SHEKH MUHAMMAD IDD _ UHALALI WA MAULIDI I FAIDA ZA MAULIDI

  Рет қаралды 19,697

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

4 жыл бұрын

Пікірлер: 213
@mustafahkapopwa5239
@mustafahkapopwa5239 8 ай бұрын
Sheikh endelea na mwenyezi mungu akujalie umri mrefu kwa kazi kubwa unayo ifanya kwa ajili ya kumtetea mtume .
@MuhdharMuhammad-qv3zl
@MuhdharMuhammad-qv3zl 8 ай бұрын
Shukran Sana Sheikh Wetu Kwakutuelimaisha usife moyo sheikh Wetu kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana
@maawymuhammad6779
@maawymuhammad6779 Жыл бұрын
Mashaa allah hoja za maana umetoa sheikh hao wapinzani wao hupinga kichuki maana hawana dalili za kupinga Shukran sana sheikh
@mohamedjakaya5355
@mohamedjakaya5355 Жыл бұрын
Jazaka Allah Shekh M Iddi. Kwa wanaopinga Maulidi ya Mtume wetu SAW eleweni kuwa kuzungumza kauli mbaya hiyo si tabia mwislam na ni mbaya sana inapelekea chuki baina yetu toa hoja tu za msingi na si lazima wewe kwenda kwenye maulidi.
@jimjam4162
@jimjam4162 4 жыл бұрын
Shukran sana sh. IDDI kwa ukumbusho mwema.
@ahmedhamisi328
@ahmedhamisi328 4 жыл бұрын
Shukurani
@jumaakhalfan485
@jumaakhalfan485 4 жыл бұрын
Daaahhh nimekuelewa vizur sana
@haydarhamad6532
@haydarhamad6532 3 жыл бұрын
Nakukubali Sana Sheikh wangu!tupe elimu😃😃
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Kama unakubali hayo wallahi tia shaka dini yako....kumbuka you have only one chance ya kutengeza akhira yako. Usibahatishe
@JabirBakar-ys8dw
@JabirBakar-ys8dw Жыл бұрын
​@@mohagurey2214 kama ulivyotiliwa shaka uislamu wako
@mohamadally5732
@mohamadally5732 4 жыл бұрын
Shukran kwa darsa nzuri
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 жыл бұрын
Mashalha
@jariahnamusisi2592
@jariahnamusisi2592 2 жыл бұрын
Shukran ya sheikh...
@zaidechafim2613
@zaidechafim2613 Жыл бұрын
Tatizo lamashekh awafanyi mraaja uyu ajaelewa
@rjqaasam4587
@rjqaasam4587 4 жыл бұрын
Jazaaka llwaahu khayran
@AdamAbubakar-hn9up
@AdamAbubakar-hn9up Жыл бұрын
Allah akuongoze ili uijue haki na batwil
@hemedharouna4013
@hemedharouna4013 4 жыл бұрын
شكرا. بارك الله فيك
@selemaniselemani7014
@selemaniselemani7014 Жыл бұрын
Shukran sana, kwa elimu .
@suleyimanisalimu8950
@suleyimanisalimu8950 4 жыл бұрын
Mashaallah shekhe allah akupe umri mrefu ili tupate faida
@muhammadhassanmsaky375
@muhammadhassanmsaky375 Жыл бұрын
Asha chacha huuo
@allykassim3670
@allykassim3670 4 жыл бұрын
بارك الله لك
@abuumasuri424
@abuumasuri424 4 жыл бұрын
Masharubu kama myahudi masheikh wako jela huko wala uwatetei we umekalia kutetea bidaa ya maulid ulamaa usui nenda kale wali unenepe mashavu hayo
@subayyaonline7139
@subayyaonline7139 2 жыл бұрын
Katk shekh aliyezungumza lamaan katika suala la maulid huyu wamwazo hongera San ww ni zaid ya nassor bachu kwa ulivyofafanua na kuaeleza watu allah atakulipa
@thukha5052
@thukha5052 4 жыл бұрын
kama umesikia kasuku katajwa weka like
@AdamAbubakar-hn9up
@AdamAbubakar-hn9up Жыл бұрын
Uwongo
@centralzonetvtanzania7313
@centralzonetvtanzania7313 4 жыл бұрын
Chagua mwenyewe Uende Maulidini au Kwenye Miski ya Roho Diamond Jubilee sijui kiingilio bei gani
@mohdseif1659
@mohdseif1659 4 жыл бұрын
kinyume kabaku ww kaka una elimu na jambo hilo hivi watu wakikusanyika kumswalia Mtume saw ni vibaya
@centralzonetvtanzania7313
@centralzonetvtanzania7313 4 жыл бұрын
@@mohdseif1659 Unaijua Misk ya Roho ya Mawahabi?
@sabraham5308
@sabraham5308 4 жыл бұрын
Mie suala langu,kuweka sharubu na kuweka ndevu,kipi kizuri,kukifanya kwa mujibu wa uislamu.
@abdullatifyahya646
@abdullatifyahya646 Жыл бұрын
Asante kk
@saidsheha-wn4qw
@saidsheha-wn4qw 9 ай бұрын
Kwani kiweka sharubu na kuweka mavuzi kipi bora? Mbona mama yako anaweka mavuzi. Pumbavu wewe
@sabraham5308
@sabraham5308 9 ай бұрын
@@saidsheha-wn4qw Mtoto wa haramu hajifichi,sababu ya kuwa matusi kwako ni kawaida,unanatokea katika familia ya uzinifu ,wanaukoga uzinzi,usingethubutu kusema haya,isipokuwa ukoo wako unaikoga laana,Laanatul llahi.
