Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@safnosmosha3 ай бұрын
Wakati mwingine kumbe wakandarasi hawana shida
@salumally6633 ай бұрын
Wajanjaa wanazizungushaa pesaa za watu...Wanamsumbua sana mama yetu....pesa awape mpaka kifuatilia aanze kupiga kelele...!
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Hiyo wilaya Mbunge ndie sababu ana raho.mbaya sana. Husikii hata siku 1 akiitetea wikaya yake
@emmanuelhayghaimo39693 ай бұрын
Side mnyamwez hongera sana engineer kwa kaz nzuri. Dit civil o.d10moja hiyo
@celestinermantenga24633 ай бұрын
Huyu jamaa ana kiwango cha kuongoza mkoa aisee!
@piuskusenge-jf2ob3 ай бұрын
Safi Mh.DC. Magoti, hakuna kubembelezana Mura kazi iendelee😂
@AmanaHassan-cy4fi2 ай бұрын
Hayo ndio Majidudu yanayoitafuna hii Nchi. Kama ipo sehemu imepelekwa fedha na hamna mfuatiliaji ahaa ndipo wapigaji wanapataka hapo kusomeshea Watoto wao Ulaya. Mungu anawalipa Mitoto yenyewe ina kuwa Mishoga ikirudi huko Shule... Billal Shenzii.
@michaelndilima62103 ай бұрын
We want deeds not words.
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Hiyo ndio shida ya watendaji wetu Ni Kwa nini hawafungwi wakichelewesha muradi kama huu.
@tediusmakwara39313 ай бұрын
Ongera mkuu wilaya
@DudddyWhyCant3 ай бұрын
Ongera ni jina la mtu? Au una maana hongera ( yaani pongezi )
@rewardyesse73143 ай бұрын
Huyo jamaa anayejibu maswali ya DC ana akili sana
@jumashedafa3 ай бұрын
Fanyen muende kwa DC magoti akawape historia yake ya elimu mpk kufikia hapa alipo tunahitaj
@MusaOgwokoАй бұрын
Mkuu wa wilaya Safi sio chawa
@abuuramadhan80933 ай бұрын
Yan watendaji wengi wa kitanzania wanatia hasira san kuna vyuo vingi havijengwi kwa kua wana hongwa na vyuo binafsi wasiharakishe
@MathewAlphonce3 ай бұрын
Magufuli 2takukumbka
@damianokwaangw44023 ай бұрын
Hivi kweli kodi ya watanzania inachezewa hivi duh kwakweli hali siyo
@renatusblandes11313 ай бұрын
Wapigie Simu Moja kwa moja
@fundimtz81113 ай бұрын
Nondo zipo nje ya zege la jamvi
@AliVuai-cv8xv3 ай бұрын
CCM inaoka vijana
@byabatokaroma25223 ай бұрын
Safi mkuu Serikali inahitaji watendaji makini wenye ubunifu wa kazi kama nyie
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
boss mtoto
@MenelusCzar2 ай бұрын
😅
@MatokeoKasindi3 ай бұрын
Watanzani wamezoea kujaribu uskubari kujaribiwa mama amekuweka hapo kwaimani kubwa
@ramadhaniraphael69553 ай бұрын
Haha kajamaa kajeuri sana
@youthmediatv13 ай бұрын
Wapike mpaka waungue
@Allen-u4sАй бұрын
Pengo la magufuli halitafutika
@StAr-yu3vz3 ай бұрын
Mheshimiwa wiraya yetu ipo nyuma kiuchumi hakuna kitagauchumi vijijini wengine tumeacha nchi yetu kwa ajiri hakuna ajira
@RenaldaZeramula2 ай бұрын
Kuna ardhi kubwa ni utajii mkubwa
@hamzasaidi76973 ай бұрын
Mkuunauriyamabasinikubwakutokakigogompakamsanga sh 6000 ukishukapopotebeindiyoiyoiyo fuatiliailo
@salimalaquimane30773 ай бұрын
Ata we menyewe una weza kusoma daah
@zakayomgaya27583 ай бұрын
@@salimalaquimane3077😂😂😂😂😂😂
@athumanishabani11433 ай бұрын
Balaaaaa!!
@athumanishabani11433 ай бұрын
Shule za sekondar zijengwe kwenye vijiji ili kila myazania asome maana shule za kata zipo mbali Sana na jamiii hivyo husababisha utoro na ukosefu wa elimu kwa uma wa WaTanzania!!!!
@husseinmramba3 ай бұрын
@@salimalaquimane3077yani watu wengine mpk unawaz hvi vichwa vyao vinakua na nn yani, dhahir waonyesha ndio ameanza kushika simu na akili zao ni mbili😅🤦🏿♂️