Rais Samia: Mnashuhudia ninavyotukanwa, 'mpuuzi, huyu bibi' lakini najigeuza chura, sisikii

  Рет қаралды 46,280

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 240
@user-ve9sb4lz3u
@user-ve9sb4lz3u Ай бұрын
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uweza wa kusoma mioyo ya wanadamu na kuelewa kilichomo. Binafsi yangu namuombea Rais Samia hekima na afya njema. Aliposema kazi iendelee hakika alikuwa amedhamiria. Kazi inaendelea.
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht Ай бұрын
amiin
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Ай бұрын
Amiin amiin ya Rabialamin
@naisonmhelela240
@naisonmhelela240 Ай бұрын
Congratulations mama🎉 Wenzetu majiran kenya wametuzid kiuchumi kwasababu ya aina hii ya uchumi unayoifanya ktk nch hii binafsi naona tumechelewa lakin kwa kas ulionayo mama hakika mwanga umelipa taifa hili la Tanzania. Mungu AKUONGOZE
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c Ай бұрын
Taja wametuzid kwenye nin mbona??
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Rais wangu pole sana. Uwezi kupendwa na wote lazima watatokea wa kukuchukia:cha msingi chapa kazi tu. ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-iy4yg4sg6l
@user-iy4yg4sg6l Ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama yetu na Boss wangu mkuu kwa kazi nzuri sisi tupo pamoja na ww usijali wala usipate hasira ukaanza kujibizana nao tupo nyuma yako tutapambana mpaka mwisho
@thomsanga7956
@thomsanga7956 Ай бұрын
Utaoelewa babu
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Ай бұрын
@@thomsanga7956Mgala FANYA kazi wacha KUBWEKA 😢😢😢😢😢
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
@@thomsanga7956 kama ulivyoolewa wewe
@RamaMbwambo-ru8ym
@RamaMbwambo-ru8ym Ай бұрын
Excellent mama...piga KAZI. .....MAJUNGU YAPO TU NA HUWA HAYANA MAANA YOYOTE...
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Ай бұрын
Hata aje nani kuongoza as long atakua anaongoza watu, watasema na sana
@comics3437
@comics3437 Ай бұрын
Huyu mama yuko vizuri sana
@faridaalwaily-hk4xf
@faridaalwaily-hk4xf Ай бұрын
MashaAllaah MashaAllaah mama ni mamaa msikizeeeni mama haaauwiiiiiii huletaaa memaaa na mafukamanooo.kuishiiikwa uumojaaa na furahaaaa.
@user-eg6ec2mq3g
@user-eg6ec2mq3g Ай бұрын
Huwezi kumfurahisha kila mtu fanya kazi rais wetu
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Anafanya kazi gani ukweli utabaki pale pale rais tz alikuwa magufuli TU
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Ай бұрын
Katika raisi atakaye ongoza miaka mingi ni samia
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er Ай бұрын
​@@deogratiusyudatadei5658kwa kwako wewe tu
@erickgeneration
@erickgeneration Ай бұрын
​@@deogratiusyudatadei5658 ata huyo naye alikua anatukanwa,dunia hii ata uwe unamlipa mtu pesa bila kufanya kazi atakusema vbaya tu kamwe usije ukatenda wema utegemee ulipwe mazuri,tenda kwasababu ya wenye uhitaji,usitegemee fadhila mpendwa,
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 27 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 asokuwepo na lake halipo
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 Ай бұрын
Hamna kitu apo unajifariji tu
@user-ow9gy1if6b
@user-ow9gy1if6b Ай бұрын
Wallah nimecheka 😂😂😂😂 asante mama chura😂
@felisteronesmo3091
@felisteronesmo3091 Ай бұрын
Apo apo kwenye mwanamke chura ..
@AlliyMohamedAlliy
@AlliyMohamedAlliy Ай бұрын
🤦‍♂️mama chura😂
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Chura 😂😂 katika ubora wake, piga pesa mama waache wapige kelele na njaa zao 😂😂😂😂
@samorajama8833
@samorajama8833 Ай бұрын
MAAA SHAAA ALLLAAAH TABAARAKA LLAAHU MAMA YANGU HATA KAMA HUJANIZAA MAMA WA MWENZANGU NI MAMA YANGU NNAMUOMBA ALLAAH AKUHIFADHI NA HUSDA NA MAHASIDI.
