Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 2 300
@ramadhanmwandambotuntufye597211 ай бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun, waislam wa Tanzania hatujitambui wengi miongoni mwetu ni waislamu wa kurithi, hatujitambui hata kidogo tumetawaliwa na hofu tunawahofu makafiri kuliko Allah. Tubadilike waislamu.
@AllyhHassani11 ай бұрын
Upo sawa
@iddibakari800010 ай бұрын
Heko
@GloryDamian-ey2ii10 ай бұрын
We n mpumbavu uliekosa kufunzwa na mama ako nahs mama ako ndio kafiri
@sephaniayoram64510 ай бұрын
Angaza amani Allah atakujazi
@ndimuelias618311 ай бұрын
Hapa tulipofikia mungu asiposimama Kuna hatari ya nchi hii kuingi kwenye vurugu we mwenyezi mungu tusaidie
@sadicksince200811 ай бұрын
Marhum ustadh Iman Petro, Mwenyezi Mungu amrehemu, aliweka wazi kuhusu kanisa katoliki. Wanapiga vita uislamu.
@fadhililihinda649111 ай бұрын
Kwamba pakiuzwa Waislamu mnafaidika na nini or mkataba ukiendelea kama ulivyo, Waislamu watapoteza kitu gani na Wakristo hasa Wakatoliki watafaidika na nini? Bandari haina uhusiano na dini, ni upuuzi uliopitiliza kufikiria kwamba eti ili tuendelee lazima kila kitu kiuzwe, sasa tuligombania uhuru wa kazi gani? Namshukuru Mungu, watu waliokua wakisiliza wala hawakukupa kampani katika hili. Bandari ni ya Watanzania, sio ya Wakatoliki or ya Waislamu, hata wapagani inawahusu
@franklinmsamila134711 ай бұрын
Fadhili hongera sana kwa comment yako wewe ni mzalendo mwenye mtazamo chanya wa kiakili. Hongera sana.
@viwehamad11 ай бұрын
Usifanye watu wehu katoliki ni walaji wa zamani serekalini
@hamzaabdallah863711 ай бұрын
Hujielewi wewe ni fadhili jina tu mlevi usiye Sali
@faridamapogolo289211 ай бұрын
Kwaiyo nahao waarabu wakiuziwa bandari mtanufaika Nini??nakama Kuna manufaa mbona bandari ya Zanzibar haijatiwa ktk huumkataba nawao ndio bandari yao ipo karibu na bara la huko arabu?na dini yetu ya uislam imeshikwa sana huko makanisa machache lakini mkataba wa mwarabu hawaja husishwa
@omarinurdin26111 ай бұрын
Nikubaliane na ww kwamba bandari haihusiani na dini, je unawashauri Nini wakristo wenzio walotoa waraka?
@LucinusTirutangwa-ez8kv11 ай бұрын
Ndugu zangu wakatoliki mnaotazama video kama hivi msirudishe neno ili kuulinda umoja cha muhimu tuwapende na mwisho wataelewa nia ye maaskofu ilio njema kama tukikaa kimya basi watatuelewa na hakutakuwa na uchochez wa kidini tena ndugu zetu waislam sisi ni ndugu kama walikosea basi nanyi toeni ushauri sisi tunataka lililo bora haijalishi limetoka kwa nani ndugu zetu tunasikitika mmetuelewa vibaya
@derickcowly668111 ай бұрын
Imani bila mpango ni bure imani uenda na vitendo ni kuomba duwa sana umoja uwepo na ukweli kwenye mambo ya maendeleo ni bora kutetea maendeleo ya taifa
@ahmadmzoa7411 ай бұрын
Hawa jamaa wanasema Waislamu mazezeta!? Zezeta ni yule anatulazimisha tuamini 1+1+1=1(poor arithmetic).
@hashimchaoga956611 ай бұрын
@@ahmadmzoa74 Hivi Kwa nini tunashindwa kutumia wafadhili matajiri tulionao kujijengea Mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora kama wenzetu.Huu si uzezeta??!
Natamani kama ungekuwa na huo mkataba utusomee na sisi Waislam tusiojua kingeleza tupate ufumbuzi ili tukiamka kutoka kwenye huo uoga tuwe na ushahidi wa kupigania uislaam wetu.
@faizaannassir256811 ай бұрын
Allahuma barik yaa shekh unajitahid waamshe waislamu wamelala unajitahid mungu akupe nguvu tumungeni mkona mashekh amkeni semeni na nyinyi ww kishki na wenzako semeni
@user-od1et5ii1k11 ай бұрын
Shehe sema kweli waislamu tumegeuka samaki aina ya pono
@radhiambwana335311 ай бұрын
😂😂😂
@silvaraphael932711 ай бұрын
😂😂
@alhilaltvonline11 ай бұрын
Nakukubali Sheikh wangu. Haki isemwe. Waislam bado tunajadili Maulid yanafaa au hayafai - tunatukanana.
@htvtanzania348311 ай бұрын
maulidi ina kujaje sasa au una leta upuuzi hapa
@HabshyawadhiSalimu11 ай бұрын
Ww nawee maulid Na huku niwap nawap unazungumza nn
@htvtanzania348311 ай бұрын
@@HabshyawadhiSalimu huyu ana penda ujinga ujinga
@user-lk8ws3fz9x11 ай бұрын
Acha uchochezi
@vedastovaleliani815311 ай бұрын
Samahani jamani Mimi sijaelewa naomben mnisaidie, Masikofu wamepinga, mkataba mbovu, kwanini huyu shehe analalamika kwamba waislam tuamuke tutetee nchi yetu ote tuna haki, kwani kwani mkataba no wadini ya kislam au ni was Dubai.
@johnmangula483211 ай бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli, ni vema kutetea masilahi ya wananchi wote na sio maslahi ya ya dini moja. Hongera sana baraza la maaskofu.
@rahushussein140211 ай бұрын
Acha uongo wanatetea jambo lao na sio wa Tz wanatumia uchochoro huo kutimiza malengo yao
@selemanmcharazo11 ай бұрын
We unayesema shkh Hana shule Kwa kigezo kipi nyie ndo ambao mmmekosa akili mnatubu Kwa watawa badala ya mungu , acheni hapa hoja c bandari ni udini tuuuuu!!! Ninyi ndio cku zote mnajiti kimbelembele kwenye Kila jambo Sasa safari hii mmeyakanyaga kongole Kwa shkh salute!!!!!
