mama yako wewe huyo samia sisi ni mama wa kambo labda aturete katiba atakua mama wa democracia tz kama sir elen jonssoni wa liberia na joseph kabila kabange congo ariweka katiba akaikubali kuachia madaraka bira vita
@MiriamAbdallah7 ай бұрын
Mama wa kambo huthubutu kuidhinisha katiba mpya yeye na kikwete ndo wanatumaliza