MALIKIA WA KUZIMU ANAETEKA WANAUME AKAMATWA LIVE.

  Рет қаралды 1,115,167

UKOMBOZI TV

UKOMBOZI TV

Күн бұрын

Dada huyu aliyekuwa amefungwa na jini Malikia ( MALIKIA wa KUZIMU ) kwa muda mrefu Amefunguliwa kwa njia ya UNABII. katika Madhabahu ya Ukombozi mwanza Tanzania.

Пікірлер: 711
@yadernonlinenetwork630
@yadernonlinenetwork630 3 жыл бұрын
Jamani shikeni sana neno la mungu huu unabii utatupeleka wapi mwamini mungu jiunganishe na mungu akufanyie sio nabii . Nabii ni binadam kama mungu amemtuma tutajua kwakuwa mungu anajua kumtambulisha mtumishi wake ila tujue kuna manabii wa utambuzi shika neno nae nabii anakufa na mungu atamuhukumu tusitumie jina la mungu kwa manufaa ya mifuko yetu ila tumuombee maana yeye ndio kimbilo wachungaji tuhubir neno la kweli na tuwafunsishe watu neno la mungu sio utabir .mbarikiwe na bwan
@telesianasuleiman2302
@telesianasuleiman2302 2 жыл бұрын
Amina
@roseamos2812
@roseamos2812 4 жыл бұрын
Usanii mtupu Mungu atusamehe pepo hahojiwi anaamuliwa atoke anahojiwa kwa mganga kanisani ANAAMBIWA atoke kwa jina la Yesu
@eliaswilson1601
@eliaswilson1601 4 жыл бұрын
Rose Amos wewe ni wale wale maaana hujui lolote na inawezekana uko kule makanisa bila yesu MUNGU akusaidie waliookokaaa ndio roho mtakatifu huwaonesha haya.ata bibiliaaa huijui nakuonea huruma
@lazerpacer189
@lazerpacer189 4 жыл бұрын
they learnt their acting from the best in kenya, "pastor ng'ang'a" na "pastor kanyari" of the famous potassium permanganate. God for us all.. these prosperity pastors are after money cos they know their destiny is hell..truth be told....
@mikekipngetich1078
@mikekipngetich1078 3 жыл бұрын
Huu ni utapeli wa hali ya juu, Mungu hawaachi kwa kiboko chake kali,
@edithjohn7973
@edithjohn7973 2 жыл бұрын
Amen jina la yesu liinuliwe na kutukuzwa hakika yote yawezekana kwake
@EliabuTitus
@EliabuTitus 2 ай бұрын
Amnaaa kitu apo niugangaa tuu
@jacrinejohakim2803
@jacrinejohakim2803 4 жыл бұрын
Nyie mchezeen mungu tu iposiku mtalia nakusagameno
@GidionMabele
@GidionMabele Ай бұрын
Good san mtumishi wa mungu. Mungu akuongezee kw kazi yake 🎉
@samsonpeter5407
@samsonpeter5407 4 жыл бұрын
Aliyeona Nabii Huyu ndio wale waliotabiriwa na nabii WA kweli yesu Kwamba watakuja kwa Jina lake.... Agonge like
@happyngoda6017
@happyngoda6017 4 жыл бұрын
Hahahhhh kabsa ata uyo dada kakodiwa mtu gan mwenemapepo anakua ivyo
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
@@happyngoda6017 apana saiz wachungaji wanakua ba nguvu za giza alafu wanawatupia awa
@lazarosoja6522
@lazarosoja6522 4 ай бұрын
yesu sio nabii ni mfalme wa wafalme bwana wa mabwana mshauri wa ajabu na Mungu mkuu
@bulengedimathias6756
@bulengedimathias6756 26 күн бұрын
Luka 21:8, Mathayo 24:24&23:15
@mariamumapunda4614
@mariamumapunda4614 4 жыл бұрын
Watu zangu wanapotea kwa kukosa maarifa jamaan ajue kuna mtu anaitwa esta yupo kanisani na amevaa sket nyeuc manabii wa uwongo mungu anawaona
@hagainzowah9260
@hagainzowah9260 3 жыл бұрын
Mtoto akicheza kiajabu
@fatumamohamed8645
@fatumamohamed8645 3 жыл бұрын
Endeleeni kuchezewa Akili mwisho wa Dunia Mtakimbiana na huu mchezo wenu Mungu awaongoze, Alhamdulillah am a Muslim na wala mola asinijaalie katika vishawishi kama hivi na mchezo ya kuiga tu🤣🤣
