Asante mama yetu mmungu akulinde na kila bya kazi zako zende swa ameen
@hamdanbakarihamdanbakari75803 жыл бұрын
Kama unampenda xamia gangs like
@RichVoicetz-z9r3 ай бұрын
tumpende kwa lipi sasa
@sunyareh3 жыл бұрын
Sasa mtaona Tanzania inaishia kuwa kama Zambia nchi ime uzwa yote yale alie piga VITA JPM.. Huyu mama sina imani nae tena.
@riddickb73583 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana . Mungu akutangulie . Allaha akulinde na mahasidi wote .
@zawadichalale40473 жыл бұрын
Du! Nimemmiss Baba Magufuli na uchumi wa kujitegemea
@francismalingum67473 жыл бұрын
Mapichapicha yameanza mapemaaaa jpm tutammissi sana wanaobisha niwabinafsi fikra tu
@nzagambaog48433 жыл бұрын
Kazi kazi kasepa ulembo umebaki
@eddynaeem67082 ай бұрын
samiha unafuga majambazi kwa nini wanawazuiya wawekezaji halafu unawabembeleza
@samohazakwani68993 жыл бұрын
Allah ambarikie mama Samiya, kweli maneno yake, yaani hata wasafiri tunachoka kusimama foleni mbili kulipa kwengine kugongesha visa kwengine, tunacheleweshwa na tunachoka kusimama mda mrefu, wengine ni wagonjwa kusimama sana mitihani.
@gracemima52343 жыл бұрын
Africa haswa East Africa ni nchi muhindi ataingia na briefcase tupu na Baada ya muda atakuwa billionea na kuwaacha Watanzania masikini. Kusema ukweli Mama Samia unayoyazungumuza hapa ni maneno tu, kuzungumuza ni rahisi lakini vitendo kwa Watanzania ni vigumu sana. Hapa ufisadi utarudi kwa nguvu zote. Watanzania. Watanzania wanyonge wajitayarishe kwa mateso kama kule tulitoka.
@smaihsmaih28153 жыл бұрын
kwa kweli naona tanzania ya nawiri mambo yanakuwa mepesi asante sana mama yetu,hongera sana tunakuombea
@furahabeatrice20573 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana akuzishie nguvu mama. Kwakweli wewe ni mama wa watoto 👏
@saidkayoka94013 жыл бұрын
Masha Allah mambo yaenda kisomi Allah akuhifadhi mamaaa
@nuraansuhail25783 жыл бұрын
Mama masuala ya Covid kamati napata hofu naogopa kamati kuja na mambo ya chanjo na lock down Watanzania mbona tushazoea kuishi nao Kama malaria na Ukimwi hofu hatuna
@johnmichaellukindo213 жыл бұрын
Hofu huna wewe, sio hatuna
@gloriamwanjali93713 жыл бұрын
Wataalamu watatushauri njia rafikinkulingana na maisha ya watanzania. Lock down si lazima ila mengineyo yawezekana
@magaumasiaga31203 жыл бұрын
@@johnmichaellukindo21 utaingiziwa dude ww sio sisi
@nsibwenekaswaga62673 жыл бұрын
Hongera sana Mh Rais, nimepata faraja kwa kusikiliza hoja zako
@onesmojustice23483 жыл бұрын
JPM. Ukiona adui yako anakusifia nenda ukae chini jiulize umekosea wapi. Ukiona adui yako anakusema vibaya jua umempasua tayari. Mwisho wa kunukuu. Yetu macho.
@twahathomas35143 жыл бұрын
Dah nasikia lissu amempongeza mama nikashtuka kwanza
@aminahussein54183 жыл бұрын
Waige oman walichofanya
@aminahussein54183 жыл бұрын
Ipo kazi
@uwesusinde99763 жыл бұрын
Mungu atulinde kaka.
@KadeFue3 жыл бұрын
Adui yetu nani? Wawekezaji? Una akili kweli wewe
@ibrahimhemedi90793 жыл бұрын
Kodi nyingi kwa wawekezaji sio vizuri, lazima tujuwe Tz need strong leadership kulinda asilimali za nchi, ndio ya kila kitu inaleta mafisadi na mabeberu wengi na hali mbaya kwa wanyonge nchi ijengeki hivyo.
@isakawilliam51003 жыл бұрын
Na kingine hili haki sawa Kwa wanandoa nalo mama ndoa nyingi zinavunjika hawa wanawake wanawakorofisha makusudi wanaume zao muradi atoe taraka wauze chochote wanawake walioachwa ni wengi
@gracemima52343 жыл бұрын
Kuna watu hapa wanafuraha sana. Hawa watu ni wengi walioiteka Tanzania ikawa mali yao na kuwaacha Watanzania wengi bila ya haki. Wacha tungoje matokeo. Kwani kusema ni rahisi, kutenda ndiyo kazi. Haya wawekezaji wote karibuni Tanzania. Shamba ka bibi Sasa liko wazi.