@shabamuhidin63411 ай бұрын
from Kenya,namuelewa sana huyu sheikh,last month nlisoma nakala ya huko kwenu TZ,ati Kanisa la Lutheran wameanzisha Dispensary alafu inalaumu serikali ati wamecheleweshwa mishahara,sasa nkajiuliza hospital ya kanisa lakini wanalipwa na serikali ya tz,inakuaje aje wakati huo ni mpango wa makanisa? watu waamke kweli including us Kenya
@oscarakepha837411 ай бұрын
Huku kwetu kuna mkataba wa serikali kuunga mkono juhudi za mashirika ya Dini kwenye idara ya Afya , kumbuka Hiyo Dispensary iko kwenye eneo ambalo hakuna huduma na Wananchi wote ni wanufaika ,mshahara haiungii kanisani analipwa mtumishi anayehudumia Watanzania wote ,shida iko wapi? Mashirika ya Dini yanaisaidia serikali kufanya majukumu yake ,hayo ni makubaliano yapo tu ,Taasisi yoyote ya Dini ikajenge Hospital vijijini itoe huduma bila ubaguzi kwa watu wote itapata baadhi ya nafuu kama hizo
@KassimAlly-xp4dz11 ай бұрын
For sure
@KassimAlly-xp4dz11 ай бұрын
@@oscarakepha8374 waislam hawakubaliki kufanya ivo kwa ubaguzi wa wakristo
@hashimchaoga956611 ай бұрын
Si Kenya si Tanzania kote Waislam tumelala tena ni aibu. Tunakazania tu kujenga misikiti madrasa na kujengewa visima. Wafadhiliatajiri Wa mafuta tunao na tunashindwa kuwatumia kujijengea mahospitali ya rufaa vyuo vikuu vitega uchumi na mashule bora yanayopasisha kama wenzetu. Afadhali Kenya mnajitahidi sana kutumia nafasi za kiislam katika elimu ya juu kwani nilisikia MNA wanafunzi wengi wamesoma na wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo katika nchi za kiislam nafasi ambazo hutolewa na has a shirika LA dini likiziomba huku kwetu tuna Bakwata ambayo haina juhudi ya kuomba na kuzitafuta hizo scholarships na kuzitangaza .
@clarencebitegeko707911 ай бұрын
Homeboy @@oscarakepha8374 nimekukubali. Nyayooo
@user-qx4dz5kx3g11 ай бұрын
Mashee wangu wakati wote mpaka mnamaliza kutoa dawa hamtaji hata robo ya kifungu chochote chamkataba, lkn niwakumbushe uwe udini au siasa chanzo ni mkataba,.Mwenyezi Mungu awasaidie mkumbuke kunukuu na vifungu.mtatusaidia sana sana.
@maftahmusa951311 ай бұрын
Mashekhe walikwisha taja zamani sana vifungu vinavyo hitajika marekebisho rejea hutuba ya shekh Ponda na hao Maskofu katika waraka wao hawakutaja kifungu hata chochote wao Wamesema uongo eti wataanzania wote wameukataa mkataba huo. Hilo ndilo liloleta tabu wao kama akina nani kuwasemea watanzania eti hawautaki mkataba😢 hapo ndipo kanisa katoliki linapoleta vurugu
@edyi918711 ай бұрын
Rejea waraka vimetajwa vifungu zaidi ya 8 acha uongo
@ernesttomas8511 ай бұрын
Hawana elimu ya darasani
@user-ki4sg8yz9j11 ай бұрын
Hatuna haja ya kifungu. Kwani nyie makafiri hamsemi. Kazi yenu kusema eti bandari imeuzwa basi. Mbona hamtaji bei?
@ernesttomas8511 ай бұрын
@@user-ki4sg8yz9j basi huo ndio ujinga wenu,maana mnapinga msichokijua,wengi wenu shule hakuna,mnabaki kusema kafiri kafiri kwenye mkataba kuna mambo ya dini yenu pale,washezi Sana mnachojua kufuga majini
@zainabuibrahim476611 ай бұрын
Mashaallah hakika ktk wanaume kuna mume nawewe uko miongoni mwao shukrani sana Shekhe wetu pointi yangu niliyokuelewa zaidi nikwanini(KATOLIKI?)
Shekhe umeongea vizuri shida humu ktk comments watu vichwa sifuri
@hamadsalim564111 ай бұрын
Kuna msamaha wa kid hapo ndio maana wanahof WANAFAIDIKA Sana nayo ndio MAANA wanapiga KELELE Sana
@aliemdogo11 ай бұрын
Mkisikia katolik mnasikia hasira ya kutapika,isomen hata misikitin wakina ney wameongea ukweli lakin hamtafut mnataj katolik peleken ujinga huko
@aminasaid655511 ай бұрын
@@aliemdogokwahiyo dini yenu ukweli wake upo kupitia wasanii
@winfordmwangonda537511 ай бұрын
"Kama wao wametoa waraka usomwe makanisani ,na sisi sasa tutoe waraka tusome misikitini"... Sheikh Mziwanda. Hapo sasa ndio waislamu wanapofeli ,kufanya jambo kama majibu kwa wakiristo wakatoliki ,badala yao kufanya mambo yao.
@Hancymtembo11 ай бұрын
Waislam akili zenu za kupepwa, wale wametoa waraka wa kupinga uwekezaji wa milele usio na mwisho nyinyi mnatoanwalaka wa uislamu na bandali mnaakili kweli?
@SebatianKisokola-hy7qs11 ай бұрын
Wengne wanaongea juu ya bandari ww unaongea juu ya uiaslam pumbavu ww mdini mkubwa ww kama hutaki vaa bom
@aminasaid655511 ай бұрын
@@Hancymtembowe are conscious
@hamidumpiga628311 ай бұрын
Shekh wetu uko sawa kabisa
@hamidumpiga628311 ай бұрын
Kabisa shekh uko sawa 13:06 13:07
@venancymsukwa643111 ай бұрын
Tafadhali Viongzi wetu wa kidini tutambuwe majira yanayo faa tusiipeleke nchi shimoni kama mungu amewapa vipawa tumieni vipawa hivyo kwa kuleta Amani Kwa nchi yetu Waisilamu na wakatoriki wote tunamuomba Allah ya nini tuanze kuchochea udini vita ni mbaya sana Tafadhali tusifike huko
@aminasaid655511 ай бұрын
Wameanza katoriki
@omarikessy233910 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde sheikh mziwanda
@AliMohd-qc4go11 ай бұрын
ASANTE SHEIKH ALLAH AZIDI KUKUPA NGUVU ZA KUUTETEA UISLAM TUNAWASIHI NA MASHEKHE WENGINE WAMUUNGE MKONO SHEKHE MZIWANDA WASIMUACHIE KILA KITU ASEME YEYE
@kisangageorgethomasi283011 ай бұрын
Shida ni bwakwata kukaa mfukoni mwa ccm
@boniphace.mark.203311 ай бұрын
Maaskofu level nyingine, wanaelimu ya kuchambua mambo na hakurupuki katika mambo yao. Yesu Kristo ndiyo mwenye nguvu. Imeenda hiyo.
@mohamedmanga83919 ай бұрын
😂😂😂 imeenda wapi??? Nini maana ya Pauline church.