@dottoemanuel9697
@dottoemanuel9697 3 жыл бұрын
Huyu mwanamke nayeye nimpumbavu
@HappyStephan
@HappyStephan 2 ай бұрын
Eti jamani unaamua kuigiza ujinga kama huu na atakuja kua Ivo ivo kweli​@@dottoemanuel9697
@AslimLovelyne
@AslimLovelyne 2 ай бұрын
Asante yesu kwa kumkomboa
@AidanLuoga-sg7tc
@AidanLuoga-sg7tc 2 ай бұрын
Dah,,huyu amezidi
@binaamour318
@binaamour318 Ай бұрын
Wachezeeni akili t Hawa ck y mwisho mutaujua ukweli
@tausilazaro2477
@tausilazaro2477 3 жыл бұрын
Mbona kipindi cha corona Mlipotea ghafra saiz mmetokea wapi e mungu tuokoe
@nahashontirop3970
@nahashontirop3970 3 жыл бұрын
Satakari tu hizi, lakini mko tu Kwa mda mfupi!!!! Bwana yesu Kristo apewe sifa
@edinaadam8358
@edinaadam8358 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema aniponye na Mimi na familia yangu najiunganisha nauponyaji huo
@EdsonMseven
@EdsonMseven 16 күн бұрын
dada soma mathayo 24 yote na ufunuo waongo hao
@honestjunior9284
@honestjunior9284 3 жыл бұрын
Mbona sjaelewa mara Simba mara chui mara jini mahaba mara Esta mara markia mara anataka wanaume mara anateka wanaume
@DenisFute
@DenisFute Ай бұрын
Ndugu mtuu. Anaweza kuwa na vifungo vingi
@damarischepkoris9531
@damarischepkoris9531 4 жыл бұрын
kama huamini that mashetani hujisalimisha look for Rehema deliverance and utaelewa he is a real man of God...God give you more power man of God
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana naangalia kutoka NIGERIA.
@nasrasway7143
@nasrasway7143 3 жыл бұрын
Am watching from south Africa
@evamringo2331
@evamringo2331 3 жыл бұрын
Hosea 4:6.. hamuelewi tu... Waombee kwa Jina la Yesu mtumishi
@richardsanga1711
@richardsanga1711 4 жыл бұрын
Mungu ndie anayejua cha mungu kinadumu Milele kazi njema nabii mungu aliye juu sana akulinde
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL Ай бұрын
Kazi ya mungu isonge mbele.mtumishi simama zaidi usilegelege
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 3 жыл бұрын
Kaole sanaa group
@HappyElias-m1l
@HappyElias-m1l Ай бұрын
Kwel ett me nakubalian naw
@rugurunjeriwariara1018
@rugurunjeriwariara1018 3 жыл бұрын
God is coming to judge everyone God open my eye I pray ad fast because of kingdom of heaven it's not time to follow miracle it's time to preach repentance jesus is coming soon
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 3 жыл бұрын
Huyu nabii ni wa kweli
@BeatricephilipKaishe
@BeatricephilipKaishe 3 жыл бұрын
Kamani mungu atukuzwe kamani mkono wa MTU basi alaaniwe
@kipronoofficial6867
@kipronoofficial6867 3 жыл бұрын
Pastor barikiwa sana Hadi huku Kenya pia tuombee sana
@taybatanaka1484
@taybatanaka1484 3 жыл бұрын
Eeh mungu tuongoze kwenye njia inayokupendeza, tunusuru na huu ujinga tunaouona kila kukicha. Manabii wanaibuka kila siku kwa kuwapoteza waja wa Allah.
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Hayo ndio yaliotabiliwa kuwa mwisho wa Dunia watatokea manabii wa uongo ndio hao
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 2 ай бұрын
NYAKATI ZA MWISHO KWELI! DAH!!!
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 2 ай бұрын
dah! Mungu atuepushie mbali na huu ujinga kwel!