@aminahussein54183 жыл бұрын
Aliweza magufuli tu basi
@gracemima52343 жыл бұрын
@@aminahussein5418 naanza kuamini hivyo.
@leekiss56023 жыл бұрын
Mama nakuelewa Sana yetu. Leo umeongea saut ya hapa kazi. Endelea kukaza ndimi mama.
@herswidamhoro66213 жыл бұрын
Ppppppppp00pp0ppp0pppppppppppp000000pp
@olaiskipuyon16783 жыл бұрын
Bizaa zina pandishwa bei, Mafuta ya kula,gesi,sukari punguzen bei kidogo jamani! Twaumia mweshimiwa rais wangu!
@bensonakuno223 жыл бұрын
Hapa matumaini ni kwa Mungu tu, mama kachukua mtazamo tofauti na ya hayati JPM. Tutamjua baada ya mwaka moja, kwa sasa ni mapema lakini dalili ya mvua ni mawingu..... Hapa kutanyesha mvua ya ufisadi sana
@lidiagodfrey57863 жыл бұрын
Umeona ndoo ivo
@manenoathumani20933 жыл бұрын
kweli babisa
@emmabroy12093 жыл бұрын
Mm sikuelewi
@sherryshibibyah78233 жыл бұрын
Hata mimi
@mamawakihindi56393 жыл бұрын
Mama samia hongera sana. Tumefurahi sana kwa hekima na busara zako.
@gracemima52343 жыл бұрын
Kwa hiyo wawekezaji waje na wafanya kazi wao. Wapate faida wao na waondoke na faida zote. Faida ya wawekezaji ni kazi kwa Watanzania . Haya mama unayoyasema lazima ufafanuwe vizuri unaturudiisha kwenye uonevu mkubwa.. Biashara ya insurance ni kama kamali pamoja na pesa zake lakini Watanzania ndiyo wanunuzuzi wa insurance.
@mikehjackson81463 жыл бұрын
Msikilize vizur mama utamuelewa usikaze sana ubongo dada angu unaambiwa kuna tofaut kubwa kati ya kusikiliza na kusubir kuongea
@sherryshibibyah78233 жыл бұрын
Umeona ee aisee nchi inarudishwa nyuma kwa kasi yani speed Kali duh!!,yani waje na wafanyakazi wao watanzania wawe wakutumikia nafasi za uboy,duh!!!!!
@aishaalbalushaishabalush82913 жыл бұрын
Good 👏👏
@yohanamoikan9323 жыл бұрын
Dada ukooo vizuri we ndo mwenye Akili unaona mbali,
@yohanamoikan9323 жыл бұрын
Watanzania hasa wasomi wengi Wana penda uongo
@humphreyvidonyi2533 жыл бұрын
Raisi wangu mpendwa umeongea mambo mengi mazuri sana but hyo team yko ndo 50/50. NaonBa uwe unafanya safari za kustukiza
@mossassaid26833 жыл бұрын
Aka Leo umebadilika wewe si ulikuwa makufuli 100/ 100 leyo vipi unakuwa kama baby
@lameckmichaelmagazi63453 жыл бұрын
Mama Mimi simuelewi. Haohao wawekezaji hawalipii ushuru na mapato yanchi wanamanagani?
@manmill24443 жыл бұрын
UNATESEKA UKIWA WAP KENGE WEWE
@lameckmichaelmagazi63453 жыл бұрын
@@manmill2444 Nikiwa na mamayako hapa
@ndaromachumu25583 жыл бұрын
Uyu mama I nchi itamchindaa
@saidgeyash25693 жыл бұрын
Wewe Fanya adabu wakati watanzania tumepata almàsi wewe unaongea kama umesombwa Na maji au wewe mnyaruanda nini? Wacha mama atulee wanae
@brysonkaale30033 жыл бұрын
Hawa Ni walewale waliodhani kwamba matajiri wakimalizwa Maisha ya maskini yataboreka!,Matajiri Ndiyo nguvu ya serikali ukiwamaliza umejimaliza!.
@jambochannel24253 жыл бұрын
Kuongozwa na watu hawazjui shida naona uwezo wako was kufir no mdogo mapema sana unataka tuharbia nchi
@nishasalim28803 жыл бұрын
Sana! RIP JPM.
@issahmaganga33863 жыл бұрын
Aswaa
@salumabdallah66803 жыл бұрын
Imekula kwako sasa 😅
@fransavinhonacmela8273 жыл бұрын
Mama kasha Anza uoga
@manmill24443 жыл бұрын
UNATESEKA UKIWA WAPI WEWE KENGE!!