@user-xd2tg8eq1h9 ай бұрын
Wapi wewe yesu kwetu sisi waislam ni nabii hana zaidi ya cheo icho ipo siku mtaenda kueleza kwanini mlikuwa mnamwita mungu inshaalwah wakristo hawana elimu zaidi ya waislamu waislamu ndiyo bunadamu wenye hekma zaidi duni8
Muogope mwenyezi Mungu, mtume hakuyaishi haya unayoyahubili.itukuze misingi ya mtume kwa kueleza yaliyo mema kiongozi wangu
@user-tn8jn2kh3d11 ай бұрын
Tulia mwache aseme
@Salum8511 ай бұрын
Kwenye dunia iliyobadilika kunahaja ya kuendana na mabadiliko mema na sio maovu. Leo ukisema mtume hakuzungumzia hayo unakosea sana na utapotea ndg yetu.
@malulufrank787111 ай бұрын
Habari za leo Hakika Mungu aendelee kulipigania Taifa hili swala hili la Bandari limechukua sura ya dini ya viongozi wanavyolichambua na tumeshindwa kusikiliza hoja za maendeleo ya bandari yetu na tumegeuza mjadala huu juu ya nani kasema nini na je yule ni wa dini yangu au sio.Niwaombe watanzania mjadala huu tuuendee tukiwa na akili zetu na kumuomba mwenyezi mungu juu ya hekima na busara.Leo kuna mambo mapya yataibuka na hata bandari ni sehemu 1 ya nchi yetu lakini Amani yetu , Uzalendo wetu , Utu wetu umejengwa kwa wazee wetu kujitoa na kuiwekea nchi hii misingi ya utulivu. Upendo utawale .Amini
@ondieckotoyo114311 ай бұрын
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli tunaitaji Tanganyika yenye katiba yake, bendera yake, nembo yake, mipaka yake, rais wake, bunge lake na serekali yake itayosimamia maswala yasiyo ya muungano kama ilivyo kwa Serekali ya mapinduzi ili muungano uwe wa usawa kwa pande mbili siyo sawa rais wa muungano ndiye rais watanganyika
@salumbaa737811 ай бұрын
sie wazanzibar tunataka hata kesho mjitenge watanganyika, sijui nani aliemshikilia mwenzake😂
@saiddaud385511 ай бұрын
Watupatie Zanzibar yetu tufanye mambo yetu
@najaributest11 ай бұрын
Mbona wazanzibar miaka yote wanadai znz yao au ww umeacha kunyonya juzi nyie ndo mudai tanganyika sio wazanzibar wadai znz yao mzanzibar akizaliwa leo kesho akiulizwa atasema hataki huu muungano
@suleymandachi78211 ай бұрын
Tusiwe viziwi,kama wewe ni muislaam huwezi kuandika mambo ya kujitenga,shekh anahimiza waislaam tushikamane nyie mnaanzisha mjadala wakutengana, Tanzania visiwani,mombasa na Tanzania bara ni sehemu yenye waislaam wengi,kwanini tubaguane?
@ahmadamohamed190711 ай бұрын
Watanganyika wapo wengi wanaomiliki ardhi wengi Sana usiseme jambo usilolijuwa
@bernardndemba225311 ай бұрын
kazi tunayo
@mohammedhimba164711 ай бұрын
Pamoja shekh watajua hawajui pamoja sana
@leonardgalila303211 ай бұрын
Kwenyi hili tusilete udini tujadili mkataba na tujibu hoja za mkataba huu udini tunataka tuhamishwe kwenye leri
@aminasaid655511 ай бұрын
@@leonardgalila3032nyie ndio mmeanza
@Marjeby11 ай бұрын
Nakupenda sana Sheikh Mziwanda uko Modern sana lakini kikubwa kinachonivutia kwake haogopi kusema as long ni ukweli tu. Achana na hao kina Walid tangu zamani wako vuguvugu na sasa hivi ndio amemezwa na mfumo kabisa kucheka cheka tu mbele za watu. Basi shule mlibaniwa hata kusema ukweli tu bado mpaka leo mnafundisha kuoga janaba tu
@neemataris327311 ай бұрын
Maneno haya ni hatari sana kwa mtu wa Mungu, Lakini hakusemwa mwislamu kwenye walaka au nilisikia vibaya
@user-xf4cu3st5z11 ай бұрын
Mnachanganya mambo haya na dini.mkataba huu unapingwa na wananchi kwa mapungufu yake na maslai makuu ya wananchi ya Tanzania.hapa hakuna dini.😊
@ibrahimsaad61711 ай бұрын
Wwe unapambana na waisilamu ?
@salehkhamis-ob8ln11 ай бұрын
Ukiacha serikali Kwani walioanza kuongea huu mkataba ni nani. Maaskofu. Wakiongea mashehe mnadai wanaleta udini na wao wanyamaze basi hao maskafu na masheh watanyamaza tuachie serikali ifanya kazi yake msiipangie
@aminasaid655511 ай бұрын
Wameanza katoriki
@abuumuhammad713311 ай бұрын
Unae ushahidi wengi ndio wanaepinga tatizo ni udini na wakatolliki baadhi yao viongozi wanapitishaga makontena bila ushuru sasa wanaona DP WORD anachukuwa bandari hakuna tena kupitisha makontena bure na nakuhakikishia DP WORD anachukuwa Bandari na huo ukiritimba wakupitisha makontena bure umeisha
@user-xf4cu3st5z11 ай бұрын
Wanapitishaje bila mamlaka.nani msimamizi hapo? Kosa ni la Wananchi au mamlaka inayohusika? Ni hatua gani zilizochukuliwa na mamlaka kukomesha hali hii? Ni wananchi tena.inaonekana kosa ni la mamlaka husika.ebu tufikiri tu
@kassimomar758911 ай бұрын
Allah akuhifadhi shehe wetu
@ozilismail760411 ай бұрын
Kilichoongelewa ni bandali dini limetoka wp shekhe acha ushenzi nanyie nendeni nahoja zenu kwanza ww umesomea ndini sioshelia 😊😊 12:48
@@mathiasbukombe3543kwani we ni muislam, haikuhusu
@magnusraphael900711 ай бұрын
Knowledge is power ignorance is weakness
@ericf.simkwayi256411 ай бұрын
Maaskofu mafilosofia
@swafiirbulbul81910 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-hd5yl5ej4v11 ай бұрын
MaashaAllah Sheikh Wangu Mungu Akuzidishie Na Akulinde Dhidi Ya Fitna Za Hao Uliowapigilia Misumari
@rasnchimbi11 ай бұрын
Aje na vifungu vya mkataba siyo story ubwabwa😂😂
@cath-ef7wd11 ай бұрын
Hawa makafiri(wakristo) wanaiharibu nchi sana kanisa ndo linajifanya kuisimamia kila serikali inayoshika hatamu kama kwamba hii nchi ni yao peke yao.hawa mbwa sana.Sheikh Mziwanda yupo sahihi sana.hawa waislamu wa leo na hasa wa tanganyika ni wajinga sana hebu amkeni nyinyi hawa makafiri watakulalieni siku moja na ujinga wenu. Kazi kucheka cheka ovyo.
