huyu mjinga sana masikini ndio unawatungia sheria hizo million mlala hoi ataipata wapi
@ramajuma56202 ай бұрын
Mungu kakusaidia umepat uongoz na hyo hali yako ilibidi uwajali wenyew hali ya chin na kuwabeba ila wew baada ya kuona umepat uongoz bas umegeuka kuwa subili mungu atawasimamia watabeba huo mkaa watasaidia family zao najua wew huwez kudumu katk huo ungoz milele
@dastanfussy48982 ай бұрын
Sheria ameikuta
@atharmakanta69672 ай бұрын
Heee pole sana ndugu sema hujui watu wanapitia maishagani
@vt-kn6qf2 ай бұрын
Sio maisha lazima sheria mlio kubaliana zifwatwe
@exop-r7z2 ай бұрын
UJUWI WATU WANAPITIA MAISHA GANI, HAPO NDIPO MNAPOKOSEA , UONGOZI SIO KUNYANYASA WANAINCHI
@exop-r7z2 ай бұрын
TATIZO LENU NYINYI MNAFIKIRIAGA KWAMBA UONGOZI NIKUTISHIA WATU NA WAKOMOA
@emanuelpetro95912 ай бұрын
Zimetungwa na watu wasiojua maumivu ya wananchi ipo siku Mungu atawafanya mjue maumivu ya wanyonge
@selemanmaganga-le4zg2 ай бұрын
Alafu hao wenyewe ndio wavunja Sheria wakubwa.@@emanuelpetro9591
@WardaKambi2 ай бұрын
Mnashindwa kudhidit ukahaba inayofanyika na watoto wadogo. Kuanzia vijijin kwenye maubanda ad mijin kwe 9tcrab mnataka kuwaonea hao wa hali ya chin ambayo Kaz zenyewe ngumu😢😢😢😢
@SolomonLaizer-j2b2 ай бұрын
Acheni kunyanyasa watanzania enyi mlioshiba, M/Mungu awaue Viongozi wote wanaofanya mamilioni ya watanzani wanateseka😢
@monsurejr85332 ай бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeen😢
@cheiknamouna20582 ай бұрын
Huyo baba anavyomwangalia Kwa huzuni kaumia sana moyoni ila basi hâta kuongea hawezi Hii nchi inafinya wanyonge jaman tumlilie nani😭😭😭
@solomondanny-15072 ай бұрын
Magoti mtani wangu naona una speed sana ktk mambo kadhaaa ambayo sijapenda sana. Hebu chukua muda kuexperience UTU+UONGOZI=HEKIMA
@hassanmfaume45222 ай бұрын
Hawa watu dizaini hii hawana huruma nadhani anatoka kanda ya ziwa
@LaxskfordNjelekela2 ай бұрын
Mheshimiwa tafadhali usitake maskin ss tumkufuru mungu ww usione familia yako na ndugu zako wanaish vzuri usidhan i wote tuna maisha kam yako emvu tengua kauli yako na nenda mtaan kaangalie vzur maisha ya watu alafu ujadiiri huo ujinga wako ustake tuanze kukuchukie gafla
@dismassyothamu2 ай бұрын
Yan tulipo fikia Hawa watu tunaishi nao kilichobaki itafika wakat tuwe unaiba kwao hadi vijiko ukikutana na mtt wake nikisu2 ili waweze kuwa nauchungu wao wanakula vizuli najamba wanajua sis wote tuna maisha kama yakwao
@israelkisaila84012 ай бұрын
Mimi hata sielewi,kwani mkaa ukibebwa kwenye pikipiki Ninyi mnapungukiwa na nini?😢😢
@Jurbeg2 ай бұрын
@@dismassyothamuDuu point mkuu 🫡
@monsurejr85332 ай бұрын
Ukiwa kwa kisu utaenda Jera baba ni uchawi tyuu kulala kuamka chizi anaokota makaratasi majalalani shubamiti
@James-y3j2v2 ай бұрын
Mbona masikiyo yako hivo je ni mlemavu?
@GodfreyMwendawila-ff7on2 ай бұрын
Umejisahau sio mbona wew ni mtoto wa maskin sana acha kujichetua au tukuloge uwe pisi kali?
@MaryLyobha2 ай бұрын
Daaah 😂
@monsurejr85332 ай бұрын
Hilo Ndio la maana ila wazee waliondoka na uchawi wao woote, najuta kwann sikuwa mchawi
@sharifanyumayo63142 ай бұрын
Nimecheka mwenzenu dooh watu wamevurugwa na life? Hawa viongoz mbona wanajitoa ufahamu jmn utadhan wao waliish maisha Bomba mno doooh
@ndiiyolazaro11252 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MustaphaMatiku2 ай бұрын
Huyu ni mjinga sana hajui anacho kifanya hajui hali za watu masikini tena ni mkundu kama kikundi mingine
@TangaMashewa-qe8kk2 ай бұрын
mzee umeozea jera umeroa tusi daaaa!!!