@kambamazig020243 жыл бұрын
Madini tusipoangalia tunakuja kuporwa zaidi, badala ya kujitegemea sasa nakumbuka enzi za Ruksa tu. Hapa basi tena wanyonge tutalia. Kiswahili kizuri lakini behind it there is a catastrophe for our country. Let us work on figuring out the shortcomings and advance what JPM started. The mining sector can be a curse and we should learn it from other African countries. I fear where we are headed! Tusipoangalia watanzania tutakuja kuwa watumwa kwenye nchi yetu na uchumi kuwa mikononi mwa watu wachache.
@mubahamisi10753 жыл бұрын
Huyu mama anaua nchi jamani anaruhusu rushwa na wizi duì!
@shabaniddy64103 жыл бұрын
Rushwa ipi aliyoruhusu au unaota?
@dulabori99223 жыл бұрын
Nenda mwongo mkubwa wewe imezoea vya bure
@mubahamisi10753 жыл бұрын
@ROONEY ASILI TV Tunataka ata kama anawabadilisha asiwape sana nafasi ya watu warudi kama zamani na kazi zienderee umemsikia ndugai
@sherryshibibyah78233 жыл бұрын
Umeona ee
@verasikawa63823 жыл бұрын
Hongera mama yetu mungu akulinde na Tanzania yetu mungu ailinde
@TinasheBeture2 ай бұрын
Endeleza inchi ili isiwe maskini . Hongera sana . Mtu anaweka mfanyakazi mwaminifu ❤❤❤❤❤ tena anampa atakae . Leo 1kg ya mchele burundi mchele mzuri 6000 fbu . Je mwenye kwawo wamasikini atanunuwa mchele . Chunga sana wafanyabiashara ili inchi iwe namaendeleo . Wakiondok mmmm noma sana
@hamislipangine96493 жыл бұрын
Nimerudia speech ya mama Zaidi ya mara tatu ila bado cjamuelewa ebu nitulie baadae nitarudia tena, Maana nawezaj kuwa bingwa wa hesabu Kisha nisimwelewe mama?. Au Kuna tatizo la kiufundi?. Nawaza msemo wa wahenga Ukiona Adui Yako anakusifia ujue Kuna mahala unakosea..... Ila nitarudi tena.
@yahayamsuya22623 жыл бұрын
Nyie vibaraka mnaokula vzr bila huruma na wanyonge roho zinawauma kwakuwa mama anaonyesha kuwa jali wanyonge kupitia nafasi zao kama kilimo, ualimu na nguvu zao wanaona masikini watakula keki.mungu hamsimamie rais wetu wa wanyonge na wakuu wote wa idara
@joycekisamo48963 жыл бұрын
Chaguo Sahihi la Mwenyezi Mungu ni Samia Suluhu 🙏🏽
@sr.m.pacismassawe73063 жыл бұрын
Asante Sana Mama Samia. Umenirudishia matumaini mapya. Ninakupenda Sana Mama. Mungu akubariki. Nina amani moyoni .Mungu amekuweka kwa wakati huu utuokoe
@babyfaith27103 жыл бұрын
KWA STAHILI HII INCHI INAELEKEA PABAYA , MAMA HATUTAKI WAGENI WANAKUJA KUIBA MALI ZETU TUACHE MALI ZETU TULE WENYEWE KAMA MAGUFULI ALIVYOSEMA INCHI YETU SIO MASIKINI
@martinlucas64753 жыл бұрын
Kabisa yani
@omarikinyory57853 жыл бұрын
COLLECT Tanzania co nchi masikini kweli mahana nchi yetu ina kira kitu
@pascomagesa31033 жыл бұрын
Kumbe Wêwè Ni Rais Wawekezaji Yaaani Matajiri Bali C Rais Wa Watanzania Nahis Kma Tuna Rudi utumwani 😭😭😭 Rest in Peace Magufuri & Nyerere,
@simonchristian63193 жыл бұрын
We unataka wawekezaji wasiwepo?
@edetridiswilliam88133 жыл бұрын
Huyu nae ko ulitaka wawekeze Wanyonge! Una hela ya kuwekeza!??
@renathahendry86583 жыл бұрын
watanzania huwa tunasahau mapema sana, wachina walijaa huku nnchini mpk wamachinga, lkn magufuli alivoingia wakaondoka zao bila ata kufukuzwa maana walikuw wameshaona hatujielewi, walivoona jembe limeingia wakakimbia, huyu mama anataka kuturudisha kule kule, anataka hii nchi iwe shamba la bibi
@teamallyracing17803 жыл бұрын
We kweli huna akili we unafikirii kazi wanatoa serikali, je kodi we kweli boya
@MrK-mh4in3 жыл бұрын
Wendo jinga kabisa kwani inshi itaka bila wawekezaji unapoongeya kauli juwa kwaza kufikili ish bila biyashala itaka
@f.abdulali5693 жыл бұрын
Watanzania Mungu amewapenda sana kuwapa viongozi wenye busara na hekima...na zaidi WAZALENDO HALISIA. Nchi yenu itakuwa kama SINGAPORE chini ya miaka kumi...LKN mkisimama na WAZALENDO WENU. HONGERA MH. RAIS MAMA SAMIA.