@MasoS024
@MasoS024 4 жыл бұрын
Hayo maulidi suna au faradhi
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
Swali la mtu asiye taka kuelewa
@sabraham5308
@sabraham5308 Жыл бұрын
@@qariikhamisiqarii5920 Ni kweli kabisa,haya maulidi ni lazima kuhudhuria kwamba ni faradhi,au Sunna ya mtume,kuhudhuria na kutohudhuria ni sawa?
@keydsong
@keydsong Жыл бұрын
Tunaambiwa tunyoe masharubu katika hadith, vipi na wewe wafuga? Tunaambiwa tusinyoe ndevu, zako mbona kanyoa? Lakini umeshikilia jambo la maulidi?
@makinibwika1427
@makinibwika1427 Жыл бұрын
Sheikh tuambie wapi mtume Muhammad (saw) au maswahaba walisoma maulid? Huna Aya Wala Hadith ulizinazo porojatu. Allah akuongoze
@user-pc4vl3hr8s
@user-pc4vl3hr8s 6 ай бұрын
Tatizo wanasema wasichokijua kwa masikito
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 4 жыл бұрын
Maadui. zako wanapata tabu sana kila ukiweka mada hizi
@sabraham5308
@sabraham5308 Жыл бұрын
Maadui zake wanapata tabu sana kila akiweka sharubu
@user-pc4vl3hr8s
@user-pc4vl3hr8s 6 ай бұрын
Tena washabiki utawaona tuu mtu kusoma hataki , mawahabi !!!😢😢😢
@user-ik6sf8lh9m
@user-ik6sf8lh9m 11 ай бұрын
Mzee sikuelewi unapo taja msikiti na mshindano ya qur,an
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 4 жыл бұрын
Naomba mwaka huu ya adhimishwe kuliko miaka yote
@mussaomari7385
@mussaomari7385 2 жыл бұрын
Ww shekh kasome vzr
@hatibmintanga7325
@hatibmintanga7325 2 жыл бұрын
Jazalaallahu Khayra Sheikh Mohammad Idd.. Mola akulipe Kheri na Atupe mwsho mwema inshaallah... Tunaompenda Mtume Tuendelee na Majambo yetu Mola atatulipa na Kuwapa kheri Mashekhe na Wazee wetu inshaallah
@ahmadymisanga4755
@ahmadymisanga4755 Ай бұрын
Je lilifanyika wakati mtume yupo??
@osmanha6915
@osmanha6915 4 жыл бұрын
Unapenda kiki na kuunda mifarakano isiyolazima
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
Lugha za kihabi tu acha chuki angalia maneno
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 4 жыл бұрын
Tupe vitu sheikh hakuna jambo baya linalofanyika ktk maulid
@vyamanahabdallah4771
@vyamanahabdallah4771 2 жыл бұрын
Tupe dalili sheikh hii dini haipelekwi kwa fikra za watu
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qHvCYWhqgdujeac Ushajibiwa hapo ustazi idi.. nyiye ni pilau tu.. bila pilau hamna kitu..
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Amenyoa mandevu na kuacha masharubu Kisha adai kupenda mtumi. Danganya wasiojifahamu
@JabirBakar-ys8dw
@JabirBakar-ys8dw Жыл бұрын
Lete aya inayosema ni lazima kufuga madevu
@zamabuu7707
@zamabuu7707 4 жыл бұрын
Alhamdulillah sheikh hakutoa hadithi wala aya moja ya kuthibitisha maneno yake. Dini hii ni ya Allah na mtume wake na wala sio ya wasanii.
@liljaraomary4995
@liljaraomary4995 3 жыл бұрын
Bs we lete aya na hadithi kuwa maulid maulid ni haramu
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 3 жыл бұрын
@@liljaraomary4995 Kauli za kifiqh inasema asili ya ibada ni kuamrishwa.. yan we uwez kutoka unapopotoka uje kusema tusali sala sita badala ya tano faradhi kisa tu kusali unapata thawabu. Lazima ibada yeyote inayofanyika iwe na dalili katika quran au sunnah
@mohdseif1659
@mohdseif1659 4 жыл бұрын
kma ni mchanganyiko bx wasiende hija maana kuna mchanganyiko wanawake na wanaume
@baesh8445
@baesh8445 4 жыл бұрын
Sheik ukipata mdaa naomba tueleezee aina 6 nyongine za maulid,ukiachilia haya y barazanj,mana wengi ukitaja maulid wanajua haya tuu,
@kurashigesir8709
@kurashigesir8709 Жыл бұрын
Shekhe wa masharubu badala ya ndevu....sunnah ushaivunja tayari.... Maulid ni uzushi Sheikh usipoteze ummah. Maulid yalianza karne ya saba baada ya kuondoka mtume. Mtume alipotoa Khutbah Arafa Hijjatul Widaa na kuwaambia Maswahaba Leo hii nimeikamilisha dini yenu na nimeridhia uislamu kuwa ni dini kwenu na kila aliyeko hapa atakuwa shahidi mbele ya Allah kuwa nimewasilisha kama nilivyopokea. Akaongeza kuwa Quran na Sunnah viwe muongozo wetu popote pale. Je Maulidi ni Sunnah ipi? Manake katika Quran hayapo. Tumuogopeni Allah ndugu zanguni....Maulid ni uzushi.