@fedrickbilalie6309
@fedrickbilalie6309 3 жыл бұрын
Jamani tumwamini mungu wakweri dunia yareo inaerekea kubaya sana
@erickmuema2393
@erickmuema2393 4 жыл бұрын
Wanabii wa uongo mmoja ndo huu kwa jina ya Yesu shindwa
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
Amen
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 ай бұрын
Ushinde unabii gani
@erickmuema2393
@erickmuema2393 2 ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 Isaiah 8:20
@solomonndeti1736
@solomonndeti1736 3 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kazi nzuri.
@crispindrummer2765
@crispindrummer2765 2 жыл бұрын
Aimidiwe wa majeshi kwa kazi ya musalaba
@frolapaul8430
@frolapaul8430 4 жыл бұрын
Bwana YESU na azidi kukutumia kuvunja kazi za kuzimu,
@lydiahmogendi3290
@lydiahmogendi3290 3 жыл бұрын
Jina la yesu Lima Nguvu.. Mapepo yanatoroka kwa jina la yesu christo Amen
@isacklazaro3977
@isacklazaro3977 3 жыл бұрын
N kweli ila tujihadhari na manabii wa uongo
@GiftErasmus-pd7zz
@GiftErasmus-pd7zz 2 ай бұрын
EE Mungu utusaidie manabii wengi niwaongo alfu uwongo unaonekana peupe Yani awanaataaibu bible imesema nyakati zamwisho watatokea manabii wengi wauwongo nawatatoa pepo kwa jina la yesu
@SarymElias-sq5wr
@SarymElias-sq5wr Ай бұрын
Mh uwe eeh malikia anasema ndoivyo malkia kapigaje hapo
@susternguvila4338
@susternguvila4338 21 күн бұрын
Ameen Yesu ainuliwe na injili isonge mbele🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@chrisgodie9627
@chrisgodie9627 4 жыл бұрын
O GOD open us our eyes ad give us knowledge to know right men of GOD.
@mandevuoriginally9280
@mandevuoriginally9280 3 жыл бұрын
@@meresianafidel9195 TB Joshua, mtafute
@mohdsaid7189
@mohdsaid7189 3 жыл бұрын
@@meresianafidel9195 acha upumbavu we we tutajuaje kama kweli
@celinelyimo6003
@celinelyimo6003 4 жыл бұрын
Amina Baba ubarikiwe sana
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 жыл бұрын
Imani Yangu itaniponya kwa jina LA yesu na si kwa jina La mchungaji, duniani tunapita binadam sote
@sergesshimirimana468
@sergesshimirimana468 3 жыл бұрын
Amen
@simonfundisha6817
@simonfundisha6817 3 жыл бұрын
Wewe Ester Ukitoka hapo kwa Nabii, Nitafute. Nimekuelewa Sana. Uko Mtamu Sana. Mm nawapendaga Malikia Kama nyie. Mnaotoa ushuhuda wa Uongo. Bwege Wewe.
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-hj4pq9kb3s
@user-hj4pq9kb3s 19 күн бұрын
😂😂 nimecheka tu
@keziaemanuel6363
@keziaemanuel6363 4 жыл бұрын
M nahc huu mwaka hauishi bila Yesu kurudi
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
😀😀😀😀maana Atari
@Betty-bp4gp
@Betty-bp4gp 2 ай бұрын
Ako w ap
@juliejulie8704
@juliejulie8704 4 жыл бұрын
Tatizo hatujui ni Yesu gani huyo kwann hamuongei Yesu kristo hhmm Mungu atuongoze
@khamismwalimu2681
@khamismwalimu2681 3 жыл бұрын
Ha
@godfreymakoi9849
@godfreymakoi9849 4 жыл бұрын
Achani kushambulia kazi za Mungu, hizi ni kazi za Mungu aliye hai. Kama hamna Mungu wacha wenye Mungu wa kweli wafanye kazi.
