Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uweza wa kusoma mioyo ya wanadamu na kuelewa kilichomo. Binafsi yangu namuombea Rais Samia hekima na afya njema. Aliposema kazi iendelee hakika alikuwa amedhamiria. Kazi inaendelea.
@ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын
amiin
@hadijamandanje6189Ай бұрын
Amiin amiin ya Rabialamin
@naisonmhelela240Ай бұрын
Congratulations mama🎉 Wenzetu majiran kenya wametuzid kiuchumi kwasababu ya aina hii ya uchumi unayoifanya ktk nch hii binafsi naona tumechelewa lakin kwa kas ulionayo mama hakika mwanga umelipa taifa hili la Tanzania. Mungu AKUONGOZE
@user-jn2qj5wf6cАй бұрын
Taja wametuzid kwenye nin mbona??
@aminaomary5567Ай бұрын
Rais wangu pole sana. Uwezi kupendwa na wote lazima watatokea wa kukuchukia:cha msingi chapa kazi tu. ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-iy4yg4sg6lАй бұрын
Hongera sana mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama yetu na Boss wangu mkuu kwa kazi nzuri sisi tupo pamoja na ww usijali wala usipate hasira ukaanza kujibizana nao tupo nyuma yako tutapambana mpaka mwisho
@thomsanga7956Ай бұрын
Utaoelewa babu
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
@@thomsanga7956Mgala FANYA kazi wacha KUBWEKA 😢😢😢😢😢
@walidmgonja3644Ай бұрын
@@thomsanga7956 kama ulivyoolewa wewe
@RamaMbwambo-ru8ymАй бұрын
Excellent mama...piga KAZI. .....MAJUNGU YAPO TU NA HUWA HAYANA MAANA YOYOTE...
@barrynzeyimana6270Ай бұрын
Hata aje nani kuongoza as long atakua anaongoza watu, watasema na sana
@comics3437Ай бұрын
Huyu mama yuko vizuri sana
@faridaalwaily-hk4xfАй бұрын
MashaAllaah MashaAllaah mama ni mamaa msikizeeeni mama haaauwiiiiiii huletaaa memaaa na mafukamanooo.kuishiiikwa uumojaaa na furahaaaa.
@user-eg6ec2mq3gАй бұрын
Huwezi kumfurahisha kila mtu fanya kazi rais wetu
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Anafanya kazi gani ukweli utabaki pale pale rais tz alikuwa magufuli TU
@alzawahirabdallah2299Ай бұрын
Katika raisi atakaye ongoza miaka mingi ni samia
@salimali-rf9erАй бұрын
@@deogratiusyudatadei5658kwa kwako wewe tu
@erickgenerationАй бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 ata huyo naye alikua anatukanwa,dunia hii ata uwe unamlipa mtu pesa bila kufanya kazi atakusema vbaya tu kamwe usije ukatenda wema utegemee ulipwe mazuri,tenda kwasababu ya wenye uhitaji,usitegemee fadhila mpendwa,
@alzawahirabdallah229927 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 asokuwepo na lake halipo
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Hamna kitu apo unajifariji tu
@user-ow9gy1if6bАй бұрын
Wallah nimecheka 😂😂😂😂 asante mama chura😂
@felisteronesmo3091Ай бұрын
Apo apo kwenye mwanamke chura ..
@AlliyMohamedAlliyАй бұрын
🤦♂️mama chura😂
@MsAggie5Ай бұрын
Chura 😂😂 katika ubora wake, piga pesa mama waache wapige kelele na njaa zao 😂😂😂😂
@samorajama8833Ай бұрын
MAAA SHAAA ALLLAAAH TABAARAKA LLAAHU MAMA YANGU HATA KAMA HUJANIZAA MAMA WA MWENZANGU NI MAMA YANGU NNAMUOMBA ALLAAH AKUHIFADHI NA HUSDA NA MAHASIDI.
