SATIVA amepatikana, ktk Hifadhi ya Katavi, amepigwa na kuumizwa, 'hajui waliomteka, miguu imevimba',
Пікірлер: 96
@user-ze6lx9ng6s24 күн бұрын
Pole sana sativa ,Hawa askari,mungu anawaona wanatumwa kuuwa watu kwa maslahi yasio ya kwao,
@Chrisblaze-beatsАй бұрын
Doh!!! Eeh Mungu, nimetoka kuangalia enterview ya kupotea kwake mara gafla huyu apa❤️🔥 Ila Mungu atawahukumu waliotekeleza hayo
@martinamahenge4476Ай бұрын
Mpeleken hospital kwanza watu wanaanza kuhoji at least apatiwe huduma ya kwanza
@ellianoah1416Ай бұрын
Maswali ya nini mtu anahitaji huduma ya haraka,Mtu amepatwa shida huduma ya kwanza apelekwe sehemu husika kama ni mgonjwa apelekwe hospital
@sophiakimaro5174Ай бұрын
Kuna wakati hata hujui huandike nn jamani.Mungu awahukuwa maadui zetu kabla hawajatimiza hila zao.kama alivyoandika Isaya 49:26 .Adui zety waleweshwe mvinyo wa damu zao wenyewe na washibishwe kwa nyama zao wenyewe.Amen!!
@AishaHaji-jn7sgАй бұрын
Kwanini isiwe hospital direct alaf maaskari wamfate kumchukua maelezo hospital na hio PF3 Sabab kama ni hali mbaya na ni emergency alaf anaanzia police…!!!!!? Au naomba kuuliza kwann mtu akiwa kaumia sana lazima ianze police kwanza?
Badala asaidiwe mtu anaumwa mnakazana kurekodi na maswali ya kiwaki ya kurudia rudia
@jessicamwasandube944Ай бұрын
Jamani jamani, seriously mtu yupo ktk hy Hari badara mumpe huduma ya Kwanza,m'kazana na kuhoji kweli😢😢😢?Tz nchi yangu
@MCNgakungaJuniorАй бұрын
Very bad mtu anapambania uhai wake still wanamzidishia mizigo mingine.Japo maelezo yake ni muhimu ambayo yanatoka kwenye kinywa chake akiwa hai.
@johnmwandu2116Ай бұрын
Weweeee, Dunia imebadilika hii, usikirupule kumuokota mtu bila kukiridhisha kwanza, utakuja kuuziwa majanga ndugu, kauliza maswali ya msingi Sana, na akarekodi km ushahidi
@user-fn3gc9cu2dАй бұрын
Ni lazima amuhoji anaweza kukufia mikononi mwako ukose pa kumpeleka , na pia Kwa hali aliye kutwa nayo ni lazima umuhoji maswali mawili matatu Ili kumpima utimamu wa akili , kumbuka hawamjui huko .
@sarahnyithambe672629 күн бұрын
Tena anasema kichwa kinauma alafu bado wanampa maswali, sijui angekuwa mwanae wa kumzaa angekumbuka hayo maswali@@MCNgakungaJunior
@frankpaul595127 күн бұрын
Bongo mambo mengi wewe unaezaa muwahisha huko ukanganganiwa wewe utalisaidia jeshi la police
@IbrahimuLikolinji-ly2tp29 күн бұрын
Huyu askari bwege sana Mtu analalamika kichwa kinamuuma unazidi kumuuliza maswali kibao Alafu Hapo hakuna haja ya Kumpeleka police mpelekeni kwanza hospital 🏥
@enjoomaliya139929 күн бұрын
Pole sana Mungu atakusaidia utapona
@jumarajab5316Ай бұрын
peleka hospatal acha maswali
@dahuu8461Ай бұрын
Sasa wanamuhoji vinini mtu akifia hapo shenzi type...