@hajihassan54332 ай бұрын
@@TangaMashewa-qe8kk Sio mjinga ni sheria zimetungwa tatizo sheria sio rafiki.
@amisamaurid18822 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@camilomassao89712 ай бұрын
Angalia maisha ya watu ndugu, pikipiki Ndiyo msaada wa watu wa chini. Tengua hiyo kauli na hiyo sheria ibadilishwe kwakweli
@mussaelias35352 ай бұрын
Angalia haliza WA Tanzania wa chini mtu kupata efu moja tu ni tatizo
@madsonmmbwanga30372 ай бұрын
Asilimia kubwa sana ya watanzania mkaa una waokoa sana.hapa hii Sheria sio nzuri
@StevenHinjo2 ай бұрын
Nikitumia mkaa Kwa siku ni tshs 1500 Kwa mwezi ni tshs 45000 nikijaza gass natumia Kwa mwezi tshs 23000😊
@IsmailMjesh2 ай бұрын
Wazeee wa kisarawe wanamskiliza tuuu'...... Haya Bismillah rahmani Rahim..........
@OmaryRamadan-m8v2 ай бұрын
Anataka watu waibe sasa wakabe ndo lengo lao😂😂
@dismassyothamu2 ай бұрын
Kama watu kufa wamesha kufa wengi mno kk chanika huko acha2 kk hawalipot2 lakin tayali vijana wachapakaz watt wamasikin wezetu tayali wameshauwawa kk ...
@abdulrahmanlutenga51192 ай бұрын
Chizu huyu namba moja
@starjay30522 ай бұрын
tanzania sio nchi ya kuishi ila basi tu
@hajibigawa-re4gk2 ай бұрын
BNDUGU YANGU UNGESEMA WENYE SHIDA YA MIGOGORO YA ARIDHI WAJE TUWASAIDIE UNAGOMBANA NA WAUZA MKAA ,MBONA UNASHINDWA MAPEMA.MBONA NYIE MNAPANDA MITI KIFASHENI HAMTUNZI NA NYIE. MM. MKAMATWE KWA KUTUMIA PESA ZA UMA VIBAYA
@MrishoSamueli2 ай бұрын
Huyu anaulemavu wa akili mambo ya msingi hawaya simamii mkaa ndionini
@emanuelmaraki97582 ай бұрын
Hiyoo ni amri misitu inaisha nchi itakuwa jagwaa unakuta miti uoteshi mtu unategemea nn mkuu salut tutatekeleza nchi itakuwa jagwaa piga kazii mkuuu💪👏👏
@Njeriii5362 ай бұрын
Umeanza sasa duh! Maisha haya
@athumanimhina18692 ай бұрын
Ulianza vizuri lakini kwa hili umepotea,hujui maisha halisi ya mtanzania,pikipiki ndio msaada mkubwa kwa wananchi hapo utasababisha maisha yawe magumu,yaani kiufupi umefeli
@Worldunite2 ай бұрын
Angalieni na mazingira halisi ya watanzania jmn, ajira na bei ya gesi ni changamoto
@frankngoloka54162 ай бұрын
Sasa mkaa mnazuia,Hapohapo Gesi mnapandisha bei,Je sisi wa hari ya chini tutatoboa?Bar zote hapo kisarawe Wanachoma nyama Kwa kutumia mkaa,nawewe unakula
@NickolausMsike-yn2bo2 ай бұрын
Hawa ni wnayanyasaji sana wanajisahau wanaona wamefika
@Alliyooo2 ай бұрын
Haya bhana kuleni nyinyi Acha sis wabeba mkaa tufe njaa endelea kusimamia sheria kali kwetu maskini!