@modekessy17903 жыл бұрын
Ntakulilia Magufuli daima. Simwelew huyu mama jaman
@berthajacob64923 жыл бұрын
Hahahhahahahahha
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
Me Nafikiri ni me mwenyewe..!
@maoleminja65143 жыл бұрын
Utaelewa tu inaonekana uelewa wako mbaya mfate
@izacluka20993 жыл бұрын
@@berthajacob6492 jmn unafrh tu mueleweshe mwenzio bethania hongera unajina zur
@swalehemusa45463 жыл бұрын
Nenda kamfate si kafa uko chato raisi wa mikoa mitatu tu raisi wa kabila lake
@sinasudimasoodi60713 жыл бұрын
Ongera sana mama yangu. Naomba sana tena sana uliangalie swara la wafanyakazi wa sungura textel. Malipo yao mpaka leo hawajapata asante sana mama
@kundaellyimo75233 жыл бұрын
Kazi ipo Jpm please amka uwaone wasaliti
@chidyjunior95393 жыл бұрын
Ww mnafkiiiiiiiiiiiiiii mjinga aaaaaaa jpm ndio yeye alikua nan kwan hata huyu si mwanaadamu acha uzalilishajiiii ww nchi ni yakwakwe pekeeee akeeeee sasa aludiiiiiiiiiiii tenaaaaa mjingaaaaa ww
@kundaellyimo75233 жыл бұрын
@@chidyjunior9539 how old are you
@kundaellyimo75233 жыл бұрын
@@chidyjunior9539 how did you create your email 😥😥😥
@selemanijuma55393 жыл бұрын
Wewe Ni mpumbavu WA akili
@clemantmalisawa30803 жыл бұрын
Akunaga mwanamke ambaye amekwishawayi kuwa kiongozi wambae anaejuwa kuongoza.kifo cha magufuli Tanzania mumepoteza ndoto zenu zote mana huo mama sio rais ila ni ticket ya mabeberu.nibendera huo mama anafata upepo
@issahmaganga33863 жыл бұрын
Kwel kabxa
@martinlucas64753 жыл бұрын
Ndio kichotokea sasaivi kwakweli magufuli tutamkumbuka
@gdesiandimbo53633 жыл бұрын
Woo mpuuzi wewe huyu ndo rais tunaemtaka kamfufue dicteta wako
@newlandcityc.e.oprincejr26293 жыл бұрын
Jaman mama Mh Rais wa awamu ya sita tunaomba uturudishie Agrrey alie kua mkuu wa mkoa wa tabora ata saidia mambo mengi kwa maendeleo ya Tanzania
@chachanyambuche12353 жыл бұрын
Hongera sana raisi wangu mpendwa unastahili kuombewa Mungu akubariki sana
@alexkamba52643 жыл бұрын
Mungu akupe maarifa zaid mama uko vzr sana
@issacksanga43263 жыл бұрын
Mungu akupmaish marefu mama
@yunistinatemba94663 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maarifa Mhe. mama yetu
@kautharjadid42873 жыл бұрын
Bashite ulicho mfanyia manji ww baba Mungu anakuona
@kebo21553 жыл бұрын
Wacha unafiki... Manji alikuwa Mteja na alikuwa na kiburi.... Wewe akili yako ya kitumwa ....alicho fanyiwa kilikuwa somo kwa Watu wote...
@charlesgabriel49183 жыл бұрын
Katika issue ya kufunguliwa vyombo vya habari na tvonline hapo mama hauko sahihi,utawavunja nguvu wasaidizi wako,usichukue sana mawazo ya mstaafu.vilifungiwa kwa mujibu wa sheria na hivyo vyombo siku za nyumba vimeyumbisha utawala,achana na huyo mstaafu,ana interest zake
@aishaalbalushaishabalush82913 жыл бұрын
👏👏
@clevermngao75653 жыл бұрын
Maoni yangu: Nchi yetu haijajengwa kwenye Mifumo inayojisimamia/ inayojiendesha yenyewe! Nafikiri hiyo ndio changamoto kubwa ambayo haitatupeleka mbele zaidi kimaendeleo! Kila kiongozi na style yake! Hakuna uniformity ya mifumo!
@imanmedia89103 жыл бұрын
Huyu Mama simuelewii kabissa,, God save our country maana mmh
@sherryshibibyah78233 жыл бұрын
For really tunarudi kuleee enzi za nchi kununuliwa mwekezaji akipapenda kwako anapanunua kwa lazima utahamishwa uende utakapojua mwenyewe huko ndiko tunakokwenda
@jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын
Mama umetisha"!kwanza Mungu akulinde,aturinde sote,nani na wapongeza JWT,cdf,mabeho na mwamnyange,mwakiborwa,mjomba jakaya mmepikika Mungu awalinde,kwel mnamuogopa Mungu, kiapo cha ukweli, mmetisha👏👏
@amourmtungo69413 жыл бұрын
🤔Kwa mpaka muda huu chama tawala na wapinzani wote wako ukurasa mmoja. Uongozi wa Mheshimiwa Samia tayari unaonyesha mwelekeo mzuri wa kukubalika na Watanzania wengi. Hongera kwa kila hatua na uamuzi wako unatufumbua macho na kutaka kusikia mambo mzuri zaidi.