@user-wr7wp9sl2pАй бұрын
Badala ya kumkimbiza hsptl mapema akapate matibau, ameshawaambia kichwa kinauma nyie mnaanza kumhoji hojo maswali. Ndo shida wa waandishi wa TZ. Mnakera
@SmilingCityMap-xb9md21 күн бұрын
Mungu wangu inauma hayo mambo yanakela sana kwa nini kijana wa kitanzania atendewe udhalimu mkuu namna hii ni nini eti tuigeuze tz kama somalia tuliowapigia mifano leo twataka watupigie mifano sisi? nani huwaghalimia wadhalimia wadhalimu watuchafue kwa viwango hivi nani huwatuma wachafue taswila yetu mbele ya mataifa yote tuonekane miongoni mwa nchi zisizothamini uhai wala utu? Hebu kwa pamoja tuwakatae wadhalimu kwa nguvu zetu zote tanzania ni yetu sote tuipende na kuitakia amani ee mungu ibaliki Tanzania utuludishie amani yetu wadhalimu wote wavikwe aibu na fedheha na damu za waliowadhulumu ziwe juu ya vichwa vyao wenyewe
@daudiedsonrichard509Ай бұрын
watu wanamambo ya kisenge sana. yani mtu anaonekana yupo kwenye hali mbaya alafu wanaanza kumuuliza maswali ya kisenge kisenge tu. pumbavu kabisaa. mbwa nyie. mtu anatoa damu nyie mnaleta upumbuvu wa kuhoji maswali. mbwa nyie
@HappyMwaigwisyaАй бұрын
Yaan wanakeraaaa kumuuliza maswali mtu akiwa na maumivu hivyo
@daudiedsonrichard509Ай бұрын
@@HappyMwaigwisya wanakera sana. hapo utashangaa kupata matibabu hadi apitie polisi kwanza
@HappyMwaigwisyaАй бұрын
@@daudiedsonrichard509 yaaniiii
@Francis-bi1guАй бұрын
😢😢 Ila bongo wanauliza maswal ambayoo hayan maan kbs ety umepigwaa
@user-fn3gc9cu2dАй бұрын
Lazima amuhoji anaweza kukufia mikononi mwako ukose pa kumpeleka , na pia Kwa hali aliye kutwa nayo ni lazima umuhoji maswali mawili matatu Ili kumpima utimamu wa akili , kumbuka hawamjui huko
@MvpMsuya25427 күн бұрын
maswali mengi ya nini wa bongo nyinyi jalini afya kwanza eti ulikuwa na hela?😢 ...then uyo maza anataka ampeleke polisi kwanza badala ya hospital jmn jmn.
@athmankiama113327 күн бұрын
Sisi wabongo tutabadilika lini!!mtu anaumwa mpeni msaada kwanza mazwali mengi mpaka mtu afariki daah!!!tubadilike Jamani
@dorcasassenga200529 күн бұрын
Masikini! Alijua anepata msaada wa Haraka, badala yake anakutana na Interview 😢 Waandishi wa habari jamani! Imagine ni wewe uko katika hali hiyo unaanza kuhojiwa😢
@EstherJoram-gt4lt25 күн бұрын
Polee jaman 😢
@HumphreyNyiti28 күн бұрын
Hii nchi ngumu sana badala ya kumsaidia mtu mamuhoji
@VeronicaMacha-pl3xtАй бұрын
Pole sana Mungu akuponye cha msingi uzima wako.