@ashuramuhammed32572 ай бұрын
Sheria Gani omolo mkaa polo Moja ya kupikia utukamate tukamate polo Moja nikodi fuso kupakia
@sophiarajabu85002 ай бұрын
Mhhhhhhh kazi.kazini
@allyhamisi63942 ай бұрын
kuwa siriaz aisee daaah wananchi maisha magumu nasheria yenu mabaya hayo
@abdullahmohamudmohamed44502 ай бұрын
Sheria nyingi zimewekewa Ka mfumo Ka Kutengeneza Mazingira ya Rushwa😢
@amsiabbas38092 ай бұрын
😢Mungu Ibariki Tanzania Mungu Zibariki Kazi Zetu Zakujitafutia Riziki Maana Badhii yawatawala Wamekua Kazoba Kanyamwanga 🤲
@MauFundiElectronics2 ай бұрын
Mtu mwenyewe sasa daaaahhhh mpaka nachokaaaa😂😂😂😂
@jumannerizimbura67502 ай бұрын
😂😂
@JoabChisimbajr-x1q2 ай бұрын
😂😂😂😂😂elewa neno kutekeleza sheria na kakwambia sio shera za Magoti😂😂😍😍
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
@@JoabChisimbajr-x1q😂😂😂😂😅😅😅😅, Ila nyie 😂
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
Eti siyo shela
@ismailhassan15562 ай бұрын
Wale wale m wazingatiwe
@frankmahenge59432 ай бұрын
Faini million moja piki piki afu gari fain Tsh30000
@sirpurkinje28362 ай бұрын
Watu wenye ulemavu siyo wa kupewa majukumu yanayohusu utashi wa maisha.
@josephjulio61122 ай бұрын
Mwanya wa rushwa hao polisi ni ndugu zetu akinikamata rushwa 30,ooo mkaa unafika sokoni
@ginazngo43172 ай бұрын
Sura mashavu haiina kaa kisosa 😂😂😂
@amisamaurid18822 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
@MetodMakungu2 ай бұрын
Huyo nikilema wa mwili had akili😂😂😂😂
@hamzamfyagidzi63442 ай бұрын
Umeongeza sahihi kabisa
@NickolausMsike-yn2bo2 ай бұрын
Washenzi nyie hamjui maisha tunayopitia kwa mtaa mnatak tu umaarufu wa kizombii waizi nyie 😢😢
@KefasYared2 ай бұрын
Tatizo tulinyimwa kujua Haki zetu za msingi na Hilo SoMo tulifuchwa na tulio wengi watanzania hatujui Sheria tunaburuzwa Sio POA wangekuja Gen Z tz wawape SoMo kidogo Ili mtie akili 😂😂😂😂
@leoncemboyerwa2 ай бұрын
Mh. Uwe flexible Wabebe mkaa wa halali Husitupunguzie kura
@abasiramashoo50262 ай бұрын
Usitake sifa kutokana ukilema wako unatakiwa uwenahuruma una zuia riziki zawatu
@ismailhassan15562 ай бұрын
😂😂😂😂
@nusalim33892 ай бұрын
Kwani upo mitaa ya samora au ocean road, ? Au New York na Tokyo? Kisarawe yenyew vumbi na shambani na kijijini, mtu kutumia pkpk ndio usafiri unaoendana na mazingira ya hapo na watu wa hapo,hata pakichafua barabara za vumbi si yaleyale? Kwani Kuna tiles au carpet? Badili kisarawe iwe ya kisiasa kwanza,ndio weka Sheria za mazingira na usafi,ni sawa waweka Sheria ya kupiga deki baharini au kufagia jangwani☺️
@vincentauxerbius75542 ай бұрын
Huyu mzee kajiweka mkono kwa shavu mkuu hapa Pana shidoo😢😢
@ElishaMgimba2 ай бұрын
Kiongoz unapotoa maagizo angalia unaemuumiza Ninan bodaboda nikazi kama kazinyingine ACHANA NABODABODA SISI NDIO WAPIGAKURA 😭😭
@RithaPhellan-qw3uh2 ай бұрын
Gesi mngefanya 5000 mtungi mdogo refilling watu wangeacha mikaa.....
@Rodelite112 ай бұрын
Huyu akili zake fupi kama yeye mwenyewe.. yaani kama yuko hapo kufanya maisha ya wananchi yawe magumu zaidi. Hawa wote wanatakiwa wapigwe bakora kama za waKenya.
@MdalesioWilliam2 ай бұрын
Umefeli mdogo wangu
@jamespeter58822 ай бұрын
Hv unajua maisha ya maskini ww au kwa kuwa ww unaona million kama ten ndoo maana unataka kukandamza maskini
@saidkilungi6412 ай бұрын
Hapa umechemka DC huna hata huruma watu wanasomesha Kila mtu kampangia kazi ya kufanya mungu
@GodfreyKunambi2 ай бұрын
Daaah''' Ila hii Nchi bna
@amoonatnzani98342 ай бұрын
Chefuuuuuuuuu. Kama magoti au mavindi utajijua mwenyewe
@R10_Rajab2 ай бұрын
Very Good
@laurentkapongwa20782 ай бұрын
Karibu Rukwa - Sumbawanga tyna jambo letu la kukusaprize ili twende sawa😅
@jamesjahasa33482 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kazi tunayo nchi hii wewe unapikia umeme na gas 😂😂
@edlumala94282 ай бұрын
Elewa shida za watu unaowaongoza! Mh Rais hajakuteua kwenda kukamata mikaa, kuna mambo kibao muhimu ya kusimamia mbona huyafanyi? Atatumbuliwa huyu soon, ukuu wa wilaya ni dhamana ndogo sana, ishi vizuri na wananchi wako kwa kujua shida zao na kuzitatua!