@gilbertmichael91303 жыл бұрын
Wapinzani hawajawahi kukubaliana najambo lolote lile, hawabebeki hao hata wafanyiweje
@alawiali34753 жыл бұрын
Ulisikia wapi chama tawala na upinzani wanabebani coz kila upande unawania madaraka alieko madarakani ana ng'ang'ana abakie na mpinzani anafanya juhudi akamate madaraka hali iko ivo ivo ktk kila nchi zenye mfumo wa vyama vingi
@coolruler68203 жыл бұрын
Inaumiza lakini,,,mimi ni fundi rangi magari, nimeenda kununua brashi ya kupakia polishi gari nimekutwa imeandikwa made in China. najiuliza serikali inawaza nini kuhusu hizi pesa zetu zinazochumwa na wageni toka kwetu kuinua chumi zao "Afrika imekuwa ni kama kitegauchumi cha Ulaya? Tunabaki na maneno tuuu,,,elimu yenyewe imekuwa mzigo kwa Watanzania,,tunasoma tuuu mwisho unaambulia cheti. Nahisi Viongozi wa Afrika wanapaswa kubadili mawazo kuondokana na dhana ya kazi ya serikali ni kukusanya kodi na badala yake ibuni mbinu mbadala ya kuona ni vipi rasilimali watu itageuka kuwa kitegauchumi. Tukiendelea kusimuliana hadithi hakyanani hatutoboi, tutabaki historia tu zaidi kichwa cha mwenda wazimu
@amourmtungo69413 жыл бұрын
@@alawiali3475 Kwani wewe upo upande gani chama tawala au upinzani. Kama ni hivyo, jee hujafurahia chochote katika mambo ambayo Rais mpya ameshasema? Unapinga au unakubali kuwa amesema mambo mazuri na yanakubalika na pande zote kisiasa?
@amourmtungo69413 жыл бұрын
@@coolruler6820 Adui wa Afrika ni Muafrika. Tunachukia Wazungu bure wakati sisi ndio wenye mpini. Mzungu kaipata wapi dhahabu, almasi, Tanzanite na madini mengine? Viongozi hutumia jina la vibaraka na mabeberu kuwapotosha watu akili. Kama hujui hujui tu tatizo sio kibaraka wala Mzungu, tatizo viongozi.
@jumamnumbwa94833 жыл бұрын
I love you mommy kazi iendelee
@Mutindakamba3 жыл бұрын
Clear directive,, ongera
@NYAKANAZITVOfficial3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kwa maelekezo
@blandinamwarabu50253 жыл бұрын
Hahahaaaa Mwenyezi Mungu tuongoze ni wewe tu ujue hatima yetu
@brightluvanda27953 жыл бұрын
Hivi kuhusu hapo kwa waziri mkuu,,,kupewa hela ndogo!!"si angemshaurigi bosi wake magu wakarekebishaga mapema!??mhhh!! MUNGU usiiache ardhi wanayokanyaga wanyonge!!"
@aishaalbalushaishabalush82913 жыл бұрын
@@brightluvanda2795 Allah atawalinda musirud mlikotoka maghuful alitaka nyie watanzania ndi muwe mbele kuwajiliwa na waekezaj ili inchi na raiya wake ipate masirah ya uwekezaji ila mama anasisitiza wawache wajir hata watu wao sasa mali na pesa zote zitaishia inchin kwao wakat katka inchi zao wanaweka raiya wao mbele zaid kulko waekezaji na sheria zao muekezaj yeyote anatakiwa ajili watu hapo inchini kwao na mishahara mikubwa zaid ya wagen ila kuneinchi yenu waje waish wanavitaka asee watanzania munapelekwa siko dah mungu awalinde sana nahuyu mama
@josephjkimaro41093 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akutunze mamaaa
@khamisisalumu79063 жыл бұрын
Inshaallah Allah akulipe kwa ofu ya Allah siviumbe Bali wape ukweli Allah atakuifazi inshaallah kwani unaunusuluma kama watakulewa tutaishi kwa furaha sana muim haki itendeke inshaallah
@suleimanissa59913 жыл бұрын
Big brain mama Samia hongeraaaa Mungu akupe yote unayoyataka, akupe wepesi katika kuwatumikia Watanzania
@saudmohammed33903 жыл бұрын
Tatizo Tanzania hakuna sheria leo tunashukuru Mungu kumleta mama Samia lakini akiondoka anakuja mjukuu wa Nyerere na upanga wa Ujamaa unakufilisi yoote uliyonayo. Tunataomba sheria iwe sheria siyo amri ya yeyote anaota huko anamka na mapya
@eliasmosses81213 жыл бұрын
Mungu mrehemu Rais wetu Aliye kuwa Kipenzi Cha Watu Mh.Dkt.John Pombe Joseph Magufuli aishi vyema aliko Nas tutamkuta na Nimwombe Mungu Amlinde na kumwongoza mama yetu kipenzi Mh.Rais wa jamhuri ya Tanzania Mama Samia suluhu Hassan akaze boot na nchi iweze kusonga mbele AHSANTE MAMA KWA HOTUBA YAKO YENYE KUFUATA NYAYO ZA HAYATI Mh.MAGUFULI.