@tausikiyabo6302Ай бұрын
Mbona Magufuli alikuwa anasifiwa na wananchi Halafu maendeleo mengi yalionekana na alikuwa anahangaika kukusanya mapato ya ndani 😢😢
@IbnuAlly-wm8ilАй бұрын
Ni ubaguzi tu
@juliethkatabwa5306Ай бұрын
Pole Mama Samia. Kazi yako ni nzuri. Mimi siambiwi kitu juu yako. Umetutetea wanyonge. "MSADA WA MAMA SAMIA SHERIA" umetuletea hivi ni nani km mama SAMIA. Mungu akulinde.
@user-ue2nz3vc4jАй бұрын
Mh rais tenda wema usisubiri shukuran, kwa hakika wema huiishi milele, Mungu akuongoze yaliyo ya heri kwa taifa letu, ameen...
Pole Mama hao wanakubeza watoto wakikua wataacha, Allah (SWT) ndo pekee anayejua dhamira uliyonayo ndani ya moyo wako kwa maslahi ya Nchi yetu.
@reginas1832Ай бұрын
Hatukupa kazi ya kuuza rasilimali zetu
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
2lia ww
@MsAggie5Ай бұрын
Mpaka aondoke kazi ipo, shamba la bibi 😂😂😂
@silverman6930Ай бұрын
Makonda hoyeee… those who started talking trash 🗑️
@allymohamed4764Ай бұрын
Makonda kafanyeje kaka
@harrywarren61Ай бұрын
Rais Samia Mimi ni mtu wa kwanza Kukusema tena sana tena sana tena sana SI kwa ubaya ila kwa maendeleo ya uchumi SI nzuri lakini nimestuka kwa neno umelisema humu nguru naona kama Imani inaniludi kwako ila Hawa nguru ufanye kwa vitendo Yani hapo nitakukupongeza zaidi sana😂maana wamezidi sana uwapunguze wanakudondosha ufatiliaji ni muhimu sana hongera sana rais wangu
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Mbona huyu mama hana tabu
@MsAggie5Ай бұрын
Kasema eti wasimkanyagie uchumi wake wakati wanajua wanakula hela za nchi kila kukicha? Watu sasa wanakula kama serikali yao, ona madudu anayoyaibua Makonda si ndo hiyo miradi yake au? Aongeze ukali au yeye mwenyewe aache Kula ili nao wasile 😂
@MayalakusekwaNkwabiАй бұрын
Umaskini na Ujinga unaongezeka kwa mifumo yenu mibovu iliyojaa dhuluma, rushwa, ufisadi, wizi na udalali wa Rasilimali zetu , mitandao ya WIZI inayohamisha Pesa zetu nakuzificha Nje hawakamatwi mnawalinda, acheni UONGO Nchi imewashinda , Mnakopa kopa ovyo huku PESA nyingi zinaibiwa Maisha ya Watanzania ni shida ,Bunge limejaa CCM wanapitisha mikataba mibovu, Tozo na utitiri wa kodi bila kujali kipato cha mtanzania wa chini acheni sifa za kipumbavu tendeni HAKI kwa Watanzania acheni POROJO zenu .
@user-tn4ny3ii2tАй бұрын
Duu Leo mutanisamee kwasababu huyumama nimuongo wanaofulahia uongoziwake nimatajili ila sisi wenyehaliyachini hatuwezikumuelewa kwasababu hatujali
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Unataka akufanyie nn kijana hebu pambana bd nafasi unayo
@user-tn4ny3ii2tАй бұрын
@@KassimAlly-xp4dz kupambana napamban ila hatusamini sisi wenyehaliyachini ivi ulishawai kufika kalume na boma uone machinga anavopigwa nakunyang'anywa vitu kitu amba malehem mh magufuli akikataa
@MsAggie5Ай бұрын
Mama yeye na matajiri na hao machawa wake walala hoi hawajari. TRA kutwa kwenye viduka Kwa matajiri ambao ni vitega uchumi WA viongozi WA mama hawagusi, ndo tofauti yake na Magu angalau alipenda watu WA chini wawe na kitu
@user-nq4md3sj6dАй бұрын
mfano tukikwita useme alichokuongopea utasema? unamwita Rais wa nchi muongo? unahisi huwezi kufikiwa ulipo??