@sharifanyumayo63142 ай бұрын
Nilidhan utaongelea kabla ya kutangaza nishart safi mshapunguza bei ya gesi na mshapata badala ya mkaa ni Nini tutumie! We baba unajua maisha ya wananch wako? Na je mkishika bangi au madawa ya kulevya mbona sijawai ona faini hiyo Sasa mkaa miti ambayo mungu kaipanda? SEMA TU huko tunakoenda Sasa ni kusababisha majanga makubwa ya kutisha ooooh ! Maisha magumu mno jmn
@MaxweliChipolopolo2 ай бұрын
Viongoz wengne Bhana unajua watu wanaishi Maisha gn we kaa ofisini tuy broo
@sultansallah87722 ай бұрын
Kuna mzee kamkata jicho sujui mwanawe ni bdbd
@johnnyahi48752 ай бұрын
Yaani wekiongozi unayanyaza Wende.pikipki madawayakulevya hushiki tz shida
@valentinoswenya7482 ай бұрын
Wanangu USA wametualibia sana hii inchi yote hii yote wazee wa haki za binadabu na usawa wa jinsia
@MbweaWajangwani2 ай бұрын
Simuelewi
@hassanyusuf12402 ай бұрын
Viongozi kama hawa ndio watamkosesha kura Rais Samia.Huyu hafai kua Kiongozi.
@h.jrugashaula12962 ай бұрын
Safi sana....amesimamia sheria.
@laurentkapongwa20782 ай бұрын
Karibu Rukwa - Sumbawanga tyna jambo letu la kukusaprize ili twende sawa
@valentinoswenya7482 ай бұрын
Tukiwaambia uwongozi ni witu sio zekomedi sasa hiki sikituko jamani hii inchi mungu atutetee tu
@athumanimhina18692 ай бұрын
Kwahiyo nikiwa na kiroba kimoja cha mkaa nikakodi gari mbona viongozi mnafeli hivi au kwadababu uongozi mnapewapewa tuu,inasikitisha sana mna mnamharibia huyu mama samia hajakutuma hilo
@selemanmaganga-le4zg2 ай бұрын
Ngoja nikae kimya nisije kukufuru Mungu".
@EmanuelMaswaga2 ай бұрын
Unataka mkaa ubebwe na usafiri Gani naona Sheria ipo kwa boda,tukitumia kirikuu si sawa mkuu.
@BradothAdm2 ай бұрын
Busara inahitajika ktk hili kuna maisha ya watu
@SalumBakari-sg4sf2 ай бұрын
Mheshimiwa maisha hayako ivo
@HamadFakiOthman2 ай бұрын
Mutatukamata wengi sheria Gani iyo
@kisinza60772 ай бұрын
Wewe umehurumiwa ni uteuzi wa huruma tu, Kwahiyo wasiojiweza Kwa kipato wale wapi? Oooooh! Samahani mheshimiwa nanyamaza Mimi.
@Missionary_work2 ай бұрын
Ila Anachekesha 😂😅
@selemankishema57802 ай бұрын
Mama sasa umeamua kutuchagulia machizi sasa huyu sichizi mwingine?
@ephrahimkivuyo42752 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mama kaharibu 😅
@mathayomwashambwa12382 ай бұрын
Hamyajui maisha ya watu, ni nini mnafanya ili mkaa usitumike? Ndugu zangu nakumbuka familia yangu tuliishi kwa kuuza kuni na mkaa ili angalau tupate chakula..huo ni mlango wa kutengeneza ujambazi, ukahaba, nk...tafuta suluhisho ili wabeba mkaa wabebe kitu kingine.. magereza au kupokonya ni KUENDELEA kutengeneza maskini...😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😅🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚
@luganomwaigomole7441Ай бұрын
UMASIKINI MBAYA SANA...VIPI WALE WANYAMA PORI WANAUZWA NJEEEE ..WATZ MASIKINI ENDELEENI KUPAMBANA WATOTO WALE...FANYENI KAZI ..