@julianamasunga345811 ай бұрын
Weee jionee huruma kwanza ,kabla yakumpongeza huyo shehe wako soma mkataba huo acheni ujinga naudini wakimasikini ,,,wale maaskofu wamesoma kuliko hao mbuzi wenu wawili samia na kikwete ,,,bandari siyo juzuu wewe niusalama wanchi,,,
@isaliisu340811 ай бұрын
Hapo unaposemema seriki inasaidiwa na kanisa katoliki umekoseya isipokuwa kanisa kstoliki linapendelewa na serikali munapewa zaidi ya bilioni 32 kwa mwaka tokeya mwaka 1992 rudiya gazeti la mwananchi la mwaka1992
@aminasaid655511 ай бұрын
@@julianamasunga3458Kama unaweza kutukana viongozi wako wewe wa Nini Sasa hata adabu ya kunywea maji huna
@mahmoudhamisi67311 ай бұрын
Maashallah Allah akulinde udini wameuanza kina tundulisu na wenzake
@Zanzibar-LandOfBlacks11 ай бұрын
Mimi maoni yangu, mama asiwatie waislam lawamani, swala la bandari aliwache, wanaomshauri na kumsukumasukuma hawamshauri vizuri, wanautia lawamani uislam, au kama kuwekeza bandari wangeipa kampuni ya kizungu tu au ya kichina. Ukweli ni kwamba, wenzetu wanataka kuifanya tanzania ni ya wakristo, waislamu ni watu wa daraja la pili. Jambo litakalokubaliwa na wakristo ni sawa lifanyike, lakini wakilikataa wao ndio lisiwe. Mahakama ya kadhi kwa kua hawakutaka wao na halikuwa. Wanataka kuifanya tanzania waislamu hawana kauli, na hawataki ionekane hivyo kweny uwanja wa kimataifa. Hili si jambo la sawa.
@mkude11 ай бұрын
Maashaallah Sheikh mziwanda ALLAH Akuhifadhi. Watu wamepandikizwa chuki sanaa tunaunga mkono uwekezaji wa bandari kutoka kwa dubai
@roseyohana350011 ай бұрын
Wenzenu hawajamtaja shehe hamnasela
@aminasaid655511 ай бұрын
@@roseyohana3500na wamesimama Kama kinanani?
@dainessgaspar604211 ай бұрын
Unapoteza Muda tu, na uchochezi wako.
@mwangajilemwangajile-hd9vj11 ай бұрын
Narrow knowledge is a very dangerous knowledge.
@shukurukoll726911 ай бұрын
Who is having narrow knowledge. The time has come really Muslims should wake up.
@ototek803711 ай бұрын
@@shukurukoll7269 ni sawa kubadili sheria za nchi ili ziendane na mkataba? Ni sawa kusain mkataba usio na vipengere vya kuuvunja? Waislamu anzeni kupeleka watoto shule sio madrasa, mnapishana na dunia, mzungu sio ndugu wa mkristo wala mwarabu sio ndugu wa muislamu. Bandari zikibaki mikononi mwetu zitawasaidia watoto wetu sote, ila tunakoelekea zitawasaidia watoto wa waarabu na vizazi vyao kwa maana mkataba utaisha bahari ikikauka.
@mohamedjuma951711 ай бұрын
Sheikh muharram umeongea jambo la msingi sana hii dawa TEC itakuwa imewaingia vizuri sana
@bakarithegeoinformatician740611 ай бұрын
Who has the mandate to count it! Stupid
@jumabeja95611 ай бұрын
We ndo una elimu ndogo
@khadijamusa283811 ай бұрын
ManshaaAlla Allah akuhifadhi shek wetu
@martinmkoba36111 ай бұрын
Kwa kusapoti ujinga maodari kweli.pelekeni watoto shule sio kupeleka madrasa😂😂😂
@EmmanuelThomass11 ай бұрын
wengine tukisema mtatuona tuanawabagua acha ninyamaze lakin tambuweni ninyi ndio mnaanza kutubagua sawa
@NassirMansour-zx2jd11 ай бұрын
Amani iwe juu yako sheikh mziwanda Allaah akuteremshie jeshi la ulinzi, yaarabbi tunakuomba umlinde huyu sheikh
@emmanuelrupaki450510 ай бұрын
Huyu ni bwege sana
@mawiluomari397511 ай бұрын
Tuko pamoja waislamu tuamke tushikamane ndivyo dini inavyotutaka هؤلاء يحبونهم ولا يحبونكم..... Hii ni Qur'ani inatuongoza hivi tukowapi sisi na kitabu chetu فالنجعل القرءان أمامنا لنهتدي به ولا نجعله في ظهورنا Tuijaalie Qur'ani mbele yetu ili tuongoke tuone tunapotakiwa kuhitajika kua Na tusiieke nyuma ya migongo yetu. Tutapotea
@CharlesLeoMgaya11 ай бұрын
Mshikamane kuwasaport wanasiasa kuhusu uchafu wa mkataba au kusema ukweli juu ya udhaifu wa mkataba???
@RamadhanMwijage-ul2kj11 ай бұрын
Shekh ongelea mkataba unasemaje?umeusoma na kujua mapungufu yaliyomo?
@aminasaid655511 ай бұрын
@@CharlesLeoMgayakupinga udini
@aminasaid655511 ай бұрын
@@RamadhanMwijage-ul2kjsio kazi yake
@kzonealtupela6311 ай бұрын
Allah akufanyie wepesii sheikh tusichoche itikadii zakidini walaah tusiongele swalaa la kuingiza dinii ongelea swala la mkabaa usiweke uchochezi wakidinii
@zainabmaulid963711 ай бұрын
Shehe umesema kwel akikamatwa mkiristo hafiki wiki anaachiwa lakin akikamatwa shehe wataekwa miaka tele na waislam wanakaa kimya kazi yetu mungu yupo waislamu na sisi tuamke tuungane yakitokea mambo Kama hayo #
@justusjulius927911 ай бұрын
Toeni na nyie tamko sio kudiscuss matamko ya watu wengine
@najaributest11 ай бұрын
Usitufundishe jinsi ya kusema
@sheikhwalidalhadtv295011 ай бұрын
Mnatujua vyema msijisahau sisi tushadiscus sanaaaa kuhusu mustakbala wa nchi hii na ndio wenye damu ya machafuko Ohoooo! Wenzunu sie HATUOGOPI KUFA sie kifo kwa ajili ya dini yetu ni IBADA
@ibrahimmakasi469011 ай бұрын
@@sheikhwalidalhadtv2950wewe mjinga kweli yaani umwage damu kwa ajili ya waarabu? Dini yenu imekaa kiwizi Sana..