@user-tn4ny3ii2tАй бұрын
@@user-nq4md3sj6d ndiyo nitasema kwasababu nilichokiongea Nina uhakika nacho
@omarybakunda2554Ай бұрын
Mm namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hasani.
@rashidiiddi2433Ай бұрын
Ikiwezekana muunge hata mguu
@madreks253Ай бұрын
Acha kudanganya wa Tanzania...wizi umejaa bila nidhamu...macho yanaonyesha ukweli....iko siku wote mafisadi mtalipa kwa uovu wenu...
@NdageKitahamaАй бұрын
Hao mafisadi mbona hawakamatwi lipot ya CAG hatujaona waliohusika na huo ubadhilifu wa pesa za umma wakichukuliwa hatua
@iam_deoАй бұрын
100% kama wakifuata itasaidia sana sana. Lakini ungetoa wazee wote hao ( maana wamefikia ukingo wa mawazo positive), kwenye hizo bodi na management nakuhakikishia utafanikiwa Your Excellence
@MsAggie5Ай бұрын
Si mpaka ....
@gracekaboigora189Ай бұрын
Mama ukitukanwa ujue Kuna shida
@josephmkinga9509Ай бұрын
mama bila katiba bila kushughulikia mafisadi Asee itakua kazi kubwa sana ccm kuiludsha madarakani haki haifai
@AnthonySindabaha-de3xbАй бұрын
Mama uko vzuri sema watumishi wako sio wazalendo hao ndio wanaokuangusha, wanaokifanya chama chetu CCM kinaonekana hakina maana. Tunamshukuru Mungu umeleta kiongozi mahiri na mtenda kazi yaan mzalendo kama Mh. Paul makonda. Hao ambao wanakanyaga uchumi(nguru) wako mama piga chini tuu
@MsAggie5Ай бұрын
Anashindwa kuwa mkali na hao watendaji wake au ni vile wanajua na yeye ni mpigaji? Ninacho sikitika ni pale tra wanavyo wasumbua wenye biashara ndogo ndogo na kuwaacha mapapa na pale mama anapowasaidia wenye kupato hawaangalii WA Hali ya chini
@rashidlwengo6940Ай бұрын
Very good mama nimependa hi ndo inatakiwa 💪💪💪
@user-yr4pv2vj7mАй бұрын
Wewe pia mwizi una mana wewe sio raia
@jacksule7557Ай бұрын
Wasukuma kibao wanyakyusa wakurya wachaga waha et tumekosa mwanaume mpk tunaongozwa na dem wa kipemba
@walidmgonja3644Ай бұрын
Jitokeze ugombee uongoze
@hemedmwipopo780Ай бұрын
Mama mbolea ya Ruzuku bado bei siyo rafiki kwa Wakulima, ila tunashukuri kwa kuwepo mbolea ya Ruzu
@raphaelkessy7360Ай бұрын
Well done Madame laugh Presidaar 😅😅😅😅😅 Komaa kama kisiki mpingo
@MsAggie5Ай бұрын
Madame Chura 😂😂
@user-to4mj3di9mАй бұрын
#Mama wa manakasa❤ from Kenya
@mcback4384Ай бұрын
Kumbe inauma kutukanwa, ulikua unaenjoy sana Magufuli alivyokua akitukanwa ndio maana ulivyoenda marekani ukapiga picture kabisa na Mange
@MwanakomboNassor-bw3byАй бұрын
Hebu mtukane mama yako alafu muulize kama anasikia raha
@mcback4384Ай бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by yeye alivyokua akifurahia magufuli akitukanwa na kina mange hakujua magufuli ni baba na mume wa mtu ambae nae familia yake inaumia matusi mange aliokua akimtukana? Muache nae ayaoge sababu alijiona yeye ni mkamilifu
@EstherYoramАй бұрын
hiyo ndio siasa dr samia raisi wetu
@raphaelkessy7360Ай бұрын
Cvvvvv wvvcvvc cc
@dassustephen731Ай бұрын
When you are head of state you have no control over noises made by your detractors or critics.I watch American media in which some critics hurl vituperative or excoriating remarks against officials in Washington sometimes describing them as fools,dunderheads or morons. Criticisms no matter how ugly it is can help leaders to improve on how they govern the state.I think it s wise to allow your critics speak their minds rather than suppressing them.That is true democracy. Mama should continue working hard for good of his Country And shouldn't ignore criticisms from some country folks.