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 4 жыл бұрын
Sheikhunaa kuna watu nu summun bukmun umyun hawataki kuelewa.
@zuheirtammam5532
@zuheirtammam5532 4 жыл бұрын
Jambo Mtume hakufanyiwa ni kusomewa simtu durar na barzanji
@alibaraka6699
@alibaraka6699 4 жыл бұрын
Jee kwa yule Muislam ambaye katika umri wake wote hakuwahi kusoma Maulidi ana hukumu gani mbele ya ALLAH?
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 3 жыл бұрын
Hupati dhambi yoyote ndugu yangu maana si katika jambo la faradhi wala la sunnah!! Hata hao wanaoipigia debe hii bidaa ukiwauliza kama mtu asiposherekea anapata madhambi au laa watakwambia hupati
@fat-hiyaali4723
@fat-hiyaali4723 3 жыл бұрын
hapati chochote kwan faradhi hio atuache na moja moja asitie watu njaa bure
@khatibbakhresa7615
@khatibbakhresa7615 Жыл бұрын
Vyvyt itakavyokuwa Yamekuja Maulid miaka mingi Mtume SAW ameshaondoka
@SwalehSaleh
@SwalehSaleh 4 ай бұрын
Acha kupotosha watu ww,rudi ukasome
@abdulhamidsaid3317
@abdulhamidsaid3317 4 жыл бұрын
DANGANYA WAFATA UPEPO
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
Mawahabi wame fundishwa kutukana
@user-pc4vl3hr8s
@user-pc4vl3hr8s 6 ай бұрын
Wafata upepo ni mawahabi, kusoma kwenye yotbe basi
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Sherehe ipi? Mtume alikua akifunga siku yake yakuzaliwa, kisha hio uzushi wenu mbona maswahaba hawakufanya
@nasranassor2333
@nasranassor2333 4 жыл бұрын
Acha zako sheikh bwanaaa yaani wapamba maulidi kwa kila hoja ili tu watu wote wayapende?
@abuurauzwat1006
@abuurauzwat1006 Жыл бұрын
Kikubwa naona ujinga tu huu ulio ongea baas hakuna jipya.
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
shekh ana sharubu sjawah ona
@saidalghafri3111
@saidalghafri3111 Жыл бұрын
Shekh naomba no yako tafadhari
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf 3 жыл бұрын
Allah anasema.. ikiwa kweli tunampenda yeye basi tumfuate mtume kwa yale anayotufundisha na Allah atatufutia madhambi yetu na kuturehemu!!! Sasa shekh wetu sidhani kama hukuwahi kukutana na kauli ya mtume s.a.w inayotutaka tupunguze masharubu na tuachie ndevu!!! Unasemaje unampenda mtume hadi kumfanyia sherehe na humtii??
@kitosio
@kitosio 10 ай бұрын
Shekhe Wetu. Jee Maswahaba walikuwa hawajui faida hizo za Maulidi. Ivi sisi leo tushakuwa na akili kuwapita Maswahaba. Muongozaji wa munakasha apiga matari na hatari zaidi Daah. Wanaume wanacheza magoma na kanzu nzuriii. Kuyaacha Maulidi haya uislamu utapata nguvu. Uislamu tunaubomoa sisi wenyewe.
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 4 жыл бұрын
Shekh endelea kuelewesha mung atakulipa
@aliyomar9140
@aliyomar9140 4 жыл бұрын
Yusuph Kwaya wataelewa tuu
@kitosio
@kitosio 10 ай бұрын
😅😅😮😮😮 { وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلۡأَوَّلُونَ مِنَ ٱلۡمُهَـٰجِرِینَ وَٱلۡأَنصَارِ وَٱلَّذِینَ ٱتَّبَعُوهُم بِإِحۡسَـٰنࣲ رَّضِیَ ٱللَّهُ عَنۡهُمۡ وَرَضُوا۟ عَنۡهُ وَأَعَدَّ لَهُمۡ جَنَّـٰتࣲ تَجۡرِی تَحۡتَهَا ٱلۡأَنۡهَـٰرُ خَـٰلِدِینَ فِیهَاۤ أَبَدࣰاۚ ذَ ٰ⁠لِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡعَظِیمُ } [Surah At-Tawbah: 100]
@kitosio
@kitosio 10 ай бұрын
Bin Atupe Fiqhi ndio muhimu. Mazagazaga Ayatupilie mbali. Elimisha watu Fikhi utapata mingi Kwa ALLAH. MAULIDI HAYA NI BIDAA MBAYA. TUNAAIBIKA KAMA HATUKUSOMA.
@timbulosaid63
@timbulosaid63 4 жыл бұрын
Mngekua umkutana kwenye maulid japo mgekumbushana kujenga hata hospital au shule nahic mngewakosha baadhi ya waislam pamoja nakukutana kwenye maulid,sasa mwakutana kula ubwabwa tu shkh tuoneshe japo uwanja ulio uandaa kwajil ya kujenga shule?
@sayeedsaleem6395
@sayeedsaleem6395 4 жыл бұрын
Akili huna wewe
@alishauri5721
@alishauri5721 4 жыл бұрын
Sheikh ndevu ziko wp au likizo
@khamiskhamis5495
@khamiskhamis5495 2 жыл бұрын
Mtume haja katika na kutuka ruka kama vile wafanyavyo wanaocheza dufu na mizumari
@saidmuhama9846
@saidmuhama9846 4 жыл бұрын
Hahaaa Sheikh ananyoa ndevu anaacha masharubu...