@user-oz1pp1ck2m11 ай бұрын
Hapo sasa wangenyoka na Yao wanautaka mkataba au hawautaki na sababu zao wao kudakia ya watu
@muhsinsasamalo98711 ай бұрын
Ndio Hilo tamko lishatolewa😂😂😂
@swafiirbulbul81911 ай бұрын
Well said ❤ Maashaa Allah
@shabanipanya103311 ай бұрын
No is not well said,,,mimi ni muislamu nimesikiliza waraka wa wakatoliki hauna makosa wameongea vizuri tatizo la shekhe wetu ni chuki mbele na shule ndogo
@swafiirbulbul81911 ай бұрын
@@shabanipanya1033 sawa shule nyingi.. hongera yako
@aminasaid655511 ай бұрын
@@shabanipanya1033Yani ukisikia mtu anaanza na neno Mimi ni muislam, hakuna kitu hapo,mchongo mtupu
@hamisiramadhani353811 ай бұрын
Allah akuongoze sheikh mziwanda
@Bikhafija11 ай бұрын
Watoleeni wakala miskitini watu au hamna elimu.kama tunavyo ambiwa
@munawwaradam899310 ай бұрын
Mashaallah masheikh watoeni tongotongo waislam ni waoga hawajitambui, sasa umefika wakati wa kujitambua
@user-oe1qc6wr6c11 ай бұрын
mama samia piga kazi umewakomesha majambazi
@godsonishengoma537811 ай бұрын
Walewale wezi wa mali za taifa.. Usiwatetee waovu.. Amin dunian hapa s kwe2 n njia tu ya kmrdia Muumba we2..
@derickcowly668111 ай бұрын
Tuombe duwa jamani nyakati za mwisho tuombe rehema Tanzania
@myself412811 ай бұрын
tumeomba sana ni kuamka na kupambana
@sharifajosia87911 ай бұрын
Allah akutangulie kwa kila hatua Bwana mziwanda Akupe mwisho mwema Akupe umri mrefu uzidi kutuzindua maana hawa wakatoliki wanataka kutupeleka pabaya lakini inshaallah wataangamia waowa
@angelsulle717711 ай бұрын
Wewe ni fala wa mwisho Kanisa Katoliki juuuu???? Washambaaaa!!!!!!!
@aminasaid655511 ай бұрын
@@angelsulle7177acha matusi
@saidPeace-xq1ld11 ай бұрын
Kwa hili waislam Hawa wezi kusema kwani Kwa sasa robo3 ya viongozi walioko mdarakani Kwa sasa niwaislam Sasa wakristo wamegundua mtego wenu waislam, tuwaache wakristo waongee mungu awape njia zaidi 🙏
@nassorntandu451311 ай бұрын
Nashukuru sana Sheikh unavyowaamsha Waislam, kujitambua , kupigania haki zao na kuongeza uchumi wao! Hili suala na kiuchumi waislamu wetu ni jambo la muhimu sana!
@emmanuelbendu662511 ай бұрын
Kwan hapo umepingwa mkataba au waislamu RC sio Mara moja kutoa waraka ata kipind Cha maguful walishatoa waraka kua nchii iongozwe kwa democracy
@iddmwendotanzaniteexp505011 ай бұрын
Hongera sana shekh...tunakuombea kila la kheri shekh...!!!
@stevensmawi674911 ай бұрын
Naomba Mungu akulinde
@abuuramadhan809311 ай бұрын
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin ijengwe Arusha tuachane na KCMC na hospital ya Kanda ya ziwa ijengwe mwanza tuachane na Bugando zilipe Kodi
@andrewkissavah827211 ай бұрын
Sasa,shekhe unaushahidi ya kuwa katoliki ndoo wezi wa bandarini kama haya unayosema unaushahidi nayo basi vyombo vya dola ni kukukabiri uonyeshe ushahidi nankupandishwa kwenye vyombo vya dola ,pia shekhe kwani kuuzwa kwa bandari ndo kwa waislamu ,pia kuzungumzia katoliki ni utofu wa nidham kumbuka katoliki ndo wafadhiri wa kubwa wa serikali katika secta nyingi ,kama secta ya afya,Elimu, nk,hivyo wewe shekhe nani atakusikiliza ,kwanza una mchango gani wewe shekhe mziwanda ,pia hao waislamu wenzako kwanini hawa kusikilizi ,hao wenzako ni waelewa wanaona unaongea uchochezi,udini, kuligawa taifa,halafu unahamazisha vurugu , kwa kweli niwaombe waislamu wote niwaombe mumwepuke kama ugonjwabwa ukoma huyo mziwanda ni mchochezi ,kwanza mziwanda hana elimu haja soma ni maamma ,halafu unasema wasitukane hebu ingia kwenye mitandao uone baadhi ya waislamu wanavyo litukana kanisa ,halafu eti unasema dini yako inahimiza nidhamu ,upendo,Amani kwa hayo unayoongea ivi ndo ya Amani hayo au mbona akiri yako ndogo
@killingmleke181011 ай бұрын
Na wewe nani kwani kujifanya unajua mambo ya bandary? Mjinga kabisa wewe mpuuzi mkubwa nenda huko
@salehkhamis-ob8ln11 ай бұрын
Katoliki wezi ndio maana wanaupinga mkataba hawatoweza kupitisha mambo yao maovu kwa kinyemela janja janja haitokuepo tena
@aminasaid655511 ай бұрын
Duu gazeti
@Zayeed_tv11 ай бұрын
Anaongea vitu hata havihusiani ..ujingaujinga tu anakata udini kwenye mambo ya msingi
@hajjisanga78911 ай бұрын
Kama nyinyi mna mchango pesa mnatoa wapi waislam pia ksma shule tunayo uwezo kama vyuo pia tunayo ila ش 11:53 "
@musachongowe169511 ай бұрын
Huo sio waraka wa kwanza kwa maaskofu,maskofu wanatoa waraka kilalinapo tokea jambo la kutatanisha,watu wameuwawa hapa waislamu hawajaongea wataongea nini kwa unafiki
@milcahkapan793211 ай бұрын
Yaan hawa huwa wanakurupuka,hivi hawajui TEC walikosoa kila kiongozi aliyekuwa madarakani wao wakiwa kimya tu,Magufuli kwenye kutokuvaa barakoa TEC walimkosoa,Mkapa kwenye ubinafsishaji wa airport TEC walimkosoa,Kikwete pia,Leo wameongea tena kwa data na facts kumkosoa Samia napo ni baada ya kuona serikali inaminya uhuru wa watu kuongea mnalalamika.TEC waliita waandishi wa habari muda wa kutoa Tamko lakini hakuna media yoyote kubwa iliyopost habari hizo ndo wakaamua tusomewe tamko nchi nzima makanisani of which is very right kabisaa na Taarifa imepenyaa Hadi huko vijijini chap na litasomwa kwa wiki nne mfululizo ili Kila muumini awe na taarifa
@maulidkhamis444211 ай бұрын
Hakuna hata waraka mmoja uliotoka ukasomwa nchi nzima baada ya huu ni udini wa wazi wazi
@musachongowe169511 ай бұрын
Hakuna udini waislam tuamke acheni fikra mbovu hakuna Alie taja uislam vitahii ni ya ukoloni mamboleo
@maulidkhamis444211 ай бұрын
@@musachongowe1695 wewe huwajui hawa jamaa wadini mno aliyepita aliua democrs ila haukutoka waraka ulioambowa usomwe makanisa yote
@musachongowe169511 ай бұрын
@@maulidkhamis4442 shida waislam hata wakipewa tende basi wanaridhika hawaangalii mbele.ccmwalivyo ona mambo magumu 2015 wakaweka kwenye ilani tutafanyia kazi mahakama ya kadhi baada ya hapo wali geuka Bado tunaurafiki na hii serikali tunajiongeza kweli,waislam wanatumika kwenye mapambano baada ya hapo wanakula wajanja sisi tunahubiri amani
@roggoyacny11 ай бұрын
Walio muombea Dua Nyerere,,Mkapa na MAGUFULI hao wanatakiwa kufanya Toba kwa ALLAH 🙏
@flova702211 ай бұрын
Duuu kazi IPO ..shida ni kuwa mjinga na mshamba...hivi mkristu kumwombea muislam ni dhambi..kaz ipo
@user-yf5lo1oc1x11 ай бұрын
Mashallah Allah akulipe kheri
@ukuvukiland238711 ай бұрын
Uko sawa sheikh ,tunalilia Amani hatutaki ushoga ,wakatoliki ndio wamehalisha ndoa za jinsia moja duniani ,wakianzia Roma ...Yani hata tukirudi enzi za machief hivyo vitu havikuwepo...