@eddedd5453Ай бұрын
Pmoja sana piga kazi mama
@OscarAsukenieАй бұрын
Mama, mageuz ya kiuchumi yanatokea endapo unaunza sana, sio kukopa sana. Mama kwenye mikopo hapo sikuungi mkono
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Ili uwe na uchumi bora lazima ukope haswa mikopo itakayo lipwa mbeleni na riba yake ndogo
@OscarAsukenieАй бұрын
@@KassimAlly-xp4dz nipe mifano ya nchi 10 tu ambayo imeendelea kwa kukopa
@rahplenyengerahplenyenge722Ай бұрын
Mama uyu nimujinga sana avayi kuwa kiongisi waichi
@ntangiregemfuruki5478Ай бұрын
Mungu yupo halali
@KelvinAlfred-rc1hqАй бұрын
Rais wangu ni makondà
@MsAggie5Ай бұрын
Bora ana uchungu na nchi na anaangalia WA Hali ya chini
@malkavoice2570Ай бұрын
Anajua makosa yake na anaijua kinga yake ndiomana anajiamini vile
@atutweve4160Ай бұрын
SAUTI YA MAMA KIDOGO LEO INA MAMLAKA KIDOGO KAJITAHIDI KUGOMBA 🤣🤣🤣🤣
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Huyu ni mama
@muxfilmproductАй бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShaibMohammed-lg5skАй бұрын
Wao mama
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Zaman ulijigeza rambo sasahv umekuw chura nenda kajiunge adija kopa mama wa mipasho ili muwe weng
Mm hawa hawasiki dawa nikuwa piga supana za makonda miradi wanavurunda ww watembelee kwenye halmashauri zao uone niuozo mtu mafisadi humo wengi
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Ukikopa ww mama inatosha usiambukize utumwa kwa nguvu
@user-qc9jf6rn7uАй бұрын
Hongera sana mama kwa juhudi kubwa unazozifanya kuinua uchumi ndani ya taifa letu. Mungu akutie nguvu.
@samniza1763Ай бұрын
Uchumi, Mimi nipo hapa na enjoy £1 almost 4000? Kazi na iendelee shikilia hapo hapo na sisi tucheze na forex.
@MkamiSamweliАй бұрын
Bora wali tembele kuliko wali mwengu mama
@abuusalum928Ай бұрын
😂
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Utaka mtaji kwanguvu hamla lolote unafki tu
@danymak5800Ай бұрын
Nampenda sana huyu mama Samia. Despite insults from Mange, mama wewe Chapa kazi. Ulichaguliwa na WaTZ kwani Iko nini!!!
@hoseaissangya5201Ай бұрын
Nakubali mama
@user-qk3jr8pj9jАй бұрын
Hakuna kama jpm
@wanzakleruu8648Ай бұрын
Braza Sky nlijua utaruka na hii😊😊
@samniza1763Ай бұрын
Si ndio wanaogopa kufungiwa radio zao.
