Huyu mwenye kuuliza hana uwezo wa kuuliza maswali yenye maana unampotezea muda Sheikh
@user-cm7yl9ej7i4 ай бұрын
Namkubar sana kipozeo siwezi lala bila kumsikiliza ingawa Mimi ni ndugu yake wa damu kama anavyosemaga ongea ukweli kuhusu imani Mzee wangu hata kama wapo wasiokukubari
@zuberimusamazari70034 ай бұрын
Kipozeo zamani nilikuwa nikimkubali sana wakati wa ramadhan kama hivi yupo pale kigogo
@user-it6zi7zw8y4 ай бұрын
shekhe tunavyo jua kua kuimba nyimbo haram kuskia nyimbo haram licha ya rizki mbona ilo swali umelijibu kua ukimnyenyekea allah akunyimi rizki mbona hukujib kua kuimba haram kama dini inavyo sema shekhe wetu
@allymussa46464 ай бұрын
Mlinganie aingie kwenye haki
@bosssyedmund87854 ай бұрын
Jamaa kakariri watu maarufu ..... ndo nini sasa😏
@pacifiquemukanya10094 ай бұрын
Wewe jean aca comment za kitoto
@josephlorri4313 ай бұрын
Taaluma ya habari imevamiwa... anayehoji hana taaluma ya habari/uandishi..usharobaro..
@user-cm7yl9ej7i4 ай бұрын
Naomba kama naweza pata namba yake Mzee wangu
@JemshidMaulana4 ай бұрын
Nakukubali kupita maelezo
@mbarakashekallaghe12104 ай бұрын
Interview pia hajajipanga kuuliza masuala ya msingi
@Kekulebenzene4 ай бұрын
Hakuna sheikh hapa, ni comedian tu
@kaidiSaid-ot9nl4 ай бұрын
Nadhani ameshitukishwa majibu haya laa
@sheemaryam3 ай бұрын
Na wale wanafanya dawah mitaaani na wankuwa na viatu wakisoma quran3 je vipi hao?
@BJMKANGALA14 ай бұрын
Taaluma ya uandishi imevamiwa!
@tyronemofekeng71524 ай бұрын
Maandishi hujielewi
@DaudaBilikesi4 ай бұрын
JeanMuzaliwa unaongea kitu usicho na elimu nacho.Una uhakika hizo ndevu zimechomwa? Jifunze hilo kwanza halafu ndo uje barazani kuongelea mambo yenye kuhitaji uelewa wa kutosha.Halafu ni jambo jema hata kwenye maelekezo ya dini ya jina lako kuwa adabu kwa watu wazima na viongozi wakiwemo wa dini.Hicho ulichokusudia kusema kwa kuandika 'choga' ni ukusefu wa adabu.Hata hivyo,hiyo rangi ya ndevu zake siyo alama ya hicho ulichikilenga. HICJO ULICHOKILENGA KWA KIONGOZI HUYO,KITAKURUDIA WEWE MWENYEWE.HESHIMA YA SHEIKH KIPOZEO NI KUBWA KULIKO CHOCHOTE CHAKO.BADILIKA NDUGU.
@daudimichael73384 ай бұрын
Tumesikia ukaribu wa kipozeo na Hananja, unaongopa na huku umefunga. Anyway hata hivyo uongo unaruhusiwa kwenye Uislam ili mradi uwe kwa manufaa ya Uislam.
@saidimkwinzu91064 ай бұрын
Acha uongo ndugu yangu
@goldlineofficial87783 ай бұрын
Wewe interviewer una matatizo maswali yako Mimi ningekutia kofi Bwege ww huna akili
@JeanMuzaliwa-bs6qh4 ай бұрын
we mwenyewe umeshachoma ndevu la kufuatia utakuwa choga,kama ww kiongozi unakaa ivo vp kuhusu wale unaoongoza?dini nyingine ni shida tupu!
@godwinkileo77024 ай бұрын
Hajachoma kaweka hina
@pacifiquemukanya10094 ай бұрын
WWE JEAN ACA COMMENT ZA KIJINGA KAMA HUJIWI UMUHIM WA HINNA ULIZA
@JeanMuzaliwa-bs6qh4 ай бұрын
@@pacifiquemukanya1009 kama ww ni muislamu uko kwenye hatari,pia naomba unifunze ww mwenyewe kujuwa!