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 4 жыл бұрын
Nadhani ujikite kwenye hoja siyo "personality"
@saidmuhama9846
@saidmuhama9846 4 жыл бұрын
@@mohamedlamimu Hoja ya nini.
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 4 жыл бұрын
Zungumzia mada iliyopo kwa hoja kinzani, usikimbilie kwenye mashambulizi ya muonekano wa Abu Idd, ndo maana yangu!
@saidmuhama9846
@saidmuhama9846 4 жыл бұрын
@@mohamedlamimu Unamaana nianze kubishana kuhusu uhalali au uharamu wa Maulidi?
@deathrow8004
@deathrow8004 4 жыл бұрын
rasul swala llahu aleyhi wasalam..unaemfanyia maulid kwa mbwembwe katuambia tufuge mdevu na tupunguze masharubu..acha taasub ndugu yangu
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Amesema mambo mengi ndani ya mawlidi na amesahau ile kubwa zaidi, zefe na kukata kiuno ambayo ni 90% ya maulidi
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
liangalie hili jamaaaa lishakufa hili kwa bidaaaaaaaaaaaa izo hoja zake mavi ya ngombe asa
@saidsaid-tn3tu
@saidsaid-tn3tu Жыл бұрын
Jazba
@mwajumafuadsaad5994
@mwajumafuadsaad5994 Жыл бұрын
Sheikh wapewape maulid yako yako tunaendelea
@saidsaid-tn3tu
@saidsaid-tn3tu Жыл бұрын
Ndomana sheikh alitahadharisha kuielewa maulid kma jina Akaomba tuielewe maulid kwa kile kinachofanyika huko Panasomwa Qur'an Anatajwa na kusifiwa mtume Panatolewa mawaidha Panatolewa swadaka ya chakula Sasa ukichukua maulid km jina hutopata mtume kufanya Kwan mtume alifanyisha mashindano ya Qur'an na kuwapa zawad watu Mtume alikwenda hijja zaid ya Mara moja Msikiloze tena sheikh
@abdallahomary3414
@abdallahomary3414 Жыл бұрын
Mwalm wajua wewe mpk wajua tena
@ayubmakame9251
@ayubmakame9251 Жыл бұрын
Mtu anapiga dufu na kuhifadhi tu mashairi lakini kwenye quraan hamna kitu hi si ni hasara tu
@saidsaid-tn3tu
@saidsaid-tn3tu Жыл бұрын
Sasa hayo ndo ya kukumbushana kwamba watu wasiishie kuimba mashairi watumie sauti zao nzuri kusoma Qur'an pia
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 4 жыл бұрын
NJAA TU NDIO ZINAZOWATAABISHA. KAMA HAKUNA CHAKULA BASI HAENDI MTU MAULIDINI. TWAMBIENI NANI ALIYEANZISHA HAYA MAULID? MSIBABISHE WATU.
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
Mawahabi mna akili ndogo sana. Kwani chakula cha shilingi ngapi mtu ana kifuata kwa kujaza mafuta yake ya laki tatu kwenye gari. Tumieni akili vizuri. Inaonekana hicho chakula nyinyi ndo mna kitamani sana ila mme kikosa ndo maana hakuna mnacho ona kw maulidi ila chakula tu
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 жыл бұрын
@@qariikhamisiqarii5920 kati yetu na makhalifa wa MTUME S. A. W ambao aliishi nao kwa shida zote, Akina saydna Abubakar, Omar, Ally R. A. Ulishawahi sikia wakisoma maulidi? Acha kufuata mkumbo. MTUME S. A. W alishakamilisha dini kabla ya kuondoka! Hayo maulid ni nguzo ya ngapi? Tumia akili yako!
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
@@natafutamatatizo4382 hamna hoja nyiye. Mna bidaa nyingi hazi hesabiki. Kakini mnaona zina faa kwakuwa mmezua nyinyi. Ukija hapa uniambie. Hadidhi gani mtume aliswali tarawehe kwa jamaa.? Hadidhi kani mtume ali wakusanya watu kw mashindano ya qur an. Kama hakufanya semeni ni bidaa bas. Mbona mnaona mauliditu au mna makengeza ya elimu. Miongoni mwa bidaa zilizo favya katika dini. Ni huu mpango wa hadithi hii ni swahihi hadithi hii dhaifu. Njoo ujibu hayo maswali hapo juu.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 жыл бұрын
@@qariikhamisiqarii5920 wewe ulishawahi sherehekea birthday yako? Na unamjua ni mtu wa kwanza duniani kusherehekea siku yake ya kuzaliwa? Ktk kuna sherehe mbili tu, nazo ni Eid al fitr na Eid al Hajj. Sasa hizo sherehe nyingine mmezitoa wapi? Unaijua historia ya Maulidi na yalianzia wapi? Chemsha bongo lako usikubali kuburuzwa!