@JfadhilizabwanaJames
@JfadhilizabwanaJames 9 күн бұрын
nawe bwege kama bwege mwenzio huyo
@adeliusbarnabas9356
@adeliusbarnabas9356 4 жыл бұрын
Mungu azidi kutufungua maana hatuna tulijualo bila yeye
@zainabjumanne2907
@zainabjumanne2907 3 жыл бұрын
Uongo huo mtadanganya wengi
@josephinemumbua159
@josephinemumbua159 4 жыл бұрын
Siku ya ukumu wataambiwa ondokeni muende motoni Mimi siwajui watasema tulikua tunatoa mapepo Kwa njina laka yesu atawaabia siwajui
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
Ww waache mm naawaangalia
@zainashikuku3960
@zainashikuku3960 4 жыл бұрын
Mambo ya manabii n uongo.wanaongea na wakristo,wajifanye wana shida.xx wanajionyesha kwa media eti wamepona,Tasa wamepata watoto na etc.Kumbe n biashara kutafuta njia ya kujaza kanisani ili wafaidike kupitia kwao
@anoldaudax6693
@anoldaudax6693 4 жыл бұрын
Kweli kabca kla m2 ashikilie iman yake. Wapendwa was mngu
@robertsure146
@robertsure146 3 жыл бұрын
Mungu tupe macho ya ndani
@charlesnginila3334
@charlesnginila3334 3 жыл бұрын
Huyu ni togauti anataja jina la yesu hebu munagalie yule mchungaji mwalabu yule anakupuli na pumzi yake hakuna jina la yesu linalo tajwa hapo
@eliphridasebastian1541
@eliphridasebastian1541 3 жыл бұрын
Jamani haya ni ya kweli Wala nabii malisa hadanganyi
@samuelkiarie1720
@samuelkiarie1720 4 жыл бұрын
Poleni wa Tanzania...tulidhani utapeli kanisani iko tu Kenya...tulidhani nyinyi ni wasafi...kumbe hakuna tofauti utapeli kanisani
@methodaud3338
@methodaud3338 4 жыл бұрын
utero kanisan
@farajajuddy3871
@farajajuddy3871 4 жыл бұрын
Hii kitu hata mpumbavu tu anajuwa kabisaaaaa ni utapeli na uwongo
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 3 жыл бұрын
Eee mwenyez Mungu nisaidie!! Tusaidie kwajina la Yesu
@user-yd4bj4ke8v
@user-yd4bj4ke8v 2 күн бұрын
Ninyi watuma posti tatizo renu mungu mumeweka kwenye kijiko munataka afanye munavyotaka ninyi
@stanyamisi5823
@stanyamisi5823 3 жыл бұрын
Félicitations nabihiiii , wa mungu Siku Gani uta kudja Congo tu n'a ku itadi udje utu pone.
@shabaankahindi9749
@shabaankahindi9749 3 жыл бұрын
Wallah huu ndo wizi wakaribu, inawezekana vipi jina moja na watu 5 tena wote nishetani
@bensonkariuki1831
@bensonkariuki1831 4 жыл бұрын
Matapeli kwaneno la Mungu niwengi kweli nyakati za mwisho hii nibiashara
@petroshija6084
@petroshija6084 3 жыл бұрын
sikuzamwisho zimefika matapeli wengi wanatumia nguvu zagiza
@amanimanase5794
@amanimanase5794 4 жыл бұрын
Hahahaaaa kwa uongo mnaweza
@bulengedimathias6756
@bulengedimathias6756 26 күн бұрын
May Good give you the spiritual eyes to discover this comedy. Math 23:15, 24:24& Luka 21:8. Kwa umati huo hayo majina hawawezi kukosekana na kwa lipi hao wadada wameanza kujiliza kama kweli hawajapangwa?
@yusuphmussa6589
@yusuphmussa6589 4 жыл бұрын
Muogopeni mungu iyo move au live kanisani
@anoldikiti2444
@anoldikiti2444 3 жыл бұрын
Muogopeni Mungu jamani msimchezee....
@christinadaniel3274
@christinadaniel3274 4 жыл бұрын
Nabiii BGMalisa umekuwa baraka sana
@anordkabhole6897
@anordkabhole6897 4 жыл бұрын
Mungu tupemacho yarohoni
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 4 жыл бұрын
Tuone yanayoenderea
@fransciscahndakala1571
@fransciscahndakala1571 4 жыл бұрын
Nyinyi watanzania mtaacha unabii wa uongo lini?mbona mnachezea jina la Yesu ivo aki
@happykapinga6778
@happykapinga6778 4 жыл бұрын
Jaman
@maryboniphace629
@maryboniphace629 3 жыл бұрын
Sio wate ila huyu noma ni muhongo atari
@puritypurity838
@puritypurity838 3 жыл бұрын
Mbavu zangu mm😁😁😁😁😁😆😁😁😁😁mdada mwenyewe ajui kuingiza,jamani moto utakao wachoma hawa manabii wa kujituma mungu tu ajuaye
@Limbakale260
@Limbakale260 4 жыл бұрын
Acha uwongo tunaojua mtu mwenye pepo hapo umebugi katika kuigiza.