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 Ай бұрын
Mbona Magufuli alikuwa anasifiwa na wananchi Halafu maendeleo mengi yalionekana na alikuwa anahangaika kukusanya mapato ya ndani 😢😢
@IbnuAlly-wm8il
@IbnuAlly-wm8il Ай бұрын
Ni ubaguzi tu
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 Ай бұрын
Pole Mama Samia. Kazi yako ni nzuri. Mimi siambiwi kitu juu yako. Umetutetea wanyonge. "MSADA WA MAMA SAMIA SHERIA" umetuletea hivi ni nani km mama SAMIA. Mungu akulinde.
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Ай бұрын
Mh rais tenda wema usisubiri shukuran, kwa hakika wema huiishi milele, Mungu akuongoze yaliyo ya heri kwa taifa letu, ameen...
@michaelmisana650
@michaelmisana650 Ай бұрын
hutukanwi wanakwambia mapufu yako kubali kuambiwa ukweli
@user-pn4gt7wf8y
@user-pn4gt7wf8y Ай бұрын
Raisi wangu
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 Ай бұрын
Pole Mama hao wanakubeza watoto wakikua wataacha, Allah (SWT) ndo pekee anayejua dhamira uliyonayo ndani ya moyo wako kwa maslahi ya Nchi yetu.
@reginas1832
@reginas1832 Ай бұрын
Hatukupa kazi ya kuuza rasilimali zetu
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
2lia ww
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Mpaka aondoke kazi ipo, shamba la bibi 😂😂😂
@silverman6930
@silverman6930 Ай бұрын
Makonda hoyeee… those who started talking trash 🗑️
@allymohamed4764
@allymohamed4764 Ай бұрын
Makonda kafanyeje kaka
@harrywarren61
@harrywarren61 Ай бұрын
Rais Samia Mimi ni mtu wa kwanza Kukusema tena sana tena sana tena sana SI kwa ubaya ila kwa maendeleo ya uchumi SI nzuri lakini nimestuka kwa neno umelisema humu nguru naona kama Imani inaniludi kwako ila Hawa nguru ufanye kwa vitendo Yani hapo nitakukupongeza zaidi sana😂maana wamezidi sana uwapunguze wanakudondosha ufatiliaji ni muhimu sana hongera sana rais wangu
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Mbona huyu mama hana tabu
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Kasema eti wasimkanyagie uchumi wake wakati wanajua wanakula hela za nchi kila kukicha? Watu sasa wanakula kama serikali yao, ona madudu anayoyaibua Makonda si ndo hiyo miradi yake au? Aongeze ukali au yeye mwenyewe aache Kula ili nao wasile 😂
@MayalakusekwaNkwabi
@MayalakusekwaNkwabi Ай бұрын
Umaskini na Ujinga unaongezeka kwa mifumo yenu mibovu iliyojaa dhuluma, rushwa, ufisadi, wizi na udalali wa Rasilimali zetu , mitandao ya WIZI inayohamisha Pesa zetu nakuzificha Nje hawakamatwi mnawalinda, acheni UONGO Nchi imewashinda , Mnakopa kopa ovyo huku PESA nyingi zinaibiwa Maisha ya Watanzania ni shida ,Bunge limejaa CCM wanapitisha mikataba mibovu, Tozo na utitiri wa kodi bila kujali kipato cha mtanzania wa chini acheni sifa za kipumbavu tendeni HAKI kwa Watanzania acheni POROJO zenu .
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t Ай бұрын
Duu Leo mutanisamee kwasababu huyumama nimuongo wanaofulahia uongoziwake nimatajili ila sisi wenyehaliyachini hatuwezikumuelewa kwasababu hatujali
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Unataka akufanyie nn kijana hebu pambana bd nafasi unayo
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t Ай бұрын
@@KassimAlly-xp4dz kupambana napamban ila hatusamini sisi wenyehaliyachini ivi ulishawai kufika kalume na boma uone machinga anavopigwa nakunyang'anywa vitu kitu amba malehem mh magufuli akikataa
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Mama yeye na matajiri na hao machawa wake walala hoi hawajari. TRA kutwa kwenye viduka Kwa matajiri ambao ni vitega uchumi WA viongozi WA mama hawagusi, ndo tofauti yake na Magu angalau alipenda watu WA chini wawe na kitu
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d Ай бұрын
mfano tukikwita useme alichokuongopea utasema? unamwita Rais wa nchi muongo? unahisi huwezi kufikiwa ulipo??
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t Ай бұрын
@@user-nq4md3sj6d ndiyo nitasema kwasababu nilichokiongea Nina uhakika nacho
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Mm namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hasani.