@brendaurio4480Ай бұрын
Sasa si wamepelek hospital jmn hao kaah jmn
@user-fn3gc9cu2dАй бұрын
Lazima amuhoji anaweza kukufia mikononi mwako ukose pa kumpeleka , na pia Kwa hali aliye kutwa nayo ni lazima umuhoji maswali mawili matatu Ili kumpima utimamu wa akili , kumbuka hawamjui huko
@davideditz204925 күн бұрын
Hii ndo kitachokutokea ukipigia police kama upo na shida
@user-pj8ul5hz8eАй бұрын
Ila wadamu bhna Mungu atusaidie kwa kwely
@godfreymwikola8232Ай бұрын
Hizo hela zanni tena mzeee au ndo pesa kwanza wakati unamuona amechakaa ivo unawaza kuwa na pesa mfukon kwake
@nuruosward8161Ай бұрын
Yaaan jaman baada ya mtu kumkimbiza hospital mnamhoji mtu kama mzima watanzania tuna nn lkn au nia yenu awafie hapo😢😢😢😢 ujinga wa viwango😢
@AwaziRajabАй бұрын
Japo Dada Ulichukua Ushaidi Lakini Amkutakiwa Kuoji Mtu Ivo Na Macho Mko Nayo Acheni Mengine Yapite
@adelinabaitu3291Ай бұрын
Anaulizwa kama alikuwa na hela jamani mungu tusaidie watoto wetu
@sophiekindem907128 күн бұрын
😮😢😢 😭😭 My 🇹🇿 😰😭
@hezronjoseph40529 күн бұрын
Uyo anaye muhoji msenge ,Sasa Kama mnapitia polisi kwanini msimsaidie mtamuhoji uko,mtu anaumia Apo ,mshenz🤒🤒
@hellenmassawe7284Ай бұрын
Weeeee dada jaman mtu Anaumwa
@edishaa3108Ай бұрын
Alikua na hela iweje mzee
@HappyMwaigwisyaАй бұрын
Inatia hasiraaaa
@user-wr7wp9sl2pАй бұрын
Nami nimeshangaa....maswali mengine hayana mashiko.
@broganbig6651Ай бұрын
Inamaana😮 baada ya kumuhoji hapo hata hojiwa tena.... Hakuna maana ya kumuhoji mtu wakati analia na maumivu hapo hauta pata taarifa kwa ufasaha kama ni pf3 report ingefata baada ya kupatiwa huduma (matibabu) Vyombo husika inabidi viangalie upya taratibu hizi badala ya kuokoa maisha tunaweza kujikuta tunawapoteza wapendwa wetu
@JudithAdonisАй бұрын
Jaman mahojiano yangeendelea wakati process za hosp zinaendelea
@nancyg8664Ай бұрын
mh kwann mnamrekodi jaman kwenye iyo hali af mnapost bora mngeweka tu picha jamani mtu anavuja damu hvo duh😢😢
@user-ug3lu2km4cАй бұрын
BORA WALIVOPOST AMEONEKANA ALIKUA ANATAFUTWA TAARFA ZAKE KWA MILLARD AYO
@salwamohammed4787Ай бұрын
Maskin jaman 😢😢😢
@nancyg8664Ай бұрын
@@user-ug3lu2km4c najua ndio lakin inasikitisha iyo video
@JudithAdonisАй бұрын
Mungu akuponye SATIVA
@godfreymwikola8232Ай бұрын
Yani some time mnaboa sana asaidiwe kwanza awe china ya ulinz alafu mahojiano mjue katoka wap na mengine dar hapo mmefeli
@Yustonlutefu-yh8qoАй бұрын
Yaan watu wanamhoji kwanza badl kumpeleka hospital hii bongo shuhuli😢
@AwaziRajabАй бұрын
Eti Kwaiyo Wamekupiga Wakati Mnamuona Yuko Oi
@user-uo9tq8cc7q29 күн бұрын
Duu alipelekwa kalakana ya wapi? Wasiojulikana wajulikana mungu ni mwema nashauli taasisi inayohusika na hilo kalakana ambalo ndugu huyo alihifadhiwa taasisi hiyo ijitenge na kashfa hiyo ya utekaji kwa kuwaweka wazi watekaji
@salhawaziri1668Ай бұрын
Yan mtu apelekwe police ndo apelekwe hospital please serikali itoe huo utaratib ingekua ni baba ake au mwanae angeanza mhoji hayo yote? Mtu apewe huduma ya kwanza kisha mengine yafate
@elinamimtaita6724Ай бұрын