@aminimushi69453 жыл бұрын
Ahsante mama,umezungumza mengi,naamini kwa sasa kazi itafanyika,watendaji walikuwa waoga,na ndiyo sababu kazi yao ilikuwa kupiga makofi na kusifia ili mradi asitumbuliwe.
@nyamkazihealingvalleychurc95593 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu sana tunakiombea Mama
@dakihamalutaluta52433 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu uko vizuri
@genosumaye1403 жыл бұрын
Mama wa Tanzania kwanza hata nchi kwao ni wao kwani wageni baadae
@aishaalbalushaishabalush82913 жыл бұрын
Kweli kabsa hata maghuful alisema hajakatza waekezaji ila waje kama wanivifanya kwao waekeze kisha watoe ajira kwa raiya wa inchi tena kwa mishahara makubwa kulko wagen kwao ndi hufanya hivo ila samia anataka kudhoofisha watanzania wazid nyanyasika katka inchi yenu wanakuja kuchukua mali zenu nakuwatambia si inchi zetu hata zao wazung hakuna hivo wa kwanza ni raiya wa inch kwanza mgeni ni mgeni tu
Kwa sasanaamini watuwooote wameamini utawala uleeeee ulikuwasio sasatumepata raisi nafunga sikutatu kwakumtukuza mungu ametupatia kiongoz nasio mtawala MUNGU ibariki Tanzania nakumlinda kiongoz wetu rais mama SAMIA HASAN SULUHU Amin
@okongostephenv54213 жыл бұрын
Great concerns, heko Rais wa muungano wa Tanzania, faida kubwa kwa kila mwananchi. Santeni sana
@feiswalsalim21172 ай бұрын
aslm alykm nee katika mzuguoo ukona faida kazi taifa katika ulonzi halimashaurk codi
@mohamedkigwehe35613 жыл бұрын
Kilala kheiry rais wetu
@amethysturanus63513 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais, nashukuru sana kwa maboresho unayoya tizamiya Mbali kwa manufaa ya maendeleo ya watanzania. Mungu àkuongoze, Mungu abariki Tanzania. 🙏
@mathewtwimanye923 жыл бұрын
Hizi ruksa ni hatari alipaswa ajue haya makampuni kwa nn yamekimbia walikuwa wanakula bila kunawa hawakuwa wanalipa kodi walizinunua serikali za awamu ya 2 nna 4 then wakabanwa wakakimbia, mama uwe makini watakununua ni watu wa hatari utashangaa wao wanakuwa na pesa zaidi ya serikali, kuna watawala walifungua milango majambazi yakaingia hadi lkulu then tukabaki na rais bendera wao wakaitafuna nchi wakaiba sana serikali ikaishiwa pesa alipo kuja mzarendo wakakimbia na kumshambulia sasa tunaona tena kuna hatari hii ya majangiri hawa kurudi
@matrida.lunyilija51963 жыл бұрын
Ndg mama anaelewa kila kitu kwenye hii nchi na anachokitamka hakurupuki hata kidogo na hawezi kutetea majangiri bali anarekebisha alipokosea hatayi sababu naye alikuwa mwanadamuna c Mungu
@blackbeauty84623 жыл бұрын
@@matrida.lunyilija5196 umesema ukweli kabisa.
@erickmasambe48753 жыл бұрын
Kila mtawala anapoingia madarakan hususani huwa anaona aliemmtangulia akafanya sivyo wezi walikamatwa wakakimbia baadaye wanaambiwa Rudi nyumbani kumenoga ,kumbe wembe unaweza ukawa ule ule wa awamu zilizopita , mwenye macho haimbiwi tazama ,mikataba feki ilionyonya watanzania iko njiani mh Rais anatakiwa awe mkari Kama pilpili.
@samsonfulgence55533 жыл бұрын
@@blackbeauty8462 Hawa kina Mathew ni watu waliokuwa wanaabudu mtu na hawana uwezo wa kuona makosa yaliyofanyika. Kwahiyo mama anapojaribu kurekebisha mapungufu hayo wao hawamuelewi.
@blackbeauty84623 жыл бұрын
@@samsonfulgence5553 Haswaaaaaa kuna watu huwa hawajielewi na hawaelewi kiukweli.