@rashidiiddi2433
@rashidiiddi2433 Ай бұрын
Ikiwezekana muunge hata mguu
@madreks253
@madreks253 Ай бұрын
Acha kudanganya wa Tanzania...wizi umejaa bila nidhamu...macho yanaonyesha ukweli....iko siku wote mafisadi mtalipa kwa uovu wenu...
@NdageKitahama
@NdageKitahama Ай бұрын
Hao mafisadi mbona hawakamatwi lipot ya CAG hatujaona waliohusika na huo ubadhilifu wa pesa za umma wakichukuliwa hatua
@iam_deo
@iam_deo Ай бұрын
100% kama wakifuata itasaidia sana sana. Lakini ungetoa wazee wote hao ( maana wamefikia ukingo wa mawazo positive), kwenye hizo bodi na management nakuhakikishia utafanikiwa Your Excellence
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Si mpaka ....
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 Ай бұрын
Mama ukitukanwa ujue Kuna shida
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
mama bila katiba bila kushughulikia mafisadi Asee itakua kazi kubwa sana ccm kuiludsha madarakani haki haifai
@AnthonySindabaha-de3xb
@AnthonySindabaha-de3xb Ай бұрын
Mama uko vzuri sema watumishi wako sio wazalendo hao ndio wanaokuangusha, wanaokifanya chama chetu CCM kinaonekana hakina maana. Tunamshukuru Mungu umeleta kiongozi mahiri na mtenda kazi yaan mzalendo kama Mh. Paul makonda. Hao ambao wanakanyaga uchumi(nguru) wako mama piga chini tuu
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Anashindwa kuwa mkali na hao watendaji wake au ni vile wanajua na yeye ni mpigaji? Ninacho sikitika ni pale tra wanavyo wasumbua wenye biashara ndogo ndogo na kuwaacha mapapa na pale mama anapowasaidia wenye kupato hawaangalii WA Hali ya chini
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Ай бұрын
Very good mama nimependa hi ndo inatakiwa 💪💪💪
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Ай бұрын
Wewe pia mwizi una mana wewe sio raia
@jacksule7557
@jacksule7557 Ай бұрын
Wasukuma kibao wanyakyusa wakurya wachaga waha et tumekosa mwanaume mpk tunaongozwa na dem wa kipemba
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Ай бұрын
Jitokeze ugombee uongoze
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 Ай бұрын
Mama mbolea ya Ruzuku bado bei siyo rafiki kwa Wakulima, ila tunashukuri kwa kuwepo mbolea ya Ruzu
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Ай бұрын
Well done Madame laugh Presidaar 😅😅😅😅😅 Komaa kama kisiki mpingo
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Madame Chura 😂😂
@user-to4mj3di9m
@user-to4mj3di9m Ай бұрын
#Mama wa manakasa❤ from Kenya
@mcback4384
@mcback4384 Ай бұрын
Kumbe inauma kutukanwa, ulikua unaenjoy sana Magufuli alivyokua akitukanwa ndio maana ulivyoenda marekani ukapiga picture kabisa na Mange
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by Ай бұрын
Hebu mtukane mama yako alafu muulize kama anasikia raha
@mcback4384
@mcback4384 Ай бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by yeye alivyokua akifurahia magufuli akitukanwa na kina mange hakujua magufuli ni baba na mume wa mtu ambae nae familia yake inaumia matusi mange aliokua akimtukana? Muache nae ayaoge sababu alijiona yeye ni mkamilifu
@EstherYoram
@EstherYoram Ай бұрын
hiyo ndio siasa dr samia raisi wetu
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Ай бұрын
Cvvvvv wvvcvvc cc
@dassustephen731
@dassustephen731 Ай бұрын
When you are head of state you have no control over noises made by your detractors or critics.I watch American media in which some critics hurl vituperative or excoriating remarks against officials in Washington sometimes describing them as fools,dunderheads or morons. Criticisms no matter how ugly it is can help leaders to improve on how they govern the state.I think it s wise to allow your critics speak their minds rather than suppressing them.That is true democracy. Mama should continue working hard for good of his Country And shouldn't ignore criticisms from some country folks.