@user-iy4yg4sg6lАй бұрын
Pole sana mama yetu pambana hao wanao kuangusha na kusababisha utukanwe kula vichwa
@ce-08Ай бұрын
Mmmh angekuwa kala vchwa mda huenda sababu uchaguzi upo mbele ndyo maana hiv
@mwessamkala8051Ай бұрын
Nonsense
@jacksonngusi4122Ай бұрын
Mama mimi binafsi na kuelewa piga kazi tusonge mbele nipo pamoja nawe sina gubu umenifraisha kwa kazi zako
@Mimi.OfficialАй бұрын
Lakini si ulisikia ndio maana unajibu Mama. Piga jazi tu mama,lakini kuwa makini mama hao wanaokupigia makofi ndio watakuja kuwa wasaliti wako
@dandara008Ай бұрын
Haha kazi imekushinda mamaetu kubali tu yaishe 😅
@abdimustafa220Ай бұрын
Tunakupa miaka 5 ya kukupima Imani yako sisi wanao utampendelea yupi au utatulea sawa bila ya kusikiliza manung'uniko yetu?, ukitulie vizuri hiyo mitano tunakupa mitano tena iwe n8 haki na lulu ya uwongozi wa TANZANIA. MAMA NI MAMA HATA AKISEMWA NI MAMA HATA AKIANDAMWA NA LAWAMA NI MAMA ule msemo wa rikwama ni kwa zile zama.
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Mama mola akulinde uhudumu kwa amani na wale wasiokukubali kwa wivu tu mola awashinde
@hashimchaoga9566Ай бұрын
Lakini maoni mengine ni muhimu kuyafanyia kazi na si makelele ya kudharaulika
@mtulivu-ir1nqАй бұрын
Hakuna kiongozi au raisi asie sema hata mjomba magu wapo waliomsema na kumpinga mama piga kazi ila tunapoona si sahihi Wacha tuseme tu😂😂 🙌😂🙌
@user-qc9jf6rn7uАй бұрын
Mama kwenye suala la mafao kwa watumishi wa umma usiwahurumie wanaokuangusha. Malalamiko ni mengi. Wanaotumia madaraka vibaya wakae pembeni. CCM daima.
@EmmanuelLupojaАй бұрын
Sahau
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Hivi umesikiliza hicho kipande vizuri au unashadadia ujinga tu nanjaa zenu😏
@NoName-pp4loАй бұрын
Tundu lissu niko pale nimekaa...
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
umekaa unafanyaje
@sponsor7882Ай бұрын
huyu mama mtamuelewa baadaye tatizo wabongo akili ndogo
@fedyaalzadjali8597Ай бұрын
Kabisa
@MsAggie5Ай бұрын
Akili ndogo ni zako huna macho wala husikii. Bandari hao waarabu wako busy kusafirisha wanyama wetu, Makonda kila siku anaona madudu ya miradi ya mama, hela nyingi, mikopo kibao lakini usimamizi ziro na vile na yeye kaamua kula ndo basi tena ...... 🐸🐸🐸🐸🐸
@Castory-ri9hdАй бұрын
Bado mtoto ww ukikua utaacha bado akili yako hajakua kwanza hujui chochote chunga mdomo sana
@martinkisha6307Ай бұрын
Mama wakikosa hao wa kukukosoa utajisahau punguza tozo umeme ushuke bei ya kuvuta iwe kama Magufuli 😊
@ShedrackFchirstian-vp1bnАй бұрын
Umeuza mali zote unataka mageuzi gani, ogea make una ulinzi et uchumi wangu
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Mama Samantha sisi Wajane hatupati kwa wakati pesheni za waume tunakwenda kila aiku tunapigwa tarehe njoo kesho imezidi mpaka tunaanguka kwenye ngazi mjini Hazina
@erickmshoboth4705Ай бұрын
We mama chura hospital za serikali kichefu chefu na madoctor wamekuwa vyura
@frocoissango8973Ай бұрын
Simlisema amta zugumzia ya ndani kwanini sasa umeyaweka apa? Wekeni na yavyama vigine sasa lasivyo SNS mna ubaguzi wa kivyama
@MsAggie5Ай бұрын
Waoga kwani hujui Mama kawashika waandishi na celebrities kama Wana music na waigizaji? Umeshawahi ona negativities yoyote magazetini au radio? Watangazaji wote machawa wake😂! Simshangai sns
@user-nq4md3sj6dАй бұрын
huyu ni RAIS wa nchi na Amiri jeshi mkuu wa Tanzania..