@godcheudandy25342 ай бұрын
Huyu jamaa anataka watu tutende zambi tu 😢
@MauFundiElectronics2 ай бұрын
Sahihi maana mwishoe watu waonenane wabaya 😂😂😂😂
@geofreyjulius8742 ай бұрын
😅
@solomondanny-15072 ай бұрын
Dhambi ipi mtani?😅😅
@mamesnayzo43002 ай бұрын
Haaah masikini na shida zake hapo nakuwa mchawi😂😢😅😢😅
@monsurejr85332 ай бұрын
Kabisa Yani ila tumeshachelewa hakuna pa kuupata maana wale vigogo wa uchawi woote walishakufaga
@khadijadauson81582 ай бұрын
Kwanini watanzania tunateseka hivi jamani...mkaa ndo Kimbolton letu jamani
@abasiramashoo50262 ай бұрын
Wewe vip unarohomba
@zuhurasaid2 ай бұрын
Basi mkianza kula keki ya taifa mnajisahauuu, watu wabebe hata kwa baiskeli na watoto wetu wale kwa jasho letu.... Sheri sheria mmeshiba mnoooo mcheua tu
@nicholauspaulo3772 ай бұрын
Wee kweli fala
@ephrahimkivuyo42752 ай бұрын
Mama samia umetuletea mzimu kisarawe 😅😅
@ElishaKasekwa-vo2eg2 ай бұрын
Sheria ni msumeno lakini haichani dhiki,💪💪 FA
@wazirihamisi64842 ай бұрын
DUH HATARI SANA MILIONI 1
@amisamaurid18822 ай бұрын
Tatizo mnataka kutrendi kama paul makonda,hamtoweza kufanana nae makonda anafanya haki ya pande mbili nyie mmekuja na uzakayo wenu mnajibwatukia tu
@NdekejaKamuli-sh5pe2 ай бұрын
Mmmh viongozi tunajisahau sana kana kwamba hakuna wenzetu wanaoishi kupitia mkaaa huo huo. Na unaweza kuta kwake kuna gunia za mkaa anatumia
@AlHamra-k4u2 ай бұрын
Heee jamani mbona sheria ni ngumu Hawa wazee watakula nini jamani. Mnataka kuleta maisha km ya wenzetu ilihali Tz ni nchi masikini.! Ukibeba jembe unazuiliwa Ukibeba mkaa kwa pikpiki shida Ukibeba petrol kwa kidumu shida kumbe mnatakaje???
@faidamuhamed30112 ай бұрын
Issue ya mkaaa ni padua kichwa nani asiye tumia mkaaa tanzania???? mm ningeshauli zije sera za kupanda miti kwa kila kaya na kwa kila nsimu alimuhimmmm miti iwe mingi
@OmarMohamed-bs2hf2 ай бұрын
Sheria unafata ya duniatuu mungu amesema usizini usizulumi usioneewanyonge mbona huzifati
@Jurbeg2 ай бұрын
Duu haka kajamaa kabaya naroho yake mbaya shida kameshiba nawatoto wake hakajui wenye njaa 😢😢😢
@TangaMashewa-qe8kk2 ай бұрын
sheria hiyo kwann hainasababu tatizo liko wapi ninapesa gani ya kupakiza mkaa wa debe kwenye gari mimi daaa hatar sana
@EmmanuelAron2 ай бұрын
Nyie tubebe na baiskeli nchi hii muda huu hatakiwa mtu wa chini ipo siku wale mnao sema hoyee chama chetu mbadilike
@siskimkimu22982 ай бұрын
Tubebee wapi, magar kuna sehem yahafiki na bado garama za magar kubwa,nchi hii kila kiongoz ana kuja na sifa zake
@selemanisalum76852 ай бұрын
Daah kuna utu na ubinadamu huyo aliekuwa hapo anajuwa wananchi hali zao mbaya ndio mana mwezako alk
@AllyMasoud-c8w2 ай бұрын
Uyu nae anajikuta kila kitu anatk kujifany anasimamia sheria nchi ingeongozwa ivyo tusinge ishi fany mamb yak mengn icho cheo ni cha mda tu unatak kua kero snaa Unafikilia cheo icho utakua nacho milele
@meryshekoloa9612 ай бұрын
Mmmhhh nikojoe nilale daaa
@HamiduRashidi-p4v2 ай бұрын
Duuh!!! Hiv wenye maisha ya chini co binaadam..!!!? tambua hawa ni wazaz wetu na wanapambana wapate kutusomesha kwakweli dunia inaelekea mwisho...now 😢😢😢