@eddedd5453
@eddedd5453 Ай бұрын
Pmoja sana piga kazi mama
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie Ай бұрын
Mama, mageuz ya kiuchumi yanatokea endapo unaunza sana, sio kukopa sana. Mama kwenye mikopo hapo sikuungi mkono
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Ili uwe na uchumi bora lazima ukope haswa mikopo itakayo lipwa mbeleni na riba yake ndogo
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie Ай бұрын
@@KassimAlly-xp4dz nipe mifano ya nchi 10 tu ambayo imeendelea kwa kukopa
@rahplenyengerahplenyenge722
@rahplenyengerahplenyenge722 Ай бұрын
Mama uyu nimujinga sana avayi kuwa kiongisi waichi
@ntangiregemfuruki5478
@ntangiregemfuruki5478 Ай бұрын
Mungu yupo halali
@KelvinAlfred-rc1hq
@KelvinAlfred-rc1hq Ай бұрын
Rais wangu ni makondà
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Bora ana uchungu na nchi na anaangalia WA Hali ya chini
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Ай бұрын
Anajua makosa yake na anaijua kinga yake ndiomana anajiamini vile
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
SAUTI YA MAMA KIDOGO LEO INA MAMLAKA KIDOGO KAJITAHIDI KUGOMBA 🤣🤣🤣🤣
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Huyu ni mama
@muxfilmproduct
@muxfilmproduct Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShaibMohammed-lg5sk
@ShaibMohammed-lg5sk Ай бұрын
Wao mama
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 Ай бұрын
Zaman ulijigeza rambo sasahv umekuw chura nenda kajiunge adija kopa mama wa mipasho ili muwe weng
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Ай бұрын
Huyu atakuja kufunga labda afe ngoja apatikane mwanaume
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq Ай бұрын
Mm hawa hawasiki dawa nikuwa piga supana za makonda miradi wanavurunda ww watembelee kwenye halmashauri zao uone niuozo mtu mafisadi humo wengi
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Ukikopa ww mama inatosha usiambukize utumwa kwa nguvu
@user-qc9jf6rn7u
@user-qc9jf6rn7u Ай бұрын
Hongera sana mama kwa juhudi kubwa unazozifanya kuinua uchumi ndani ya taifa letu. Mungu akutie nguvu.
@samniza1763
@samniza1763 Ай бұрын
Uchumi, Mimi nipo hapa na enjoy £1 almost 4000? Kazi na iendelee shikilia hapo hapo na sisi tucheze na forex.
@MkamiSamweli
@MkamiSamweli Ай бұрын
Bora wali tembele kuliko wali mwengu mama
@abuusalum928
@abuusalum928 Ай бұрын
😂
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Utaka mtaji kwanguvu hamla lolote unafki tu
@danymak5800
@danymak5800 Ай бұрын
Nampenda sana huyu mama Samia. Despite insults from Mange, mama wewe Chapa kazi. Ulichaguliwa na WaTZ kwani Iko nini!!!
@hoseaissangya5201
@hoseaissangya5201 Ай бұрын
Nakubali mama
@user-qk3jr8pj9j
@user-qk3jr8pj9j Ай бұрын
Hakuna kama jpm
@wanzakleruu8648
@wanzakleruu8648 Ай бұрын
Braza Sky nlijua utaruka na hii😊😊
@samniza1763
@samniza1763 Ай бұрын
Si ndio wanaogopa kufungiwa radio zao.
@user-iy4yg4sg6l
@user-iy4yg4sg6l Ай бұрын
Pole sana mama yetu pambana hao wanao kuangusha na kusababisha utukanwe kula vichwa
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
Mmmh angekuwa kala vchwa mda huenda sababu uchaguzi upo mbele ndyo maana hiv
@mwessamkala8051
@mwessamkala8051 Ай бұрын
Nonsense
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Ай бұрын
Mama mimi binafsi na kuelewa piga kazi tusonge mbele nipo pamoja nawe sina gubu umenifraisha kwa kazi zako
@Mimi.Official
@Mimi.Official Ай бұрын
Lakini si ulisikia ndio maana unajibu Mama. Piga jazi tu mama,lakini kuwa makini mama hao wanaokupigia makofi ndio watakuja kuwa wasaliti wako
@dandara008
@dandara008 Ай бұрын
Haha kazi imekushinda mamaetu kubali tu yaishe 😅
@abdimustafa220
@abdimustafa220 Ай бұрын
Tunakupa miaka 5 ya kukupima Imani yako sisi wanao utampendelea yupi au utatulea sawa bila ya kusikiliza manung'uniko yetu?, ukitulie vizuri hiyo mitano tunakupa mitano tena iwe n8 haki na lulu ya uwongozi wa TANZANIA. MAMA NI MAMA HATA AKISEMWA NI MAMA HATA AKIANDAMWA NA LAWAMA NI MAMA ule msemo wa rikwama ni kwa zile zama.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Ай бұрын
Mama mola akulinde uhudumu kwa amani na wale wasiokukubali kwa wivu tu mola awashinde
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Ай бұрын
Lakini maoni mengine ni muhimu kuyafanyia kazi na si makelele ya kudharaulika
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq Ай бұрын
Hakuna kiongozi au raisi asie sema hata mjomba magu wapo waliomsema na kumpinga mama piga kazi ila tunapoona si sahihi Wacha tuseme tu😂😂 🙌😂🙌
@user-qc9jf6rn7u
@user-qc9jf6rn7u Ай бұрын
Mama kwenye suala la mafao kwa watumishi wa umma usiwahurumie wanaokuangusha. Malalamiko ni mengi. Wanaotumia madaraka vibaya wakae pembeni. CCM daima.