@allymkalimohamed74193 жыл бұрын
Hongera mama tuna matumaini makubwa na Rais wetu.
@abdulrahmanally14123 жыл бұрын
Big up my President, this is the kind of President that we need in the RECENT world wide economic policy to ensure our economic development sustainability
@jumakika43143 жыл бұрын
Mama tunataka vitendo ,sio speech
@basleymrema86753 жыл бұрын
Asante sana mama uchungu wa mwana aujuae mama . Mungu akulinde raisi wetu.
@nicholassostenes43723 жыл бұрын
Hongera piga kazi mama mambo yatakuwa mazuri sana
@nyamangaking66083 жыл бұрын
Mnaingizwa kwenye chanjo unasema hongera wewe vp?
@abdimalikyussuf59723 жыл бұрын
Wewe wataka watu wa fukuzwe
@chandnikaria90513 жыл бұрын
Campuni zikifunguliwa wahindi nao watapata ajira nakurudi Tz na pia pesa zita zunguka kwa wao hao ndoo wanaependa kuwa wanatembelea sehem mbalimbali like enjoying places and Tz tuna sehem nyingi zaidi sema tu kwasababu wameondoka ndoo maana hizo sehem pako kimya,
@felixngelani68223 жыл бұрын
Naona dalli za manji kuludi nyumbani MMA hongera
@allycassim58163 жыл бұрын
Mh raisi kaona mbali tatizo wabongo mkipewa vitengo mnataka rushwa kubwa kuwapa wabongo wenzenu kazi mama Samia hongera!
@saudmohammed33903 жыл бұрын
Quite true indeed
@roselugendo69433 жыл бұрын
Hakuna nchi imeendelea duniani bila wawekezaji. China viwanda vingi vya wawekezaji wakubwa wako share na wachina. Mchina alichofanya ni kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji, maji, umeme wa uhakika, miundo mbinu. Magu rais wetu alichokuwa anafanya ni kuweka mambo sawa. Baadae wawekezaji wangekuja wenyewe. Rais samia simamia bwawa la umeme liishe, tren za umeme zianze kazi, shirika letu la ndege lifanye kazi vizuri. Mama mambo yataenda. Upo vizuri rais hongera
@alikimera15833 жыл бұрын
Sent from heaven. Godsend.
@shafiibobalish85323 жыл бұрын
Hata ukikamilisha documents zote huwaga wanatengeneza mazingira wenyewe wanakuambia signature hulipiwa, wakati huo muwekezaji analipa 1,000$ kwa work permit huku wanalipa 2,000$ mpaka 4,000$ for residence permit.
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Lakini mama samia hata nchi za nje wawekezaji wakija nchi yako, lazima kuna asilimia fulani wananchi wapewe kazi, ndio inavyokuwa mama,,,anaekupa advice,asikudanganye
@aminahussein54183 жыл бұрын
Sanaaaaaa
@lucasmugoma28703 жыл бұрын
Mama kumbuku ikulu ni mahali patakatifu ,
@mbecheterombeche33753 жыл бұрын
Wizi unarudi taratibu....
@yonarajabu74133 жыл бұрын
kwakweli mma umonyesha matumaini makubwa sana kwa watanzania mungu akulinde
@samwelchacha79463 жыл бұрын
Fanya kazi mama mwenye misuli aliye kuwa akitishia wawekezaji kaondoka Mungu amekuleta urudishe Tanzania kwenye utu
@makamekhamis90483 жыл бұрын
Hongeramama samia
@kasimukulama62143 жыл бұрын
Yaan cjuw kama kitaeleweka ktk nchi hii, mwekezaji (mzungu) hawez kuleta mafanikio ktk nchi hii zaid ya kuja kunyonya tu,iv awamu zote hapo nyuma si waliwepo hao mnaowaita wawekezaj ktu gan kilifanyika,mbn jpm aliwatoa na amefanikiwa kwa kias kikubwa,acha janja janja,mbona mo dewj hajakmbia nchi na hzo kod zlwepo,au mo ni kgogo wa serkal,hao wengne ni wezi tu ndo maan wakimbie
@ashajuma2273 жыл бұрын
Mama kama una undo alichofanya JPM,tupe kipaumbele sisi na wakat mwingne usofti wako huo unanipa mashaka
@ramadhanimunga59253 жыл бұрын
Safi sana mama,manji arudi kuwekeza
@salomemtwale53703 жыл бұрын
NTYAAA,,MBONA UWEKEZAJI,REST IN PEACE BABA MAGUFULI
@salumabdallah66803 жыл бұрын
Kutesa kwa zamu😁
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
Yaani we acha tuu..! Hata siku za maombolezo hazijaisha kaanza kusema hivo, am sure hiyo target ya 2trn haitafika na Huwenda hata aliokuwa anakusanya Baba 1.3trn ndo kwanza itashuka. Nina mashaka kwa sasa Nchi hii inaongozwa na Kikwetwe..!