@qariikhamisiqarii5920
@qariikhamisiqarii5920 3 жыл бұрын
@@natafutamatatizo4382 mbona hukujibu maswali?. Sasa una taka kusema kumfurahikia mtume kwa kuzaliwa ni dhambi?. Sasa ngoja ni kuambie. Swaumu ya juma tatu ni birth day. Mtume ali ulizwa kwa nini una funga siku ya juma tatu? akasema kwa sababu ni siku ambayo nime zaliwa. Hai ingii akilini eti mtu akifurahika kwa kuzaliwa mtume atapata dhambi. Rudi kwenye maswali nilio kuuliza hapo juu uyajibu. Maana nyinyi hoja yenu kuu maulidi mtume hakusoma. Je tuache kukusanya watu kw mashindano ya qur ani?. Maana hiyo ni bidaa. Au tuseme inafaa kwakuwa bidaa hiyo mna fanya nyinyi?. Kutiwa vyeti vya kuhitimu masomo. Ibtidaiya mara huyu thanawiy. Mara jaamiya mara kulliyya. Hakuna swahaba yeyote aliye pewa cheni na mtume eti kahitimu kusoma dini. Hizi bidaa zote mna zifanya.jibu hayo maswali hapo juu
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 4 жыл бұрын
Mimi nauliza hivi wewe unaesema tuondoe jina maulidi tuweke mkusanyiko na mengineyo je hayo mnayoyafanya ni dini?kama ni dini au ibada bas tunaomba muongozo wa qur an na sunnah usiongee kwa matamanio ya nafsi yko na pia usipotoshe ummah jua utaulizwa
@BABDEOMILADU
@BABDEOMILADU 4 жыл бұрын
Humo ndani kaelewesha na je kufanya mashindano ya Quran na kuweka zawadi imeandikwa wapi? Yeye pia kauliza swali hilo, so jbu hilo swali kisha uulize lako
@swahibuallymussa154
@swahibuallymussa154 4 жыл бұрын
SALIMU SALIM,UCHA UBOYA,NAKUULIZA SWALI;JE MASHINDANO YA QUR'AN, MTUME KAFANYA?NA JE MASHINDANO YA QUR'AN NI DINI AU SIO DINI?NA KAMA NI DINI,HEMBU TOA MUONGOZO WA IBADA HII YA MASHINDANO YA QUR'AN, VIPI KAIFANYA MTUNE?NYINYI NI MALOFA NA NI WATU AMBAO MMELAANIWA KWA ULIMI WA MTUKUFU MTUME.
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 4 жыл бұрын
@@swahibuallymussa154 we akili huna umeathirika na mabiriani ,hlo jambo maulamaa hawajalikataza na dalili wanazo ss mjadala na masafii kama nyie m mwisho na ndo maana iblis laana hupenda sn mtu anayefanya bid'aa kama nyie mambumbu kulko mtu anaefanya maaswiya kwasbb mnaona hyo n dini kumbe n ktk madhambi makubwa kbsa pumbavu kbsa
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 4 жыл бұрын
Mwambie sheikh wako asiwe anakaa chumbani anaongea na wewe kweny hyo video yako ,atafute munakasha kama yupo tayar kutetea huo uovu wake wa uzushi cyo kukaakaa chumban anaongea haulzwi maswal
@ibnulislaamhamad7673
@ibnulislaamhamad7673 4 жыл бұрын
@@BABDEOMILADU Hahahah....duhh. Eti humo ndani kauliza......dini imeingiliwa kwa kweli. Allah atuongoze.
@darweshilacha3019
@darweshilacha3019 4 жыл бұрын
Nauliza kaswida na kwaya kuna tofauti gani?
@hassanmkufya2867
@hassanmkufya2867 4 жыл бұрын
Sawa shekhe je maulidi ni ibada kama ibada zingine
@jimjam4162
@jimjam4162 4 жыл бұрын
Ukweli maulid ni ibada Kama ibada zingine. Nami nikuulize Je, kusoma ama kutaja sifa za mtume wetu Mohammad rehma na amani zimfikiye.
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 4 жыл бұрын
jim jam Unaonekana unakimbilia kujiridhisha. bila kufuata Utaratibu. Mfano:Kwani kusoma Quraan jambo zur au baya,?? Je,Yafaa kuisoma Quraan kama Adhkari Ya kuingia Chooni.
@saidikessy3692
@saidikessy3692 4 жыл бұрын
نعم
@fat-hiyaali4723
@fat-hiyaali4723 3 жыл бұрын
yaaan tumekuchoka
@alibaraka6699
@alibaraka6699 4 жыл бұрын
Sheikh anaona anachanganya changanya mambo. Inachotakiwa kwa atowe ushahidi wa MAULIDI siyo kusema sijui mawaidha, sijui kuna chakula, sijui kuna kusoma Kuraani..!! Bakia katika maada ambayo ni Maulidi usiyapambe kwa kuwaongozea mambo mengine ambayo hayahusiani ni Maulidi.
@aliyomar9140
@aliyomar9140 4 жыл бұрын
Ali Baraka kwan wewaulid unafaham ni nin shekh
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 4 жыл бұрын
Hicho alichokieleza ndo maulid, wewe unayepinga tueleze maulidi ni nini!?