@jafarijafari2035
@jafarijafari2035 3 жыл бұрын
Haaaa
@wilemkondya8367
@wilemkondya8367 4 жыл бұрын
Hakika Mungu atufungue zaid wanaume, maana bila yeye hatuwez kuwatambua hawa wanawake, n yup Mwanamke sahihi kwetu
@yasmineyasmine5489
@yasmineyasmine5489 4 жыл бұрын
mungu ni mwema sana kwa wamuaminio
@stallonenjoroge6331
@stallonenjoroge6331 4 жыл бұрын
Ni kweli kaka
@adamamin8148
@adamamin8148 4 жыл бұрын
Shikamoo elaaa
@maggiechepkorir7565
@maggiechepkorir7565 4 жыл бұрын
Kwani! Ni mwaume mmoja! Nduru ni mtu mmoja.
@kefulinmathias2738
@kefulinmathias2738 4 жыл бұрын
Mutumishi wamungu mungu akubalik mimi nikefulen mathias mutumishi nkome geita
@puritychogoro
@puritychogoro 4 жыл бұрын
God is great,
@elishapetro1363
@elishapetro1363 3 жыл бұрын
SDA
@kamutua6376
@kamutua6376 4 жыл бұрын
mwenye mapepo ya kweli adi ww utamuogopa ty. uyu alipelekwa tu shule kama nakosa jmn naomba msamaha hila tu tuwe macho manabii wa uwongo wengi mno..
@kesialunyungu7408
@kesialunyungu7408 4 жыл бұрын
Dada Muogope muumba wako ipo ck nawe yatakukuta ndo utajua maigizo au laa Mungu wa mbinguni akurehemu
@revintanmbovela3226
@revintanmbovela3226 4 жыл бұрын
Praise the Lord
@victorineamos3620
@victorineamos3620 2 жыл бұрын
Faya kabisa
@erastoezekiel3858
@erastoezekiel3858 3 жыл бұрын
Hata Wewe unaejiita nabii wa mungu nimnafki tu huna mungu wa kweli nikuzalilisha tu watu
@stelabenitho2315
@stelabenitho2315 4 жыл бұрын
Tatizo hamtaki kusoma neno mnataka kutafuniwa Kam watoto wachanga uchanga kiroho ndio tatizo
@simonlucas665
@simonlucas665 3 жыл бұрын
Nabii mungu akabaliki by mshelela
@rugurunjeriwariara1018
@rugurunjeriwariara1018 3 жыл бұрын
Jesus was fasting and praying most of the time that why jesus when he was healing rebuking demons he was not straining alot he was just saying come out and thy come out God open my eyes
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 3 жыл бұрын
Huyu nabii ni wa kweli
@abaasemmanuel5259
@abaasemmanuel5259 3 жыл бұрын
nabii wa mwisho ni MOHAMMAD(s.a.w) ww ngojea sku ya mwisho ndo uone kama commedy yako itakusaidia fanyeni kazi acha utapelisidhan kama hata una nguvu za kukemea pepo ww sasautaanzaje kupambana na malkia wa kuzimu acha uhuni na soon Mungu atakuumbua ww utapeli kwa jina laYESU sio mzuri afu huyo dada ajui kuigiza kwamba amjui Yesu akat mpaka miamba na miti wanalijua jina hilo ABOMANYI QWAMA INTYETRBN PIETYEU RUME YHYNII UHUNII
@LovelyBabyTurtles-ur1mk
@LovelyBabyTurtles-ur1mk 6 ай бұрын
Amina napokea na mimi
@masyanzomo3284
@masyanzomo3284 3 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni ndiye anayefahamu ukweli tu
@eliapasteur9546
@eliapasteur9546 2 жыл бұрын
Vrément kazi iko.
