Sheria zipo wazi kwamba Rais anaweza fanya lolote bila ushauri wa mtu yeyote sio lazima ashauriwe Wala nm
@hajihassan543311 күн бұрын
Kwa Muungano huu Makamo wa Rais alikuwa Karume peke yake ambapo Nyerere hakuweza hakufanya chochote bila kumpa taarifa pia alikuwa na mamlaka ya kusaini miswaada ikawa sheria mfano mswaada wa fedha (shilingi ya Tanzania) 10/06/1965 na likawa ni jambo la 12 au nyongeza ya 1 kati mambo 11 ya nyongeza ya pili ya mambo ya Muungano na kufikia 22. Alipoondoka Karume ndio Tanganyika ikaugeuza Muungano kuwa ukoloni.
@ANRAHIMKADUMA12 күн бұрын
Jamani Mimi natangulia kuomba radhi lwapo nitakuwa nimekosea Nawaomba watanzani kwa ujumla wake hivi kama viongozi wetu wanafanya vizuri hususan katika nafasi ya URAIS Kwanini Tusimuache Aendelee ktk Nafasi hiyo Kuliko kuwa Wastaafu Wengi ambao Wataendelea kuhudumiwa na Taifa Faida yake hapa Nini
@ANRAHIMKADUMA12 күн бұрын
Kazi Indeleeee
@VenaEliki12 күн бұрын
Tanzania ya sasa ikulu iko kokote atakapoamua tulianza na magu natamani cku moja rais atoke mbeya nasisi uchumi upande maana kwa ugeni huu ni biashara kubwa
@hassanimsanga564111 күн бұрын
Well done our president
@ZephaniaMlewa11 күн бұрын
Mimi namkubali Sana mama kwaupande wake yeye Kama rais anajituma Sana Yale majukum ni mazito;