@frocoissango8973Ай бұрын
Anachama au? Kahuli waliyo itowa SNS walitutamkiya wenyewe eti atutakuja tuzugumziye ya ndani icho ndo tunacho fuhata kama vipi wateguwe kahuli basi
@MsAggie5Ай бұрын
@@user-nq4md3sj6d Kwa hiyo?
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlАй бұрын
mama nakupenda bure laisi wangu mpendwa
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Matako uko kazi gani unafanya
@user-pw9ir4fg7xАй бұрын
Hapo wanakua kam wanakuskua kumbe hamna kitu
@piusmadukaАй бұрын
tatizo na ww mama ni mwepesi mno wa kushauriwa na kukubali, makonda anafanya vizuri lakn ww hueleweki na panga pangua yako hata kwa wanaokusaidia
@MsAggie5Ай бұрын
Urais sio kazi ndogo, hauwezi ni vile kashanogewa na ulaji ndo basi tena
@atutweve4160Ай бұрын
CHURA ANARUKA RUKA CHURA HHHHHHHHHHHHHH 😂😂😂😂😂😂😂waziri wa fedha ndo nchemba? Heee hatuwezi msifia hata robo bora wewe tunakupenda upo neutral duniani SAFI SANA KWA HILO
@MsAggie5Ай бұрын
Chura 🐸🐸🐸🐸🐸
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Tupo kimasilai zaid kama hutaki andamana
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Mama samiya tunakuunga mkono mama mola akulinde afya njema hekima busara vyote mola akuruzuku
@lailafakhihajiАй бұрын
Viongozi wote duniani ni kawaida wala usijali sababu huwezi pendwa na wote tena nchi za wenzetu ndio matusi hasaa
makofi kwa raisi wa jamuhuri ya Tanzania🇹🇿 japo kua wapo wana mchora tuu lakini ninakuomba mwishimia raisi awa watu watakuja kua maadui wa tasisi yoyote ile
@romanamassawe814Ай бұрын
Kumbe tunavyo lalamika mnaiba pesa kwenye nchi, wewe unaziba masikio
@NdageKitahamaАй бұрын
Mama ufisadi umezidi cc wananchi wanalipa Kodi mafisadi wanazichota shida iko hapo tunalalamika wezi wa pesa za umma hawakamatwi lipot ya CAG mpaka Leo hatujaona waliotajwa wakichukuliwa hatua Kali
@user-hu8ke4gx1jАй бұрын
MAKONDA ANGEKUSAIDA KIUTAWALA MPE UWEZO ZAIDI NA ULINZI
@user-nq4md3sj6dАй бұрын
umeongea vyema
@ebrahimosman5477Ай бұрын
Swsw mam 🙏🤲
@mudrickkisinda1515Ай бұрын
Yeye mwenywe Kuna siku alisema watu wanachuma sana matumboni ndio maana watu wanakusema kwann unawacha hao watu
@Elizabeth-gq9klАй бұрын
Kumbe munachambuwa Hadiyahuko Tanzaniya? Endeleyeni Atahuku KENYA.
@stephenmsanzu9850Ай бұрын
Makonda hapo sawa mama
@frankkitomary3878Ай бұрын
aya sasa mama ninakushiru sana maana sasa umeshaona jambo flani kuna watu awajajua ya maneno ya kiswahili sasa watafute mzaramo awatafsirie
@samniza1763Ай бұрын
Serikali itakupa? Utakuwa replaced, aje wa kuja manage vizuri.