@bikemwayowele
@bikemwayowele 3 жыл бұрын
Amjambo watumishi wa MUNGU NAITWA nabii bikemwa mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka DRC congo jamani munisaidiye kwakutembeya Channel yangu KZbin nina nyimbo nyingi sana nzuri apo KZbin tusapotiyane kwaku sambaza link ya KZbin yangu. Ili injili ya bwana ipate kuwafikiya mataifa wengi.
@AdinasiKE
@AdinasiKE 2 ай бұрын
Wacheni ujinga nyinyi mnachezea dini ya mungu mnafanye mchezo nyinyi mtamjibu ninj Allah kiama ikifika hii ni biashara mnayofanya.
@rebeccaisack6481
@rebeccaisack6481 3 жыл бұрын
Duh mwenye nguvu zamungu hawezi ongea napepo ivi Ila kweli siku zamwosho zimekalibia
@maximilianmayani3663
@maximilianmayani3663 3 жыл бұрын
Aaàh mungu atakuonyesha kwa hsyo yote unayotenda
@Unity.is.power1
@Unity.is.power1 2 ай бұрын
Yesu na wanafunzi wake hawakuwahi kuhubiri kwa siasa
@ValentineUrio-e7i
@ValentineUrio-e7i Ай бұрын
😢God is great
@mariammwano4237
@mariammwano4237 3 жыл бұрын
Mungu akubariki
@BettyNyamvula-u8f
@BettyNyamvula-u8f 21 күн бұрын
Pastor bwana yesu asifiwe naitwa Betty naomba uniombee nipate mtoto Niko 26yrs
@DogoTistiany7
@DogoTistiany7 2 ай бұрын
Mungu tuepushe na manabi wa uongo
@Ijueafyayakotv
@Ijueafyayakotv Ай бұрын
Barikiwa sana Baba
@stellamariesmbattha9684
@stellamariesmbattha9684 3 жыл бұрын
Tuombee.mchungaji...na.ngalia.kwa.sim.Amen
@josekalinga5448
@josekalinga5448 4 жыл бұрын
Mathayo 24:1-51 yaani wanaigiza live Mungu atawawajibisha vizuri , mnasema fire ya wapi hyo subirini Moto wenu usiozimika
@jikeycleverboy4433
@jikeycleverboy4433 3 жыл бұрын
Anataja yesu sijasikia kataja YESU KRISTO wa yesu niwengi Ila YESU KRISTO nimmoja tu
@jikeycleverboy4433
@jikeycleverboy4433 3 жыл бұрын
mchungaji wa Yesu siyo wa YESU KRISTO
@evamajege6749
@evamajege6749 2 жыл бұрын
Yes, Hakka Yesu ndie
@marthaayuma7065
@marthaayuma7065 2 ай бұрын
Mbona mnachezea mungu
@nsabigabajean388
@nsabigabajean388 3 жыл бұрын
Muchungaji mungu akubariki
@SavioMponzi
@SavioMponzi 20 күн бұрын
Jaman jihadharin na manabii wa uwongo utawatambuaje Kwa matendo Yao na ishala na maajabu
@otienomagatti5111
@otienomagatti5111 3 жыл бұрын
Kwa nini tunaubiri tu kuhusu maisha ya watu badala ya kuhubiri uokovu kila muhubiri kazi zao siku hizi kuongelea uchawi tu waongo hao
@fl11737
@fl11737 4 жыл бұрын
Fire gani hata haieleweki 🤔🤔🤔qwn mtu akiwa na mapepo akiombewa aneza kusimulia ya awali??? Acheni kuwa manabii wa uongo eti😠😠
@rukiajumaa574
@rukiajumaa574 4 жыл бұрын
Huwez kuelewaa kama hujawahi kuponywaaa
@fl11737
@fl11737 4 жыл бұрын
@Kadala official 😂😂😂
@fl11737
@fl11737 4 жыл бұрын
@@rukiajumaa574 nieleze kinagaubaga naomba
@fl11737
@fl11737 4 жыл бұрын
@Kadala official nakubaliana nawe💯💯
@EvalinneNelson-hx2xi
@EvalinneNelson-hx2xi 4 ай бұрын
Ubarikiwe
@MeshachMesh-os4xt
@MeshachMesh-os4xt 2 ай бұрын
Wah bna wanachukua video wah mungu awasaisie ctajudge
@ObedyBazirake
@ObedyBazirake 2 ай бұрын
Bwana yesu kristo asifiwe sana
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 3 жыл бұрын
Afadhali wakristo mmegundua huu usanii wa huyu TAPELI.