@alibaraka6699
@alibaraka6699 4 жыл бұрын
MAULIDI NI BIRTHDAY. Huyo munayemtegemea muulizeni atawambia hivyo hivyo
@abuutheymiin5498
@abuutheymiin5498 4 жыл бұрын
Ali Baraka baarakallahu fiika akhy
@saidikessy3692
@saidikessy3692 4 жыл бұрын
NILIPI LISILO FANYWA NA MTUME KWENYE MAULIDI
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 3 жыл бұрын
Hapo utakuwa na tofauti gani na anayesherehekea kuzaliwa kwa masihi issa bun maryam eti kitu kikiwa kizuri kitapingwa kwa hiyo hata waislam tunavyoupinga ukristo ni mzuri? Mashehe wapotoshaji kabisa hawa subiri siku mkutane na mwenyezi mungu ndo mtakuja kujua kusherehekea maulid ni kujifananisha na wasiokuwa waislam "mantashabaha bi kaumi fahuwa minn" hakuna kitakachoniingia hapo
@Raihan20000
@Raihan20000 4 жыл бұрын
sheikh akiwa kidevu chake kinafanana na cha mkewe mie nakuwa simuelewi anachokisema. Mtume salallahu alayhi wasallam aliweka ndevu na akaamrisha wanaomfata wafanye hivyo. Sasa sheikh kama huyu sijui anamfata nani kunyoa kidevu chake. Kufata tabia za Mtume ni bora kuliko kumsifu. Na ndivyo Allaah anavyosema.. QUL INKUNTUM TUHIBBUNALLAAH FATTABIU'NI...
@mariamunika6239
@mariamunika6239 2 жыл бұрын
Acha matusi ndugu
@deathrow8004
@deathrow8004 4 жыл бұрын
sheykh umechanganya MUBAHA & BID'AA ..ALLAH ATUONGOZE..,
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Wewe idi umesomeya wapi? ivi wewe una Elmu ya kutuelezeya sisi wanafunzi..? Mbali na mambo ya ngoma na shirki?
@abuumasuri424
@abuumasuri424 4 жыл бұрын
Yahudi we we wala sio sheikh
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 4 жыл бұрын
Nkushangaa wamuita muislamu mwenzako yahudi hugo unaemuita hivyo anakushinda kwa kila kit.
@shosiabdalla6880
@shosiabdalla6880 4 жыл бұрын
Sheikh abuu idi kwa hili la maulidi umenoa
@darweshilacha3019
@darweshilacha3019 4 жыл бұрын
Hayo maulidi ndoyamewachelewesha mpaka leo mko nyuma kwakilakitu
@zuheirtammam5532
@zuheirtammam5532 4 жыл бұрын
Hapo hakuna dalili bali ni porojo tupu
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Bora nikaye nisikilize mwenda wazimu sokoni.. huu upumbavu peleka kwako nyumbani.. mpuuzi wewe...
@zamabuu7707
@zamabuu7707 4 жыл бұрын
Fuata Sunna na Jiepushe na Bid’aa فَإِنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيَرَى اخْتِلَافًا كَثِيرًا، فَعَلَيْكُمْ بِسُنَّتِي وَسُنَّةِ الْخُلَفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيينَ، عَضُّوا عَلَيْهَا بِالنَّوَاجِذِ، وَإِيَّاكُمْ وَمُحْدَثَاتِ الْأُمُورِ؛ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضَلَالَةٌ" “Yule atakae ishi (muda mrefu) ataona ikhtilafu nyingi (migongano), kwahivyo fuateni mwendo wando wangu (sunnah) na mwendo wa Makhalifa walioongoka (Makhalifa wane). Shikamaneni nazo kwa magego ( kwa nguvu). Nahadhararini na mambo mapya yanayozuliwa kwani kila jambo jipya ni uzushi, na kila uzushi ni upotofu, na kila upotofu unampeleka motoni.” Katika hadithi hii mtume Muhammad ametoa mafundisho mawili nayo ni; 1. Waislamu tushikamane na mwenendo wake na wa makhalifa walio ongoka kwasababu, wao ndio walioifahamu dini hii kuliko watu wote walio fuatia baadae. Na maswahaba ndio walio ishi na mtume Muhammad, wameshuhudia kushuka kwa wahyi na Allah ndio aliowaridhia na wao pia wamemridhia Mola wao. 2. Tujiepushe na mafundisho na mwenendo mpya usiokuwa na misingi ya sunnah za mtume, ametuonya kwa msisitizo mkubwa kwamba kila jambo jipya ni upotovu katika dini, hata liwe zuri kiasi gani kama ni bid’aa basi jambo hilo halitokubaliwa katika dini hii. Kwa kutilia mkazo juu ya bid’aa mtume Muhammad alisema kuwa, "مَنْ أَحْدَثَ فِي أَمْرِنَا هَذَا مَا لَيْسَ مِنْهُ فَهُوَ رَدٌّ “Yule anayezua kitu kisichokuwemo katika jambo (Dini) letu hili basi litakataliwa” Hadithi hii inawapa habari wale wanao anzisha mambo mapya kisha wakasema ni sehemu ya dini, kuwa Allah hana haja. na ibada hizo. Vilevile kwa wale wanaosema kuwa sisi sio tuloanzisha mambo mapya tunayafanya kwasababu tumeyakuta tu, nao pia mtume Muhammad anawapa habari yao kama ifuatayo, alisema مَنْ عَمِلَ عَمَلًا لَيْسَ عَلَيْهِ أَمْرُنَا فَهُوَ رَدٌّ" “Yule anayetenda kitendo ambacho hakikubaliani na jambo letu kitakataliwa.” Kwahiyo ibada ni ile aliokuja nayo Allah na mtume wake tu, ama yote yaliobakia iwe wewe ndiye muanzilishi wa bid’aa au mtekelezaji wa amali za bid’aa ukweli ni Allah hatoipokea bid’aa hiyo na itakataliwa. Dini hii imekamilika na haihitaji mtu yoyote kuongeza mambo mapya au kuleta ufahamu