@Expedito251211 ай бұрын
Unachoongea ni kweli?
@timeofjesusministries961111 ай бұрын
Yule askari wa zanzibar ni mkatoliki?
@ukuvukiland238711 ай бұрын
@@timeofjesusministries9611 hembu angalia habari za duniani papa ndio mtu wa Kwanza kuidhinisha ndoa za jinsia moja,ndio mana hatutaki kiongozi yoyote bongo atuletee huo ujinga,watalii wakija huko wanaharibu vijana wetu na wadogo zetu na vijana wetu ,kiongozi atakaepitisha hilo atatuharibia taifa kwa ujumla ,ndio point yangu ya msingi..
@aminasaid655511 ай бұрын
@@timeofjesusministries9611amefuata propaganda za kikatoriki(lgbtq)
@clethbarnaba92311 ай бұрын
Mungu akusamehe kwa kuwa haujui usemalo.
@placidiakambuga350811 ай бұрын
Shule ni muhimu sana aisee, watu wanaongelea partmanent sovereignty ndio haitakiwa kwenye mkatana ww unaleta udini.
@rahushussein140211 ай бұрын
Mnatafuta pa kujifichia yaliyo ndani ya mioyo yenu ni makubwa sana kuliko mnayotuonesha muache Sheikh aseme
@daudimahede601411 ай бұрын
Fikiria kutumia utumbo
@benedictkihombo34811 ай бұрын
Shule ni muhimu sana kwa kweli.
@allyjuma257411 ай бұрын
Msingi wa elimu za wazungu ni wizi,unyonyaji, ubaguzi,ubinafsi...na kauli zenu zinafanana hivohivo
@ShafiiYusouf11 ай бұрын
Naaaam sheikh swadaqta washatuzoea Hawa wanajiona wao ni bora kuliko wengine wote.
@salehemohamed293711 ай бұрын
MashAllah, umesema kweli,hakika ukweli unauma
@kitutujuma960211 ай бұрын
Shekh huku mtaani kwa sasa tumegubikwa na wimbi la bandari. Kutaka kufafanuliwa zaidi ili kujua tunanufaika vp na mkataba huo na ukomo wa mkataba huo. Tena ni vyema ungekua na mkataba huo utuchambulie. Viongozi wa dini wa kiisalamu toeni walaka inapobidi kuhusiana na hili ili tujue umelizika na hili la bandari au laah. Maslahi ya taifa kwanza. Dini ni njia tu yenye muongozo kutokana na matakwa ya mungu kwa imani zetu. Please musituletee kutaka kutugawa kupitiaudini ktk hili. Tuambieni misimamo yenu ktk shwala la bandari.
@dickaugustino823811 ай бұрын
Very good ideas, udini tupakule ,wasome MIKATABA 36 yote iliosainiwa baada tu ya JPM kufa,majizi sio poa
@selemanmcharazo11 ай бұрын
Safi sana shekh Hawa maaskofu wanahisi nchi ni Yao wameshaona upole wa waislam kama magoigoi.
@hamzaomari314811 ай бұрын
Allah akupe mazur sheikh mziwanda
@hajisaid302411 ай бұрын
Shekh wape ukweli wameila sana nchi nchi yetu wote
@AliMahmoud-tj2jb11 ай бұрын
Kweli sheikh ,kilichobakia ss na sisi waislamu tuwe na msimamo mmoja tuckubali Hawa makafiri kuharibu nchi💪💪💪
@elishakayagwa937111 ай бұрын
Nyie mnanchi gani wapuuzi nyie? Tena msilete ujinga na kama hamtaki nendeni Zanzibar.
@daudimichael733811 ай бұрын
@@AliMahmoud-tj2jbMakafiri ni wale wanaouza bandari yetu
@heritier511911 ай бұрын
Madalali wa kuuza bandari Sasa uislam na bandari vina uhusiano gani
@heritier511911 ай бұрын
Chuki hizo wamekulaje ni awamu ipi ya dini zinaliwa
@gracemairusya295011 ай бұрын
Njooni na ufafanuzi kama wakatholic
@omaryissa256211 ай бұрын
Ukatholic ndio nini Tuondoleeni ukatoliki wenu mwapenda kula kilaini sana ngoja wote tupambane mnapenda kugamia serekali sana nyinyi wakiristo
@aminasaid655511 ай бұрын
We Kama Nani
@jescakahabi1011 ай бұрын
Waje na fact cio kuonge afu maaskofu hawajawataka waislam bhn wametaja xababu xxa kupinga mkataba na xio vinginevyo lakn sheikh yuko bize kutamka kula tuuuu hahha hatari
@muhsinsasamalo98711 ай бұрын
Walitoa ufafanuzi gani zaidi ya kukataa tu mkataba. Waambie walete takwimu za Wanaopina mkataba. Kuhusu vipengele Tata serikali ilishatoa maelekezo ya kufanyika maboresho
@muhsinsasamalo98711 ай бұрын
@@jescakahabi10Kuna mengi huyajui dadangu. The hammer doesn't remember the pain, but the nail will always remember
@aishamakiya48611 ай бұрын
ALLAH amuhifadhi Sheikh letu
@user-xi7wh3dr4o11 ай бұрын
ربنا لا تجعلنا فتنة للقوم الظالمين ونجنا برحمتك من القوم الكافرين
@user-xd2tg8eq1h9 ай бұрын
Safi Islamic is power wald
@philipjoseph59315 ай бұрын
ومن هم الكفار وبمن يكفرون؟ الكافر هو معارض وأكبر المدافعين عن يسوع المسيح هم الذين يرفضون ألوهيته وموته على الصليب وقيامته وصعوده إلى السماء. أولئك هم الكفار، أعاذنا الله منهم
@helentelemla562311 ай бұрын
Shekhe wetu mpendwa huu mkataba haufungamani na imani yenu maana hata sisi tuna ndugu wa imani ya kiislam.Lkn wapo waislam na wakristo wanaopinga baadhi ya vipengele Tunasikiliza hoja tunafanya maamuzi .Huu waraka ni ujumbe kwa serikali
@mohamedlamimu11 ай бұрын
Waraka haupingi tu vipengele, unataka mkataba ufutwe kabisa na wala si kurekebishwa hivyo vipengele wanavyodai vina kasoro! Hapa ni wazi kuna chuki dhidi ya wanaopewa mkataba na uongozi wa serikali uliopo kwa sasa!!