@AhmedAhmed-yo1xf
@AhmedAhmed-yo1xf 4 жыл бұрын
Dhuuuu watz kumbe pia kuna manabii wa uongo
@agapemtuli9175
@agapemtuli9175 4 жыл бұрын
Poleni Sana waisilamu mnaohabudu majini ndo maana mnaona Kama maigizo. Pole sisi twalitaja jina la Yesu twapata kuwa huru.
@ukhtyashachannel5505
@ukhtyashachannel5505 3 жыл бұрын
@@agapemtuli9175 😁😂😂😂😂hatari kweli dini moja tu yesuu sio mungu
@ukhtyashachannel5505
@ukhtyashachannel5505 3 жыл бұрын
Jaribu kusema yesu nipe pesa zitakujaa ama
@AhmedAhmed-yo1xf
@AhmedAhmed-yo1xf 3 жыл бұрын
@@ukhtyashachannel5505 kabisa Ila hiyo ndo dunia ya sasa,huku kwetu pia ni hivyo,ushawai ona msomali anakwenda kutafuta miujiza
@lizyjosephat7736
@lizyjosephat7736 4 жыл бұрын
Amen Mungu akuinue zaidi baba
@JfadhilizabwanaJames
@JfadhilizabwanaJames 9 күн бұрын
wewe ndio kikwetu sisi tunasema zyomo
@godfreykhatau4013
@godfreykhatau4013 4 жыл бұрын
Naenjoy nyie hizi comedy jamani....yamkini kama mahozi yananilenga, kwasababu sipendi watu wanamchezea Mungu... Wewe nabii wewe usipotupu usipotupu kwa dhambi za kuwapoteza hao watu wa Mungu.........moto wa milele unakusubiri...
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 жыл бұрын
Majangaa
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
Hawa n waongo sana
@IbrahimMussa-s4r
@IbrahimMussa-s4r Ай бұрын
Mtumishi UK mkoa gan mtumishi
@mwadawasaidi3752
@mwadawasaidi3752 4 жыл бұрын
Yani hii njaa jamani tumuogopeni Mungu nyie watu mjuwe iposiku tutaulizwa jamani 😏😏😏😏😏😏
@stephenderrick1858
@stephenderrick1858 4 жыл бұрын
uwongo jo people are too desparately naive
@yusuphmussa6589
@yusuphmussa6589 4 жыл бұрын
No comment ira imani yako ndio utakayo kuponyA.
@farhanixhaka2840
@farhanixhaka2840 3 жыл бұрын
Yesu ninani anaeweza yote ni mungu tu uwongo mtupu
@doreenlazaro4954
@doreenlazaro4954 4 жыл бұрын
Kolona basi muitaburi dawa yake kama kwel😠😠😠😠
@endtimesdreamsandvisions6929
@endtimesdreamsandvisions6929 3 жыл бұрын
We we asante kwa kunikosea tuonane mbele ya God the father almighty
@endtimesdreamsandvisions6929
@endtimesdreamsandvisions6929 3 жыл бұрын
2peter 2
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
Nice Prophet.
@user-zb9sq2ov5z
@user-zb9sq2ov5z 5 ай бұрын
Kama hauelewi kinacho endelea Bora kunyamaza kimya kuliko kuongea usicho kijua😊
Mchawi muuwaji aanguka na kujisalimisha mbele za Yesu Kristo
27:38
UKOMBOZI TV
Рет қаралды 1,3 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 27 МЛН
Sigma Girl Pizza #funny #memes #comedy
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 2 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,9 МЛН
FAHAMU NGUVU YA MAOMBI USIKU WA MANANE.
57:20
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 610 М.
BINTI WA MIAKA 16 AZIFUNUA SIRI ZA WACHAWI NA JINSI YA KUOMBA..
20:14
Bishop Dankton Rudovick Rweikila
Рет қаралды 1 МЛН
UHALALI WA KISASI CHA WAGANGA
37:56
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 7 М.
HISTORIA USIYOIJUA JINSI MAREHEMU REMMY ONGALA ALIVYOKOKA KANISANI KWA ASKOFU GWAJIMA
35:12
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 27 МЛН