Ni sahh kimhoji lkn analalamika kuumwa wangempeleka hospitali chini ya uangalizi wa police akipata nafuu wamhoji wanazd kumchosha tuu
@BONGOINMOTIONАй бұрын
Eti,wamekupiga?? Hapo mtu anadamu
@meshajohn8713Ай бұрын
Xida yahawa nimboro mkononi hawajui ,nihatariii
@abdulkadirgafla3889Ай бұрын
Sasa polisi ya kazi gani surely, mtu akiwa katika hali mbaya hukimbizwa hospitali na si polisi. Polisi wapaswa wamfate huko hospitali wamuhoji🤨😏😏
@user-mw5xs2wx8nАй бұрын
Masikini jmn msaidieni kwanza
@castorinampunga6387Ай бұрын
Munamuuliza maswali MTU yupo ktk Hali hyo na anajieleza anaumia, nyie munatoa wapi ujasiri wa kuendelea kumuuliza badala ya kumchukua kumpeleka hospital na akikaa Sawa ndipo mumuulize hayo maswali munayoyaona muhimu Kwa muda sahii, mbona munapoteza muda😢
@HappyMwaigwisyaАй бұрын
Hao wanaomhoji mtu akiwa hali hii ya maumivu hivi natamani kuwapigaaa dah hasira sana. Mnaulizaje maswali mtu anaumiaaaaa
@Zubaiba29 күн бұрын
Mpelekeni hospital kwanza
@user-xr8qv9mw9vАй бұрын
Yaani poles badala umsaidie kwanza ata kumpa uduma ya kwanza mnaanza kumuhoji kwanza
@Dulla_kiteАй бұрын
Acheni ujiga nyiyi mchukuweni hospital 😭
@rahimmarions5712Ай бұрын
Yale yale ya unanijua mm nani!???
@Esteriajoseph-yk8bqАй бұрын
Mtu analalamika anaumwa mzidi kuhoji so atakufa toa huduma mahojiano badae
@godfreymwikola8232Ай бұрын
Mpelekeni mojakamoja hospital nyie mnamzingua mtu snsumwa peleka hospital then mahijiano nyie vp bwana
@regnethmtemanyongo2237Ай бұрын
Pole san kaka
@Gml-wi5nvАй бұрын
Jamani
@mustaphakaimu5810Ай бұрын
Baada wamplk hospital wanamuhoji
@faudhiasalum7279Ай бұрын
😢😢😢
@DaheerKАй бұрын
Ww polisi mpeleke hospital jaman atakufa
@veronicajohn7645Ай бұрын
Bwana Yesu Bwana Yesu Bwana Yesu Mponye Edgar
@yonamallo6277Ай бұрын
😢😢😢😢
@rehemajacksonАй бұрын
😭😭
@user-uy3uk2ul5bАй бұрын
Yani mnamuhoj wakati yupo kwenye maumiv makali
@josephineokama2200Ай бұрын
jamani jamani kawakosea nini
@festosambala8372Ай бұрын
Scary
@victorvenantkaigarula6255Ай бұрын
Mtu yupo vibaya anaanza kumuliza maswali.
@nzitogondwe9976Ай бұрын
Mpelekeni hospital kwanza nyie mbwa
@Thisisgrace979Ай бұрын
Uyo dada kuma kweli, mi nisingejibu
@nancyg8664Ай бұрын
ata mimi ningejitupa hapo waongee peke yao
@taucdulle7460Ай бұрын
Asubiri mtu anaumwaaa😢😢
@faridaally-jp1gxАй бұрын
Mpelekeni hsp mtamuhoji uko
@MihayoMjomba28 күн бұрын
Subiri nini acheni usenge
@aboudasilver6541Ай бұрын
Zama za magu zimerudi
@dalalihakweahakweya6663Ай бұрын
Sisi wa tz niwajinga sana yani badala ya kutoa msada wa halaka huduma ya kwanza hospital matibabu yaanze maswali ya kijinga yana anza huniujinga ulokisili yani ujinga mwingi sana
@teraluhizo9991Ай бұрын
Tumerudi kule kulee! Unajua mi mtoto wa nani..
@sudymgeni70128 күн бұрын
Sasa swali la kijinga sana eti ulikua na ela ili akupe au.mtu anasema kichwa kinamuhuma nyinyi maswali Sasa mfano akifia hapo inakua nani wamakosa
@ufundi_tzАй бұрын
very stupid ... yan wana muuliza maswali gan hayo ... acheni Ujinga
@BONGOINMOTIONАй бұрын
Ulikuwa na hela???? Mtu alie umia hivo jamani unamuuliaaje swali la hivi daaa