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Ай бұрын
Sahau
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Hivi umesikiliza hicho kipande vizuri au unashadadia ujinga tu nanjaa zenu😏
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo Ай бұрын
Tundu lissu niko pale nimekaa...
@user-gh3zf4ow4c
@user-gh3zf4ow4c Ай бұрын
umekaa unafanyaje
@sponsor7882
@sponsor7882 Ай бұрын
huyu mama mtamuelewa baadaye tatizo wabongo akili ndogo
@fedyaalzadjali8597
@fedyaalzadjali8597 Ай бұрын
Kabisa
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Akili ndogo ni zako huna macho wala husikii. Bandari hao waarabu wako busy kusafirisha wanyama wetu, Makonda kila siku anaona madudu ya miradi ya mama, hela nyingi, mikopo kibao lakini usimamizi ziro na vile na yeye kaamua kula ndo basi tena ...... 🐸🐸🐸🐸🐸
@Castory-ri9hd
@Castory-ri9hd Ай бұрын
Bado mtoto ww ukikua utaacha bado akili yako hajakua kwanza hujui chochote chunga mdomo sana
@martinkisha6307
@martinkisha6307 Ай бұрын
Mama wakikosa hao wa kukukosoa utajisahau punguza tozo umeme ushuke bei ya kuvuta iwe kama Magufuli 😊
@ShedrackFchirstian-vp1bn
@ShedrackFchirstian-vp1bn Ай бұрын
Umeuza mali zote unataka mageuzi gani, ogea make una ulinzi et uchumi wangu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Mama Samantha sisi Wajane hatupati kwa wakati pesheni za waume tunakwenda kila aiku tunapigwa tarehe njoo kesho imezidi mpaka tunaanguka kwenye ngazi mjini Hazina
@erickmshoboth4705
@erickmshoboth4705 Ай бұрын
We mama chura hospital za serikali kichefu chefu na madoctor wamekuwa vyura
@frocoissango8973
@frocoissango8973 Ай бұрын
Simlisema amta zugumzia ya ndani kwanini sasa umeyaweka apa? Wekeni na yavyama vigine sasa lasivyo SNS mna ubaguzi wa kivyama
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Waoga kwani hujui Mama kawashika waandishi na celebrities kama Wana music na waigizaji? Umeshawahi ona negativities yoyote magazetini au radio? Watangazaji wote machawa wake😂! Simshangai sns
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d Ай бұрын
huyu ni RAIS wa nchi na Amiri jeshi mkuu wa Tanzania..
@frocoissango8973
@frocoissango8973 Ай бұрын
Anachama au? Kahuli waliyo itowa SNS walitutamkiya wenyewe eti atutakuja tuzugumziye ya ndani icho ndo tunacho fuhata kama vipi wateguwe kahuli basi
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
@@user-nq4md3sj6d Kwa hiyo?