@yassinhamisi92211 ай бұрын
Kuhusu huo mkataba wanaopinga uwekezaji wanamaslahi binafsi. Kuna baadhi ya mathehebu wanamaslahi binafsi. Km kuna vipengele virekebishwe na usifutwe maana kuna upigaji sana bandarini.
@yussuph-lx7cu11 ай бұрын
Hili ni nchi ya ajabu kweli ,,kuna mikataba iliyofungwa kabla ya mkataba huu wa bandari ambayo ilikuwa mibovu na hivi sasa tunatakiwa tulipe penalti kwasababu ya kuivunja na imevunjwa na maccm ,,,kuhusu sheikh anazungumza kuingiza mizigo bila kulipiwa ushuru hilo si kosa LA watanzania ni kosa LA maccm ndio wanaoruhusu kupitisha miziigo bila kulipa ushuru ,,ccm mumeshindwa kuongoza nchi waachilieni wapinzani waongoze nchi ,nchi yote mumewauzia wageni kwa mikataba mibovu na hiii bandari munataka kuikodisha kwa mkataba mbovu sisi wananchi hatutaki,,,sheikh umetumwa na maccm ,usikubali kutumika sisi wananchi tunaakili timamu tushajifunza kwa mikataba iliyopita
@patrickmunishi227711 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA
@davidsamson820411 ай бұрын
Wewe shehe umeramba asali Ludi nyuma wewe si mtanzania ndiomana unaipigania Dpwd
@broumaiyyah801811 ай бұрын
Fact Sheikh uko sawa kabsaa 100%
@swalehabdulrahman411811 ай бұрын
الحق يقال،حفظك آل
@shersaid798811 ай бұрын
Shekhe umeongea maneno ya maana.Shukran.
@user-hp1im5ek4r11 ай бұрын
W hujitambuli wengine wanapigania inchi nyie mnaleta udini au kwa vile anayepingwa ni mwarabu huwezi binafisha bandali za ziwani na inchi kavu nyie marofa wakubwa
@jerome314311 ай бұрын
Pambaneni akuna neno udini hapo kaeni mtoe waraka na ninyi watu wausome
@aminasaid655511 ай бұрын
Msitupangie
@user-yz2iq1lx3d11 ай бұрын
Aisee,ipo kazi,mungu tusimamie
@ndayambajefikirini725211 ай бұрын
Safi sana sheikh wamshe waisilam tumelala sana
@danielmpaka11 ай бұрын
Yaani muamshane kwa lipi ndugu zetu waislam,kwani ninyi waislamu ndio mnaopigia upatu mkataba wa bandari kisa ni mwarabu,je unajua kule liliodo baada ya kuhamishwa wamasai,ameingia mwarabu na eneo lile sio letu tena hata network sio ya tz?.msiamshane bila kujua mnaenda wapi amani tuliyo nayo ikipotea KURUDI ni ngumu,Kikwete enzi ya urais wake aliwafunga jera mashekhe wa uamsho miaka zaidi ya 6 bila hukumu,ivi imagini ndo angekuwa MAGUFULI ambaye ni mkristo afanye hivyo sijui nchi ingekuwa wapi,pia ukumbuke hata Hawa wakatoliki baadhi Yao walikuwa WANAMPINGA MAGUFULI.sasa mkisema muamshane pia mkumbuke kwama mnaamshana kwa lipi.mimi mkristo lakini ❤❤ Sana waislam lakini sio ktk hili la kuharibu amani tuliyo nayo kisa mwarabu ndy anayekuja KUIMILIKI bandari,hata hao maaskofu katka walaka wao hawajawataja waislamu hata chembe,ila namshangaa huyo shekhe mziwanda kuongea bila staha suala kama hili linaloweza kuipeleka nchi kuwa KISIWA Cha DAMU.
@abdallaahabdallaahibrahim671911 ай бұрын
Tunausubir tamko la barazakuu la waislam TZ
@godwinmbwambo331611 ай бұрын
Tamko gani?
@abdulhussein777411 ай бұрын
Usipotoshe waislam mkataba mbovu
@timeofjesusministries961111 ай бұрын
Mkataba ni mbovuuuuu
@aminasaid655511 ай бұрын
@@abdulhussein7774we nae ni muislam?
@saidkipalo442711 ай бұрын
Shukrani kaka Mziwanda Hakika Umesema Maneno Leo
@SelemaniDowile-mk1wm11 ай бұрын
Waislamu tuamke haya mambo yanaumiza sana ila wapo waislamu wengine hawapo huku wala kule
@allybetese620111 ай бұрын
Dah ❤
@peterryoba11 ай бұрын
Mim sijakuelewa vizuli maana mkataba Hauna mwisho na unachotakiwa kupewa hakijulikani ,,tuwambie vizuli wew labuda unajua ni sh ngap na mwisho wa mkataba ni mwaka gan?
@jimjam-xg7rv11 ай бұрын
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚
@AthumanJuma-hg2cl11 ай бұрын
Kweri
@eliakanyika492111 ай бұрын
Huyu shehe ana udini sana kuliko uzarendo
@asnathmasegenya989011 ай бұрын
Kachanjwa huyo😂 matokeo hayo
@rahushussein140211 ай бұрын
Bora huyu msema kweli, kuliko maaskofu wanaojificha kwenye uzalendo kumbe wanafiki wana UDINI na roho mbaya kuliko IBILISI
@daudimahede601411 ай бұрын
Subiriii ujibiwe
@user-hj3gr2lw9o10 ай бұрын
Unataka waislam wanyamaze Tu muwapande kichwani hii nchi ya dini zote kwann akandamizwe mmoja tu
@user-vt4eq2ho9v10 ай бұрын
Uzalindo nininii???