mpya wa ayah za quran na sunnah za mtume Muhammad. Ufahamu sahih ni ule wa mtume na maswahaba zake na waliowa fuata wao, ukweli huu utabakia hivyo mpaka siku ya mwisho. Jambo jengine la kuzingatia ni dini hii imeshakamilika na imefungwa miaka 1400 iliopita, siku ile pale mtume na maswahaba zake walipokuwa katika viwanja vya arafah Allah aliwapa habari njema, alisema ٱلْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِى وَرَضِيتُ لَكُمُ ٱلْإِسْلَـٰمَ دِينًۭ “Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini..” (5:3) Imam Malik ibn Anas alisema “ jambo lolote lililokuwa halimo katika dini baada ya kushuka aya hii basi kamwe halitokuwa wala halitoweza kuingia katika dini hii ya kislamu, pia aliongezea kila jambo lilokuwa katika dini kabla ya kushushwa aya hii basi kawme haliwezi kutoka katika dini hii”. Bila shaka ni sehemu ya imani kumpenda Allah na mtume wake, ndio maana Allah akamuelekeza mtume atufahamishe maneno haya, قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ ٱللَّهَ فَٱتَّبِعُونِى يُحْبِبْكُمُ ٱللَّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ۗ وَٱللَّهُ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۭ “Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu”. (3:31) Kwahivyo mtu yoyote anae dai kuwa anampenda Allah basi hana budi kufuata mwendendo wa mtume Muhammad na mwendendo wa maswahaba zake na wale wanaofuata mwenendo huo tu, na atupilie mbali mambo yaliozushwa na watu waliomsikia mtume kwa kuhadithiwa tu au kumjua mtume kwenye karatasi za vitabu, ukifanaya hivyo basi Allah atakupa mambo yafuatayo, • Atakupenda • Atakufutia madhambi yako • Atakubali ibada zako • Atakupa pepo isio na mwisho. Tunamuomba Allah atujaalie sisi, Watoto wetu na wazee wetu kuwa miongoni wa watu wema watakaopata pepo ya daraja ya juu al firdaws. Ameen Jazakallahu khayran
@JabirBakar-ys8dw
@JabirBakar-ys8dw Жыл бұрын
Mbna umeiwacha hii من سن في الإسلام سنة حسنة فله أجرها وأجر من اعمل بها
@JabirBakar-ys8dw
@JabirBakar-ys8dw Жыл бұрын
أنتم أيها الوهابيون لماذا تحبون الكذب والزندق قبل ان تفهم من اشياء الدينية وتركيكم من الحق المندوبية باسم والأفعال كما صام النبي صلى الله عليه وسلم في كل يوم الاثنين حتى ألقي سالا إليه عن أصحابه فقال هذا يوم ولدت فيه
@zuheirtammam5532
@zuheirtammam5532 4 жыл бұрын
Twapinga maulidi sababu ya vitabu vya maulidi kuna shirki na uongo ndani
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Wewe mbona wafuata tabia za mayahudi? mtume katuamulisha tusinyoe ndevu kisha tupunguze mashalubu wewe umeenda kombo ata uyaongea Ni uongo mtupu, nenda nahalamu zako ukacheze nawakwenu, usiloge jami
@saidsaid-tn3tu
@saidsaid-tn3tu Жыл бұрын
Kwa kutofuga ndevu ndo ataingia Motoni?? Asipovaa kanzu fupi ataingia motoni? Au wew kanzu fupi kiremba na kufuga ndevu vitakupeleka peponi Embu acha hoja za kitoto sheikh
@fat-hiyaali4723
@fat-hiyaali4723 3 жыл бұрын
shk tupe hoja za hadithi na kuraan sio unaongea mdomo mtupu apo ww vp husomi mzee wew
@zuwena6789
@zuwena6789 3 жыл бұрын
hoja hazijaniingia kabisa. tunasubir aya ya quran au hadithi au ijmaa au kias. waislam tusiwe washindani. کل بدعة ضلالة ٠
@danielmtanda1223
@danielmtanda1223 2 жыл бұрын
Huna jipya dada...unakaugonjwa wataka utibiwe
@duidala3228
@duidala3228 4 жыл бұрын
Wacha maneno yako wewe shekhe mkaidi zuzu uso juwa dini yako ...
@khamisiussi259
@khamisiussi259 4 жыл бұрын
DINI YETU YA KIISLAM NI DINI YA HAKI NA WALA HAIENDI KWA KUTUMIA AKILI YA MTU KWA KUSEMA HII LINAFAA NA HILI HALIFAI BALI MAMBO HUAMULIWA KWA USHAHIDI WA QURAN NA SUNNA YA MTUME [S,A,W] SASA KAMA SHEIKH UNASEMA MAULIDI NI KATIKA JAMBO LA DINI BASI LETE AYA AU HADITHI INAYOSEMA TUKUSANYIKE KUSHEHEREKEA MAZAZI YA MTUME NA KAMA HUNA NA KAMWE HUWEZI KUWA NAYO BASI TAMBUA UISLAMU NI DINI YA ALLAH [S W] NA MWALIMU ALIYE MCHAGUA KUTUFUNDISHA DINI HII NI MTUME [S A W ] ALILOTUFUNDISHA YEYE NDIO YALIYO SAHIHI NA ALILO TUKATAZA HALIFAI NA WALA HAJAACHA HATA JABMO MOJA MTUME LENYE MANUFAA NASIISIPOKUA KATUFUNDISHA NA HAJAACHA HATA JAMBO MOJA LENYE MADHARA ISIPOKUA AMETUKATAZA KWA HIYO TUWE MAKINI NDUGUZANGU WA KIISLAM NA WATU AU MASEIKH WANAOJARIBU KUTUMIA AKILI ZAO KUBAINISHA JAMBO KUWA LINAFAA NA HALI MTUME, [S A W] NA MASWAHABA ZAKE HAWAKULIFANYA WALA HAWAKULIFUNDISHA TUJIULIZE SISI NA WAO NI WAPI WALIO ITAMBUA DINI VIZURI ZAIDI NA KWA UKAMILIFU WAKE KAMA JIBU NIWAO BASI TUFUATE NYAYO ZAO ILI TUFAIKIWE KATIKA MAISHA YETU YA DUNIA NA AKERA. TUZINDUKE WAISLAM TUSIFATE MKUBO TU.