@benomdaile72713 жыл бұрын
@@chiefmahucha6847 haaaa haaaa haaaa misimoooo
@siamuchunguzi3 жыл бұрын
@@chiefmahucha6847 chief!!!
@babuumarshall29903 жыл бұрын
Penda sana mama yetu Samia suluu
@abelmirwatu5443 жыл бұрын
Huyu mama alikuwa wapi siku zote hizo, Mungu akuweke hai mama yangu dah? Matumaini kwa mama mpaka 2030, aina haja ya uchaguzi.
@westonmbuba64213 жыл бұрын
Mmeanza kumchulia kama JPM. Acheni hizo.
@magaumasiaga31203 жыл бұрын
Acheni hayo mambo hata mwezi ujaisha umeanza kama ya yuda 😭😭😭😭
@loner_wolf3 жыл бұрын
Manji tena, mkasome tena uandishi, kwani manji alifukuzwa na nani? Sialikuwa teja huyu na akakaa rehab for weeks, alipopona akaambiwa afanye kuonyesha kampuni zake kumbe ni msanii tu anajifanya muwekezaji ilhali ni kivuli tu cha viongozi wa serikali wasio waadilifu.
@zablonnyanda60953 жыл бұрын
Kweli wakasome tena uandishi. Alafu hawa ni wachonganishi sana Sometimes wanakera aisee
@charleslameck93803 жыл бұрын
Nimependa sana hotuba hii yenye faraja na yenye kuleta matumaini makubwa myoyoni mwa watanzania wengi, chapa kazi mama yetu, raisi wangu mpenzi mama Samia Suluhu Hassan.
@abdallahmahmoud10333 жыл бұрын
Pamoja kwa sana
@zainabhussain41143 жыл бұрын
Mmmh Tanzania kwisha mama unarud kulekule
@delphinuskanyawela38183 жыл бұрын
Huwezi kumuelewa sababu anatumia nguvu kidogo na akili nyingi kufanya maamuzi tofauti na jinsi Mambo yalivyokuwa nyuma
@zainabhussain41143 жыл бұрын
Acha tuone kama hatujalia wote
@delphinuskanyawela38183 жыл бұрын
Kuna kusoma na kuelimika hivyo Mama yetu ameelimika.Mimi binafsi kwa uzoefu wangu wa kuishi zaidi ya nchi tatu na jinsi rais wetu anavyochambua Masuala mbalimbali na jinsi anataka Mambo yaende tumempata the best president ever kwani naona ni mtu wa simple life but high understanding.Shida ya Watanzania wengi ni wanyonge na kwa upande wangu mjonge ni yule mtu ambaye hana uelewa anatumia nguvu nyingi kufanya maamuzi kuliko kutumia akili.Mama yetu ataishangaza dunia na kuifanya Tz kuendelea kueshimika Kama mkombozi wa Africa na nchi ya amani na yenye watu waliokuwa na sifa nzurinzuri nje ya Tz kama wapole,wenye upendo,wamoja,waaminfu tofauti na sasa
@reginaemanuel89943 жыл бұрын
Daaa mama alikuwa na mengi moyoni ila alikuwa hana pakusemea Mungu akuinue
@mgedzirpm15413 жыл бұрын
Kweli kabiisaaa, mama hakuwa na pakusemea
@fredilickifelishiani75123 жыл бұрын
ni kwer mama
@fransavinhonacmela8273 жыл бұрын
Hana lolote huyu. Mwanzo nilimuelewa lakini sasa naona anaanza kuleta Habari Uoga. Ananyenyekea wafanya Biashara
@brightluvanda27953 жыл бұрын
@@fransavinhonacmela827 nyamaza kaka,,,,ukionekana kutoa yako ya moyoni utaonekana msaliti,,,maana wengi kipindi hiki wapo katika kushangilia kilakitu!!"Rip magufuli.
@amoszima77813 жыл бұрын
Mabeho huyu mama anaturudisha nyuma chomoa betry
@alawiali34753 жыл бұрын
Hata wewe unaweza chomoa betri nenda kachomoe ulisikia serikali inaendeshwa kwa utashi wa mtu sheria na katiba ndio inaendesha nchi
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Mungu anatupenda
@devidpanja1153 жыл бұрын
Ujjnga ni ugonjwa mbaya sana.Mungu tusaidie.
@dolumwamuyenu22453 жыл бұрын
Chapa kazi mama samia unaweza sana tupo pamoja na wewe
@munaahmed84993 жыл бұрын
Hivi usawa huu bado kuna watu wajinga kam ww duhhh kweli nyie mzigo wa Taifa aiseee
@amonamiri44873 жыл бұрын
We need egually right ...gawa majukumu halafu simamia
@latifabashiru55983 жыл бұрын
We tia pesa mfukon mwa watu alafu huduma za kijamii zipotee sijui utakuja na sera gan