@nicolausminja68911 ай бұрын
Kwani huu mkataba unahusiana na uislam!? Maana waraka ni ushauri kwa serikali kuhusu huo mkataba kwa lengo la kulinda amani ya nchi. Ushauri waweza upuuza au kuzingatia.uwekezaji sio mbaya ishu vipengele vinavyo lalamikiwa virekenishwe visikinzane na katiba.wakristu na waislam sisi ni ndugu msitugombanishe.Mungu ibariki Tanzania,🕌❤⛪🇹🇿
@ngaribaonlinetv11 ай бұрын
Mshikamano ukikosekana hayo yote lazima yatokee waislamu tubadilike umoja ni nguvu utengano ni udhaifu, ajabu wasiokuwa waislam tunawafanyia ihisani lakini sisi kazi kukosoana TU tukacha kubaguana sisi Kwa sisi tutafika mbali Sana!!
@aminasaid655511 ай бұрын
Hakika
@quwwangaemanuel736011 ай бұрын
Shekh hujitambui hata kidogo 😢
@muhsinsasamalo98711 ай бұрын
Unao waraka hapo?? 😀 😀
@ramadhanhassan388411 ай бұрын
Ww pia
@abubakarkassanura351511 ай бұрын
Wewe unajitambua? 😂😂😂
@alexchamy228911 ай бұрын
Kwani waraka umepinga dini yako, sijakuelewa unapigia kelele Nini!!. Waraka ule ni juu ya kuhoji, kukosa na kushauri serikali juu ya mkataba unaoingiwa kati ya serikali na mwekezaji Sasa wewe unaumia na Nini. Labda kama unahoja za kujibu huo waraka basi zitoe sio kuleta udini. In short kama uwekezaji utakuwa na maslahi basi yatawahusu aidha watanzania wote pasipo kujali dini na wawekazaji na haitakuwa na maslahi kwenu peke yenu. Na kama utakuwa na hasara zitawahusu watz pasipo kujali dini na sio RC pekee. Hivyo ni vyema na busara waraka uliotolewa ukasikilizwa, ukajibiwa au ukatumika katika kujitahadharisha. Udini tuweke pembeni yanapokuja mambo ya kitaifa. Mie Sina dini kwanza mkileta udini mnanichanganya
@rahushussein140211 ай бұрын
Bado hujasema
@user-zd3ds6vt7u10 ай бұрын
Yo anasababu naislamu wenziye siunaona anavyo waambia alishambuliwa sijui alishambuliwa nanini anajua yeye anasema waislamu hawakumsaidia kama hawakukusadia wakatoliki wanaingiaje hapo kama unata misaada yakatoliki mbona ikowazi wakatoliki siyo wachoyo sema usaidiwe siyo kuongea maneno hata hayaeleweki katoliki wamachungu nataifa wewenae unaleta udini hata wenzako wanakushangaa hawakuelewi unakuwa kama unampigia mbuzi kirtaa acheze haya weebwabwaja sasa labda hauna kaziyakufanya
@AbuuRuudaynaa11 ай бұрын
allah akubariki
@user-rq7ry4nu1s11 ай бұрын
Daa mungu tusaidie
@omaryramdhani982311 ай бұрын
ليس لها من دون الله كاشفة اللهم بحق هذه الآية الشريفة وما حوته من الأسرار المنيفة أن تصرف عن رئيسنا سمع بنت صلح شر الحساد و الظالمين والموذين والساحرين والباغين والسارقين وكل من كادها بالسوء من الجن و الشياطين والانس اللهم اردد كيدهم في نحورهم اللهم اشغلهم بشاغل لا يستطيعون رده اللهم شتت شملهم اللهم مزق جمعهم اللهم فل حدهم اللهم قل عددهم اللهم ارسل العذاب إليهم وصلى الله على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
@MohamedMatata-iu9mm11 ай бұрын
allahuma amiin
@hamadfaki250311 ай бұрын
اللهم آمين
@Bikhafija11 ай бұрын
Vibaraka nyie masheee haoa sosi bandar lkn hattaki muwekezaji mm muislamu.lkn sitaki
@Bikhafija11 ай бұрын
Jsmbo hili sio.la.kidini hapa shekh zungumzia bandari Sasa ata mkimkodisha muarabu unaona ndio tutakua sawa uwekezaji mingapi shekhe lkn hali ngumu watu wanaangaika nyie mnatembeaa vijijin mmewaona watu wanavyo teseka kuweni na uruma niyie
@hadijamandanje618911 ай бұрын
Ufuta 3750 badala ya 1800, njungu 14000 badala ya 6000,mpunga shs 13000 badala ya 8000, mbaazi 2100 badala ya 300 Sasa ni Hali ngumu kushindwa wakati wa bei hizo za nyuma,tuseme ukweli tuacge chuki binafsi
@kitosio11 ай бұрын
Sh. MZIWANDA NI Kipaji ALLAH AKUPE NGUVU KTK ELIMU NA HOJA NA USHINDI.
@cath-ef7wd11 ай бұрын
Amin
@maigengeme11 ай бұрын
Wenzenu wamezungumzia mkataba mbovu, ni nanyie muelezee ubora wa mkataba watu waelewe, teteeni kwa hoja za mkataba tujue kama mkataba ni mzuri, mnaanza kutaja dini tena. Tuambieni uzuri wa mkataba na sio dini
@ngoni794411 ай бұрын
Umeuliza kwa nini wakatoliki? Jibu ni wakatoliki ni waanzilishi wa elimu duniani, mfumo wa shule umeanzishwa na wakatoliki. Ni wasomi, kuwa padri mpaka uwe na degree, je shehe? TEC wamesema "sauti ya watu sio wewe umewakoti vibaya umesema sauti ya wengi. Usishindane na ukristo ndio dini ya kwanza hapa duniani. Uislam umekuja baada ya miaka 600 baada ya ukristo. Unaposema Uislam unapenda wakristo sio kweli soma quran 9: 5 kill disbelievers.
@philemornmutta159711 ай бұрын
Mimi ninacho Amin waisilam pia Kuna Wana Sheria waiteni wapeni mkataba huo wakupeni udadavuzi utagundua mkataba una ukakasi tatizo siyo nani anapewa mkataba tatizo anapewa mkataba Kwa mda gani Kwann mKataba mkataba uzuie uendelezaji wa bandari zingine kwahiyo tusifany maboresho Sehem nyingine mpaka wao waseme kwani wao ni nani hapa kwetu.lkn wanatakaje Sheria zetu zisitumike tutumie Sheria za Waingereza Kwan hapa ni Uingereza au Tanzania. Khehe ondoa udin kwenye maswala ya uchumi wa nchi.
@Kan33211 ай бұрын
Ilibidi tutake ukakasi utolewe sio usitishwe.
@abuuyaasiriibrahimkyone.291111 ай бұрын
Jinga kweli wewe jamaa yangu, hilo kanisa halijaingilia maswala ya kiuchumi hapo?.
@mobilespecialschool421611 ай бұрын
Wakristo wanaudini
@philemornmutta159711 ай бұрын
@@abuuyaasiriibrahimkyone.2911 ndg yangu matusi ni Sehem ya ibada Yako kweli au umetenda dhambi