@subayyaonline7139
@subayyaonline7139 2 жыл бұрын
Kuwa na akili kijan jiulize je wanakaa wanamsalia mtume wanamtusi kwanza juulize ndio utajua sio kila alilokuwa hakufanya mtume ndio halifai tumia akil maaa. Hata hivyo vtabu wakat wa mtume hakuna he nyinyi mumevipata wap
@MasoS024
@MasoS024 4 жыл бұрын
Je mtume alifanya maulidi kama la sasa ww wamfata mtume gani
@mohdseif1659
@mohdseif1659 4 жыл бұрын
king ivi Mtume aliikusanya Qur'an katika msahafu mmoja au alisema jibu hakuna wala hakuna hadithi bali sayidina Othman ndie alokusanya Qur'an katika msahafu mmoja je ni bidaaa jibu
@nurdinali6278
@nurdinali6278 4 жыл бұрын
Sio kila kitu kafa ya mtume
@subayyaonline7139
@subayyaonline7139 2 жыл бұрын
Ukichukulia hivyo kwanza ujiulize he hili BAYA au zuri kuwa na akili
@kassimsalim5642
@kassimsalim5642 4 жыл бұрын
Badoo huna hoja chibui
@tatuamiri1712
@tatuamiri1712 4 жыл бұрын
Mnafiq mtume aliwatabiri kama mtakuja kwanza unajifananisha na mayahud na hayo masharubu mnapotosha umma.
@zuheirtammam5532
@zuheirtammam5532 4 жыл бұрын
Wachakuongea kwa hawa ya nafsi
@hajimasoud7210
@hajimasoud7210 4 жыл бұрын
huyu sheikh ubwabwa lengo lake wali wa maulid sijui mpaka leo hajashiba
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 4 жыл бұрын
Haji Masoud Toa hoja
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 4 жыл бұрын
Atakua hajashiba maana hapo hatuskii qur an wala sunnah,ye mwenyewe hapo hafanan hata kidogo mtume wa Allah
@jumaissa1816
@jumaissa1816 4 жыл бұрын
Kuwa na adabu kwa masheikh huo ndio uislam.
@fahimasheikh743
@fahimasheikh743 4 жыл бұрын
Acheni hasada tumswalieni mtume.Allahumma swali wa sallim alayhi.
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 4 жыл бұрын
Hii dini haina uchafu wa shirki wala uchafu wa uzushi ,nyie endeleeni kuwaskilza mashekhe wanaotetea uchafu ktk dini kwa ajili tu ya matamanio ya nafsi na mapenzi yenu kwao
@MasoS024
@MasoS024 4 жыл бұрын
Pumbavu mkubwa ww bidaa mkubwa
@mafishotechtv3379
@mafishotechtv3379 4 жыл бұрын
Ww acha uongo wako, hayo ambayo yamethibit kafanya mtume hayakuwa na mtindo huo mnaoufanya nyny.... acha uongo na TALBIS
@subayyaonline7139
@subayyaonline7139 2 жыл бұрын
We hujamuelewa huyu shekh usiwe mjinga
Sheikh Mohamed Idd - Usahihi Wa Maulidi Part 1
30:20
SheikhIddi
Рет қаралды 84 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 68 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 18 МЛН
SHEIKH MUHAMMAD IDDI AWAJIBU TENA WAPOTOSHAJI KUHUSU ARAFA.
34:03
BABDEO MILADU
Рет қаралды 86 М.
Waliowapa Nguvu Mashia hapa Tanzania, ni hawa hapa. Sh. Muhammad Issa
43:36
JE MAULIDI KUMSIFU  MTUME NI BIDAA? -01
16:22
Asadiqmedia
Рет қаралды 17 М.
Muhammad Bachu JE MTUME ANAKWENDA MAULIDINI|WATU WA MAULIDI WAMEZIDI SASA
19:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 45 М.
HUU NI MSIBU MKUBWA USHAWAFIKIA WADOGO ZETU
30:08
Sheikh Muhammad Bahero
Рет қаралды 2,7 М.
SEHEMU YA 4: SHEIKH MUHAMMAD IDDI NA MAJIBU YA MAWAHABI
35:07
BABDEO MILADU
Рет қаралды 7 М.
3 августа 2024 г.
0:21
Kagiris twins
Рет қаралды 1,2 МЛН
3 августа 2024 г.
0:21
Kagiris twins
Рет қаралды 1,2 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
0:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 9 МЛН
头还可以刷卡买东西的吗?#海贼王#路飞
0:26
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 24 МЛН
Did you like the picture with my cat? #cat #cats
0:28
Prince Tom
Рет қаралды 39 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 7 МЛН