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Ай бұрын
mama nakupenda bure laisi wangu mpendwa
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Matako uko kazi gani unafanya
@user-pw9ir4fg7x
@user-pw9ir4fg7x Ай бұрын
Hapo wanakua kam wanakuskua kumbe hamna kitu
@piusmaduka
@piusmaduka Ай бұрын
tatizo na ww mama ni mwepesi mno wa kushauriwa na kukubali, makonda anafanya vizuri lakn ww hueleweki na panga pangua yako hata kwa wanaokusaidia
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Urais sio kazi ndogo, hauwezi ni vile kashanogewa na ulaji ndo basi tena
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
CHURA ANARUKA RUKA CHURA HHHHHHHHHHHHHH 😂😂😂😂😂😂😂waziri wa fedha ndo nchemba? Heee hatuwezi msifia hata robo bora wewe tunakupenda upo neutral duniani SAFI SANA KWA HILO
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Chura 🐸🐸🐸🐸🐸
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
Tupo kimasilai zaid kama hutaki andamana
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Ай бұрын
Mama samiya tunakuunga mkono mama mola akulinde afya njema hekima busara vyote mola akuruzuku
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji Ай бұрын
Viongozi wote duniani ni kawaida wala usijali sababu huwezi pendwa na wote tena nchi za wenzetu ndio matusi hasaa
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Ай бұрын
Hapa nimegundua nimwendo wakujigeuza chura .Hapa ofisini nitakuwa chura
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Mama.etu.sikia..kilio. cha.wstu Msovu..wanayoyanya.mamba.wasikiloze Mungu.snssikis.maombi.wenyehski.wakiomba.kwa.bidii
@frankkitomary3878
@frankkitomary3878 Ай бұрын
makofi kwa raisi wa jamuhuri ya Tanzania🇹🇿 japo kua wapo wana mchora tuu lakini ninakuomba mwishimia raisi awa watu watakuja kua maadui wa tasisi yoyote ile
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Ай бұрын
Kumbe tunavyo lalamika mnaiba pesa kwenye nchi, wewe unaziba masikio
@NdageKitahama
@NdageKitahama Ай бұрын
Mama ufisadi umezidi cc wananchi wanalipa Kodi mafisadi wanazichota shida iko hapo tunalalamika wezi wa pesa za umma hawakamatwi lipot ya CAG mpaka Leo hatujaona waliotajwa wakichukuliwa hatua Kali
@user-hu8ke4gx1j
@user-hu8ke4gx1j Ай бұрын
MAKONDA ANGEKUSAIDA KIUTAWALA MPE UWEZO ZAIDI NA ULINZI
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d Ай бұрын
umeongea vyema
@ebrahimosman5477
@ebrahimosman5477 Ай бұрын
Swsw mam 🙏🤲
@mudrickkisinda1515
@mudrickkisinda1515 Ай бұрын
Yeye mwenywe Kuna siku alisema watu wanachuma sana matumboni ndio maana watu wanakusema kwann unawacha hao watu
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl Ай бұрын
Kumbe munachambuwa Hadiyahuko Tanzaniya? Endeleyeni Atahuku KENYA.
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 Ай бұрын
Makonda hapo sawa mama
@frankkitomary3878
@frankkitomary3878 Ай бұрын
aya sasa mama ninakushiru sana maana sasa umeshaona jambo flani kuna watu awajajua ya maneno ya kiswahili sasa watafute mzaramo awatafsirie
@samniza1763
@samniza1763 Ай бұрын
Serikali itakupa? Utakuwa replaced, aje wa kuja manage vizuri.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Ай бұрын
SSH ❤🇹🇿🇹🇿
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Mam.ongea.pointi.kama.raisi.kemea.maovu.usafiri.punguza.watu.wafurahi.asante.mama
@DeusAloyce
@DeusAloyce Ай бұрын
Mama nimekuelewa piga kazi usijali rais wangu tuko pamoja na wewe
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Iko au tupo
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Ай бұрын
Uyu mama nimstarabu😮😂 avumilie tu matusi ya mange😅
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Pesa.ipo.mbona.mishara.Hapandishi
@AMENMUSHI-wt4li
@AMENMUSHI-wt4li Ай бұрын
Mm
@Lejinachalessi
@Lejinachalessi 26 күн бұрын
Kwel😂
@user-kb6pz9dk8n
@user-kb6pz9dk8n Ай бұрын
Utatoka utake usitake usituletee misemo ya ki Zanzibar huku ni bara
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Hii ni Tanzania yeye ni Rais wa Tanzania.
@user-kb6pz9dk8n
@user-kb6pz9dk8n Ай бұрын
@@hajihassan5433 nani alimpigia kura? aliwekwa na katiba ya kijinga wa Tanzania sasa wameelewa madudu yake atatoka iwe kwa kheri au kwa shari
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 58 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 24 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 51 МЛН
Rais Ruto akosolewa kwa kumpa pole TRUMP
6:26
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 16 М.
Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI
11:36
#asmr #pagani #huayra #paganihuayra #supercars #fastcars #speed #cars
0:10
Быстрый, стильный и крутой Тигуан! Проект закончен 💪
1:42:27
ИЛЬДАР АВТО-ПОДБОР
Рет қаралды 2,8 МЛН